HUWEZI KUSAMEHEWA DHAMBI IKIWA HUJUI HILI SEH 1 (OFFICIAL VIDEO)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 11. 2020

Komentáře • 45

  • @JAMESALBANO-uv5kt
    @JAMESALBANO-uv5kt Před rokem

    Nàbarikiwa sana na neno la Mungu

  • @benedictojakobo4425
    @benedictojakobo4425 Před 2 lety

    Mungu na akubariki akuzidishie sana or🙏

  • @magdalenajuma6229
    @magdalenajuma6229 Před 3 lety +3

    Sikua online week 3 nilihisi kupungua bila kufatilia masomo yako Nakuombea mtumishi wa Mungu nawatumishi wote wanaomtumikia MUNGU ktk Roho na Kweli Ameeen

  • @Iankip123
    @Iankip123 Před 3 lety +1

    Alhamdula mtumishi in kweli kabisa

  • @Leo200981
    @Leo200981 Před 3 lety +1

    Katika wenye dhambi ndimi mkuu wao....

  • @meshackleonce2850
    @meshackleonce2850 Před 3 lety +1

    Mungu na akubariki...

  • @Iankip123
    @Iankip123 Před 3 lety +1

    Somo libarikiwe sana

  • @esthetbabu7481
    @esthetbabu7481 Před 3 lety +1

    Amen mungu akupaliki kwa maubili hayo matamu

  • @luluemmanuel386
    @luluemmanuel386 Před 3 lety

    Umenivusha mahali mtumishi ,,,uzidi kubarikiwa

  • @humphreysalingwa
    @humphreysalingwa Před 3 lety +2

    Asante Mtumishi Kwa Somo 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @angelpetro4032
    @angelpetro4032 Před 3 lety +1

    Yanaitwa mahole

  • @happynessalex1660
    @happynessalex1660 Před 3 lety

    Somo zuri pastor Mungu azidi kukubarki

  • @suzannnesamwel4728
    @suzannnesamwel4728 Před 3 lety

    Mungu akubariki sanaaa ubarikiwe mtumixh

  • @vailethobedi4723
    @vailethobedi4723 Před 3 lety

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa somo nzuri,

  • @eliakanyika5379
    @eliakanyika5379 Před 3 lety

    Amen

  • @dorinimalisa3062
    @dorinimalisa3062 Před 3 lety

    Ameen barikiw Sana mtumishi

  • @muthonimary1295
    @muthonimary1295 Před 3 lety +1

    Ameeen mungu azidi kukubariki mchungaji

  • @lisachacha5542
    @lisachacha5542 Před 3 lety

    Mungu akubariki pastor kwa ujumbe huo

  • @maombijofre2302
    @maombijofre2302 Před 10 měsíci

    AMEN

  • @bjchamba6452
    @bjchamba6452 Před 3 lety

    Nimeimeza hiyo maana nilikua sijui aisee, ubarikiwe

  • @mwambazmazoyah4628
    @mwambazmazoyah4628 Před 3 lety

    Tupo pamoja pastor

  • @nyamositugara4095
    @nyamositugara4095 Před 3 lety

    Mungu azidi kukuinua mchungaji

  • @asooraaasooraa4816
    @asooraaasooraa4816 Před 3 lety

    Amina nabarikiwa sana

  • @Pendomabula
    @Pendomabula Před 3 lety

    Barikiwa PR.

  • @samwelmachia3237
    @samwelmachia3237 Před 3 lety

    Amina mtumishi mungu

  • @changombesdayouthchoirtabata

    Barikiwa

  • @nemaodhiambo7274
    @nemaodhiambo7274 Před 3 lety

    Sensitive topic

  • @razalomahulege6447
    @razalomahulege6447 Před 3 lety

    Mahole kwa kiswahili

  • @benedictojakobo4425
    @benedictojakobo4425 Před 2 lety

    Thanks you

  • @noelyaokoffi7869
    @noelyaokoffi7869 Před 3 lety

    11 Mkatoliki anaweza kuchukua Meza takatifu ya Bwana katika Kanisa lolote la Katoliki duniani. Mubatisti anaweza kuchukua meza takatifu ya bwana katika Kanisa lolote la waBaptisti hapa duniani. Methodisti anaweza kuchukua Meza takatifu ya Bwana katika kanisa lolote la Methodisti hapa duniani. Lakini Mkatoliki haiwezi kuchukua Meza takatifu ya Bwana kuwabaptisti. Mubatisti hawezi kuchukua Meza takatifu ya Bwana kuwa Methodisti, kwenye kusanyiko la miungu... Na Bibilia inasema kwamba machafuko haya yote yanatoka kuzimu na yaenda kwenyi Hadezi. Ni nini? Ukristo ni ufalme wa Shetani. Na kila Jumapili, Shetani anaabudiwa katika makanisa yote ya ulimwengu kwa jina la Yesu. [ Ndr: Kusanyiko linasema, "Amina! "].
    Www. Philippekacou. Org

  • @ezekielijohn297
    @ezekielijohn297 Před 3 lety

    Ameen

  • @janemwasumbi4973
    @janemwasumbi4973 Před 3 lety

    Amina

  • @yassirhamid944
    @yassirhamid944 Před 3 lety

    O.
    I

  • @lucasmabuli504
    @lucasmabuli504 Před 3 lety

    Asante sana mchungaji BWANA akubariki.Naomba msaada hapa je petro ndo alikuwa papa wa kwanza mathayo 16:18-19
    2Je.kuoa au kuolewa ni Dhambi 1kor7:32-35
    3.kulingana na hesabu 21:4-9 je sanamu yaruhusiwa kuabudiwa

  • @kikiderreck9930
    @kikiderreck9930 Před 3 lety

    Thnx

  • @yohanaemanuel4488
    @yohanaemanuel4488 Před 3 lety +1

    Mchungaji kanisa lako lipo sehemu gani hapa dar es salaam ?

    • @kitulohenry2393
      @kitulohenry2393 Před 3 lety

      Kanisa linaotwa Seventh day Adventist Church kila mkoa kanisa lipo kwa dar Kuna mwenge SDA Church, Kuna magomeni SDA Church, tegeta, kula sehemu nenda ukapate neno la kweli ndugu
      .ubarikiwe

    • @josephjohn8681
      @josephjohn8681 Před 3 lety

      Liko dodoma broo

    • @janethjoseph7966
      @janethjoseph7966 Před 3 lety

      Dodoma sehem gan

    • @Leo200981
      @Leo200981 Před 3 lety

      Mchungaji Mmbaga hana kanisa lake isipokuwa ni Mchungaji wa imani ya Waadventista Wasabato. Ambapo kanisa la Waadventista Wasabato lipo ulimwengu kote. Hapo ulipo tafuta kanisa la Waadventista Wasabato watakuwepo

  • @jimmymarwamatjr491
    @jimmymarwamatjr491 Před 3 lety

    Amen

  • @moramora4414
    @moramora4414 Před 3 lety

    Amen