MCHUNGAJI HANANJA Afunguka kuhusu wachungaji wanaotabiri vifo

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 02. 2024

Komentáře • 28

  • @edwardkamau8804
    @edwardkamau8804 Před 4 měsíci +1

    AM A GREAT FAN OF MCHUNGAJI HANANJA..HE IS ALWAYS ON POINT AND MOSTLY STRAIGHT 👌 TO THE POINT

  • @user-jt1ex9if6f
    @user-jt1ex9if6f Před 3 měsíci

    Nakukubali sana Ananja unachosema ni kweli kabisa mchungaji.

  • @melkizedekwiliam-hi7bz
    @melkizedekwiliam-hi7bz Před 4 měsíci +1

    Sawa sawa mchungaj. Mm nawashangaa sanahawa watabir wa vifo vya watu. Hv! Lengo lao ni nin hasa? Yaan! Kifo cha Lowasa manabii baadh walisema tulitabir!! Najiuliza mbona visipotokea hawasemi tulitabir? Mungu anapoonyesha hatar lengo tuimbe lisitokee. Mbona likitokea manabii baadh wanafuhia?

  • @mburuumbe5659
    @mburuumbe5659 Před 4 měsíci +1

    Jiooooooni sio mbaya baba wewe mwenyewe unasema uzoefu ni elimu so nadhani muda uliopita mchana ilikuwa muda wa kupata uzoefu unaoshea na sisi leo lakini pia hata mapito yako unayosimulia yanatia moyo kwamba kumbe ukiamua kubadilika inawezekana na hakuna kukata tamaa maisha ni hatua kwa hatua upande ujana uote uzee daaah Yan mie napata nguvu sana ya kusonga mbele kupitia wewe ubarikiwe baba

  • @user-ox2iu7rm7e
    @user-ox2iu7rm7e Před 4 měsíci

    Mungu akuongoze katika njia tá Haji

  • @minanikafugugu6035
    @minanikafugugu6035 Před 5 měsíci +2

    Nakukubali sana baba

  • @charleskaponya6063
    @charleskaponya6063 Před 4 měsíci +1

    Mungu akusimamie. Mzee wa kusema ukweli. Mchungaji, ni wajinga tu ndo wanaokuchukia. Usiwajali chapa kazi.

  • @benjaminmartin4548
    @benjaminmartin4548 Před 4 měsíci +2

    Tunakusubiri United kingdom

  • @jomba6514
    @jomba6514 Před 4 měsíci +1

    Mchungaji umeongea ukweli kabisa

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 Před 4 měsíci

    🔥 moto, kimbunga, tofali😂😂😂.

  • @user-iz3ux3nn8n
    @user-iz3ux3nn8n Před 4 měsíci

    Uyuuu mzee apewe Mai yake tu

  • @coolpara8192
    @coolpara8192 Před 4 měsíci

    Anayosema mengi nakukubali lkn kuwa mkweli dini ya haki ni ipi kwa wakati huu

  • @jameskilowoko7153
    @jameskilowoko7153 Před 4 měsíci

    ,❤

  • @bosssyedmund8785
    @bosssyedmund8785 Před 4 měsíci

    TOFALI😂😂😂😂😂🙌🏿

  • @jacksonbayyo2937
    @jacksonbayyo2937 Před 5 měsíci

    Ni kweli

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 Před 5 měsíci

    🤣🤣🤣🤣🤣👈👉🙌 points 👉 👈 silimu

  • @jesuspower2390
    @jesuspower2390 Před 4 měsíci

    wewe babu ni mnafiki

  • @jesuspower2390
    @jesuspower2390 Před 4 měsíci

    Halafu tuonyeshe cheti cha kuzaliwa eti una miaka 60 ahahahahah we una 78 + si uhamie msikitini hujalazimishwa kuwa mkristo.

    • @zebedayokatamaduni9676
      @zebedayokatamaduni9676 Před 4 měsíci +1

      Mbona unapaniki vip

    • @rauhiaomar977
      @rauhiaomar977 Před 4 měsíci

      Hananja wala ata hana muda na comment yako unajisumbua bure, keshasema si lazima kumskiliza. Mnapendag sana matusi

    • @emanuelleopod3949
      @emanuelleopod3949 Před 4 měsíci +1

      Mla sadaka nakuona tu umehumuka baada ya kupigwa na nondo

    • @zebedayokatamaduni9676
      @zebedayokatamaduni9676 Před 4 měsíci

      Mtu asiye mjua Kristo utamjua tu
      Kwa maneno yake na matendo yake.
      Emmanueli bado hujamjua Kristo bado ,Jifunze Neno la Mungu ili ukue

  • @jesuspower2390
    @jesuspower2390 Před 4 měsíci

    Kuhusu sadaka wewe mwenyewe unaanza kusafiri sasa hivi kwa ajili ya sadaka , unapenda kuongelea wenzako... kama ukristo hujauelewa na uzee wako huo una Matatizo.. kama ulizaliwa kwa mchanganyiko sio shida zetu ni shida za njaa zako .

    • @shaibumbwilo9938
      @shaibumbwilo9938 Před 4 měsíci +1

      @jesuspower2390,vipi unatesekea wapi,inaonesha anakukera eeeh😂.relax

    • @user-gq2zr6mm7t
      @user-gq2zr6mm7t Před 4 měsíci

      Mchungaji Hananja kasema UKWELI MCHUNGU. Wakristo wote bado hatujauelewa Ukristo kwa undani. Hata hawa wanaoitwa PAPA (BABA MTAKATIFU WA ROMA), WACHUNGAJI,WAENJILISTI,MITUME,MANABII, WAALIMU WA BIBLIA, ni kama wanafunzi wa chekechea kwenye KIKRISTO, kubali usikubali Habari ndiyo hiyo.

    • @user-nv7sf2iu2v
      @user-nv7sf2iu2v Před 2 měsíci

      Acha wivu Sasa ukifikisha umri wa hananja SI utakuwa mchawi kabisa wewe

    • @IsraeiMwankwasya
      @IsraeiMwankwasya Před 2 měsíci

      Binadamu jamani wabaya sana mchungaji hana baya