Kwa Mungu Kila jambo linawezekana naomba maombi ya kuombea familia yangu naomba nipate amani ya moyo na niwe mtu wa kusamehe.kuwaombea wazazi wangu na mkwe wangu wapate kumjua Mungu na kumtumainia.maombi ya biashara yangu ipate wateja zaidi .
Pastor hakika Mungu amekuleta Kwa wakati wake nabarikiwa sana kwa neno lako uchumi wangu umefunguliwa shauku yangu ni kujitegemea kiuçhumi yaani kujajili nikitengenezewa njama kazini lakini kupitia neno hili unalofundisha nimekula nikiliamini nakwambia pastor aliyetaka kunifukuza kazi yeye ndiye amepewa barua ya onyo ya kufukuzwa kazi namshkuru sana Mungu
Nimebarikwa sana nimeipona ugonwà wa mwili nanilishakata tamaa mana sikuwa naweza kuomba tena.natamani nipate Musa wakuongea nawe kama utapata kibali kwa mungu
Bwana Yesu asifiwe naomba mniombee kwa ajili ya familia yangu watoto wangu kazi za mikono yao afya zetu tumtegemee Mungu katika maisha yetu yakila siku
Shadrack... Naomba uponyaji wa macho ambayo yamenisumbua kwa miaka zaidi ya 10...na kufunguliwa toka katika nguvu za giza zinazonifuata na nguvu zinazoniletea mikwamo katika maisha yangu hasa ya uchumi
Naomba UPONYAJI wa UCHUMI wangu,Mungu aguse hazina za wale aliowainua Kuni support kimitaji Ili wakatimize kama walivyoniahidi KATIKA JINA la Yesu Kristo, Amina
Mafundisho haya ni yangu kabisa... Ndoa yangu...Uchumi wangu ...madeni mengi kuliko mshahara...ukoo unanitegemea....Lakini nimepata Tumaini ktk kusikia fundisho hili.,. Naamini MUNGU nisaidie kutokuamini kwangu
Mchungaji barikiwa sana nimeanz kufatilia mafunzo haya baada ya familia yetu kuondokewa na mpendwa wetu ambaye alkuw n nguzo katika familia yetu(BABA) na tukawa katika Sinto faham ya jinsi Gani tutaweza kwenda baada ya Yale yote.....Lkn nashuhudia ukuu huu wa mungu familia yetu inazd kufunguliwa zaid na zaid tofauti na watu walivyokuwa wadhani .... BARIKIWA SANA MCHUNGAJI 🙏🙏
Ukweli kabisa unasema mambo ya ukweli nimeokoka lakini nateseka sana miungu ya kwetu tunaokoka tunaanguka.hakuna hata mmoja amekaa kwenye ndoa,vijana wetu wanavuta bangi walevi wagomvi na hawakuwa hivyo.naomba MUNGU atume NENO moja familia ya AGUSTOR MSARIKIE wapate wokovu.ubarikiwe mchungaji Amina.
Pasta asante kwa fundisho hili, kweli ninaamini kuwa mangwanjwa yangu yamekwisha, prostate imekwisha, watoto wote wamefaanikiwa, na hivi Mungu anaogeza tena njia ya mapato yangu
Naomba maombi ya familia yangu hasa kwa kijana wangu Jayden hasibadilike vile ameenda secondary na mimi pia niondolee madeni niko nazo mingi...wanisamehe kwa hizi madeni niliingia bila kujua. Nimepitia mengi.
Naomba uniombee mtoto wako anaamka usiku Analia bure miaka nane ukimuuliza Hana sababu Niombee nimekwama miaka mingi peza zangu hazitulii Niombee mamaangu mzazi anasahau hajielewi Niombee nijue kuomba Mungu azidi kukubaliki mchungaji
Mchugaji nashukuru kwa ajili ya kipindi hiki.maana Mimi mambo yangu biashara zangu zimekwama na nimebaki na deni kubwa na nimekata tamaa.lakini kwa neno lako mtumishi ninaamini nimepona.ubarikiwe sana.
asante pasta kwa fundisho ila kuna dhambi nilifanya ila ilikuwa kwa siri bila kanisa kughundua ila inaendelea kuni sumbua nishaka tubu ila inaendelea kunisumbua nina mkwamo kila ninapo pata adjira sabato ndilo ina kuwa tatizo nina acha hiyo kazo
Nimesikiliza somo hili baada ya mwezi sasa toka somo limetolewa lakini kwa Imani MUNGU Ametenda.....nmefunguliwa Ahsante MUNGU.
Ameeen
Amina mungu azidi kukutumia nimekwesha kufungulia na magonjwa yamepona yesu atukuzwe
Namwombea rafiki yangu Mungu akampatie mbaraka wa watoto
Kwa Mungu Kila jambo linawezekana naomba maombi ya kuombea familia yangu naomba nipate amani ya moyo na niwe mtu wa kusamehe.kuwaombea wazazi wangu na mkwe wangu wapate kumjua Mungu na kumtumainia.maombi ya biashara yangu ipate wateja zaidi .
Pastor hakika Mungu amekuleta Kwa wakati wake nabarikiwa sana kwa neno lako uchumi wangu umefunguliwa shauku yangu ni kujitegemea kiuçhumi yaani kujajili nikitengenezewa njama kazini lakini kupitia neno hili unalofundisha nimekula nikiliamini nakwambia pastor aliyetaka kunifukuza kazi yeye ndiye amepewa barua ya onyo ya kufukuzwa kazi namshkuru sana Mungu
Nabarikiwa Sana pasta navipindi vyako MUNGU wetu akubariki sana
Shalom nimebarikiwa sana kwa maombi haya.najua kuna mabadiliko kwa familia yetu.amina
Mungu akubariki nilipoteza tumaini lakini kupitia mahibiri hayo Mungu amenipa tumaini jipya l
Namuombea mwanangu Arnold,Mungu jifunue Arnold akapokee Ajira ya kudumu kutoka kwako Bwana Yesu Kristo
Nimebarikwa sana nimeipona ugonwà wa mwili nanilishakata tamaa mana sikuwa naweza kuomba tena.natamani nipate Musa wakuongea nawe kama utapata kibali kwa mungu
Mungu akubariki pastor Kwa somo hili hakika mungu akuzidishiee hekima Na kibali kikumbwa
Ninaomba muimbee familia yetu upendo, mshikamano utawale ktk maisha yetu
🤲🙏,Naamini kupitia mahubiri haya wanangu watakombolewa ...
Amina nazidi kubarkiwa na kufunguliwa na nafeel aman rohoni mwangu🙏🙏
libarikiwe jina la yesu, nimependa mafundisho haya
Bwana Yesu asifiwe naomba mniombee kwa ajili ya familia yangu watoto wangu kazi za mikono yao afya zetu tumtegemee Mungu katika maisha yetu yakila siku
Amen🙏mungu akubariki sana pastor kwa mafunzo mema unatubariki nayo
Kweli Mungu ni mwema nime barikwa sana kwenye iki kipindi
Ombea mdogo wangu anugua kisukari na ana kidonda kikubwa sana
Somo hili limenitianguvu nyingi katka maisha yangu Bwana akubariki . Aminaa
Ubarikiwe
Nina muda sifuatilii haya mahubiri lakini leo nimesikia msukumo wa ajabu kusikiliza
Asante sana Bwana Yesu
Naomba uniombee duka langu likue,maanalimedumaa sana
Mungu anikumbuke kila ninaloanzisha linakufa,
Nimepona kwa jina la Yesu Amen
Shadrack... Naomba uponyaji wa macho ambayo yamenisumbua kwa miaka zaidi ya 10...na kufunguliwa toka katika nguvu za giza zinazonifuata na nguvu zinazoniletea mikwamo katika maisha yangu hasa ya uchumi
Naomba uniombee nipate uponyaji napitia magumu ya maisha
Mungu akutendee
Mungu akutendee
Naomba niweze kupona
Naomba UPONYAJI wa UCHUMI wangu,Mungu aguse hazina za wale aliowainua Kuni support kimitaji Ili wakatimize kama walivyoniahidi KATIKA JINA la Yesu Kristo, Amina
Mafundisho haya ni yangu kabisa... Ndoa yangu...Uchumi wangu ...madeni mengi kuliko mshahara...ukoo unanitegemea....Lakini nimepata Tumaini ktk kusikia fundisho hili.,. Naamini MUNGU nisaidie kutokuamini kwangu
MUNGU AKUBARIKI BABA UMENIPA MAJIBU YA JARIBU NINQLOPITIA NIMARAYAKWANZA KUKUSIKILIZA
Mchungaji ombea familia yangu iweze kufunguliwa kutoka umaskini na kizazi chetu kiweze kuendelea
Umasikini Sio ugonjwa ukifanya kazi Kwa bidii utaukimbia umasikini na uamini katika kile unacho omba MUNGU
Mungu niombeje kiusahihi
Ahsante Yesu kwa uponyaji
Amina
Mchungaji barikiwa sana nimeanz kufatilia mafunzo haya baada ya familia yetu kuondokewa na mpendwa wetu ambaye alkuw n nguzo katika familia yetu(BABA) na tukawa katika Sinto faham ya jinsi Gani tutaweza kwenda baada ya Yale yote.....Lkn nashuhudia ukuu huu wa mungu familia yetu inazd kufunguliwa zaid na zaid tofauti na watu walivyokuwa wadhani .... BARIKIWA SANA MCHUNGAJI 🙏🙏
Namshukuru Mungu Leo nilikuwa nasikiliza mahubiri tonses zilikuwa zimenibana baada ya maombi Mungu ameniponya kweli Kuna nguvu za Mungu tuamini jaman
Barikiwa sana
Pr David Mmbaga kwa neno la Mungu kupitia kinywa chako naomba Mungu aniinue ktk uchumi wangu pia afya njma
Mtumishi mi nahitaji kukuona wewe mwenyew nina shida sana
NAWAOMBEA wangu Mungu awapatie kazi za kudumu kuwainua kimaisha
Hakika Mungu akubariki sana...ni kila siku lazima nipitie video zako naona mabadiliko makubwa kuielewa biblia
Pastor naomba familia yangu kiuchumi kimaisha naomba mungu atutoe kwa wakat huu mgumu
Amen nimebarikiwa 🙏
Pr mtumishi wa Mungu aliye hai kwa neno lako naamini nimekuwa juu sana kiuchumi asante sana pr
: naomb Mungu anirudishie mkewang
Amina..Magret naamini Mungu anaona mikwamo yangu...na akafugue familia yangu.🙏🏽
NAMSHUKURU MUNGU KWA AMANI YAKE
Ukweli kabisa unasema mambo ya ukweli nimeokoka lakini nateseka sana miungu ya kwetu tunaokoka tunaanguka.hakuna hata mmoja amekaa kwenye ndoa,vijana wetu wanavuta bangi walevi wagomvi na hawakuwa hivyo.naomba MUNGU atume NENO moja familia ya AGUSTOR MSARIKIE wapate wokovu.ubarikiwe mchungaji Amina.
Ni kweli mchungaji wengi tumekwama Kwa sababu hatujapata utakazo.
Mungu akubariki sana..
Asante mungu nimebarikiwa🙏
Hesbon nyariki happiness mongare fortune obongo quinton mugoya
Amen pastor
Moza naomba nipone magonjwa yangu yote maumivu ya miguu maumivu ya kiuno naomba mungu aniponye
Mungu asifiwe
Pasta asante kwa fundisho hili, kweli ninaamini kuwa mangwanjwa yangu yamekwisha, prostate imekwisha, watoto wote wamefaanikiwa, na hivi Mungu anaogeza tena njia ya mapato yangu
Nimefunguliwa kwaimani ndowatangu maishayangu nafamiliya yangupiya katikajinalayesu
Anaamini Mungu amenitendea
Ningeamini mkwamo ninausababisha mwenyewe namsingizia tu shetani Kwa jina la YESU kuanzia Sasa sitakwama tena
Endelea kututia moyo
Mchunfaji namshukulu mungu kwa kukutumia utufungue akiri na nakuomba umuombee baba angu mashaka aokoke atoke kwenye vifungo mbal mbali
Amina Amina
Nanamushukuru Mungu kwakuniponya nilikua naumwa mkono lakini ulipo omba mkono wangu ukapona Mungu akubariki
Ameeen
Naomba maombi ya familia yangu hasa kwa kijana wangu Jayden hasibadilike vile ameenda secondary na mimi pia niondolee madeni niko nazo mingi...wanisamehe kwa hizi madeni niliingia bila kujua. Nimepitia mengi.
Amen..nimebarikiwa sana ..pr. Bwana akubariki
Muombee mama yangu anamatatizo
Ombea family yangu
kiusema kweli,, kwetu hakuna aliye soma, ushirikina, wazazi hawana ndoa,
Mungu amenipatia amani ya moyo na tumaini jipya kupitia somo hili
Mungu akubariki mchungaji
Nina imani siku yangu ya kufunguliwa ni leo .Nina amani na imani katika jina la Yesu .maombi yang ya mda mrefu yamejibiwa.
Uniombee nipate riziki pia na jamii yangu
Japo kuwa nasikiliza somo hili baada ya siku nyingi,siku hiyi,nina imani kwamba leo ntapokea muujiza wangu kwa jina la Yesu.
Amen
Amen nimebarikiwa🙏🙏🙏
Naomba uniombee mtoto wako anaamka usiku Analia bure miaka nane ukimuuliza Hana sababu
Niombee nimekwama miaka mingi peza zangu hazitulii
Niombee mamaangu mzazi anasahau hajielewi
Niombee nijue kuomba
Mungu azidi kukubaliki mchungaji
Amen amen amen nimefungulìwa katikajina layesu kristo wanazaret
ombi langu naomba mungu amupe mwanangu mudogo afia njema
Mchugaji nashukuru kwa ajili ya kipindi hiki.maana Mimi mambo yangu biashara zangu zimekwama na nimebaki na deni kubwa na nimekata tamaa.lakini kwa neno lako mtumishi ninaamini nimepona.ubarikiwe sana.
Asante pastor Mmbaga.Nahitaji maombi kwa mjukuu wangu Neviah ajue kuongea.
Pastor naomba niombee familia yangu
Ombea familia yangu na my aproval visa in jesus name
Na mimi siku zote hizi nasikiya pembeni nakichwa panauma naomba mungu anifungue.
Nmeamini mwanangu amefunguliwa masomomo yake maana glafla alikua kubadilika Ila sasa MUNGU ametenda🙏🙏
Naomba kufunguliwa milango biashara yangu imeenda chini Sana
Amen,mungu nisaidie niweze kuyasahau niliyatendewa wakati nilikua sina kitu,na nifunze kusamehe na kurudiana kama mwanzo
naomba maombi kuhusu kunywa pombe na kusoma neno la mungu lijae kwawingi 17:13 17:15 17:17
ombea familia nyangu na pia wenye wamepoteza familia zao kwa mafuriko. mungu awafariji
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Naamini mtoto wangu anatembea Anderson from NRB
Nasumbuliwa na mambo nisiyoyajua naomba maombi
Ubakiwe sana Mchungaji
asante pasta kwa fundisho
ila kuna dhambi nilifanya ila ilikuwa kwa siri bila kanisa kughundua ila inaendelea kuni sumbua nishaka tubu ila inaendelea kunisumbua nina mkwamo kila ninapo pata adjira sabato ndilo ina kuwa tatizo nina acha hiyo kazo
Kwa IMANI BWANA Ameniokoa.
Mungu akupe maisha malefu sana u
Mchungaji Naomba umwombee mtoto wangu Caroline Sanga Daraja la saba anafeli sana wakati alikuwa anashika nafasi ya Kwanza darasani.
Nahiji,maobmi kuobmea family yangu, Asant.
Amen namshkuru mungu nimeaka Salama
Watoto,uvuvio wa roho mtakatifu, uchumi
Amen... Shadrack following from Nairobi
Pastor please niombee baba ni mgonjwa then mamangu kafika 78 years kaanza kunyua pombe. Juzi akamjapa baba am feeling pain why my family
Amen Amen Amen
Amen
Familiar yetu kila atakaye inuka anaanguka yani tuko halingumu haki nahitaji musaada unifundishe niwezekuvunja hii hali
AMINA
pray for Winnie who is insane now 12years pls
Tuombee tutoke umaskin