HALI ILIVYOKUWA BUNGENI JPM AKIWASILI/ GWARIDE LAPIGWA/HELIKOPTA ZIKITANDA ENEO LA BUNGE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 06. 2020

Komentáře • 44

  • @mako331
    @mako331 Před 4 lety +5

    Magufuli has changed Tanzania in so many ways. A true Leader. We pray for you our President

  • @jacksonmkwashapi3872
    @jacksonmkwashapi3872 Před 4 lety +4

    I love you mama Tanzania. .may the Lord expand your boundaries in all aspects. Viva my president Dr JPM

  • @husnahassan6289
    @husnahassan6289 Před 4 lety +9

    Alhamdulillah Allah kareem siku zote GOD BLESS U RAIS WETU JPM AMEEN

  • @godifreypaul9409
    @godifreypaul9409 Před 4 lety +9

    Hili ni jeshi tu,la Rais.Watu macho yote kwao,sasa,kuna jeshi la mbinguni,sijui itakuwaje siku hiyo.Hongera JPM.Tumenyooka.

  • @HASASON
    @HASASON Před 4 lety +6

    Vivaa JPM
    Vivaa Tanzania 👍🇹🇿

  • @edwardsamson7951
    @edwardsamson7951 Před 4 lety +2

    Hakuna Kitu kinanipa Hisia kali Kama NATIONAL ANTHEM ani nikiusikiaga huo Wimbo huwa Nafeel Utanzania wangu mpaka kwenye Blood Vessels.
    Mungu Ibariki Tanzania,
    Mungu Ibariki Afrika..

  • @kelvinjohn6851
    @kelvinjohn6851 Před 4 lety +14

    Huyu ndiye kiongozi wetu mpendwa was Taifa letu la Tanzania. Nae ni Dkt. John Pombe Joseph Magufuli

  • @salimzaidi9203
    @salimzaidi9203 Před 4 lety +8

    MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU MMBARIKI RAIS WETU MPENDWA

  • @gracejohn886
    @gracejohn886 Před 4 lety +5

    Leo nchi ipo idodomia heko Rais wetu naiona Tanzania mpyaaaa 🇹🇿

  • @franciskwaslema412
    @franciskwaslema412 Před 4 lety +6

    Huyo cameraman anamakusudi sana. Eti anamvuta yule mrembo 😂😂😂

  • @martinignasious
    @martinignasious Před 4 lety +2

    Mwangos ssp we love you

  • @einorthmollel8636
    @einorthmollel8636 Před 4 lety

    Viva le Great Tanzanian President Dr. John Joseph Pombe Magufuli. Your the most peculiar genius President ever to be in a millennium ago. Watanzania wazalendo na wasema kweli wenye kuona uliyoyafanya tuko nyuma yako... Mungu akutunze na akulinde kwa faida ya wanyonge.. We love youuuuuu

  • @gwamakahumphrey754
    @gwamakahumphrey754 Před 4 lety +1

    Ssp Mwangosi daaaa nice!💪

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 Před 4 lety +7

    MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU MBARIKI RAIS WETU NA UMLINDE RAIS WETU SIKU ZOTE inshaalah

  • @amoucierpoul904
    @amoucierpoul904 Před 4 lety +2

    Mr presida be blessed
    indeed

  • @amanibwire4423
    @amanibwire4423 Před 4 lety +2

    Raha ya paredy wanaoifaham ni watazamaji ila inakufanya uringe ukiwa unatembea isee heko vijana

  • @alexanderedimundi8213
    @alexanderedimundi8213 Před 4 lety +4

    Remind me of my days 😂😂

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před 4 lety +3

    Simba wa nyika Magufuli baba lao

  • @shozylamparboom8393
    @shozylamparboom8393 Před 4 lety +9

    Hawa wajomba walonyuka Vyutii wanavotoa maelezoo nimewaelewaaa... Afu kuna mmoja nimemuona hapo anajifanyaga hana kazi anauzaga Matundaa Mtaani kweetyuu daaah maisha hayaaa

  • @iddisheshambo9944
    @iddisheshambo9944 Před 4 lety +3

    Good job makamanda wetu

  • @lucasmhagama8166
    @lucasmhagama8166 Před 4 lety +1

    0:41 kuna wamama wanacheza wimbo wa band ya Polisi 😀😀😀

  • @asiaokelay8421
    @asiaokelay8421 Před 4 lety +2

    Masha Allah

  • @davidlevy6398
    @davidlevy6398 Před rokem

    mungu alimpenda atumkie mbinguni.

  • @elineemamsuya8057
    @elineemamsuya8057 Před 4 lety

    Nimeona wp hapo daaa safi sana

  • @neemahamisi4302
    @neemahamisi4302 Před 4 lety +2

    J P M anaingia

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Před 4 lety +3

    Wataweza kweéeeeeliii

  • @friminrogasian6159
    @friminrogasian6159 Před 4 lety +2

    Mr.president

  • @safmagumwageni2559
    @safmagumwageni2559 Před 3 lety

    Duuh wa makelele wamsha potea

  • @edwardmhadisa7972
    @edwardmhadisa7972 Před 4 lety +1

    Kamaulaya yan

  • @delvojr5034
    @delvojr5034 Před 4 lety +1

    🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @williamsongolo4217
    @williamsongolo4217 Před 4 lety

    Hicho kimlio cha bendi tu no hatar

  • @afrikanslooktz224
    @afrikanslooktz224 Před 4 lety

    Gwaride safi kabisaaa, Ila pia ujue ukiwa na mtaji mdogo na hujui ufanye biashara gani
    ikutoe njoo upate mbinu mbalimbali kujikwamua kiuchumi, Karibu sana sana
    Follow me insta @mapishi_zona @mapishi_zona

  • @rinovarthiliwi1314
    @rinovarthiliwi1314 Před 4 lety

    Hakuna lolote kama anapedwa sana mbona ulinzi mara tatu ya ulinzi wa Mwinyi, Mkapa, na Kikwete. Watu hawajionyeshi maana ukijulikana Tanzania humpendi Magufuli lazima akuue tu kwa kuwatumia Polisi. Katika Rais hapedwi kabisa Tanzania ni Magufuli na kama hamuamini mwaka huu inabidi CCM waibe kura kuliko Mwaka 2015. Sababu kubwa zinamfanya asipendwe kabisa ni hizi zifuatazo. Kwanza aliwafukuza wafanyakazi 15,008 bila kuwalipa stahiki zao. Pili aliwatumbua wakuu mbali mbali wa nchi kwa visingizio mbali mbali. Tatu aliwafilisi Matajiri wengi sana ambao walilazimika kufukuza pia wafanyakazi wao. Nnne alikamata fedha za watu walizokuwa wamewekeza kwenye maduka ya kubadili fedha za kigeni. Hawa wote pamoja na familia zao, Wafanyakazi wao, na Marafiki zao hawatampigia kura Magufuli. Lazima CCM mjipange sana kuiba kura vinginevyo Magufuli hapiti uchaguzi mkuu 2020. Anao viongozi wa upinzani wenye sifa sana akiwepo Mbatia, Tundu Lisu, na pengine Nyalandu. Wapinzani wote hawa wanajua sana madhaifu ya Magufuli tangia akiwa Waziri wa ujenzi kwa miaka 20. Magufuli amefanya manunuzi na baadhi ya Mikataba ya ujenzi bila kuhusicha Bunge. Hapa kuna upotevu mkubwa sana wa fedha na ndio maana unamkuta kwenye misafara yake anazo fedha kwenye mikoba za kuwapa hovyo Watanzania wanaomlilia shida. Hizi fedha anazowapa watu zinaandikwa wapi au mnataka kutudanganya kuwa ni fedha za mshahara wake. Hizi ni fedha za walipa kodi lazima zijulikane zinatoka kwenye Wizara ipi. Madhaifu yake yote yatawekwa hadharani na Wapinzani wakati wa Kampeni.

    • @arnoldluwibwakila3458
      @arnoldluwibwakila3458 Před 4 lety

      Kwa hiyo analindwa sana ili wapinzani wasilipize kisasi au? Umechemka ulikuwa unaingia na kutoka katika mada 3 tofauti be specific