❤naona kama vile masomo haya ni mahususi kwa ajili yangu tu leo nimeona muujiza baada kunyeshewa na mvua nilipokuwa kwenye usafiri wangu wa boda au pikipiki hali iliyopelekea simu yangu kuhariba kutokana hii mvua na ikashindwa kufanya kazi lakin nilipo gusa tu yutub kwaenye hotuba hii simu ikaanza kufanya kazi
😂😂😂😂 pastor nashukuru mungu sana, kwa kua nilikua siamini nitakua hiv nilivyo Toka nifuatilie mahubir naona mabadiliko makubwa katika maisha yangu, yakiroho
Pastor David mmbaga,ninabarikiwa sana ninapo sikia neno la mungu kupitia wewe,ninamshuru mungu baba wetu,kweli mungu anakutumia,mungu yuko kweli,katika jina ya yesu kristo.nimekufadilia,tangu nikiwa home nandi Kenya,sahii Niko Qatar,ninaamini siku mmoja kwa mapenzi ya mungu tutaonana.(lakini what up yako aifanyi kazi nimecharibu sana)
❤naona kama vile masomo haya ni mahususi kwa ajili yangu tu leo nimeona muujiza baada kunyeshewa na mvua nilipokuwa kwenye usafiri wangu wa boda au pikipiki hali iliyopelekea simu yangu kuhariba kutokana hii mvua na ikashindwa kufanya kazi lakin nilipo gusa tu yutub kwaenye hotuba hii simu ikaanza kufanya kazi
Haleruya ,Bwana Yesu akubariki mtumishi
😂😂😂😂 pastor nashukuru mungu sana, kwa kua nilikua siamini nitakua hiv nilivyo Toka nifuatilie mahubir naona mabadiliko makubwa katika maisha yangu, yakiroho
GOD bless you PR. Mmbaga
Barikiwa Sana mtumishi
Pastor David mmbaga,ninabarikiwa sana ninapo sikia neno la mungu kupitia wewe,ninamshuru mungu baba wetu,kweli mungu anakutumia,mungu yuko kweli,katika jina ya yesu kristo.nimekufadilia,tangu nikiwa home nandi Kenya,sahii Niko Qatar,ninaamini siku mmoja kwa mapenzi ya mungu tutaonana.(lakini what up yako aifanyi kazi nimecharibu sana)
K l
Barikiwa sana
🙏🙏be blessed pastor kwa mafundisho
Amen
Arsante sana mtumishi elimu yako nihakika uliteuliwa na Bwana sii Kwa uwezo wako bali Mungu anatukuzwa kupitia sauti yako
Mchungaji !nime ridhika sana na utafsiri ya uelewa wa neno ambalo Mungu ame weka ndani yako,nina tamani ubongo wako mara mbili.
Amina
Aimen nazidi kupata falaja kubwa sana napoyasikiliza mahubir yako mchungaji MUNGU akubaliki sana
Be blessed pastor
Amen Amen Asante Kwa mahubiri haya nimebarikiwa na kujifunza mengi Mungu akubariki sana Pastor
barikiwa sana mtumishi wa Bwana
Amen You always Bless me pastor David Mmbaga Hakika kupitia wewe Nimejifunza vingi
Bwana yesu akubariki kwa mafundisho mtumishi wa mungu nabarikiwa nakupiga hatua kiimani kwa mafundishwo haya be blessed 🙏🙏🙏
Mafundisho ni memaaa
Nakusikiliza Pastor wetu kutoka Zanzibar ninge penda kama utanipa no Yako nikupigie maana nakuona mtandani2 Unanibariki sana.
Mungu hakubariki sana mjungaji nimehinuliwa sana kupitia wewe.
Mungu akubariki uendelee na Kaz yake aliyo kuitia🙏🙏🙏🙏🙏mungu atukuzwe
Amina mtumishi Mungu azidi kukutumia ili tubarikiwe.
Amen amen baba 🙏🙏🙏
Aminaa Mungu atukuzwe
Tuko pamoja mtumishi wa Mungu
Asante sana Pastor nabarikiwa sana 🙏🏼
Amen Amen barikiwa sana
Amen 🙏
Amen. Blessings pastor Mmbaga
Amen Ubarikiwe pastor
Ameen
MUNGU WA MBINGUNI, BWANA WA MAJESHI NAPOKEA MAFUNDISHO YA MTUMISHI WAKO YAKAISHI NA KUZAA NDANI YA MOYO WANGU, AAMINA
Amen ubarikiwe Pastor.
Bwana azidi kukutunza nakukutumia kadri apendavyo yeye.
Marko 16:16 rejea
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen