Kwanini nakosoa serikali nikiwa nje ya nchi?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 06. 2019
  • Najibu swali la Aloyce Nyanda wa Star Tv leo Juni 24 2019 anayehoji kwanini nakosoa serikali ya Magufuli nikiwa ughaibuni

Komentáře • 204

  • @arafatyhussein
    @arafatyhussein Před 2 měsíci +1

    Hongera sana, Kazi nzuri mzee wangu🙏

  • @asacconlinemedia5343
    @asacconlinemedia5343 Před 2 lety +3

    Hongera sana Ansbert ngurumo. Kukuelewa wewe kunahitaji mtu mwenye afya njema ya akili.

  • @malingazeboss9351
    @malingazeboss9351 Před 3 lety +3

    Kweli mkuu, serikari hii imejaa mavi kichwani.

  • @gervassikapundwa9632
    @gervassikapundwa9632 Před 4 lety +4

    Ongea baba

  • @winfredcanaan582
    @winfredcanaan582 Před 4 lety +2

    Nimekuelewa sana baba

  • @hkaluminium2007
    @hkaluminium2007 Před 4 lety +2

    Kaka nakuelewa sana ww ni mwandishi nguli sana

  • @akiliiddtuliza418
    @akiliiddtuliza418 Před 5 lety +4

    Freedom of expression

  • @LissaJonas
    @LissaJonas Před měsícem

    😂😂😂 Anacheza cheza na laptop 3:44

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 Před rokem +1

    Wewe ni kamanda Kama wengine na Hawa Akili ndogo hawajitambui br

  • @johakhimu.mgembe.3297
    @johakhimu.mgembe.3297 Před 4 měsíci

    ❤Saluti kijana.ndio Wajibu wa Mwana habari.Shujaa.Tupe Uelimisho wa Taamuri..

  • @hamisially-c4x
    @hamisially-c4x Před 2 dny

    Gd sana

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 Před 5 lety +8

    Mwehu tu Hao ndo viranza. Rudi bongo tukunase nyooo

  • @papayatnzania1005
    @papayatnzania1005 Před 5 lety +2

    Ukiona jitu lina mimvi kwenye ndevu basi pana mashaka kichwani

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Před 5 lety +5

    Matusi sio dawa ,au kujua sana, teteeeni hoja,sio matus ,kwani sisi ni binadam kesho haupo au Leo haupo,je M,mungu ambae nyote mkipata matatizo mnamlilia atawapokea na matusi yenu?

    • @barikiwa22
      @barikiwa22 Před 5 lety +2

      Ndio ujue uwezo wa kufikiri kwa vijana wengi ni mdogo sana, low IQ, wanakurupuka hovyo!

    • @rajabkisebengo9406
      @rajabkisebengo9406 Před 3 lety

      @@barikiwa22 sawa kbs barikiwa mihemko inatuponza sana vijana

    • @rajabkisebengo9406
      @rajabkisebengo9406 Před 3 lety +1

      Alafu baada ya kumskiliza kwa utulivu ili kuchambua mambo wajue kwa kina wao kulupu matusi

  • @songombingo108
    @songombingo108 Před 8 měsíci +1

    Wanaokushangaa ni wale walikuwa wadogo Sana wakati unaandika Makala zako. Hawajui ulikotoka. Sasa wamevunja ungo na akili imeanza kukua ndo wanajikuta wakikutilia mashaka.

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 Před 4 lety +1

    Nimeishia kucheka tuuuuuuu!!!Wabongo wameelimika wanataka Maendeleo Awataki porojo.Ahahahahahahaha kazi ipo.

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Před 3 lety +1

    Bwana Ngurumo maana ya ushamba maana yake ni nini?

  • @alimsemakweli1376
    @alimsemakweli1376 Před 3 lety +1

    NASAHA NZURI: TUACHE MATUSI KWA NJIA YEYOTE ILE,,, KAMA MTU HAPENDEZEWI NA CHOCHOTE KILE BASI ANYAMAZE... TUKIFANYA HIVYO TUTAKUWA WAVUMILIVU NA MASHUJAA KTK USTAWI WA JAMII ZETU,,,, AHSANTENI

  • @chrispinjoseph5652
    @chrispinjoseph5652 Před 5 lety +6

    Unazeeka vibaya mzee rudi nyumban uongelee huku kama kweli uko sahihi unachokifanya

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 Před 5 lety +7

    Huyu ni zwazwa kipofu

  • @anodmwambinga507
    @anodmwambinga507 Před 4 lety +1

    Asimsifia mkuu basi huyo si mzalendo acheni uzwazwa

  • @AmosNicas
    @AmosNicas Před 11 měsíci +1

    Bigup

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před 4 lety

    Msengerema anapojifanya mnyamongo .....hahahaaaaa

  • @gataonyango9294
    @gataonyango9294 Před rokem

    Washamba na niwajinga wa karne ya kumi na nane

  • @philemonmwakipos4859
    @philemonmwakipos4859 Před 5 lety +1

    kama anachotenda magu ni chema, kwa nin mkasirike. alafu kuikosoa serikar sio uhain. wala kuichukia serkal sio uhain, uhain ni kuliftn taifa lako

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 Před 2 měsíci

    Akili Mali serekali inakosolea nyinyi wajinga njaa kali mnamtukana huyu jamaa dah nayeye ndo anaetutetea wanyonge

  • @alexpeterkabululu488
    @alexpeterkabululu488 Před 5 lety +1

    Matusi in kipimo cha kufirisika akiri kizazi hiki kinataka majibu na usuruhishi

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 Před 5 lety +1

    Pumbavu ss huku tuko busy na JPM , we endelea tu kutumika, bila tija na mabeberu

  • @salehestambul5535
    @salehestambul5535 Před 5 lety +2

    Mbona yupo kama shoga fulani hivi.

    • @machaggechacha3422
      @machaggechacha3422 Před 5 lety

      Salehe Stambul Anaonekana kama mtu anayefirwa firwa na mabeberu.

  • @almasjuma4194
    @almasjuma4194 Před 4 lety +1

    Wewe mjanja njoo tz uoupara utachemka

  • @mathewilekwamack6778
    @mathewilekwamack6778 Před rokem

    Kila ukitoa clp najitahidi kukufuatilia unaongea mambo mazuri na yenye kujenga nchi yetu sasa hawa wanatuongoza yani hata hawastuki bado wanakomaaa maisha yao bila kujali wananchi wao nasi wananchi hata hatujitambui ipasavyo tunawoga wa kutoshaaa

  • @bwerumaster6691
    @bwerumaster6691 Před 5 lety +1

    Huyu bwana hawezi kurudi kwani amejipa ukimbizi kwa visingizio vya kisiasa kwamba serikali itamuua. Kwa hiyo hii ndiyo biashara yake kutukana

    • @myself4128
      @myself4128 Před 10 měsíci

      Sio kujipa ukimbizi mbuzi wewe,kwani hujui Watu wnaauwawa na wengine wanapotezwa kimya kimya kwa kuikosoa Serikali?Kuna Uhuru gani Tanzania au kuna Amani ipi zaidi ya utulivu wa kinafiki tu sababu ya uoga wetu na ndio maana Umasikini umeweka Kambi hapa Nchini,Acha watu wakatafute maisha sehemu binaadam anathaminika sio Hapa Tunaishi kama misukule,

    • @myself4128
      @myself4128 Před 10 měsíci

      Kwa hiyo ulitaka Abakie Tanzania ili afe??Kuna Mitaahira kibao hii nchi

  • @kaimuulongo9590
    @kaimuulongo9590 Před 3 lety

    Nakubali

  • @cosmaswilliam3805
    @cosmaswilliam3805 Před rokem

    Waandishi asilimia kubwa nimapandikizi

  • @J4UPro
    @J4UPro Před 5 lety +1

    Wewe Huna akiri kukosoa kila kitu.

    • @malingazeboss9351
      @malingazeboss9351 Před 3 lety

      Yupo sahihi but wewe kwakuwa unafirwa huwez kujua anachosema ngurumo

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 Před 5 lety +8

    MPISHE JPM AFANYE KAZI YAKE, MPUMBAVU WEEE

  • @saidipara4134
    @saidipara4134 Před rokem

    Umesha sema upo nnje sasa ya ndani yanakuhusu nini?matako wewe nyie ndio munaetusabishia ss tuzidi kuminywa.

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před 4 lety +1

    Cjakuelewa lkn mzee .... Swali umejibu wapi Sasa...

    • @helunia
      @helunia Před 4 lety

      Swali la kwanza la kuuliza ni: kwa nini mtu yupo nje ya nchi. Si kwa sababu serikali imemkosea?

  • @eustacevenant4567
    @eustacevenant4567 Před 4 lety +1

    Wewe HUWA unapoongea huongo wakupasua NCHI kumbe ni Wewe
    Wala you don't hve points!

  • @mtanzaniahuru6203
    @mtanzaniahuru6203 Před 4 lety +1

    Nadhani kwa sasa wewe unaongoza kwenye upumbavu.
    Nilitegemea unashauri kumbe wewe unaharibu pole sana na utabaki kuishi utumwani miaka yako yote.

  • @edwinmathias129
    @edwinmathias129 Před 5 lety +1

    una ongea pumba tu brother

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před 5 lety

      Sawa tu. Hata pumba zina faida kwa wenye akili wanaojua jinsi ya kuzitumia.

    • @Kwelihukuwekahuru
      @Kwelihukuwekahuru Před 8 měsíci +1

      ​@@AnsbertNgurumousibishane na watoa matusi jibu wanaokokosoa kwa hoja

  • @rosenamilia4140
    @rosenamilia4140 Před 5 lety

    Tunamshukuru Mungu kwa ukuu wake wa kutuonyesha Leo,Sasa na hata Jana. Kesho hatuijui. Nasikitika kukusikia kwa majidai eti umepata zawadi. Je unawasaidiaje wanyonge Watanzania?.Naona maneno maneno tuweke chini ya karpeti ibaki ,HAPA NI KAZI TU.

  • @goodluckyaugustu.1583
    @goodluckyaugustu.1583 Před 5 lety

    Mkataa kwao ni utumwa...unaenda kujigamba ugenini duuuuhhh....mimi ni mwana technology njoo TZ weka rejeo tushiriki na kufahamiana kiujuzi...Acha acha kufurahia kudhalilika!!!!"Njoo tuandikie makala Coco beach acha uhewa ankali"

  • @GozbertAliseni-vp6kj
    @GozbertAliseni-vp6kj Před rokem

    Watu.wanapiga.kuranje.nimwandishi.gani.aibu

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 Před rokem

    Hakuna ushamba ujibu tu,, swali liko vizuri sanaaa

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před rokem

      Limejibiwa. Hukusikia?

    • @ameirzapy1318
      @ameirzapy1318 Před rokem

      @@AnsbertNgurumo limejibiwa kwa nongwa sana,, haikuwa sawa kuanza kulifikiria kwa kulibeza na kusema la karne ya ngapi huko,,

  • @nyembomajid907
    @nyembomajid907 Před rokem

    mzee jibu swali kwa nini unakosoa serekali ukiwa mbali?

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před rokem

      Hukusikia jibu? Sikiliza.

    • @Kwelihukuwekahuru
      @Kwelihukuwekahuru Před 8 měsíci

      Kwani mataifa yanayokosoa serikali mbali mbalimbali na wakati mwingine kuwekea vikwazo wanakuaga ndani ya hizo nchi nafikiri tunaongea na wachanga sana wapiganaji wa uhuru walifanya hivo wakiwa nje ya nchi zao Samora ni mfano Mseveni pia nk nk walikuwa hapa Tanzania na kwingineko LAKINI waliweka pressure mpaka Mreno akaondoka shida ni kwamba hakuna somo la historia ya waliokomboa nchi zao ili kizazi hiki kijue tumetoka wapi tuko wapi na tunaelekea wapi ukikosolewa unajifunza unajitambua unakubali unabadilika unaleta mtazamo chanya wenye kuonyesha njia hongera kwa kuwa mvumilivu kwa kutojibu kwa matusi

  • @michaelmasalago5397
    @michaelmasalago5397 Před 4 lety +1

    WEWE MCHOZI LAKINI UZURI SASA HIVI SERIKALI YA MAGUFURI INACHAPA KAZI TU HAINA POROJOPOROJO MLIZOZIZOEA. Mshamba mwenyewe

  • @morefireministrychurch177

    Pumbu mtu mzima ovyo ujinga na uzee ndio tatizo lako

    • @malingazeboss9351
      @malingazeboss9351 Před 3 lety +1

      Huyu yopo sahihi but wewe kwakuwa unafirwa ndomana huna uwezo wakufikiri

  • @stanslausangelus8714
    @stanslausangelus8714 Před 5 lety +1

    Ningeshangaa kama WATU kama wewe wangekosekana katika jamii mpo lkn mwisho ubaya in AIBU tu!

  • @eligiuselias4469
    @eligiuselias4469 Před 5 lety +4

    Mtaongea itafika hatua mtanyamaza tu😯😯

  • @georgemageta6277
    @georgemageta6277 Před 5 lety

    Wewe jinga tu moja huna kazi za kufanya

  • @peterjohn1969
    @peterjohn1969 Před 5 lety +7

    Wewe ongea tuu mdomo siwakwako ataulipii kodi wala uweki luku

    • @evansmlalo4049
      @evansmlalo4049 Před 5 lety +2

      Kosoa sana unaruhusiwa. Mbona Musiba anatukana watu hovyo. Mimi nasema kesi za kuishitaki Serekali bado ndio zimeanza na bado kesi za kumshitaki Magufuli mwenyewe. Anamlipa Musiba mamilioni atukane watu na kuwachafua huku akimfanyia kampeni. Ndege zimenunuliwa kwa fedha za watu waliofilisiwa. Kila mmoja afungue kesi popote Duniani kudai fedha zake. Musiba ni mjinga fulani tu. Bila kuacha hiyo tabia yake kesi zitajaa kote kuidai Serekali ya anayejiita Magufuli.

    • @peterjohn1969
      @peterjohn1969 Před 5 lety

      @@evansmlalo4049 una maana yoyote wewe katika nchi ii wewe umelaaniwa namimi sikuzote zamaisha yako apa nduniani utokuja kupata akili wewe na uzaowako milele mtakua watumwa atakizazi cha3 na cha4 kwakua unaadabu na watanzania.

    • @bigowillythomaskayanda7763
      @bigowillythomaskayanda7763 Před 4 lety

      @@evansmlalo4049 ,, Musiba amemtukana nani bro,, !!?

  • @butungo1
    @butungo1 Před 5 lety +1

    Nadhani sipendi kukusikiliza tena

  • @hamismasoud8306
    @hamismasoud8306 Před 5 lety

    Wewe ni mtumwa mbwa wa wazungu huko 😎😎

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 Před 5 lety +2

    Mshamba huyu!!!!

    • @malingazeboss9351
      @malingazeboss9351 Před 3 lety

      Huyu Yuko sahihi bahna but tunatakiwa kujua serikari ya tz niyakishamba haiwezekani ufanye unavyotaka wakati katiba ipo

  • @petermwacha9909
    @petermwacha9909 Před 5 lety +2

    Kwani ulizuiliwa kukosoa ukiwa huku we mpumbavu?

  • @charlesmpemba9387
    @charlesmpemba9387 Před 5 lety

    We pia mshamba.

  • @HASASON
    @HASASON Před 5 lety

    Hahaha Ona sasa unavyoishi maisha ya taabu na upweke, huna rafiki huna ndugu huko huna uhuru uliodai Tanzania haikupi, matokeo yake unaishi kama bundi mwenyewe huku ukifanya kazi ya kitumwa kuihujumu taifa lako, wewe, kibendera lissu, wale makatibu wa ccm na mahaini mengine mtakufa vifo vibaya sana sababu ya kuihujumu Tanzania na chaguo la Mungu JPM, na hiyo ni bado mtapitia wakati mgumu sana sababu uhaini hauna mafao bali aibu maisha yote

  • @bathromeobalisimula7166
    @bathromeobalisimula7166 Před 5 lety +7

    Fala we. Miaka 20 Kama mtz ulikuwa wap? Ovyoooo....

    • @jamesrobare522
      @jamesrobare522 Před 5 lety

      Pumbavu zako mbwa Koko CCM jiwe kwani lazima awe kwenye praise and worship team ya jiwe!km umechukia it's simple meza tikiti maji.

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 Před 5 lety +1

    Kama hakuna mtu wa kukuzuia, njoo useme huku,,,,,!!!!!

  • @eaglecrown3872
    @eaglecrown3872 Před 5 lety +4

    rudi nyumbani kumenoga bro.

  • @missmwayway4704
    @missmwayway4704 Před 3 lety

    🤔🤔🤔kwani hili ndo nani tena Jamaniii mbona silijui

    • @ezekielmabwai482
      @ezekielmabwai482 Před 5 měsíci

      Wewemissmwauluway kwamba huyu mwamba humjui, basi hata UCHI wako huuju Shenzi Pumbavu Kabisa!

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před 4 lety

    Ww mwandish uchwara njoo uone tunavyolisongesha nyani jike ww

  • @robisonikadogo7371
    @robisonikadogo7371 Před rokem

    Anae kuzomea uyo atazomewa na ulimwengu

  • @HappnessYohanaRohongo

    😏😏

  • @tatusaid1223
    @tatusaid1223 Před 5 lety +6

    mkia hautikis ng'ombe

  • @deogratiashaule5224
    @deogratiashaule5224 Před 5 lety +1

    the most hopeless creature.mnayoyakusudia hamtafanikiwa.mlikwishashindwa kabla hamjaanza.wakala wa wasioitakia mema Tanzania.aibuuuuu.

  • @lutufyojason2598
    @lutufyojason2598 Před 5 lety +2

    Proud of you gentleman!

  • @jeromeruhele3059
    @jeromeruhele3059 Před 5 lety +1

    We ni kibaraka tu huna lolote

  • @salmaothuman4799
    @salmaothuman4799 Před 5 lety

    Senge hili zee mxuiiiiiiiii

  • @gilberthndakidemi7358
    @gilberthndakidemi7358 Před 5 lety +8

    Mshamba mwenyewe shoga wew hata ukirejea tz ufunuliwe uchunguzwe kijeshi

    • @sir.josephmbeya7017
      @sir.josephmbeya7017 Před 5 lety

      Gilberth Ndakidemi .Wewe ni mkubwa wa hao Mashoga.

    • @suleimamhamad116
      @suleimamhamad116 Před 5 lety +2

      Hata wewe Ni mshamba mkubwa zaidi na uso huruma Wala ubinaadamu, munataka kuiharibu Tanzania kuwa Ruanda . Mushindwe kabisa Mungu awalani ndio musiojulikana nyie sasa munajulikana mmoja mmoja.

  • @msongeomary6195
    @msongeomary6195 Před 4 lety +2

    Huna lolote mpumbafu na ndevu zako njoo sasa fanya kazi acha mzee awanyoshe wanao mnyoshea kidole huna lolo Njoo nchi uongee hizo pumba zako mtuwa we

  • @godloveadamu4379
    @godloveadamu4379 Před 5 lety +1

    Ukisoma comments hizi,utajua Tanzania hii ya sasa co ya kale.wala hatukusikiiiiiiiii

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před 5 lety

      Nazipenda kama nini! Endeleni kushindilia. Ongezeni matusi. Nayo sehemu ya uhuru wa kujieleza tunayotetea, na kila mtu hufanana na kile kinachomtoka.

    • @Kwelihukuwekahuru
      @Kwelihukuwekahuru Před 8 měsíci

      Sema humsikii usisemee mwingine

  • @kenedrocky5964
    @kenedrocky5964 Před 2 lety

    KWELI KABISA NDG YANGU.

  • @almasjuma4194
    @almasjuma4194 Před 4 lety

    Wewe nimpuuzi hufai

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 Před 3 lety

    MAKUFULI HUYO NDIO ANAVYO FUNGA FUNGA

  • @dicksonmajaliwa3296
    @dicksonmajaliwa3296 Před 5 lety +1

    Good msema kweli hapendwi sema yaukweli usiweke yauongo mungu yu nyuma yako

  • @marafundujenzi4315
    @marafundujenzi4315 Před 5 lety

    Huna maneno kafiee mbele pumbavu

  • @emanuelgaddafi7651
    @emanuelgaddafi7651 Před 5 lety +5

    Hovyooooooo kibaraka weye

  • @anthonynsojo7169
    @anthonynsojo7169 Před 5 lety +9

    Mimi nilikuwa nasoma saana makala zako tangu enzi hizo na nilizipenda kwa kudhani ulikuwa unaandika kwa kumaanisha. Nimepata mashaka kama kweli ulikuwa ukimaanisha uliyokuwa ukiyaandika baada ya ujio wa RAIS Magu.
    Rais JPM ameaddress mapungufu mengi saana ya serikali zilizomtangulia. Amehuisha matumaini ya wanyonge wengi saana ambao hapo awali walijua haki zinapatikana kwa wenye fedha na nafasi fulani kwenye serikali au chama tawala tu.
    Chini ya JPM hakuna mtu anaweza kumtishia mtanzania yeyote kwa sababu ya utajiri wake, cheo chake, au kujuana kwake na fulani.
    Na kiukweli waathirika wakubwa wamekuwa ni wanaCCM waliokuwa wakifaidika na mfumo uliokuwa unawapendelea na kuwapa fursa za kufisidi Nchi.
    Ni dhahiri kama binadamu anaweza kabisa akawa na mapungufu yake, lakini kwa mpinzani honest kabisa atakiri kuwa JPM anafanya kazi nzuri saaana kwa nchi yetu.
    Pengine utakaporudi utakuja kukiri utakapojionea kazi ya JPM.

    • @machaggechacha3422
      @machaggechacha3422 Před 5 lety

      Anthony Nsojo Huyo msaliti na mwizi hawezi akarudi TZ. Akithubutu kurudi tu atawekewa bangili mikononi na kusukumwa ndani. Usishangae!

    • @bonnyngowo7567
      @bonnyngowo7567 Před 3 lety +1

      Demokrasia,mauaji ya kiholela,utawala bora n.k??????

    • @lazarojohn6762
      @lazarojohn6762 Před rokem +1

      Uhai wa mtu unadhamana kubwa sana kuliko mibarabara yenu na vidaraja vyenu

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd Před 6 měsíci

      MAGU ALIJUWA KULA NA VIPOFU (HAO WANAOMSIFU SIFU KAMA MAZUZU.) MNAIKUMBUKA HOTUBA YA MWAL. NYERERE YA MEI MOSI 1995 JIJINI MBEYA? KTK HOTUBA ILE ALITOA MFANO MMOJA WA TAPELI: ALISEMA ANAWEZA KUJA TAPELI, ANA ALMASI BANDIA IKO NDANI YA KICHUPA INANG'AA KAMA ALMASI HALISI NA WEWE UNAYO ALMASI HALISI LAKINI HAING'AI HALAFU TAPELI ANAKUAMBIA ALMASI YAKE NDIYO HALISI YA KWAKO NI BANDIA ANAKUAMBIA CHUKUWA YAKE UMPE YAKO NA WEWE UNAMPA YAKO HUKU UKISHANGILIA KAMA ZUZU!!! HAKIKA MFANO ULE AMBAO MIMI NAUITA UNABII WA MWAL. WA MEI MOSI 1995 ULITIMIA 2015 TUKAMPATA TAPELI!!!! NAJUWA ZUZU HAWEZI KUKUBALIANA NAMI, LAKINI NAKUHAKIKISHIA KUWA UKIFANYA JAMBO JEMA SANA LAKINI HUKU UKIKUSUDIA JAMBO OVU NDANI YAKE NI SIFURI!!! WAJINGA WENGI HUDHANI KUWA AKIDHILUMU(AKIIBA) HALAFU AKAJENGA NYUMBA YA IBADA MSIKITI AU KANISA ATAPATA DHAWABU, LAHASHA, ILA JEHANUM INAMSUBIRI KWA UWIZI WAKE!!! NI KWAMBA UKITENDA JEMA KIASI GANI KWA KUVUNJA SHERIA JAMBO HILO HUWA NI BATILI. HUYU MNAYEMSIFU KWA MAENDELEO NA KUPITIA MAENDELEO HAYO ALIJINUFAISHA BINAFSI KWA KUZITUPILIA MBALI KABISA SHERIA ZA MANUNUZI AMBAZO NI MAALUMU KUDHIBITI UBADHIRIFU!! KAMA SI ZUZU NAWEZAJE KUMSIFU MTU ANAYE JENGA DARAJA I KWA GHARAMA YA MADARAJA 2 KWA MFANO? HAPA KAZI HUYU ALISIMAMA JUKWANI NA KUTUAMBIA KUWA DUNIANI KOTE HAWANUNUI NDEGE KWA TASLIMU (CASH) YEYE ANANUNUA KWA TASLIM HOJA NI PESA IPO WAKATI HUKU MTU HUYU HUYU ANAKOPA FEDHA KWA SIRI NA HIYO ILIKUWA NDIYO SABABU YA KUTHIBITI VYOMBO VYA HABARI NCHINI ILI VISIANDIKE MAOVU YAKE KAMA HAYO!!! MSISAHAU ILI UPATE TENI PA SENTI LAZIMA UNUNUE CASH HAPA DHAHIRI KILICHOKUWA KINAKUSUDIWA NI KUJIPATIA TEN PER CENT HUKU AKIJUWA ANALIUMIZA TAIFA MASIKINI KWA MANUFAA YAKE BINAFSI LAKINI MAZUZU WALIKUWA WAMEKODOREA MACHO KASI YA MAENDELEO WAEREVU WAKISHUHUDIA KASI YA UBADHIRIFU WA KUTISHA PAMOJA NA MAISHA YA AKINA ANSIBERT NGURUMO KUWA HATARINI KWA SABABU YA KUUPIGIA KELELE UOVU WA MTU YULE TAPELI WA KUTISHA!!! OGOPA KUMPENDA MTU KULIKO MUNGU.

  • @amenyekibona8730
    @amenyekibona8730 Před 5 lety +1

    vipi familiya yako umehama nayo ama umeitelekeza,,, brother kuwa na aibu ughaibuni siyo peponi. ulaya wamechoshwa na wakimbizi like You

  • @bahatidamiani8546
    @bahatidamiani8546 Před 4 lety

    Kaombewe mwehu wewe , kakosoe mkeo , kwanza were si mzalendo, nyoaa midevuuu

  • @hassansamata9696
    @hassansamata9696 Před 5 lety +5

    I love Tz..umekosa radhi yawazazi wako ndio maana umekua chizi

  • @ummykapera4660
    @ummykapera4660 Před 4 lety +3

    kweli mshamba ni wewe;njoo tukuchague wewe bac fara wewe;unasaidia nini?

  • @princebashaijarwazo622
    @princebashaijarwazo622 Před 5 lety +1

    Nadhani ni vema kukosoa maoni kwa hoja badala ya matusi, tuepuke fallacy wapendwa, hoja ni je yanayosemwa na mhariri yapo na yanatokea au ameyatunga hayapo nchini hapa?!!!

    • @Kwelihukuwekahuru
      @Kwelihukuwekahuru Před 8 měsíci

      Una akili hekima busara na ufahamu ukiona mtu anayetoa matusi tena machafu ujue kuanzia malezi yake ni ya kutukana vinginevyo unamjibu mtoa hoja kwa kutoa mwelekeo na kukanusha maelezo yako kwa hoja na mifano matusi hutolewa na wasioelimika

  • @maulidhijja8998
    @maulidhijja8998 Před 5 lety +5

    Bro ayo unayosema ni zilipendwa si zama hizi za mjomba Magu!!

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 Před 5 lety +1

    Wewe ni mnafiki na wazungu wameshachoka wakimbizi kwenye nchi zao ipo siku utarudishwa!

  • @bahishaalexander3641
    @bahishaalexander3641 Před 5 lety +4

    Hivi Huyu mnamuelewa kweli? Eti anasema kazi yake ni kukosoa Maraisi, halafu Mbona Kama unaropoka vitu ambavyo vinatudhalilisha Kama taifa, halafu ukamwangalia kwa umakini anaonekana Kama mmbea mmbea tangu utotoni mwake, na hii itawezekana ikawa ni madhara ya mtoto kuwa karibu Sana na mama kuliko baba, mala nyingi wanakuwa na vitabia vya umbea umbea Kama Huyu mwandishi, maneno yake yanaonyesha ana tabia ya kebehi iliyopitiliza, unajua kukosoa siyo tatizo, tatizo ni namna unavyowasilisha ukosowaji katika mamlaka za juu. Ukosoaji ni lazima uendane na uungwana, staha, uzalendo na heshima Kama ilivyo desturi ya watanzania.

    • @alfredlimu308
      @alfredlimu308 Před 5 lety

      Huyu hafai kwa lolote kwa nchi kama Tanzania na huko alipo analipwa na waajiri wake

  • @msilunguilunguotobisotobis4748

    Mjinga wewe bwabwa tu

  • @josephdogani3419
    @josephdogani3419 Před 4 lety +1

    ukosefu wa elimu ,uwezo mdogo wa kufikili na kupambanua mambo ,uduni wa akili na I q ndogo in chanzo kikubwa cha komenti nyingi za kumpinga na kumzodoa mwandishi anayezungumza.nasikitika sana kusema kuwa watu wenye ufahamu wa panzi na wasiojua tulipo na tunapoelekea hukosoa na kukashfu watu wenye busara.

  • @raphaelsamwel2640
    @raphaelsamwel2640 Před 5 lety +1

    Waekewa tunakuelewa sana!! Washamba na mafara ndo wanashangili upuuzi!! Hata nyerer angekuwepo asingechekelea ujinga ktk uongoz was nchi!!!

    • @hassanmirambo564
      @hassanmirambo564 Před 5 lety +1

      RAPHAEL SAMWEL mwambie akutafutie basha huko alipo ili umfuate na wewe

  • @ericrukamba6802
    @ericrukamba6802 Před 5 lety +4

    Wewe kaa huko huko usirudi tena Tz , hamna anayekuzuia kuongea pumba mdomo ni wakwako fanya unavyo tako lakini iko siku utapatikana usifikili huko uliko ni mbinguni hakufikiki mjinga mkubwa.

  • @HASASON
    @HASASON Před 5 lety

    Mpumbavu mkubwa wewe usie na akili, hoji na hiyo serikali iliyokuhonga au wenyewe hawana la kukosoa? Mshamba mkubwa wewe kuuza utu wako sababu ya njaa zako

  • @gerazijjemba1186
    @gerazijjemba1186 Před 4 lety

    ill.litakua.shoga

  • @collethazamuna4616
    @collethazamuna4616 Před 5 lety +5

    wanao kushanga ni wenye akili si wajinga tuko poa

  • @papadimayo1chanel.747
    @papadimayo1chanel.747 Před 5 lety

    Hakuna swali la kijinga bali kuna majibu ya kijinga. Unapaswa kujibu Kwa hekima siyo kutukana.

  • @naimasuleiman5334
    @naimasuleiman5334 Před 5 lety +7

    TUNAKUSHANGAA SAANA MJINGA MWENYEWE

  • @mtengulerashid7868
    @mtengulerashid7868 Před 5 lety +5

    Kama kweli.wewe umekwenda jando na unajiamini rudi hapa tz tuone jeuri.yako

  • @andrewmsungu2535
    @andrewmsungu2535 Před 5 lety +2

    Kumbe kukosoa nako ni kazi? Duuuhhhh tafuta kazi nyingine kaka sisi tuache tuchape kazi uungwana ni vitendo

  • @mandegoro9322
    @mandegoro9322 Před 5 lety +4

    Ww kaa hukohuko paka shume. Ww ni kibaraka wa mabeberu.