Asante San PR. kwa somo zuri huwa napenda sana kufatilia mahubiri na mafundisho yako kwa ujumla nabarikiw San, BWANA akubariki sana uwendelee kutufundisha tusio ya juwa
Somo muhimu sana. Mungu asante sana ni kwa vile unanipenda ndio maana umenipa fursa ya kusikia somo hili. Nipe neema kuacha dhambi hii. Barikiwa Pastor wangu
Asante pr. Kwa somo la leo, kweli MUNGU atusaidie na atuondolee viburi na uongo,,, BWANA atusaidie,,, Asante mchungaji kwa neno zuri la leo, bwana asifiwe
pastor niukwel hili somo nimeliangalia mar mbili tofaut nasinzia usingzi mzito ila nimelilidia mara nyingi zaid mpk nimeelewa ni kwel mm nina kiburi n som hili limeenda kunisaidia niombee san ila pia ubalikiwe san pastor unatubaliki san🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ninafuraha kuwafatilia natamanikusambaza mahubiri haya lkn sijui nifanyeje kwa kupitia simu yangu kwa watu wangu jinsi ninavyo sikia ni mm tu ndo nasikia nielekezeni
Ubarikiwe wengi unakuta wana kiburi pengine Karama au cheo ktk Iman Mungu atusaidie
Nimejifunza sana Ahsante Baba mchungaji somo zuri Ee mungu nisaidie niondolee kiburi nijaze roho ya unyenyekevu AMINA.
Amen pastor, nakupenda sana sio kwa kujua Bible tu, lakini wewe upo very intelligent yani mchungaji wa nyakati za Leo kweli, unagusa kila maisha 🙏
Amina. Barikiwa sana mchungaji Mungu na azidi kukutumia hakika somo limenigusa sana.
Asante Mungu kwakunitumia ujumbe huu. Hunaniusu lkn kwa jina la Yesu Kristo ninakemea
Amen ubarikiwe mtumishi wa Bwana.
Daaah Amina pr somo limenichoma sana, Mungu aniondolee kiburi anijalie unyenyekevu
Amen, Barikiwa Mchungaji.Mungu niumbie moyo wa unyenyekevu maana hii ni tabia yako.
Amen Amen@pastor mmbaga asante kwa somo,Mungu nakuomba unipe unyenyekevu🙏🏻🙏🏻
ROHO MTAKATIFU naomba nipatie Moyo wa UNYENYEKEVU ,Naomba NISAMEHE SNA pale kiburi kilipojiinua na KUKUSONONESHA ,naomba haya ktkt JINA LA YESU AMEEN.
Barikiwa sana mtumishi kwa somo zuri sana,hakika limenibadikisha
Mungu nisaidie roho ya kiburi isiniingie 🙏🙏
Ameeeeeeen mtumishi wa Mungu asanteee kwa neno nzuri Mungu akubariki sanaaaaaaa 🙏🙏🙏🙏
Amen asante sana Mahubiri haya yamenigusa sana kwa kikubwa naomba Roho mtakatifu anisaidie sana aniondolee kiburi
Amen 🙏 Mungu niondolea kiburi dani yangu nitumia Kama thahabu ilio hai God
Asante mchungaji kwa Maana Mungu amekutumia nami katika somo LA imani nimepokea uponyagi sifa na utukufu ni kwa Mungu aliyeziumba Mbingu na nchi
Amen pastor naelewa sana masomo yako Mungu akupe afya njema uzidi kutuelewesha
Namushukuru Mungu kwa kunibadilisha maisha yangu kupitiya neno lake .Mungu akubariki mshungaji.
Kiburi kinaleta mashindano, dharau, kumbe kiburi hakikai kwa walio wenye unyenyekevu.Mungu unijarie unyenyekevu ili nishaurike kwa rika zote, Amen.
Ameen baba barikiwa sana somo zuri
Asante mchungaji wangu, somo zito sana kwa wengi, asante kutuamsha, Bwana Mungu atuhurumie. Amen
Napenda mafundisho yako God bless you Amen 🇰🇪
Amen be blessed Pastor Mmbaga 🙏🙌
Amen Asanti Pastor Kiburi nnayo Msamaha Baba🙏🙏
Thanks pastor, May God bless you
Asante pr. Kwa somo zuri Bwana atusaidie sana kutambua jinsi tulivyo na atuondelee khouri. Amina.
Mungu akubariki Pastor kwa somo LA nguvu.Amen Amen
Barikiwa Sana kwa huduma yako, somo Zuri, Amina
Mungu nifungue macho nione ili kama kuna kiburi ndani yangu kiondoke.
Asante sana mchungaji MUNGU atuajalie na atufunulie tuone makosa yetu,,, malindi Kenya
Ahsante mchungaji jambo hili huwaangusha maskini na matajiri. Wasomi na wasio wasomi
Ubarikiwe mtumishi wa mungu
Nisaidie Mungu wangu nishinde dhambi ya kiburi🙏
Asante San PR. kwa somo zuri huwa napenda sana kufatilia mahubiri na mafundisho yako kwa ujumla nabarikiw San, BWANA akubariki sana uwendelee kutufundisha tusio ya juwa
Tunyenyekee miguuni pa YEHOVA ,barikiwa sn pasta.
Waa Mungu anisamehe sikukuwa nimejua ,,Mungu akubariki sana kwa neno lenye kiroho na akutie nguvu sana
Mungu akubariki sana pastor kwa somo mhimu na lenye maana sana kwa kwa binadamu tunaoishi nyati za mwisho
Asante mchungaji kwa mafundisho yako yaliyojaa hekima. Ubarikiwe
Somo nzuri sana
Somo muhimu sana. Mungu asante sana ni kwa vile unanipenda ndio maana umenipa fursa ya kusikia somo hili.
Nipe neema kuacha dhambi hii.
Barikiwa Pastor wangu
M
Mchungaji asante nipo kenya jimbo la Uasin Gishu Eldret nmebarikiwa tena nmeelimika
Asante pr. Kwa somo la leo, kweli MUNGU atusaidie na atuondolee viburi na uongo,,, BWANA atusaidie,,, Asante mchungaji kwa neno zuri la leo, bwana asifiwe
Amina.....Mungu atusaidie
Amen 🙏🙏🙏
Habari mchungaji ubarikiwe sana kwa mafundisho haya.
Asante sanna God bless you man of God
Nashukuru kupata chakula kutoka kwa Bwana.Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana.
Mungu akubariki PR maana ninabarikiwa na mahubiri yako.
Mungu anisaidie niache kiburi.
Mungu atusaidie tuache kiburu.
Asante kwa somo mtumishi
Amen be blessed
Kiburi kibri kiburi x2 ni changamoto sana ni sehemu ya maisha yetu Mungu atunusuru na hili
Kitendo cha kukataa kuamini neno la Mungu hicho ni kiburi
Mungu atusaidie
Asante sana mtumishi umenigusa sana
Somo nzuri Sana ubarikewe Pastor
Amina mtumishi wa mungu.Naomba tu chat.
Barikiwa
Mungu naomba uniongoze ni siwe na kiburi
Kwa kweli nimekumbali ni ukweli kabisaa,, Mungu anisamehe sana
Eee Mungu nisamehe maana nina kiburi tena kile cha uzima huenda kuliko watu wote duniani
Amen ubarikiwe
Asante kwa somo zuri limenibariki
Mbarikiwe sana kubadirika nilamaana
🙆♂️🙆♂️🙏🙏💞santee sana sana pastor somo zuri
Amina last top pasta wengine siwaelewag kabisa
Uliza tu hapa
Ee mungu wangu nisaidie nikuwe mnyenyekevu
Asante MUNGU kwa kunijulisha na uniondolee roho ya kiburi
pastor niukwel hili somo nimeliangalia mar mbili tofaut nasinzia usingzi mzito ila nimelilidia mara nyingi zaid mpk nimeelewa ni kwel mm nina kiburi n som hili limeenda kunisaidia niombee san ila pia ubalikiwe san pastor unatubaliki san🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Eeeeh mungu wangu niondolee roho ya kiburi katika maisha
Amina
Asante mchungaji kwa fudisho hili
Amina..
Ubarikiwe mtumishi.
Somo zuri Mchungaji ubarikiwe
PIA AKASEMA OLE WENU MAFARISAYO WANAFIKI KWAKUWA MNAZUNGUKA-ZUNGUKA MJINI KUTAFUTA MTU NA AIKISHAONGOKA MNAMFANYA KUWA MWANA WA JEHANAMU MARA MBILI.
DAVID MBAGA.
KRISTO YESU,ATAWAMBIA SIKU ILE SIKUWAJUA NINYI KAMWE,ONDOKENI KWANGU NINYI MTENDAO MAOVU.
Ubarikiwe sana kwa kuturekebisha
Be blessed Mtumishi
Amina.Barikiwa Mchungaji
Mm pastor naomba uniombee sababu nilirudi nyuma kiimani.
Mungu akutie nguvu katika nyakati zote, omba naye Mungu atakuitikia.
AMINA MTUMISHI WA BABA KWA UJUMBE MZURI...
MAOMBI YANA NGUVU TUUNGANE KATIKA KUOMBA.
Mungu akubariki sana
Amen nashukuru kwa neno.
Pastor uniombee MUNGU aniondolee uchafu wote rohoni.
Ninafuraha kuwafatilia natamanikusambaza mahubiri haya lkn sijui nifanyeje kwa kupitia simu yangu kwa watu wangu jinsi ninavyo sikia ni mm tu ndo nasikia nielekezeni
Amen
Pastor Je Wewe Una Acount Teregrama kama Ipo nisaidie Link Niwe mwana family
Ndugu,msipende kuwa waalimu wengi hali mkijua,yakuwa mtapata hukumu iliyokubwa zaidi.
kwenye makanisa hii dhambi imeshika kasi
Pastor naomba namba zako
Uzinzi
Amina, Barikiwa sana pastor.
Naomba kupata link ya Telegram
Wema na fadhili zikufuate
Jaman naomba mwenye namba ya spar mbaga anisaidie plz
+255 755 932 283
Unyenyekevu ndio tunda la Roho
MBAGA ZINGATIA NENO HILI
YOHANA 3:3-7.
LITAKUSAIDIA SANA.
ILA UANZE KWANZA WEWE MWENYEWE KUZALIWA MARA YA PILI.JIFANYE MJINGA UPONE KAMA NIKODEMO.
Pastor nimebarikiwa na soma naomba namba zako
NIKODEMO HABARI ZAKE NI KATIKA YOHANA 3:1-3.
Yeye naye alikuwa kama wewe alikuwa mwalimu kama wewe.
Lakini hajazaliwa mara ya pili.
MUNGU AKUSAIDIE.
Mbna hatukelewi kaka
nifungue macho yangu nione kama kuna kiburi ndani yangu
MUNGU nisaidie uniondoshee kiburi