RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AKIWASILI. DODOMA AKITOKEA KENYA.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan amewasili Dodoma akitokea Kenya ambapo alihutubia Bunge la Kenya lililo na mjumuiko wa wabunge wa Seneti na Bunge la Kenya.

Komentáře • 24

  • @jumbaombima9278
    @jumbaombima9278 Před 3 lety +8

    Asante mama suluhu kwa kututembelea kenya,karibu siku ingine-watching from chavakali

  • @kazinimargaret4307
    @kazinimargaret4307 Před 3 lety +2

    I,really love her. She soo well behaved and good woman. She respects people.
    May God give her good health to do the Job.

  • @mursallusinde9189
    @mursallusinde9189 Před 3 lety +3

    Karibu nyumbani mama kipenzi cha familia (watz) Umetuwakilisha vizur sna

  • @MultiKasuku
    @MultiKasuku Před 3 lety +2

    Reading "Hapa kazi tu" in the background is soo touching, RIP JPJM

  • @evansbenson7108
    @evansbenson7108 Před 3 lety +1

    Safii sana👍.

  • @joycegichia5201
    @joycegichia5201 Před 3 lety +3

    Karibu Kenya mama..tunakupenda

  • @khadeejaalmahri6217
    @khadeejaalmahri6217 Před 3 lety +1

    Hongera mama hata bila kujali uchovu wa swaumu umeendelea kupambana kutusafishia njia watanzania mungu atakulipa inshalllah

  • @fatumanaliaka2210
    @fatumanaliaka2210 Před 3 lety +5

    Hongera mum kazi njema Kwenu nyote Mwenyezi Mungu aendelee kuwa nanyi nyote awape nguvu na afia na uzima tele na azidi kuwa linda awatale awaongose awasaidie awapikanie awashindie na kuwawesesha vyema awainue na kuwabariki sana amani ya Bwana iwe nanyi nyote

  • @alimselem7056
    @alimselem7056 Před 3 lety +1

    Alhamdhulilah mama kufika salama nakuombeya kila mazuri katika mwezi hu wa Ramadan Mubarak

  • @njigecharles4690
    @njigecharles4690 Před 3 lety +1

    Mungu ambariki Mhe. Rais na wasaidizi wake

  • @J4UPro
    @J4UPro Před 3 lety +1

    Nimeanza kukuoenda sana mama,
    Umarudisha mahusiano kati ya hizi nchi safi sana.

  • @mohamedsiri8473
    @mohamedsiri8473 Před 3 lety +3

    karibu nyumbani mama

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 Před 3 lety +1

    Adi rahaaa

  • @explorelondon3695
    @explorelondon3695 Před 3 lety

    Tenda wema nenda zako, Baba Magu aliponunua ndege hili hakujua kwamba litambemba Kwa safari take ya mwisho hapa duniani....kweli kifo huna haya wala huruma. Kila nikiona hizi picha mawazo yangu hurudi Chato, namuona Baba kalala lakini pia kwamba hatutamuona wala kumsikia tena😢😢😢. Majonzi

  • @kendelacarz
    @kendelacarz Před 3 lety +2

    Aliwacha mask Kenya

  • @b_boy5897
    @b_boy5897 Před 3 lety +1

    Kwekweli inimeipenda

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 Před 3 lety

    Ndege zinasaidia pakubwa shirika litunzwe vema.

  • @kramsjunior4447
    @kramsjunior4447 Před 3 lety +1

    R.i.p Magufuli ......

  • @mwinyiali
    @mwinyiali Před 3 lety

    Afadhali umerudi maana ulikua hupumui vizuri na zile barakoa jamani

  • @abednego3876
    @abednego3876 Před 3 lety

    Kuna mtu katoka kuingizwa chaka na Jayden Kanonoo😉

  • @fransiscashirima6068
    @fransiscashirima6068 Před 3 lety

    Na sisi tupeni lift tupande ndege tunaona tu angani

  • @abednego3876
    @abednego3876 Před 3 lety +2

    Ulitupa mask kupitia dirisha ndege ikiwa hewan? 😁😂