WAZIRI MKUU "WAKUU WA IDARA TUMIENI VYOMBO VYA HABARI KUJIBU MASWALI YA WANANCHI".

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 02. 2024
  • Mfuko wa mawasiliano kwa wote (UCSAF) ambao ndio wafadhili wakuu wa kujenga vituo vya serikali kupitia serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania wamekamilisha ujenzi wa kituo cha redio ya jamii katika halimashauri ya Mpimbwe mkoani Katavi chenye thamani ya zaidi ya milioni 200 ikiwa ni sehemu ya kusogeza huduma kwa wananchi.
    Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano Kassimu Majaliwa akizindua redio hiyo amewataka watumishi wa serikali kutumia vyombo vya habari hasa redio katika kusikiliza kero na kuzitatua kwa haraka ili kuleta msukumo wa maendeleo.

Komentáře •