#mahubiri

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 09. 2024

Komentáře • 118

  • @bahatiobambo
    @bahatiobambo Před 2 měsíci +1

    Nimesikiliza somo hili baada ya mwezi sasa toka somo limetolewa lakini kwa Imani MUNGU Ametenda.....nmefunguliwa Ahsante MUNGU.

  • @Joy-mm1ut
    @Joy-mm1ut Před 3 měsíci +3

    Amina mungu azidi kukutumia nimekwesha kufungulia na magonjwa yamepona yesu atukuzwe

  • @reginaburetta2304
    @reginaburetta2304 Před 4 měsíci +7

    Namwombea rafiki yangu Mungu akampatie mbaraka wa watoto

  • @zenasmjema4050
    @zenasmjema4050 Před 4 měsíci +7

    Kwa Mungu Kila jambo linawezekana naomba maombi ya kuombea familia yangu naomba nipate amani ya moyo na niwe mtu wa kusamehe.kuwaombea wazazi wangu na mkwe wangu wapate kumjua Mungu na kumtumainia.maombi ya biashara yangu ipate wateja zaidi .

  • @elishafelesiano
    @elishafelesiano Před 3 měsíci +1

    Pastor hakika Mungu amekuleta Kwa wakati wake nabarikiwa sana kwa neno lako uchumi wangu umefunguliwa shauku yangu ni kujitegemea kiuçhumi yaani kujajili nikitengenezewa njama kazini lakini kupitia neno hili unalofundisha nimekula nikiliamini nakwambia pastor aliyetaka kunifukuza kazi yeye ndiye amepewa barua ya onyo ya kufukuzwa kazi namshkuru sana Mungu

    • @fredrickjoseph4962
      @fredrickjoseph4962 Před 2 měsíci

      Nabarikiwa Sana pasta navipindi vyako MUNGU wetu akubariki sana

  • @lucykihara4638
    @lucykihara4638 Před měsícem

    Shalom nimebarikiwa sana kwa maombi haya.najua kuna mabadiliko kwa familia yetu.amina

  • @christinamafuru4784
    @christinamafuru4784 Před 3 měsíci +2

    Mungu akubariki nilipoteza tumaini lakini kupitia mahibiri hayo Mungu amenipa tumaini jipya l

  • @dafrosasunguya7833
    @dafrosasunguya7833 Před 3 měsíci +2

    Namuombea mwanangu Arnold,Mungu jifunue Arnold akapokee Ajira ya kudumu kutoka kwako Bwana Yesu Kristo

  • @anastaziatemba5490
    @anastaziatemba5490 Před měsícem

    Nimebarikwa sana nimeipona ugonwà wa mwili nanilishakata tamaa mana sikuwa naweza kuomba tena.natamani nipate Musa wakuongea nawe kama utapata kibali kwa mungu

  • @Joycependopendo-dv2tb
    @Joycependopendo-dv2tb Před 3 měsíci +2

    Mungu akubariki pastor Kwa somo hili hakika mungu akuzidishiee hekima Na kibali kikumbwa

  • @AnnaSamwel-ww6nk
    @AnnaSamwel-ww6nk Před 3 měsíci +2

    Ninaomba muimbee familia yetu upendo, mshikamano utawale ktk maisha yetu

  • @MARIE-iy4bx
    @MARIE-iy4bx Před měsícem

    🤲🙏,Naamini kupitia mahubiri haya wanangu watakombolewa ...

  • @makabwakabichi2321
    @makabwakabichi2321 Před měsícem

    Amina nazidi kubarkiwa na kufunguliwa na nafeel aman rohoni mwangu🙏🙏

  • @ElibarickAllex
    @ElibarickAllex Před 2 měsíci

    libarikiwe jina la yesu, nimependa mafundisho haya

  • @josephinemapande5221
    @josephinemapande5221 Před 4 měsíci +3

    Bwana Yesu asifiwe naomba mniombee kwa ajili ya familia yangu watoto wangu kazi za mikono yao afya zetu tumtegemee Mungu katika maisha yetu yakila siku

  • @user-jo1fg6xl3z
    @user-jo1fg6xl3z Před 26 dny

    Amen🙏mungu akubariki sana pastor kwa mafunzo mema unatubariki nayo

  • @masterking534
    @masterking534 Před 3 měsíci

    Kweli Mungu ni mwema nime barikwa sana kwenye iki kipindi

  • @raelmsafiri
    @raelmsafiri Před 3 měsíci

    Ombea mdogo wangu anugua kisukari na ana kidonda kikubwa sana

  • @JaphetKatemi
    @JaphetKatemi Před 3 měsíci +1

    Somo hili limenitianguvu nyingi katka maisha yangu Bwana akubariki . Aminaa

  • @user-kt5lv9et8z
    @user-kt5lv9et8z Před 13 hodinami

    Ubarikiwe

  • @rahabumorro4148
    @rahabumorro4148 Před 4 měsíci +3

    Nina muda sifuatilii haya mahubiri lakini leo nimesikia msukumo wa ajabu kusikiliza
    Asante sana Bwana Yesu

  • @scolaebenezer4538
    @scolaebenezer4538 Před 3 měsíci

    Naomba uniombee duka langu likue,maanalimedumaa sana

  • @nancymtana1812
    @nancymtana1812 Před 3 měsíci +2

    Mungu anikumbuke kila ninaloanzisha linakufa,

  • @MichaelDisanto-zq6fk
    @MichaelDisanto-zq6fk Před 3 měsíci

    Nimepona kwa jina la Yesu Amen

  • @HOPEBIBLENETWORK
    @HOPEBIBLENETWORK Před 4 měsíci +5

    Shadrack... Naomba uponyaji wa macho ambayo yamenisumbua kwa miaka zaidi ya 10...na kufunguliwa toka katika nguvu za giza zinazonifuata na nguvu zinazoniletea mikwamo katika maisha yangu hasa ya uchumi

  • @dafrosasunguya7833
    @dafrosasunguya7833 Před 3 měsíci +1

    Naomba UPONYAJI wa UCHUMI wangu,Mungu aguse hazina za wale aliowainua Kuni support kimitaji Ili wakatimize kama walivyoniahidi KATIKA JINA la Yesu Kristo, Amina

  • @user-ev9yp5zc4m
    @user-ev9yp5zc4m Před 3 měsíci

    Mafundisho haya ni yangu kabisa... Ndoa yangu...Uchumi wangu ...madeni mengi kuliko mshahara...ukoo unanitegemea....Lakini nimepata Tumaini ktk kusikia fundisho hili.,. Naamini MUNGU nisaidie kutokuamini kwangu

  • @SuzanShayo
    @SuzanShayo Před měsícem

    MUNGU AKUBARIKI BABA UMENIPA MAJIBU YA JARIBU NINQLOPITIA NIMARAYAKWANZA KUKUSIKILIZA

  • @caromokaya4959
    @caromokaya4959 Před 4 měsíci +5

    Mchungaji ombea familia yangu iweze kufunguliwa kutoka umaskini na kizazi chetu kiweze kuendelea

    • @user-cr1nk1zc5s
      @user-cr1nk1zc5s Před 3 měsíci +1

      Umasikini Sio ugonjwa ukifanya kazi Kwa bidii utaukimbia umasikini na uamini katika kile unacho omba MUNGU

  • @kadzocharosilver411
    @kadzocharosilver411 Před měsícem

    Mungu niombeje kiusahihi

  • @johnchacha4888
    @johnchacha4888 Před 4 měsíci

    Ahsante Yesu kwa uponyaji

  • @mtumishiraymond2001
    @mtumishiraymond2001 Před 3 měsíci +1

    Amina

  • @OwenMbogela
    @OwenMbogela Před 3 měsíci +1

    Mchungaji barikiwa sana nimeanz kufatilia mafunzo haya baada ya familia yetu kuondokewa na mpendwa wetu ambaye alkuw n nguzo katika familia yetu(BABA) na tukawa katika Sinto faham ya jinsi Gani tutaweza kwenda baada ya Yale yote.....Lkn nashuhudia ukuu huu wa mungu familia yetu inazd kufunguliwa zaid na zaid tofauti na watu walivyokuwa wadhani .... BARIKIWA SANA MCHUNGAJI 🙏🙏

  • @HellenMwakatundu
    @HellenMwakatundu Před 3 měsíci +1

    Namshukuru Mungu Leo nilikuwa nasikiliza mahubiri tonses zilikuwa zimenibana baada ya maombi Mungu ameniponya kweli Kuna nguvu za Mungu tuamini jaman

  • @veronicawilsonmbwambo1054
    @veronicawilsonmbwambo1054 Před 2 měsíci

    Barikiwa sana

  • @winfridangulimi6499
    @winfridangulimi6499 Před 4 měsíci +1

    Pr David Mmbaga kwa neno la Mungu kupitia kinywa chako naomba Mungu aniinue ktk uchumi wangu pia afya njma

  • @happyjohn5153
    @happyjohn5153 Před měsícem

    Mtumishi mi nahitaji kukuona wewe mwenyew nina shida sana

  • @scolaebenezer4538
    @scolaebenezer4538 Před 3 měsíci +1

    NAWAOMBEA wangu Mungu awapatie kazi za kudumu kuwainua kimaisha

  • @JaliwaAdamu
    @JaliwaAdamu Před 3 měsíci

    Hakika Mungu akubariki sana...ni kila siku lazima nipitie video zako naona mabadiliko makubwa kuielewa biblia

  • @RachaelMbeyu
    @RachaelMbeyu Před 3 měsíci

    Pastor naomba familia yangu kiuchumi kimaisha naomba mungu atutoe kwa wakat huu mgumu

  • @francoisendunga
    @francoisendunga Před 2 měsíci

    Amen nimebarikiwa 🙏

  • @winfridangulimi6499
    @winfridangulimi6499 Před 4 měsíci +1

    Pr mtumishi wa Mungu aliye hai kwa neno lako naamini nimekuwa juu sana kiuchumi asante sana pr

  • @user-jl1cn4ke5j
    @user-jl1cn4ke5j Před 3 měsíci

    : naomb Mungu anirudishie mkewang

  • @margaretnthenya-up5gt
    @margaretnthenya-up5gt Před 4 měsíci +1

    Amina..Magret naamini Mungu anaona mikwamo yangu...na akafugue familia yangu.🙏🏽

  • @AgnessMrutu
    @AgnessMrutu Před 3 měsíci

    NAMSHUKURU MUNGU KWA AMANI YAKE

  • @maryaugustor6983
    @maryaugustor6983 Před 4 měsíci +1

    Ukweli kabisa unasema mambo ya ukweli nimeokoka lakini nateseka sana miungu ya kwetu tunaokoka tunaanguka.hakuna hata mmoja amekaa kwenye ndoa,vijana wetu wanavuta bangi walevi wagomvi na hawakuwa hivyo.naomba MUNGU atume NENO moja familia ya AGUSTOR MSARIKIE wapate wokovu.ubarikiwe mchungaji Amina.

  • @olphanyamweya3154
    @olphanyamweya3154 Před 3 měsíci

    Ni kweli mchungaji wengi tumekwama Kwa sababu hatujapata utakazo.

  • @LvnessGio
    @LvnessGio Před 4 měsíci

    Mungu akubariki sana..

  • @aumamadina7100
    @aumamadina7100 Před 2 měsíci

    Asante mungu nimebarikiwa🙏

  • @happinessmongare4311
    @happinessmongare4311 Před 3 měsíci

    Hesbon nyariki happiness mongare fortune obongo quinton mugoya

  • @mamdaliko2362
    @mamdaliko2362 Před 4 měsíci

    Amen pastor

  • @mozabayabanda4248
    @mozabayabanda4248 Před 4 měsíci

    Moza naomba nipone magonjwa yangu yote maumivu ya miguu maumivu ya kiuno naomba mungu aniponye

  • @kitunzaesperance3250
    @kitunzaesperance3250 Před 4 měsíci

    Mungu asifiwe

  • @SimonMuhuneKitule
    @SimonMuhuneKitule Před 4 měsíci

    Pasta asante kwa fundisho hili, kweli ninaamini kuwa mangwanjwa yangu yamekwisha, prostate imekwisha, watoto wote wamefaanikiwa, na hivi Mungu anaogeza tena njia ya mapato yangu

  • @godelivesifa7473
    @godelivesifa7473 Před 4 měsíci

    Nimefunguliwa kwaimani ndowatangu maishayangu nafamiliya yangupiya katikajinalayesu

  • @user-hs8mx6du7o
    @user-hs8mx6du7o Před 3 měsíci

    Anaamini Mungu amenitendea

  • @user-kt5lv9et8z
    @user-kt5lv9et8z Před 13 hodinami

    Ningeamini mkwamo ninausababisha mwenyewe namsingizia tu shetani Kwa jina la YESU kuanzia Sasa sitakwama tena

  • @johnsonbhugomola3033
    @johnsonbhugomola3033 Před 4 měsíci

    Mchunfaji namshukulu mungu kwa kukutumia utufungue akiri na nakuomba umuombee baba angu mashaka aokoke atoke kwenye vifungo mbal mbali

  • @user-dk3xi4pz7o
    @user-dk3xi4pz7o Před 4 měsíci

    Amina Amina

  • @tsongonadine386
    @tsongonadine386 Před 4 měsíci +1

    Nanamushukuru Mungu kwakuniponya nilikua naumwa mkono lakini ulipo omba mkono wangu ukapona Mungu akubariki

  • @totoothindi4233
    @totoothindi4233 Před 4 měsíci

    Naomba maombi ya familia yangu hasa kwa kijana wangu Jayden hasibadilike vile ameenda secondary na mimi pia niondolee madeni niko nazo mingi...wanisamehe kwa hizi madeni niliingia bila kujua. Nimepitia mengi.

  • @eliyakatembo416
    @eliyakatembo416 Před 4 měsíci +1

    Amen..nimebarikiwa sana ..pr. Bwana akubariki

  • @furahakitumainiJoséphine
    @furahakitumainiJoséphine Před měsícem

    Muombee mama yangu anamatatizo

  • @EulaliaChristopher-qs9mn
    @EulaliaChristopher-qs9mn Před 3 měsíci

    Ombea family yangu

  • @ElibarickAllex
    @ElibarickAllex Před 2 měsíci

    kiusema kweli,, kwetu hakuna aliye soma, ushirikina, wazazi hawana ndoa,

  • @joshuakitina4929
    @joshuakitina4929 Před 4 měsíci

    Mungu amenipatia amani ya moyo na tumaini jipya kupitia somo hili
    Mungu akubariki mchungaji

  • @helenmugure3796
    @helenmugure3796 Před 4 měsíci

    Nina imani siku yangu ya kufunguliwa ni leo .Nina amani na imani katika jina la Yesu .maombi yang ya mda mrefu yamejibiwa.

  • @stellahkiboi
    @stellahkiboi Před 3 měsíci

    Uniombee nipate riziki pia na jamii yangu

  • @yvesirankunda2002
    @yvesirankunda2002 Před 3 měsíci

    Japo kuwa nasikiliza somo hili baada ya siku nyingi,siku hiyi,nina imani kwamba leo ntapokea muujiza wangu kwa jina la Yesu.
    Amen

  • @user-gw9cs8km3o
    @user-gw9cs8km3o Před 4 měsíci

    Naomba uniombee mtoto wako anaamka usiku Analia bure miaka nane ukimuuliza Hana sababu
    Niombee nimekwama miaka mingi peza zangu hazitulii
    Niombee mamaangu mzazi anasahau hajielewi
    Niombee nijue kuomba
    Mungu azidi kukubaliki mchungaji

  • @godelivesifa7473
    @godelivesifa7473 Před 4 měsíci

    Amen amen amen nimefungulìwa katikajina layesu kristo wanazaret

  • @AndrewChirisant
    @AndrewChirisant Před 4 měsíci

    ombi langu naomba mungu amupe mwanangu mudogo afia njema

  • @danielmwakatumaakimu1050
    @danielmwakatumaakimu1050 Před 4 měsíci

    Mchugaji nashukuru kwa ajili ya kipindi hiki.maana Mimi mambo yangu biashara zangu zimekwama na nimebaki na deni kubwa na nimekata tamaa.lakini kwa neno lako mtumishi ninaamini nimepona.ubarikiwe sana.

  • @janeonsarigo6206
    @janeonsarigo6206 Před 4 měsíci

    Asante pastor Mmbaga.Nahitaji maombi kwa mjukuu wangu Neviah ajue kuongea.

  • @totoothindi4233
    @totoothindi4233 Před 4 měsíci

    Pastor naomba niombee familia yangu

  • @happinessmongare4311
    @happinessmongare4311 Před 3 měsíci

    Ombea familia yangu na my aproval visa in jesus name

  • @irenealimasi8657
    @irenealimasi8657 Před 4 měsíci

    Na mimi siku zote hizi nasikiya pembeni nakichwa panauma naomba mungu anifungue.

  • @MariamBusele
    @MariamBusele Před 4 měsíci

    Nmeamini mwanangu amefunguliwa masomomo yake maana glafla alikua kubadilika Ila sasa MUNGU ametenda🙏🙏

  • @jacintasyombua7512
    @jacintasyombua7512 Před 4 měsíci

    Naomba kufunguliwa milango biashara yangu imeenda chini Sana

  • @purity134
    @purity134 Před 4 měsíci

    Amen,mungu nisaidie niweze kuyasahau niliyatendewa wakati nilikua sina kitu,na nifunze kusamehe na kurudiana kama mwanzo

    • @mariumisaka7658
      @mariumisaka7658 Před 4 měsíci

      naomba maombi kuhusu kunywa pombe na kusoma neno la mungu lijae kwawingi 17:13 17:15 17:17

  • @ChristineBinsari-ql5bf
    @ChristineBinsari-ql5bf Před 4 měsíci

    ombea familia nyangu na pia wenye wamepoteza familia zao kwa mafuriko. mungu awafariji

  • @likatiabunuas2701
    @likatiabunuas2701 Před 4 měsíci

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu

  • @andersonmwazala9654
    @andersonmwazala9654 Před 4 měsíci

    Naamini mtoto wangu anatembea Anderson from NRB

  • @JoselineMlama
    @JoselineMlama Před 4 měsíci

    Nasumbuliwa na mambo nisiyoyajua naomba maombi

  • @mozabayabanda4248
    @mozabayabanda4248 Před 4 měsíci

    Ubakiwe sana Mchungaji

  • @jorammalyabo3662
    @jorammalyabo3662 Před 4 měsíci

    asante pasta kwa fundisho
    ila kuna dhambi nilifanya ila ilikuwa kwa siri bila kanisa kughundua ila inaendelea kuni sumbua nishaka tubu ila inaendelea kunisumbua nina mkwamo kila ninapo pata adjira sabato ndilo ina kuwa tatizo nina acha hiyo kazo

  • @ishmaelsimon6617
    @ishmaelsimon6617 Před 4 měsíci

    Kwa IMANI BWANA Ameniokoa.

  • @johnsonbhugomola3033
    @johnsonbhugomola3033 Před 4 měsíci

    Mungu akupe maisha malefu sana u

  • @junessalama9129
    @junessalama9129 Před 4 měsíci

    Mchungaji Naomba umwombee mtoto wangu Caroline Sanga Daraja la saba anafeli sana wakati alikuwa anashika nafasi ya Kwanza darasani.

  • @kitunzaesperance3250
    @kitunzaesperance3250 Před 4 měsíci

    Nahiji,maobmi kuobmea family yangu, Asant.

  • @Joycependopendo-dv2tb
    @Joycependopendo-dv2tb Před 4 měsíci

    Amen namshkuru mungu nimeaka Salama

  • @magrethsindabaha1851
    @magrethsindabaha1851 Před 4 měsíci

    Watoto,uvuvio wa roho mtakatifu, uchumi

  • @HOPEBIBLENETWORK
    @HOPEBIBLENETWORK Před 4 měsíci

    Amen... Shadrack following from Nairobi

  • @LovelyBreakingWaves-pu5hu
    @LovelyBreakingWaves-pu5hu Před 4 měsíci

    Pastor please niombee baba ni mgonjwa then mamangu kafika 78 years kaanza kunyua pombe. Juzi akamjapa baba am feeling pain why my family

  • @carolinemwugusi8945
    @carolinemwugusi8945 Před 4 měsíci

    Amen Amen Amen

  • @UserUser-gq1ir
    @UserUser-gq1ir Před 4 měsíci

    Amen

  • @kadzocharosilver411
    @kadzocharosilver411 Před měsícem

    Familiar yetu kila atakaye inuka anaanguka yani tuko halingumu haki nahitaji musaada unifundishe niwezekuvunja hii hali

  • @BarnabasJonas-nv4ig
    @BarnabasJonas-nv4ig Před 4 měsíci

    AMINA

  • @calebmakori
    @calebmakori Před 4 měsíci

    pray for Winnie who is insane now 12years pls

  • @RachaelMbeyu
    @RachaelMbeyu Před 3 měsíci

    Tuombee tutoke umaskin