Video není dostupné.
Omlouváme se.

NANDY KAFUNDWA AKAFUNDIKA NA GEA HABIBU ASISITIZA CHAKULA CHA BILLNASS LAZIMA AKIPIKE MWENYEWE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 08. 2024

Komentáře • 67

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před 2 lety +4

    Wallah mwanamke jiko ndio kila kitu Asante sna Dada gea kwa hili somo na mimi soon Nina jambo ukuje

  • @noru9028
    @noru9028 Před 2 lety +12

    Nandy kitumbo ndi mashallah 💕

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 Před 2 lety +3

    Maskn nandy wangu mwenyewe mrembo mimba imemvimbisha uso.mmngemuacha ajifungue ndo angefunga ndoa.picha cjui ztatokaje.afu kachokaaa.DADA GEA KANOGA👌MASHALAAH

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Před 2 lety +3

    amkificha weee lakini wapi kitumbo kilee 😂😂

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 2 lety +2

    Kweli ndugu yangu Gea,mabint wa sasa hawataki kupika wala kazi,lila kitu wadada wa kazi.

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 Před 2 lety

      kwani mwanamke huolewa kwa ajili ya kupika ama kuna la msingi maana kupika sio kity kilichompeleka

  • @khadijanjama8721
    @khadijanjama8721 Před 2 lety +3

    Mama kijacho kwa mapishi huongo hajui 😀😀😀😀

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 Před 2 lety

      In Sha Allah, kama anataka kujua atajua tu kwa kuwa anaolewa.

  • @dottohamis3326
    @dottohamis3326 Před 2 lety +3

    Nandi mimba ishakua masha Allha

  • @zainabumzashi4535
    @zainabumzashi4535 Před 2 lety +3

    Kitumbo hicho mashaalah

  • @mbwanamohamed8814
    @mbwanamohamed8814 Před 2 lety +1

    Jmn nandy mashallaah jmn mimba kubwa

  • @najuf8021
    @najuf8021 Před 2 lety +2

    Nandela kitumbo

  • @mariamkitsao6553
    @mariamkitsao6553 Před 2 lety +1

    Kaz unayo Nandy

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 Před 2 lety +1

    Hapo jikoni kwa nani sasa, Nandy au Bilinass

  • @yusrasalum
    @yusrasalum Před 2 lety +3

    Nandy mpole mwenyewe somo ghea 😀😀

  • @davidkimario9601
    @davidkimario9601 Před 2 lety +2

    Da gea umedamshi ataleeee

  • @tinershayo6191
    @tinershayo6191 Před 2 lety +2

    Mnashangaa nini kwani ni majabu gani mwanamke kuwa na mimba nyinyi watz sijui vipi kama vile kupata mimba kwake nimajabu ya dunia tafuteni vitu vya kufanya thanks

    • @fatumasirakwi3700
      @fatumasirakwi3700 Před 2 lety +1

      Hatujashangaa ila yeye ndo alikua anaficha na ww acha makasiriko

  • @zidnathhashim3529
    @zidnathhashim3529 Před 2 lety +5

    Uwiii halifichikii pembe la ng'ombe

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Před 2 lety +3

    JAMANI haya bwana inatosha kufundana mtu kitu mbo ndiiii kufundana tele

  • @wardawarda6535
    @wardawarda6535 Před 2 lety +1

    Hahhahaha mwanamke jiko 🤣🤣🤣🤪

  • @queenhuu2852
    @queenhuu2852 Před 2 lety +5

    Wanaavohangaika nae utafikiri iyoo mboo haijuui

  • @khadijahomankweliyamjahaya7421

    Kabisa jiko nalo muhimu sana

  • @florahmartin2120
    @florahmartin2120 Před 2 lety +2

    Huyu kungwi ni kama mimi😂😂😂😂

    • @spreadlove5300
      @spreadlove5300 Před 2 lety +1

      Aaahh weuweee basi uko vizuri 💜💜💜🤣✌

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat165 Před 2 lety +3

    Kaaah sio kwa kufundwa huko na akitoka hapo moja hana 🙄🙄 ataenda kuish atavyojua yeye 😂😂😂

  • @fatumajumanne3529
    @fatumajumanne3529 Před 2 lety +6

    Mcmdanganye mwezenu jaman hawatak kula Hao wanaume wakkupenda watavumilia lakn wacpokupenda hata kkiva utaambwa kbch ama chumv nyng il 2 akubu2e. Mtangulze MUNGU ktk kla jambo lako na maelewano kwa mwenzio.

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 Před 2 lety +1

      Wewe kama mke ukisema hivyo na malaya aseme nini?
      Wewe ndie unataka kupotosha wenzio. Asipopikiwa na mkewe akapikiwe na nani shoga, vibaya hivyo, acha mwenzako afundishwe

    • @fatumajumanne3529
      @fatumajumanne3529 Před 2 lety +1

      @@salmahalfani6307 Kuna v2 vngne Co lazma ujbu inakubd kuelewa kwanza Kwan unahc ukmpkia hvyo ndio ataacha kukufanyia utahra omba upendo WA kwel kwa mwenza wako.

    • @hapinesphilimon8127
      @hapinesphilimon8127 Před 2 lety

      Asante sana waambie

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 Před 2 lety

    Yooo nand keo naamini kitubo

  • @fridaudoba7124
    @fridaudoba7124 Před 2 lety

    😍😍😍😍😍

  • @rehemadaudi742
    @rehemadaudi742 Před 2 lety +1

    Anafundwa na wangapi? Huyo ni wa 4, namuona, da ndoa za mitandaoni hizo

    • @aksharacosta4431
      @aksharacosta4431 Před 2 lety

      Nane

    • @rehemadaudi742
      @rehemadaudi742 Před 2 lety

      @@aksharacosta4431 hahaaa kila mtu anaongea lake, mwisho atatokea atakayemwambia. Mme akijisaidia unamtawaza.

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 Před 2 lety

    kwani mwanamke huolewa kwa ajili ya jikon au mm mawazo yangu sio au ninavyojua mm sijawahi sikia mwanaume anaoa mwanamke kwa ajili ya mapishi sijui kwa kweli

    • @anifaally4816
      @anifaally4816 Před 2 lety

      Sasa sindio Tanzania yetu hii cku ya kuolewa n mavyombo kama yote Ili tukapike🤣🤣🤣

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 Před 2 lety

      @@anifaally4816 kupika kwa mwanamke ni huruma yake ty na sio kazi yake

  • @mealsbymana6561
    @mealsbymana6561 Před 2 lety

    💓💓💓💓💓

  • @zenajustus5731
    @zenajustus5731 Před 2 lety +4

    Samahani labda me ndo naona vibaya,but haya mafunzo yote Tangu miriam wa migomba pka geah,naona ni kama nandy anajilazimisha,hana bashasha usoni,masikitiko kama vile haendi kuolewa anaenda tolewa sadaka,kiwiliwili kiko hapo,akili hata hazipo,haziendani kabisa na hicho mnachomfunda.

  • @fortunataangelo5575
    @fortunataangelo5575 Před 2 lety +1

    Kuhema tu Kuna muonesha alivyo