RAIS DKT.MAGUFULI ASAFIRI KWA KUTUMIA NDEGE BOEING 787-8 DREAM LINER KUEKEA MWANZA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • Mapema leo asubuhi Mhe. Rais Magufuli amesafiri kwa ndege ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) aina ya Boeing 787-8 Dreamliner iliyonunuliwa na Serikali kwa lengo la kuimarisha shirika hilo, na akiwa ndani ya ndege abiria waliosafiri nae kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza wamemshangilia na kumpongeza kwa juhudi zake za kuifufua ATCL na wamemuombea dua

Komentáře • 69

  • @binurarassi8156
    @binurarassi8156 Před 6 lety +15

    Raha tupu humo ndani ya Ndege, hongera kwa waliomuombea Dua Rais wetu Magufuli, Ndio mjue kwamba Rais tumepata, Mungu amlinde Na kumzidishia hekima.

  • @dominicponsian4360
    @dominicponsian4360 Před 3 lety +18

    Tanzania is in tears
    Our hearts shall always cherish your life until forever ends

  • @safiaothman1098
    @safiaothman1098 Před 3 lety +12

    Alikuwa Kipenzi cha Watu, Mwenyezi Mungu akurehemu na kukuweka Mahali Pema Peponi Mh Magufuli, Aamiin.

  • @damianmakala2913
    @damianmakala2913 Před 3 lety +17

    Bado sijaona kama WEWE ! Bado Sana ! Pumzika kwa amani tu Rais wangu JPM

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Před rokem

      kafanya nini zaidi ambacho unaona hakuna mwingine wa kufananisha nae? kununua bombadire, reli ya kisiasa na bwawa la umeme??! kwani hayo yote kafanya pesa katoka mifukoni mwake? hizo pesa ni zetu watanzania wote ikiwemo wewe na hadi sasa katuachia madeni lukuki kutoka kwa aliowaita mabeberu tunalipa Polepole acha uchawa usio kuwa na maana kusifia mtu wakati uhalisia ni kwamba hizo ndege umenunua wewe na hayo maendleo yote umefanya wewe pamoja na watanzania wenzio wote pamoja na kuwa hizo bombadire watanzania walio wengi hawazipandi lkn kama angetuboreshea barabara za kiwango cha lami mpka vijijini maji na elimu bora tungepiga hatua kubwa ya maendeeo site kwa pamoja kuliko hivi sasa wachache ndio wananufaika

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 Před 3 lety +8

    Rahaa sana MUNGU iweke roho ya babayetu JPM peponi.mwanga wa milele umwangazie na raha za milele umpatie AMINA

  • @jongosalehe1036
    @jongosalehe1036 Před 2 lety +4

    Kwa kazi kazi 💯👍 kazi We miss you always JPM bulldozer Tanzania..

  • @leskarlmollelmollel4805
    @leskarlmollelmollel4805 Před rokem +5

    Ilikuwa mtu wa watu,mungu akuweke mahali pema peponi,🙏

  • @paulofesto4948
    @paulofesto4948 Před 6 lety +9

    Rais Jpm ni mtu wa watu hongera sana

  • @fredyphilimon38
    @fredyphilimon38 Před 3 lety +9

    Where are you Magufuli, we wil miss you sana, and we still crying of your absent,,,, RIP

  • @kijanaa
    @kijanaa Před 4 lety +5

    Vyema sana!. This is a definition of cutting costs!

  • @misbahukhalifa3216
    @misbahukhalifa3216 Před 2 lety +2

    President of Tanzania 🇹🇿 ❤ Magufuli no one like you

  • @saidseleman6004
    @saidseleman6004 Před 3 lety +4

    Dah mungu tulikosea wapi sisi watanzania

  • @dannykyungay6527
    @dannykyungay6527 Před 6 lety +5

    Raha sana kusalimiwa na Rais

  • @afropatriot7769
    @afropatriot7769 Před 3 lety +4

    This is why we cry

  • @bennyframa4505
    @bennyframa4505 Před rokem +2

    Heart Warming

  • @meshacknyandongo577
    @meshacknyandongo577 Před rokem +2

    Hadi unaskia mwili unasisimka alikua kiongozi jasiri mzalendo alithamini wananchi wake

  • @mohameddias5536
    @mohameddias5536 Před 5 lety +3

    I love this president

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 Před rokem +1

    Mwenyezi MUNGU akuweke mahali pema peponi. JPM ulikuwa mtu wa watu sana 😭😭😭😭😭

  • @ernestsinje8693
    @ernestsinje8693 Před 4 lety +2

    TANZANIA IN LOVE

  • @andrewkazungu6542
    @andrewkazungu6542 Před rokem +1

    Nice.

  • @mustaphawelder7022
    @mustaphawelder7022 Před rokem +3

    Naamini huko uliko unawaongoza malaika polepole, yaan Kila mtu alikuwa anampenda, R I P uncle

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Před rokem +1

    Hvi ndege zetu zipo wapii arzo nunua RAIS wetu magufuli mbo na hata angani hatuzioni au wameuza,,

  • @katemachanda7035
    @katemachanda7035 Před 3 lety +1

    Love you mzee...

  • @MultiHeriel
    @MultiHeriel Před 6 lety +1

    Brilliant

  • @bahatimohamedi8950
    @bahatimohamedi8950 Před 4 lety +2

    Magufuli kanyanga twende 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @bahatimohamedi8950
    @bahatimohamedi8950 Před 4 lety +1

    Magufuli baba laoooooooooo 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @st99ngeni35
    @st99ngeni35 Před 6 lety +1

    Safi sanaaaaa.

  • @africanchocolate4216
    @africanchocolate4216 Před 4 lety +3

    Hata Raisi wa Ethiopia 🇪🇹 alisha wahi kusafiri na ndege ya abiria ya “Ethiopian Airline”, na abiria hawaku amini , wali shangaa sana!

  • @jamesngundateresia2600
    @jamesngundateresia2600 Před 6 lety +5

    DUDE KUBWAA LAKINI LIMEJAA KWELI MAGU UNA NYOTA SANA

    • @AbrahBuraheze
      @AbrahBuraheze Před 2 měsíci

      upendo ndio kila kitu kwenye hi dunia ishi na wtu wa khali ya chini ndio wenye mapenzi ya dhati

  • @neemajulius1256
    @neemajulius1256 Před rokem

    Nitakumbuka daima

  • @geraldmakalala6091
    @geraldmakalala6091 Před rokem +1

    Magufuli alipendwa Sana na watanzania asimia 90

  • @lusatomichael7973
    @lusatomichael7973 Před 2 lety

    My president

  • @moi_tz_999
    @moi_tz_999 Před 6 lety

    Good Sir

  • @barakarobert1029
    @barakarobert1029 Před 2 lety +1

    Rip daddy

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 Před 2 lety

    Safi sana

  • @yahayamaulana1561
    @yahayamaulana1561 Před 2 lety +1

    Mafisadi sasa yanafurahisana kuondoka kwako uliyekua unaukemea ufisadi tenasasa wanazidi kujaza vituo vyakujaza mafuta yalemafisadi

  • @damianmakala2913
    @damianmakala2913 Před 3 lety +1

    Sijaona kama JPM bado Sana sijaona Hata aliefikia robo ya JPM bado !

  • @dorismwenda7646
    @dorismwenda7646 Před rokem

    magufuli lala salama mwendo umeumaliza. rip our beloved president

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 Před 3 lety +2

    Nimeshindwa kuyazuia machozi kwa video hii.

  • @jalimpanga9315
    @jalimpanga9315 Před 2 lety

    Hadi laha jaman

  • @mawazoselemani614
    @mawazoselemani614 Před 11 měsíci

    amesafiri ndege ya abiria na abiria wa kawaida😊

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 Před 6 lety +2

    Asante san raisi wetu kwa upendo mkubwa san kwetu ewe mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba enderea kumzidishia upendo mkubwa kwetu ewe mwenyez MUNGU mkuu

  • @wakalafundi4387
    @wakalafundi4387 Před 2 lety

    Daaaaa kwel inaumiza Sana lkn

  • @0763206954
    @0763206954 Před 2 lety

    Dah! Eee Mungu kwanin umeruhusu kifo kwa mtu huyu, kwanin uliacha watesi wake wasimam juu yake😭😭nataman nikuamuru usimame kinyume na mipango yao tena uwaibishe na kuwafedhehesh kabs, Eee Mungu wa Ibrahim embu fany jambo tafadhar 🙏🏿🙏🏿

  • @rukiasalum7628
    @rukiasalum7628 Před rokem

    Masikini.rais wangu machozi machozi yananitoka sijuwi sijuwi nitakusahsu lini kipenzi changu rais wangu

  • @bakarinassoro5513
    @bakarinassoro5513 Před rokem

    Rip

  • @bennie7239
    @bennie7239 Před 2 lety

    😢😢😢

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no Před rokem

    Daah haki utanitoa machozi siku zote mpaka kwenye uzee wangu JPM 😭😭😭 MUNGU hivi imetokea je Kwa mfano?? Daah

  • @Rodgers_01
    @Rodgers_01 Před 7 měsíci

    Rest in peace JPM

  • @asnaaali3264
    @asnaaali3264 Před rokem

    Kila alipokua anaingia panakuwa na furaha
    Sijui kama atatoka mwenye upendo kama huyu

  • @sm_155
    @sm_155 Před 2 lety

    Mtu wa watu

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 Před 2 lety

    Ht km. Ww HD Dunia inapinduka

  • @nusaania2950
    @nusaania2950 Před rokem

    Mama anaupiga mwingi

  • @husseindhalla1187
    @husseindhalla1187 Před rokem

    Innalillaah wainnaa ilaihi Raajiuun

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před 2 lety

    Bado tunakukumbuka

  • @halimahassani8455
    @halimahassani8455 Před rokem

    Nime jikuta nalia t

  • @safinashamshama4198
    @safinashamshama4198 Před 2 lety

    HATA MOBUTU SESEKO ALISHANGILIWA SANA PAMOJA NASHIDA ZOTE NA UKATILI ALIOKUWA ANAWAFANYIA WAKONGO LAKINI ALITUKUZWA SANA, UNAJUA DIKTETA YOYOTE DUNIANI ANATENGENEZA AINA YA KUWADHIBITI WATU WAKE ILI WASIMCHUKIE AU KUMUUA, HUJIFANYA KUWAPENDA SANA KAMA RAIS BOKASA ALIYEONA URAIS HAUNA THAMANI TENA AKAAMUA KUJIITA MFALME