Amen pastor, You are precious to me through your sermons. Bless you. Haya mahubiri ni tiba kwangu. Kabla sijalala najitibu na clip moja. Mungu akuponye juu zaidi na zaidi. Unaniponya moyo.
Be blessed pastor all the Sermon today was about me ican testify bz i am now longer suffering from Thyroid I have been living with this thyroid for about 6 years!But today when i was listening to this Sermon I touched my thyroid and say to God heal me Lord i have been through a lot,he healed me today and i can testify this evening Glory be to God the maker of heaven and Earth 🙏 Mungu azidi kukubariki Mchungaji Mungu ameniponya Sifa na utukufu tunamrudishia yeye 🙏
Asante paster,Mimi labda nikushuru Kwa ajili ya Mwenyezi Mungu,naona hii post ni miezi mitano iliyopita km sijakosea ila Mimi nimeona Leo mwezi wa nane,hakika nilikuwa natafuta namn ya kuondokan na msongo wa mawazo uliopitiliza gafla ikaja hii post,imenisadia Kwa kiasi kikubwa sana ila naomba km Huwa mnapitia comment za matukio yaliyo pita km comment yangu itasomwa,nimetokea kuamini na kukubali mafundisho yako,naomba maombezi yako jina langu ni Stella Petro,Asante.
Pastor pray for my family,, business,our spiritual life, our sda church,those against us becoz of faith and finally sda globally. May God continue using u these last days
Mchungaji Asante kwa mafundisho mazuri ya kibibilia ,nmejifunza mengi kutokana na fundisho la hili Mungu azidi kukutia nguvu kwenye hii kazi ya utumishi🙏🙏
Amen Mtumishi wa Mungu Mimi ni Mluther ila ninabarikiwa sana na masomo yako maana masomo yako hayana udini na uthehebu ila ni kuwaleta watu wote kwa Yesu Mungu akubariki sana
Ubarikiwe mch mbaga napitia wakati mtumishi mpaka nilichanganyikiwa moyo mda mwingine unauma naomba uniombee nasumbuliwa na nguvu za giza nimtu wakuota vitu vibaya nang'atwa navitu usiku kwenye ndoto nimeomba sana mtumishi kama ninavitu vyao kwa kuto kujua niombee nikafunguliwe
Huo wakati labda unapitia wewe mimi nira yangu ni nyepesi kabisa nalala nakula nakunwa sasa hapo ugumu huko wapi unajipangia ya kwako kichwani. Baba sipendi mahubili yako mimi sio msabato
Thank you LORD for You're not yet done with me, You're my SHEPHERD; I shall not want. GOD bless you abundantly Pastor Mmbaga for this timely and wonderful message, 🙏🏻 🙌🏻 .
Mwenyezi Mungu naomba umponye mwanangu Irene Sengele kutoka Hali mbaya ya ugonjwa usiojulikana ,naomba umuokoe kutoka roho ya mauti inayomuandama Sasa pale hospital Amina!!
Asante kwa Mahubiri Tunakusihi kutuombea tuna wanafunzi watakaofanya mitihani ya kisecondari hapa Drc muji wa ishasha tunao taka usaada wa maombi utakapo kua na maombi usisahau
Ubarikiwe pastor..niliibiwa documents zangu za shule original certificates pamoja n simu ,nguo,simu ,pesa lakini nashukuru saana mungu ashukuriwe kw Kila jambo
Amen pastor,
You are precious to me through your sermons.
Bless you.
Haya mahubiri ni tiba kwangu.
Kabla sijalala najitibu na clip moja.
Mungu akuponye juu zaidi na zaidi.
Unaniponya moyo.
Hakika umenbariki pr Mungu akubariki
Amen Pastor.. nimebarikiwa
Eee Mugu utuondolee uchungu ndani yetu saw saw na upendo wakooo
Be blessed pastor all the Sermon today was about me ican testify bz i am now longer suffering from Thyroid
I have been living with this thyroid for about 6 years!But today when i was listening to this Sermon I touched my thyroid and say to God heal me Lord i have been through a lot,he healed me today and i can testify this evening
Glory be to God the maker of heaven and Earth 🙏
Mungu azidi kukubariki Mchungaji
Mungu ameniponya
Sifa na utukufu tunamrudishia yeye 🙏
Ubarikiwe sana mtumishi
Mungu akubaliki Mtumishi wa Baba.
Amen,
Pr. This message was specifically for me today, I was really down and now feel nourished in my heart,
Thank you pastor, God bless you 47:28
Be blessed Pr.Mmbaga.
Mch. Mafundisho yako yananibariki sana na tena yananiimiza na kuniongezea sana Imani Mwenyenzi Mungu akubariki sana na akuzifishie siku na miaka
Mafundisho Yako yana ni j'engage sana
Amen pastor, ninajiskia amani sana nikikuskiliza na ninapata nguvu ya kusali mda mwngne swez lkn kwa maneno yako pastor ad machoz asee
Pastor , naomba namba Yako ya simu,nahitaji kuwasiliana na wewe, ahsante sana 🙏
Amina Pastor we are really blessed
Amen🙏 Mungu akubasaki sn mchungaji Mbaga wew umekuwa musada sn kwa watu wangi MUNGU uzidi kukupaka mafuta nakukutumia atakavyo 🙏
Asante paster,Mimi labda nikushuru Kwa ajili ya Mwenyezi Mungu,naona hii post ni miezi mitano iliyopita km sijakosea ila Mimi nimeona Leo mwezi wa nane,hakika nilikuwa natafuta namn ya kuondokan na msongo wa mawazo uliopitiliza gafla ikaja hii post,imenisadia Kwa kiasi kikubwa sana ila naomba km Huwa mnapitia comment za matukio yaliyo pita km comment yangu itasomwa,nimetokea kuamini na kukubali mafundisho yako,naomba maombezi yako jina langu ni Stella Petro,Asante.
M. MUNGU azidi kukutunza na akubariki sana. Hili somo ni langu kabsaa. Eeh M. MUNGU azidi kukutumia Pastor David Mbaga 🙏
Hakika Mungu ni pendo🙏
Ubarikiwe sana pr
Be blessed pastor ❤
Great message, thank you Pastor this is the voice of God.
Nimaombi yangu kwa Mwenyezi MUNGU azidi kukutumia kwaviwango vyajuu barikiwa sanaa 🙏🙏
Amini nimebalikiwa san
Hakika Mwenyezi Mungu ndiye mchungaji wangu atatufanyia wepesi katika mambo yetu tunayotamani atende
Pastor pray for my family,, business,our spiritual life, our sda church,those against us becoz of faith and finally sda globally. May God continue using u these last days
Blessings to you! Am praying for you
Be blessed pastor the sermon is about me am really heartbroken ,the word has blessed me alot
Mwenyezi Mungu, nakuomba mfungue kaka yangu kutoka katika vifungo vya ulevi na uvutaji wa bangi. AMINA. . Barikiwa sana mchungaji mbaga.
Hatimaye Familia yetu imefikia wafuasi 200k. Mungu atukuzwe kwa wema wake mkuu, maana anatenda mambo makuu na ya ajabu.
Ntapataje kuongea na mchungaji?
Mimi nashukuru sanaa kuamafundisho ambayo umetufundisha
Mungu na akubariki maana masomo yako mchungaji yanaponya hakika basi tubadilishe leo ❤❤
Aamen Pastor nimebarikiwa sana na mahubiri yako.Yanazidi kuniponesha roho yangu iliyoumizwa na watu wa ukoo.
Mungu naomba nguvu na Imani katika changamoto nazopitia mchunge mwanangu mungu wangu ,amen
Nashukuru mungu nimengi nimepitia lakini nazidi kuuona mkono wa mungu ukizidi kunitendea mema
Mchungaji Asante kwa mafundisho mazuri ya kibibilia ,nmejifunza mengi kutokana na fundisho la hili Mungu azidi kukutia nguvu kwenye hii kazi ya utumishi🙏🙏
Mchungaji ubarikiwe sasa nimeanza kuelewa
Hakika wewe ni Mwalimu wa neno la Mungu! Mungu amekuona maarifa ya kutosha juu ya neno lake la uzima! Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Amen Mtumishi wa Mungu Mimi ni Mluther ila ninabarikiwa sana na masomo yako maana masomo yako hayana udini na uthehebu ila ni kuwaleta watu wote kwa Yesu Mungu akubariki sana
Ameeeen
Pastor naweza pata wasilani wako kuna mambo nahitaji msaada mkubwa @@MahubiriPrMmbaga
amen kubwa
Ubarikiwe mch mbaga napitia wakati mtumishi mpaka nilichanganyikiwa moyo mda mwingine unauma naomba uniombee nasumbuliwa na nguvu za giza nimtu wakuota vitu vibaya nang'atwa navitu usiku kwenye ndoto nimeomba sana mtumishi kama ninavitu vyao kwa kuto kujua niombee nikafunguliwe
Huo wakati labda unapitia wewe mimi nira yangu ni nyepesi kabisa nalala nakula nakunwa sasa hapo ugumu huko wapi unajipangia ya kwako kichwani. Baba sipendi mahubili yako mimi sio msabato
Kaa Kwa kutulia wewe Hauna Roho wa Bwana ndomaana makasiliko yasiyo na maana 😅
Pr ubarikiwe sana,na AMINI Siku moja tutaonana chini ya juwa kama sivyo huko kwetu MBINGUNI nakuombea Pia niombeyeni Pia
Pastor waombee watoto wangu mwenyezi mungu awapatie afya njema na muovu asipate nafasi juu yao..kwa jina la yesu na Amini
Mchngaji umegusa changmot ambao ninaipitiya kbx
Asante, mtumishi, nikweri unatumiwa na Mungu. Naomba vitabu vyako vyote, ulivyopita kuandika tafadhari, na gharama yake.
Hakika ni mpango wa Mungu wa Mbinguni niamgalie kipindi hiki.
Nakiri sana,NIMEBARIKIWA❤
Mungu Mwenye enzi akuzidishie mchungaji
Asante mungu kwa neno ,mungu azidi kukuongoza n awe mjungaji wako pastor am so blessed may you be blessed too in Jesus name amen
Thank you LORD for You're not yet done with me, You're my SHEPHERD; I shall not want. GOD bless you abundantly Pastor Mmbaga for this timely and wonderful message, 🙏🏻 🙌🏻 .
Hakika ujumbe wa leo ulilengwa kwangu .
Mjukuu wangu amepotea muda sasa na hatujui aliko maana ni mraibu
Ubarikiwe mtumishi wa Bwana Mungu
Amen 🙏🙏
Mungu akubariki Pastor unaongowa ndugu zangu Hulu Zambia Bwana azidi kukutumia,unaongowa watu❤❤ your sermon.
Akika Mwenyezi Mungu nimwaminifu ❤
Amen ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU naomba kuulizia nawezaje kupata kitabu ulichoandika Cha Siri ya maombi yaliyojibiwa nipo Nairobi Kenya
Amen Pr hubiri hili lilikuwa kwa ajili yangu leo, hakika MUNGU wangu ni Mchungaji mwema’ nimebarikiwa na kuponywa moyo wangu.
Hakika BWANA MUNGU ni mchungaji wetu anajua yote tunayoyapitia .azidi kukubariki na kukutumika 🙏🙏🙏🙏
Asante sana mutumishi kwa somo lako zuri sana limenifariji na limenitia nguvu mpya ubarokiwe sana
Mwenyezi Mungu naomba umponye mwanangu Irene Sengele kutoka Hali mbaya ya ugonjwa usiojulikana ,naomba umuokoe kutoka roho ya mauti inayomuandama Sasa pale hospital Amina!!
MamA mdee
Mwenyezi Mungu, mtengeneze kijana wangu Christian mtoe kwenye giza,muweke kwenye zizi ulilokusudia
Ameen barikiwa Sana pst kwa masomo yenye kunitia moyo maan at nilikua nimekataa tamaa lkn Mungu. Nmwema
Mwenyezi Mungu afungue kijana wangu Amon atoke katika Magereza, mashimo na mahandaki.
Atoke gizani.
Amen
Amen tunamshukuru MUNGU, hatuna lolote zaidi ya UPENDO WAKO, MUNGU akulinde pastor
GD
Naguswa sana moyoni mwangu, mungu apewe sifa milele na milele
Barikiwa sana pastor nimetiwa moyo na somo hili zuri
The lord is my Shephard i shatll not want pralm 23-1 lord i trust in you Amen❤❤❤❤❤
Asante sana Pastor Mbaga Mungu azindi kukutumia kutysaidia kukua kiimani
AMEN PASTOR! MUNGU AKUTUNZE KWA AJILI YA MANKIND
pr mungu akubariki addelina mume amemuombà msamaha amani imepatikana tuendelee kuwaombea wafunge ndoa na wamjue mungu wa kweli
Amina Mchungaji Asante kwa neno la matumaini ubarikiwe sana
Mungu akubariki sana kwa somo hili, hakika limekuja kwa wakati wake
Mwenyezi Mungu ni mwema nabarikiwa sana pastor
God bless you PST MUNGU akupe maisha marifu
Be pleased pastor ❤❤❤akika unaniba moyo katika haya maisha
This is my message am going through alot,now i feel am getting strength
Ubarikiwe sana mchungaji MUNGU akuongezee maisha marefu sana
Amina barikiwa sana duh ujumbe mahusisi kwa maisha yangu
Amina
Amen
Hakika Mwenyezi Mungu ndiye mchungaji wangu
Nabarikiwa mtu wa MUNGU na mafundisho
Asante kwa Mahubiri
Tunakusihi kutuombea tuna wanafunzi watakaofanya mitihani ya kisecondari hapa Drc muji wa ishasha tunao taka usaada wa maombi utakapo kua na maombi usisahau
Mtumishi Munguakubariki sana kwa mahubiri mazuri sana
Naamini bwana ndiye mchungaji Wang katika Kila jambo ubarikiwe pr ,mmbaga
Amina ubarikiwe pastor
Nimebarikiwa,asante mtumishi ubarikiwe
AMEN
😢asante mchungaji mbaga Mungu akubariki sanaa
Bwana yesu asifiwe, samahani pr naweza kuongea na ww binafs.
Amen, ubarikiwe san mchungaji
Yesu akuwezeshe Pia akuzidishiye .
Mchungaji mbona umenisema mimi? Daaah Mungu atusaide
Amina Mungu akuongezeye mengi zaidi
Mungu azidi kukuinua poster David kwa injili hii yako maana imenito Mahali ........,
Amen
Nisaidie nambar yako@@MahubiriPrMmbaga
Ubarikiwe pastor..niliibiwa documents zangu za shule original certificates pamoja n simu ,nguo,simu ,pesa lakini nashukuru saana mungu ashukuriwe kw Kila jambo
Mungu ni muweza,atakurejeshea
Kwahaya magumu ninayopitia MUNGU nisaidie kupitiahilisomo alilolinena mtumwawako lililotokakwako NIMEAMINI ❤
Amen barikiwa 🙏🏻
Thanks pastor god Bless you ❤❤❤❤
Amen pastor...
Amina pr, ahsante sana sana
Aminaa🙏🙏hakika hili somo nikwaajili yangu
Amuna
Mungu Hakubariki Sana Mtumishi wa BWANA 👏
Amen
Ameen