Wow pr. Mbaga unanibariki sana, najitahidi kuyaishi mafundisho Yako, 1 ya faida niliyoipata, nilikuwa na vidonda vya tumbo kwisha, maumivu ya uti wa mgongo kwisha, kwa kufyeka tu mazingira ya kanisa na kuyasafisha Kila j. Pili. Barikiwa sana
Niombe Pastor nimefika mwisho naitwa Elizabeth,umekua ukiniombea nashukuru.Mimi ni mkenya. Niombee neema ya Bwana inifunike na Yesu anionekani kwa rehema zake katika ndoa yangu,Watoto wangu na Mume wangu,yaani familia yangu,Atufungue,atuondolee mambo ya giza na kwenye mateka ya shetani. Asante
Nimebarikiwa sana kwa somo hili. Sifa na Utukufu ni kwa Mungu Baba Mwenyezi mwenye Upendo usio kifani kwani hutusamehe makosa yetu na kututakasa dhambi zetu kwa Damu Ya Yesu KRISTO BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YETU. AMINA.
Ubarikiwe mchungaji. Nilikutana na mhadhiri ambaye hats sauti yangu alikuwa hataki kuisikia. Uifanya mawasilisho ya kazi ukisoma sentensi mbili anakuambia stop mpe mwingine .Marks zake Sasa Dio usiseme.Nashukuru kwa kufunuliwa hili.Mungu nipiganie
Nakushukuru pastor kwa mafundisho yako. Fundisho hili limenigusa sana linahusu maisha yangu na family yangu naomba uniombee nitoke kwenye roho za mizimu mungu akubariki sana
Mungu alinde vyombo vyenu iki tuendeley kusikiriza Habari njema ,,mim niko burundi nanijifunza mengi kilakukicha kupitia mahubiri TV, ila natamani siku moja nikutane na pr David Mbaga. Happy sabbath
Nafurahia kuona kwamba kuna mtu wa nyumbani tunakutania hapa kwenye hii meza kupata maneno ya MUNGU hakika tuzidi kubarikiwa haya maneno akawe na nguvu katika maisha yetu hivyo ile siku itakapo fika tuwe miongoni mwa wale watakae mpokea YESU KRISTO kwa shangwe na furaha tele
Hili SoMo , pastor umeyagusa maisha yangu, Yani ile mtu unachukiwa ukiwa unasoma duhu, mpaka lecture Yuko radhi akuharibie wewe ambae ndo upo chuo mpaka wizarani hili usichomoze maishani, unaweza chukiwa na kila unae kutana nae , tuombee mungu atupe roho ya kibali kukataliwa imetosha, make Vita ni nzito imetutesa miaka pastor,
Kwa mara ya kwanza nimepata live Hapa kutoka Australia. Nabarikiwa sana , Mungu aendelee kukuinua ktk viwango vya juu zaidi. Ubarikiwe na Bwana mtumishi
Pr huwa nakukubali sana shuhuda zako huwa zinanipa moto wa imani lakini changamoto yangu kubwa ni magonjwa kwangu na mume wangu na upandewa watoto wangu
Wow pr. Mbaga unanibariki sana, najitahidi kuyaishi mafundisho Yako, 1 ya faida niliyoipata, nilikuwa na vidonda vya tumbo kwisha, maumivu ya uti wa mgongo kwisha, kwa kufyeka tu mazingira ya kanisa na kuyasafisha Kila j. Pili. Barikiwa sana
Niombe Pastor nimefika mwisho naitwa Elizabeth,umekua ukiniombea nashukuru.Mimi ni mkenya.
Niombee neema ya Bwana inifunike na Yesu anionekani kwa rehema zake katika ndoa yangu,Watoto wangu na Mume wangu,yaani familia yangu,Atufungue,atuondolee mambo ya giza na kwenye mateka ya shetani.
Asante
Nimebarikiwa sana kwa somo hili. Sifa na Utukufu ni kwa Mungu Baba Mwenyezi mwenye Upendo usio kifani kwani hutusamehe makosa yetu na kututakasa dhambi zetu kwa Damu Ya Yesu KRISTO BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YETU. AMINA.
Asante kaka pasta Mungu awe pamoja nawe,
Amen amen nimebarikiwa sana mtumish mungu aendelee kukupa nguvu 🙏🙏🙏
Kwa kweli umenifundisha mambo mengi Hadi imebadili maisha yangu Barikiwa na bwana
Ubarikiwe mchungaji.
Nilikutana na mhadhiri ambaye hats sauti yangu alikuwa hataki kuisikia.
Uifanya mawasilisho ya kazi ukisoma sentensi mbili anakuambia stop mpe mwingine .Marks zake Sasa Dio usiseme.Nashukuru kwa kufunuliwa hili.Mungu nipiganie
Ameen Ameen
Pastor Mimi huwanikiomba naongea dimi nsaidia
Hii story yko inani furahiaanga sana mungu akubariki
Nabarikiwa Sana na mafundisho yako wewe ni Mwalimu,Mungu akubariki
Nakushukuru pastor kwa mafundisho yako. Fundisho hili limenigusa sana linahusu maisha yangu na family yangu naomba uniombee nitoke kwenye roho za mizimu mungu akubariki sana
Mungu alinde vyombo vyenu iki tuendeley kusikiriza Habari njema ,,mim niko burundi nanijifunza mengi kilakukicha kupitia mahubiri TV, ila natamani siku moja nikutane na pr David Mbaga.
Happy sabbath
Nafurahia kuona kwamba kuna mtu wa nyumbani tunakutania hapa kwenye hii meza kupata maneno ya MUNGU hakika tuzidi kubarikiwa haya maneno akawe na nguvu katika maisha yetu hivyo ile siku itakapo fika tuwe miongoni mwa wale watakae mpokea YESU KRISTO kwa shangwe na furaha tele
Imani katika Yesu Kristu
Hili somo ni la kwangu kabxa.Barikiwa sana pastor wangu.
Hili nalo ni la kwangu , for sure God is working through you Mchungaji. I have really struggled to finish my education but still in vain ,
Hili SoMo , pastor umeyagusa maisha yangu, Yani ile mtu unachukiwa ukiwa unasoma duhu, mpaka lecture Yuko radhi akuharibie wewe ambae ndo upo chuo mpaka wizarani hili usichomoze maishani, unaweza chukiwa na kila unae kutana nae , tuombee mungu atupe roho ya kibali kukataliwa imetosha, make Vita ni nzito imetutesa miaka pastor,
Kwa mara ya kwanza nimepata live
Hapa kutoka Australia.
Nabarikiwa sana , Mungu aendelee kukuinua ktk viwango vya juu zaidi.
Ubarikiwe na Bwana mtumishi
Amina amina Mungu azidi kukutia nguvu Mtumishi wa Mungu na barikiwa sana nkiwa Lebanon
Ninaisubiri kwa hamu🙏🙏🙏🙏
Nikumbuke kwamaombi pia pastor 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Ubarikiwe pasta nakupenda sana Mungu akuzidishe mara Elfu Elfu
Amen
Mambo mazito Sana.
Asante Kwa hili neno
This is powerful! Following from Nairobi.
Mungu akubariki sana
Amina sana mtumishi🎉
Nimebarikiwa sana mtumishi wa Mungu 🙏
Amen! God is great ❤❤❤❤❤❤❤
Preacher naomba utusaidie kujua nguvu ya msalaba maana 2na struggling katk kujua nguvu ya mungu barikiwa sanaa
Asante Yesu Amen Amen Amen 🙌🤲
Grorry to God
Ubarikiwe saana pastor
Asante mtumishi wa mungu akubariki na akulinde mafundisho yako safi
Pr huwa nakukubali sana shuhuda zako huwa zinanipa moto wa imani lakini changamoto yangu kubwa ni magonjwa kwangu na mume wangu na upandewa watoto wangu
Amennn❤❤❤
mungu habarikiwe😂 hakubariki nawewe pia hanibariki namimi kwanzia leo Mimi nimushindi wazambi kwanzia sasa Hadi mirere
thank you lord
Mungo na habariki mtumishi wake,hii ibada ni Zuri hallelujah kwa masihi aliyemtuma
Nimebarikiwa na somo hili BWANA Akubariki sana.
Amina
Pr Bwana akubariki sana.tangu nilianza kusikiza vipindi zako katika CZcams Channel nimebarikiwa sana ubarikiwe .
AMEN
Amina sana..nimebarikiwa na mahubiri
Mungu akubariki
Hero Wangu ni Jeremiah,the man who was not Afraid.
Unanibariki sana mtumishi wa Mungu, Mungu akuzidishe
Nashuhudia kuwa Mungu anaendelea taratibu kuingilia mambo yangu
To God be the glory
Amen ubarikiwe sana PR
niko kazini lakini nafuatilia mafundishisho yako nabarikiwa sana mungu atubariki sote
Blessings pastor
MUNGU akubariki sana
Samweli
Umenisaidia sana mchungaji
Nikumbuke pst kwa maombi biashara yngu iko jini
Shalom mchungaji huko ni mbali sasa tutapata je hiyo kitabu mchungaji?
Amina pastor
Pastor, kwahiyo mpaka wanafunzi wake wote walikimbia 😅
Nime furai san kweli 🎉😂😂😂❤
😂😂
Ameen
Yohana
Mungu tu aku bariki pasta
Naitwa imani nko geita umenibarik saana karbu geita kwenye makambi ya mwezi 7 Bomba mbir geita natamani kukuona laiv
Namtafuta huyu mchungaji, anapatikana wapi
Ubarikiwe +255 755 932 283
Naomba.mchungaj.uniombee.vita.nikubw.ninamiaka.kama.nane.sijaenda.nnyumbani.niko.inje.yainchi.siamin.katika.uchawi
Shunjaa ni Lazarus
Nuhu
SASA NAULIZA MCHUNGAJI ATA KAMA TUKO MAKANISA YA SANAMU?
Mfalme wa salemu bado sija mjua vizuli jamani heb nisaidieni
Amen
Amina
Amen
Amen