MUNGU ATAINGILIA KATI MAMBO YAKO? | PR.DAVID MMBAGA -

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 05. 2024

Komentáře • 76

  • @stivininjingo504
    @stivininjingo504 Před měsícem +14

    Wow pr. Mbaga unanibariki sana, najitahidi kuyaishi mafundisho Yako, 1 ya faida niliyoipata, nilikuwa na vidonda vya tumbo kwisha, maumivu ya uti wa mgongo kwisha, kwa kufyeka tu mazingira ya kanisa na kuyasafisha Kila j. Pili. Barikiwa sana

  • @elizabethasha1677
    @elizabethasha1677 Před měsícem +8

    Niombe Pastor nimefika mwisho naitwa Elizabeth,umekua ukiniombea nashukuru.Mimi ni mkenya.
    Niombee neema ya Bwana inifunike na Yesu anionekani kwa rehema zake katika ndoa yangu,Watoto wangu na Mume wangu,yaani familia yangu,Atufungue,atuondolee mambo ya giza na kwenye mateka ya shetani.
    Asante

  • @maureenmgeni
    @maureenmgeni Před měsícem +15

    Nimebarikiwa sana kwa somo hili. Sifa na Utukufu ni kwa Mungu Baba Mwenyezi mwenye Upendo usio kifani kwani hutusamehe makosa yetu na kututakasa dhambi zetu kwa Damu Ya Yesu KRISTO BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YETU. AMINA.

    • @SamuelMwambene
      @SamuelMwambene Před měsícem +2

      Asante kaka pasta Mungu awe pamoja nawe,

  • @PresciousGold
    @PresciousGold Před 29 dny +4

    Amen amen nimebarikiwa sana mtumish mungu aendelee kukupa nguvu 🙏🙏🙏

  • @margaretwanjiru9096
    @margaretwanjiru9096 Před měsícem +3

    Kwa kweli umenifundisha mambo mengi Hadi imebadili maisha yangu Barikiwa na bwana

  • @user-tr6vq5ld5o
    @user-tr6vq5ld5o Před 29 dny +3

    Ubarikiwe mchungaji.
    Nilikutana na mhadhiri ambaye hats sauti yangu alikuwa hataki kuisikia.
    Uifanya mawasilisho ya kazi ukisoma sentensi mbili anakuambia stop mpe mwingine .Marks zake Sasa Dio usiseme.Nashukuru kwa kufunuliwa hili.Mungu nipiganie

  • @lennyfrank
    @lennyfrank Před měsícem +3

    Ameen Ameen

  • @MaryWanjiku-tr8ji
    @MaryWanjiku-tr8ji Před 29 dny +5

    Pastor Mimi huwanikiomba naongea dimi nsaidia

  • @jeikary8767
    @jeikary8767 Před měsícem +3

    Hii story yko inani furahiaanga sana mungu akubariki

  • @jasuminsele7538
    @jasuminsele7538 Před 3 dny

    Nabarikiwa Sana na mafundisho yako wewe ni Mwalimu,Mungu akubariki

  • @mariamaswani832
    @mariamaswani832 Před měsícem +3

    Nakushukuru pastor kwa mafundisho yako. Fundisho hili limenigusa sana linahusu maisha yangu na family yangu naomba uniombee nitoke kwenye roho za mizimu mungu akubariki sana

  • @AchelKwizera
    @AchelKwizera Před měsícem +4

    Mungu alinde vyombo vyenu iki tuendeley kusikiriza Habari njema ,,mim niko burundi nanijifunza mengi kilakukicha kupitia mahubiri TV, ila natamani siku moja nikutane na pr David Mbaga.
    Happy sabbath

    • @user-gx6nk6wg4j
      @user-gx6nk6wg4j Před měsícem

      Nafurahia kuona kwamba kuna mtu wa nyumbani tunakutania hapa kwenye hii meza kupata maneno ya MUNGU hakika tuzidi kubarikiwa haya maneno akawe na nguvu katika maisha yetu hivyo ile siku itakapo fika tuwe miongoni mwa wale watakae mpokea YESU KRISTO kwa shangwe na furaha tele

  • @speciozakaloli
    @speciozakaloli Před 29 dny +3

    Imani katika Yesu Kristu

  • @user-hc4jv8uz5b
    @user-hc4jv8uz5b Před měsícem +2

    Hili somo ni la kwangu kabxa.Barikiwa sana pastor wangu.

  • @amosmonary
    @amosmonary Před měsícem +3

    Hili nalo ni la kwangu , for sure God is working through you Mchungaji. I have really struggled to finish my education but still in vain ,

  • @williamjumbe1988
    @williamjumbe1988 Před měsícem +3

    Hili SoMo , pastor umeyagusa maisha yangu, Yani ile mtu unachukiwa ukiwa unasoma duhu, mpaka lecture Yuko radhi akuharibie wewe ambae ndo upo chuo mpaka wizarani hili usichomoze maishani, unaweza chukiwa na kila unae kutana nae , tuombee mungu atupe roho ya kibali kukataliwa imetosha, make Vita ni nzito imetutesa miaka pastor,

  • @rayman111
    @rayman111 Před měsícem +3

    Kwa mara ya kwanza nimepata live
    Hapa kutoka Australia.
    Nabarikiwa sana , Mungu aendelee kukuinua ktk viwango vya juu zaidi.
    Ubarikiwe na Bwana mtumishi

  • @elienew3788
    @elienew3788 Před měsícem +2

    Amina amina Mungu azidi kukutia nguvu Mtumishi wa Mungu na barikiwa sana nkiwa Lebanon

  • @lilianeerica3318
    @lilianeerica3318 Před měsícem +5

    Ninaisubiri kwa hamu🙏🙏🙏🙏

  • @sylviesaidi5740
    @sylviesaidi5740 Před měsícem +2

    Nikumbuke kwamaombi pia pastor 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @williambega7810
    @williambega7810 Před měsícem +2

    Ubarikiwe pasta nakupenda sana Mungu akuzidishe mara Elfu Elfu

  • @leahwainaina4396
    @leahwainaina4396 Před měsícem +2

    Amen

  • @Blop95
    @Blop95 Před 26 dny +1

    Mambo mazito Sana.
    Asante Kwa hili neno

  • @phanemochache352
    @phanemochache352 Před měsícem +2

    This is powerful! Following from Nairobi.

  • @rahimajuma5306
    @rahimajuma5306 Před 26 dny +1

    Mungu akubariki sana

  • @FrenkNgurukah-vi2mc
    @FrenkNgurukah-vi2mc Před měsícem +2

    Amina sana mtumishi🎉

  • @elizabethmatiko9794
    @elizabethmatiko9794 Před 25 dny

    Nimebarikiwa sana mtumishi wa Mungu 🙏

  • @shaniachanceline2751
    @shaniachanceline2751 Před měsícem +2

    Amen! God is great ❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-sr3rn1ty9g
    @user-sr3rn1ty9g Před měsícem +3

    Preacher naomba utusaidie kujua nguvu ya msalaba maana 2na struggling katk kujua nguvu ya mungu barikiwa sanaa

  • @maseaJoe8676
    @maseaJoe8676 Před měsícem +2

    Asante Yesu Amen Amen Amen 🙌🤲

  • @estershedrack530
    @estershedrack530 Před 21 dnem

    Grorry to God
    Ubarikiwe saana pastor

  • @VenerandaKundi-ph4hg
    @VenerandaKundi-ph4hg Před 10 dny

    Asante mtumishi wa mungu akubariki na akulinde mafundisho yako safi

  • @ambonisefesto1416
    @ambonisefesto1416 Před měsícem +2

    Pr huwa nakukubali sana shuhuda zako huwa zinanipa moto wa imani lakini changamoto yangu kubwa ni magonjwa kwangu na mume wangu na upandewa watoto wangu

  • @Ungwamissi
    @Ungwamissi Před měsícem +2

    Amennn❤❤❤

  • @MarimaAlez-kc5rj
    @MarimaAlez-kc5rj Před měsícem +2

    mungu habarikiwe😂 hakubariki nawewe pia hanibariki namimi kwanzia leo Mimi nimushindi wazambi kwanzia sasa Hadi mirere

  • @ElibarickAllex
    @ElibarickAllex Před 2 dny

    thank you lord

  • @MarthaTosh
    @MarthaTosh Před 21 dnem

    Mungo na habariki mtumishi wake,hii ibada ni Zuri hallelujah kwa masihi aliyemtuma

  • @esthernkwabi1675
    @esthernkwabi1675 Před 26 dny

    Nimebarikiwa na somo hili BWANA Akubariki sana.

  • @estergasaya6935
    @estergasaya6935 Před 9 hodinami

    Amina

  • @JosephineMuthoni-uw3yn
    @JosephineMuthoni-uw3yn Před 29 dny +2

    Pr Bwana akubariki sana.tangu nilianza kusikiza vipindi zako katika CZcams Channel nimebarikiwa sana ubarikiwe .

  • @Teresa-255
    @Teresa-255 Před měsícem +2

    AMEN

  • @sthazelallan8392
    @sthazelallan8392 Před 26 dny

    Amina sana..nimebarikiwa na mahubiri

  • @user-sj3xu6he5k
    @user-sj3xu6he5k Před 6 dny

    Mungu akubariki

  • @asiri-romy-simba3671
    @asiri-romy-simba3671 Před 26 dny +1

    Hero Wangu ni Jeremiah,the man who was not Afraid.

  • @ZaharaKamota
    @ZaharaKamota Před měsícem +1

    Unanibariki sana mtumishi wa Mungu, Mungu akuzidishe

  • @feadamagessa889
    @feadamagessa889 Před 3 dny

    Nashuhudia kuwa Mungu anaendelea taratibu kuingilia mambo yangu

  • @BensonMurithi-vr7ii
    @BensonMurithi-vr7ii Před 18 dny

    To God be the glory

  • @mlishohadija6923
    @mlishohadija6923 Před měsícem +1

    Amen ubarikiwe sana PR

  • @mahenzosamuelmahenzo7353
    @mahenzosamuelmahenzo7353 Před měsícem +2

    niko kazini lakini nafuatilia mafundishisho yako nabarikiwa sana mungu atubariki sote

  • @purity134
    @purity134 Před měsícem +1

    Blessings pastor

  • @JaluoOdera
    @JaluoOdera Před 3 dny

    MUNGU akubariki sana

  • @KwihaAthanas
    @KwihaAthanas Před 16 hodinami

    Samweli

  • @jescaissay2871
    @jescaissay2871 Před 13 dny

    Umenisaidia sana mchungaji

  • @ElijahMosong
    @ElijahMosong Před měsícem +2

    Nikumbuke pst kwa maombi biashara yngu iko jini

  • @maryaugustor6983
    @maryaugustor6983 Před 26 dny +2

    Shalom mchungaji huko ni mbali sasa tutapata je hiyo kitabu mchungaji?

  • @zabronemmanuel-eo1om
    @zabronemmanuel-eo1om Před měsícem

    Amina pastor

  • @calvinjoseph
    @calvinjoseph Před 27 dny +1

    Pastor, kwahiyo mpaka wanafunzi wake wote walikimbia 😅

  • @sylviesaidi5740
    @sylviesaidi5740 Před měsícem +2

    Nime furai san kweli 🎉😂😂😂❤

  • @omankadara6418
    @omankadara6418 Před 14 dny

    Ameen

  • @magrethsindabaha1851
    @magrethsindabaha1851 Před 13 dny

    Yohana

  • @BlaisetajiriTajiri-kg6ji
    @BlaisetajiriTajiri-kg6ji Před měsícem

    Mungu tu aku bariki pasta

  • @user-zt9fp8cp5s
    @user-zt9fp8cp5s Před 29 dny +1

    Naitwa imani nko geita umenibarik saana karbu geita kwenye makambi ya mwezi 7 Bomba mbir geita natamani kukuona laiv

  • @ruthsimon5846
    @ruthsimon5846 Před 26 dny +3

    Namtafuta huyu mchungaji, anapatikana wapi

  • @user-jq4zh1tm3g
    @user-jq4zh1tm3g Před měsícem +1

    Naomba.mchungaj.uniombee.vita.nikubw.ninamiaka.kama.nane.sijaenda.nnyumbani.niko.inje.yainchi.siamin.katika.uchawi

  • @olphanyamweya3154
    @olphanyamweya3154 Před měsícem +1

    Shunjaa ni Lazarus

  • @user-pg5kf2ec2i
    @user-pg5kf2ec2i Před 9 dny

    Nuhu

  • @maryaugustor6983
    @maryaugustor6983 Před 3 dny

    SASA NAULIZA MCHUNGAJI ATA KAMA TUKO MAKANISA YA SANAMU?

  • @kiungulias
    @kiungulias Před měsícem +3

    Mfalme wa salemu bado sija mjua vizuli jamani heb nisaidieni

  • @lulusenzia4807
    @lulusenzia4807 Před 26 dny +1

    Amen

  • @user-qv4oo6di1d
    @user-qv4oo6di1d Před měsícem +1

    Amina

  • @elizabethgodfreytondo3052

    Amen

  • @Calton898
    @Calton898 Před měsícem +1

    Amen