# UCHAGUZI SAHIHI WA MWENZI PR MMBAGA!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 06. 2022

Komentáře • 60

  • @jukaelfelix4070
    @jukaelfelix4070 Před 2 lety +9

    No one's like David mmbaga...he is my roll mod coz he is thinking a big something so that I love him..!!!!!!#

  • @mataramasanga1894
    @mataramasanga1894 Před rokem +3

    Posta nabarikiwa Sana na mafundisho yako!! Yamenipa Imani Thabiti

  • @petermasala1409
    @petermasala1409 Před 2 lety +3

    Kupata mwanamke mchangamfu,,,anayecheka kutoka moyoni,,mwenye hekima na busara ni vigumu kuliko kupata dhahabu mara tisa zaidi,...
    Ninashauri Pastor ufundishe pia maandalizi ya kisaikolojia mwanamke anayopaswa kuyafanya,,,uchangamfu ni adimu Sana kwenye ndoa nyingi Sana.
    Unakuta sawa mwanamke mcha Mungu lakini si mchangamfu bado ndao haitakuwa na furaha.

  • @EdithaHusein
    @EdithaHusein Před dnem

    Kwakweri mahubir haya yananibarik san,Mungu akubariki sana

  • @lonahnekesa910
    @lonahnekesa910 Před 2 lety +1

    Amen barikiwa Mtumishi wa Mungu🙏🏾🙏🏾

  • @rosepeter8996
    @rosepeter8996 Před 2 lety +1

    AMEN🙏...namshukuru mchungaji kwa kutufunza mema katika ndoa kupitia biblia takatifu,....nami nitasema ubarikiwe sana mchungaji mmbaga🙏

  • @musatbobius5472
    @musatbobius5472 Před 2 lety +1

    Ubarikiwe kwa somo hili tunabarikiwa San na tunajifunza ,Mungu AKUBARIKI

  • @damaslukando8592
    @damaslukando8592 Před 2 lety +2

    Somo nzuri sana kabisa.

  • @elizaphankamando5605
    @elizaphankamando5605 Před 2 lety +1

    Ubarikiwe sana mchungaji mbaga, Mungu akulinde kwa mafundisho yako

  • @rodahadhiambo3637
    @rodahadhiambo3637 Před rokem +1

    God bless you Pastor ,

  • @johnstephano6486
    @johnstephano6486 Před 2 lety +2

    Waaooo somo zuri sana tushindwe sisi tu.

  • @angelinanewland165
    @angelinanewland165 Před 2 lety +1

    Asante sana mtumishi barikiwa

  • @atukuzwepeter9451
    @atukuzwepeter9451 Před 2 lety +1

    Asantee Baba kwa mafundishaa mazurii

  • @rossarutasha9391
    @rossarutasha9391 Před 2 lety +1

    Ubarikiwe mchungaji tunakufatilia na tumebarikiwa sana

  • @mathewndimila9273
    @mathewndimila9273 Před 2 lety +2

    Amen noted

  • @mangugiki67
    @mangugiki67 Před 2 lety +1

    Be blessed pastor

  • @ernestmhilya960
    @ernestmhilya960 Před 2 lety +1

    great Sana👍👍👍👍👍

  • @eddahnyongesa9819
    @eddahnyongesa9819 Před 2 lety +1

    God bless u so much from Nairobi but pastor Siku hizi in_laws na mama wakwe ndio wanasambaratisha ndoa sana

  • @maureenkemei9254
    @maureenkemei9254 Před 2 lety +2

    Amina Asante Sana.

  • @williamchamle7547
    @williamchamle7547 Před 2 lety

    Aminaaaaa Pastor Mbaga Mungu azidi kukutumia

  • @melvinnakhungu2504
    @melvinnakhungu2504 Před 2 lety +1

    Great 👍

  • @zuhurayonah629
    @zuhurayonah629 Před 2 lety

    Ameen pastor
    Bora niangalie unafuu na nitakaloweza kulibeba

  • @alicesidi9601
    @alicesidi9601 Před 2 lety +1

    Amen be blessed Pastor Mmbaga 🙏

  • @alicesidi9601
    @alicesidi9601 Před 2 lety +1

    Amen be blessed Pastor Mmbaga

  • @lolojunior5808
    @lolojunior5808 Před 2 lety +3

    nakuelewa sana paster na, ninakupenda pia, mimi ni muislamu nipo hapa brazil, siku hizi unachelesha mahubiri, kuyarusha mtandooni na pia, ninahitaji kuongea na wewe paster.

  • @hylinemoraa9948
    @hylinemoraa9948 Před 2 lety

    Mafundisho mazuri sana, Asante pastor

  • @officialgabriel7535
    @officialgabriel7535 Před rokem

    Amen and Amen,,haya mafundisho mazuri,,,,nimejuchuna sikio ,,,

  • @dinnaemmanuel4927
    @dinnaemmanuel4927 Před 2 lety

    Bwana ni mwema nashukulu mungu Kwa kuwa nabarikiwa na mahubiri haya ila Nina swali ni jinsi Gani unaweza kubadili dini ya mtu hasa mulie nae kwenye mahusiano na ikitokea ikashindikana na Bado upendo upo je nichukue hatua gani

  • @mathiasmbelenge2775
    @mathiasmbelenge2775 Před 2 lety

    Pastor asante sana, kuna wakati unajikuta una mahusiano /umeoa binti lakini unakuta anakuwa karibu sana na wazazi wake mathalani baba yake yaani mpaka anakushangaza, mara nyingi hasa ukikuta baba yake ana kauwezo kifedha. yaani uko naye lakini unaona hata akiwa na changamoto /au issue ambalo hata mume anaweza kulitatua mtoto wa watu analipeleka kwa baba bila hata mume kuambiwa naamini hii ni changamoto kwa wengi sana pastor japo haiongelewi kuoa watu

  • @josephlupigasa9026
    @josephlupigasa9026 Před 2 lety

    Ubarikiwe mtumishi wa mungu

  • @izzylyrics2240
    @izzylyrics2240 Před 2 lety +1

    Nakupata pastor

  • @evamugusi3362
    @evamugusi3362 Před 2 lety

    Kweli ndoa siyo agriculture pastor Mungu atusaidie sana tupate kilichochema.

  • @everlyneiminza5722
    @everlyneiminza5722 Před 2 lety

    Amen mchungaji barikiwa sana 🙏

  • @user-bu3be1yx3f
    @user-bu3be1yx3f Před 4 měsíci

    Neno zuri pastor

  • @agustaelitumaini734
    @agustaelitumaini734 Před 2 lety

    Tunabarikiwa sana Mungu azidi kukutumia

  • @JojaidaClever
    @JojaidaClever Před 3 měsíci

    Hakika inabidi kujifunza sana tumjue mungu

  • @evamgina843
    @evamgina843 Před 2 lety +1

    Mchungaji mi nmebalikiwa na sisi mtukumbuke uku iringa

  • @7tonjugu411
    @7tonjugu411 Před 11 měsíci

    Amina ..

  • @janembalinga7074
    @janembalinga7074 Před 2 lety +1

    Amen

  • @rehemaezekiey4991
    @rehemaezekiey4991 Před rokem

    Ubalikiwe sana mchungaji kwa ujumbe wako mzr

  • @charmantekahindo9158
    @charmantekahindo9158 Před 2 lety

    Aksante kwa fundisho

  • @boniphacecastory6831
    @boniphacecastory6831 Před 2 lety

    Amina barikiwa

  • @MpembaNengo
    @MpembaNengo Před 2 měsíci

    Ni kweli

  • @FadhilaIbrahimu-fz9sq
    @FadhilaIbrahimu-fz9sq Před 8 měsíci

    Ameen

  • @jaredmayaka2993
    @jaredmayaka2993 Před 2 lety

    Amen 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @berylallando
    @berylallando Před rokem

    💯✅

  • @salomethomas3241
    @salomethomas3241 Před 2 lety +1

    🙏🙏🙏

  • @irenemsaki
    @irenemsaki Před 9 měsíci

    🤲🤲🙏🏽

  • @lewisweteshe3670
    @lewisweteshe3670 Před rokem

    Naitaji adresse za pastor

  • @presidentofafrica.5038
    @presidentofafrica.5038 Před 4 měsíci

    tuko ikulu😁😁😁😁😁😁

  • @magorimagori9264
    @magorimagori9264 Před 2 lety

    "Ndoa sio Agriculture"

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 2 lety +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍.

  • @johnstephano6486
    @johnstephano6486 Před 2 lety +2

    😃😃😃 muhindi uote.

  • @tronic2x801
    @tronic2x801 Před 2 lety +1

    Amen