MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA INYONGA MKOANI KATAVI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 07. 2024
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akiwasalimia na Wananchi wa Inyonga mkoani Katavi, ikiwa ni sehemu ya ziara yake leo tarehe 13 Julai, 2024.

Komentáře • 7

  • @kuntaalkinte5415
    @kuntaalkinte5415 Před 24 dny

    Hongera mama❤

  • @user-xy2hf5pl5y
    @user-xy2hf5pl5y Před 25 dny

    Mh mkuu wa nchi tunapenda kukujulisha hapa muleba umeme unazima Kila siku mpaka sisi wakereketwa tunashindwa kujibu hoja tusaidie mama

  • @YangaNews
    @YangaNews Před 25 dny

    Mama hamna kitu

  • @stefanomasolwa8979
    @stefanomasolwa8979 Před 25 dny

    Hahaha nacheka ya huzuni kweli yani Samia kwenye inchi za wenyewe anawapatiya Wanaume Mikono sasa kwenye inchi yake ya Tanzania anawanyima Mikono hahahahah twangaliye Mbaliiiiiiiiii

  • @AntonyIbrahim-d2w
    @AntonyIbrahim-d2w Před 25 dny +1

    Ndoo nini????