Wakati wa kutoka - Pr. Geoffrey Mbwana

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • Peace And Hope for Mombasa City 2015
    Pastor Geoffrey Mbwana presenting messages of Peace and Hope at Mary Clip Grounds - Tudor

Komentáře • 38

  • @rajabkafuta3385
    @rajabkafuta3385 Před 7 lety +8

    napenda mahubiri ya mchungaji geoffrey mbwana,,Mungu akupe uwezo na nguvu zaidi kueneza injili kote

  • @damarisondiek5414
    @damarisondiek5414 Před 5 lety +1

    AMEN Yesu Kristo asante kwa funzo umenipa asante ROHO MTAKATIFU kwa kunielekeza kwa pst Geoffrey Asante, pst Geoffrey Asante kwa funzo ulipewana ROHO MTAKATIFU utufundishe nimepata kujifunza mengi na makuu asante

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 Před 6 lety +3

    Nabarikiwa sana na mafundisho ya pr mbwana MUNGU akubariki sana mtumishi.siku moja tukutane Asubuhi ile njema YESU atakaporudi

  • @geoffreymakendo9842
    @geoffreymakendo9842 Před 8 lety +2

    The bible is the only measure of our truth.Godliness with contentment of great value to our Christianity.

  • @silvanadeus3666
    @silvanadeus3666 Před 7 lety +3

    i real love this man of God because he teaches the truth of the living God

  • @jonasshirima2376
    @jonasshirima2376 Před 6 lety +1

    Yaani unapofundisha sitaki umalize hakika Mungu azidi kukuinua Pastor

  • @bejamineshallom4922
    @bejamineshallom4922 Před 8 lety +1

    I'm very blessed man of God kwa Ile ukweli umesema, kuhuzu siku ya kuabudu Hilo Ni neno ambalo lilikua likinisumbua sasa hivi nimeelewa,pia kuhuzu ukweli, Ni kwamba watu wa mungu wanajua ukweli lakini wanaokopa kuambia watu, kisa na maana watakula nini

    • @alphoncejuma6758
      @alphoncejuma6758 Před 6 lety

      I love PR.Mbwana you have been my role model since your voice strikes my ears GOD bless you,Amen.

    • @kadoaugust6497
      @kadoaugust6497 Před 5 lety +1

      Unafundisha vizuri!

  • @sheilaombongi8086
    @sheilaombongi8086 Před 4 lety

    Hee mungu ninaomba amani,pastor barkikiwa sana kwa uhubiri nzuri Amina

  • @henrichykenia402
    @henrichykenia402 Před 6 lety +1

    wauh ! it was very amazing preaching pastor may the Almight God bless u!

  • @salimmasatu7637
    @salimmasatu7637 Před 7 lety +3

    mchungaji kwa hakika umebarkiwa kwa kipaji cha kuhubiri na kufundisha pia

  • @godsonmacoco6419
    @godsonmacoco6419 Před 4 lety +2

    Pr Mbwana Mungu Akulinde 🙌

  • @faithsharon761
    @faithsharon761 Před 4 lety

    mungu azidi kukupa afya njema ili uzidi kuipeleka mbele injil ya milele

  • @pricillahayako4480
    @pricillahayako4480 Před rokem

    Pr. Bwana unahubiri mbona usisunguke makanisa yote uokoe watu wa mungu

  • @jacksonprojestus397
    @jacksonprojestus397 Před 6 lety +3

    Mungu akubariki

  • @jacksonprojestus397
    @jacksonprojestus397 Před 6 lety +2

    maisha ni hatari katika uinjilisiti maana ukengeufu mwingi

  • @janewathiru5358
    @janewathiru5358 Před 7 lety +3

    Naomba kujua jina la choir na huyo wimbo

    • @jonasshirima2376
      @jonasshirima2376 Před 6 lety

      Hakika unanifundisha na ninakulewa vizuri mno Mungu wa Mbinguni akibariki mtumishi

  • @nibonisyendalima5165
    @nibonisyendalima5165 Před 6 lety +2

    Mungu atusaidie

  • @phidoogola8211
    @phidoogola8211 Před 6 lety +1

    Ubarikiwe sana mchungaji tunawapenda sana

  • @2CBNTV
    @2CBNTV  Před 4 lety

    czcams.com/play/PLyiNk7qt5y7d_PRU8QVTXGuZE1MSKe9vY.html

  • @neemajoyce3206
    @neemajoyce3206 Před 4 lety +1

    Pastor Mbwana Mungu akuongezee Baraka tele lakini USA,UK,Australia na inshi nyingine zilizoendelea mbona tumechanganyikiwa na ubabeli kanisani ikifika sherehe za mapagani pia tunatangaziwa Christmas 🎄 sabbath ikifika Easter 🐣 tunatangaziwa Easter kanisani tufanye nini mbona Babylon ikondani yakanisa?

    • @charlesmiyoro8912
      @charlesmiyoro8912 Před 3 lety

      Ni dhahiri dada yetu maovu kuonekana kanisani maana mwuovu shetani anapeleka vita vyake pahali panapostahili vita msitari wa mbele, ndio maana hata Christo alipokuwa jangwani baada ya kufunga kwa usiku na mchana arobaini akawa ana njaa shetani akamwambia Kristo yageuze haya mawe yawe chakula kristo akamjibu mtu haishi kwa mkate tu ila neno litokalo kinywani mwa mungu.hivo dada yetu usiwe na mashaka hatujafika mbinguni tu takwewa duniani, hasa makanisani kwani shetani ameghadhabika na yule mama msafi wa ufunuo 12: 1- na atasiaga vizazi vyake mama.

  • @philemonimbwambo5539
    @philemonimbwambo5539 Před 6 lety +2

    naomba kufaham hiyo kwaya iliyo hudumu hapo ni ya wapi?

  • @paulmiuta5849
    @paulmiuta5849 Před 2 lety

    Amen pastor

  • @elizabethogare2473
    @elizabethogare2473 Před 7 lety +1

    Ubalikiwe

  • @gothamgothad8565
    @gothamgothad8565 Před 7 lety +1

    Glory to God

  • @annamnyampaaala2582
    @annamnyampaaala2582 Před 5 lety

    Nabarikiwa sana pastor

  • @sheilaombongi8086
    @sheilaombongi8086 Před 4 lety

    Neno la mungu nayo ni vaccine kwetu hallelujah

  • @namwenyechikira8
    @namwenyechikira8 Před 7 lety +4

    amen

  • @maureenjovial6083
    @maureenjovial6083 Před 3 lety

    Amen thank you God

  • @stevenkilian4594
    @stevenkilian4594 Před 7 lety

    god bleesed

  • @danielreuben9332
    @danielreuben9332 Před 4 lety +1

    Neno Kuntu

  • @barakajoseph1816
    @barakajoseph1816 Před 4 lety

    Hallelujah

  • @christinemogire4233
    @christinemogire4233 Před 7 lety +1

    amen