Ukweli mtupu mtumishi. Niko huku kwao. Hakuna vitu vya asili umenitamanisha nyumbani. Waambie tena na tena, wasitamani wazungu. Africa tuko na yote ndani ya yoye. Barikiwa sana
Mungu aliye hai aendelee kukupa hekima, maarifa zaidi, nguvu na moyo wa kuendelea kutumikia mafunzo yako yanabariki hasa somo la kufunga limebadilisha seem kubwa na muimu ya maisha yangu nategemea na maisha ya wengine pia, AMEN 🙏🏿
Kitu ilifanya nikaanza kukufuatilia mafundisho yako ni wakati ulifundisha umuhimu WA KUFUNGA na kuomba,mimi mwenyewe nilikuwa mvivu WA kuomba na KUFUNGA Lakin kupitia kwako imekuwa mtindo kwangu WA KUFUNGA hata siku Tatu ama wiki mfulilizo na ninaona raha nikiwa nashinda kwenye maombi. BARIKIWA Mara Saba sabini mtumishi WA Mungu ✊🏼✊🏼✊🏼🙏🏾🙏🏾🙏🏾❣️
I thank God for His grace upon me, I’m walking down streets of foreign cities but my heart is full of joy and praising in my lips I know even though I’m a sinner God still loves me thank you pastor
Kizazi Cha Sasa wanatafuta ushoga wanataka vitu vizuri kwa mkato ukiwambia wanakwambia ni wakizamani wanachoka kabla umri somo litawangia na pamoja na sisi
Mafunfisho yako mchungaji inasaidia watu wengi. Sasa,ujikaze kuto kutaja tu miji ya huko Tanzanie,bali ufundishe ukijuwa kwamba hata Kongo DRC,tunakufata sana.
Usemavyo nikweli pastor niliamua kwenda kuanzisha kilimo cha miwa wa natambua mie ni dr wakasema nimetumbuliwa na rais mapato walipoyaona wakasema unatumia uchawi
Dah,Mungu ni mwema sana. Nabarikiwa sana neno la Mungu kupitia Kwako Mch. David mbaga. Ubarikiwe sana Mch.🙏
Ubarikiwe mchungaji,mahubiri yako in mazuri sana
Mchungaji Mungu akubariki rafiki yangu
Amen to that sermon ,may the name of God be glorified .
Amina mtumishii
Live long mchungaji 🙏Kwa hakika mafundisho Yako yamenifungua macho ya roho 😢😢MUNGU akuzidishie zaidi🙏🙏🙏
Amen
Ukweli mtupu mtumishi. Niko huku kwao. Hakuna vitu vya asili umenitamanisha nyumbani. Waambie tena na tena, wasitamani wazungu. Africa tuko na yote ndani ya yoye. Barikiwa sana
Amen Asante Sana
Amen barikiwa sana
Amina ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu aliye hai 🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe pastor kwa neno. Hakika unapo pitia jambo lazima kumuuliza Mungu pamoja na subira.
Amina
Amina 🙏 🙏 🙏 🙏
Yani neno hili limenibariki sana,Mimi nimepitia haya yote,Hadi nikatamani niwe mu mslam🤔but kupitia neno hili God bless you 🙏. Riyadh town.
Amen
Amen p mungu azidi kukuweka
Mchungaji Usije ukajaribiwa kuacha huduma hii unayoifanya. Ni ya muhimu Sana na inatuokoa wengi. Mr. Mwano wa TRVF.
Amen
Amen 🙏
AMEEN MUNGU abariki fundisho hili 🙏🙏
Mungu aliye hai aendelee kukupa hekima, maarifa zaidi, nguvu na moyo wa kuendelea kutumikia mafunzo yako yanabariki hasa somo la kufunga limebadilisha seem kubwa na muimu ya maisha yangu nategemea na maisha ya wengine pia, AMEN 🙏🏿
Amena sana
👏👏👏👏
Kitu ilifanya nikaanza kukufuatilia mafundisho yako ni wakati ulifundisha umuhimu WA KUFUNGA na kuomba,mimi mwenyewe nilikuwa mvivu WA kuomba na KUFUNGA Lakin kupitia kwako imekuwa mtindo kwangu WA KUFUNGA hata siku Tatu ama wiki mfulilizo na ninaona raha nikiwa nashinda kwenye maombi.
BARIKIWA Mara Saba sabini mtumishi WA Mungu ✊🏼✊🏼✊🏼🙏🏾🙏🏾🙏🏾❣️
Ameeeen
Be blessed
Amen, mungu nipe hekima
Mafundisho yako ya ajabu Pastor barikiwa sana 🙏
Huyu jamaa ana IQ KUBWA SANA .NA ANAMJUA MUNGU
Nabarikiwa sana na mahubiri ya mtumishi wamungu mungu akulinde
Ninachokupendea Pastor ni hiki, au-hubiri dini yoyote, au chochote kile ila unamuhubiri Kristo.
Pastor am new here n I like ur sermon so much,we ar together,am watching from saud Arabia 🙏
Amen Pastor barikiwa sana
Amen,a wonderful sermon
Amen God bless you pastor
Barikiwa sana pasita,unatutia moyo sna
Pastor ahsant kwa mahubili mazur na maombi hakika kweli mungu amekutumia kuongea na watu wake amina sana
Amen.Yesu nipe hekima
Mungu nipenguvu nisikate tamaa
Baba ananitengeneza
I thank God for His grace upon me, I’m walking down streets of foreign cities but my heart is full of joy and praising in my lips I know even though I’m a sinner God still loves me thank you pastor
Amen
@@MahubiriPrMmbaga nna shida na no ya mbaga
Mungu ametenda majabu kwa Beth anste pastor kwa maombi Mungu akubarik
Aminaa barikiwa sana pastor David mmbaga
Mungu azidi kukubariki pastor asante kwa somo zuri
Jamani mungu atusaidie 🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe mtumishi wa Bwana
Amen Amen
Amen be blessed Pastor Mmbaga and your family
Mungu azidi kuwa nawe pastor 🙌 asante kwa ujumbe mazuri.
Mungu azidi kukubariki
Anster pastor kwa maombi Mungu nimwema kwangu lakin Mungu amguse boss kunakitu bado lakin namatumain Mungu atatenda kwa wakati wake
Ubarikiwe sana mtumishi
Nimeyapata vizuri kabisa asantee Mungu🤲Amina 🙏🙏
Amen amen 🙏🙏
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe pr
Binamu!!!
Kizazi Cha Sasa wanatafuta ushoga wanataka vitu vizuri kwa mkato ukiwambia wanakwambia ni wakizamani wanachoka kabla umri somo litawangia na pamoja na sisi
AMINA
Hv pasta nikufananishe na nn kat ya mapasta wa hapa Tanzania 🇹🇿 nnaowajua? Hapana kiukweli MUNGU wetu akupe zaid
Aminaaa
Asante sana Pastor.
Sasaningependakuomba yeyote ambaye ana number ya pastor,tafadhari anipe
Mchungaji mungu akulinde
🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼nabarikiwa nikiwa kenya🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
AWESOME SMS MTUMISHI
Niko Katoro geita naitaji vitabu vyako tavipaje
Ni ukweli pastor Africa tumebarkiwa sana, huku Kila kitu ni artificial nko Lebanon
😂😂😂😂 sasa kuna tafauti gani kumkumbuka "Yesu" ukiwa umelewa naku mkumbuka "malaya" ukiwa Kanisani???
Wanadamu Tuna shida sana😂😂😂😂😂😂😂
Yani mbaga umeongea neno hapa nakula matakataka Lasanya yani acha kabisa
✋
Mafunfisho yako mchungaji inasaidia watu wengi. Sasa,ujikaze kuto kutaja tu miji ya huko Tanzanie,bali ufundishe ukijuwa kwamba hata Kongo DRC,tunakufata sana.
Usemavyo nikweli pastor niliamua kwenda kuanzisha kilimo cha miwa wa natambua mie ni dr wakasema nimetumbuliwa na rais mapato walipoyaona wakasema unatumia uchawi
Amen 🙏🏾 Mungu nope hekima took!
Japo ni usiku, lakini nafatilia kutoka Australia
Ubarikiwe saana
Beautiful sermon Pastor!
Mungu akubariki sana na aenndelee kutumia kwa Kaz yake na akuepushe na mabaya
Somo limefka kwe2 vjana
Amen
Mchungaji Mungu akubariki rafiki yangu
Amina
Amen
Amen and Amen
Amen