Asantii sana MCHUNGAJI umenitia nguvu upande wa ibaada ,Niko Saudi Arabia mala mingi makosa kutomba Kwa masaa yangu eti ziko mahali patakatifu YESU nizaidie 🙏
Have mercy upon me, O Lord, for I am in trouble: mine eye is consumed with grief, yea, my soul and my belly.May ur divine restoration be upon us in Jesus name 🙏
Bwana asifiwe Mchungaji. Mimi nina swali?? Kwanini watu wanasema kama mwanamuke akuubwa?? Eti mwanaume tuu njoo aliubwa kwasababu eti wakati Mungu alitaka umba mwanadamu alisema " tuumbe mtu kwa mfano wetu" nawakati ileneno imetimia ilionekana kama mwanaume tuu njoo aliumbwa... sasa naitaji kujuwa kweli.
Mwanzo 1:26-27 [26]Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi. [27]Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
Mimi ni Isĺam ĺkn napenda sana mahubiri yako , mimi nathamini neno Imani ndio muongozo wetu ,viumbe🎉❤
Nikweli
Mungu akubariki pastor umenitia moyo katika changamoto zinazonikabili naamini Mungu atanisaidia kutokuamini kwangu
Aminaaaa, barikiwa kwa kunitia moyo kwa jina la Yesu Kristo mimi ni B
Asantii sana MCHUNGAJI umenitia nguvu upande wa ibaada ,Niko Saudi Arabia mala mingi makosa kutomba Kwa masaa yangu eti ziko mahali patakatifu YESU nizaidie 🙏
Samahani kwa wale mumesoma , namaanisha kutomba msinielewe vibaya.
Kutaomba
Delete na andika tena
Have mercy upon me, O Lord, for I am in trouble: mine eye is consumed with grief, yea, my soul and my belly.May ur divine restoration be upon us in Jesus name 🙏
Hata Burundi tunabarikiwa Mungu akuwezeshe ❤kuifanya kazi yake kwa Imani
Ubarikiwe mchungaji mbaga kwa kuendelea kusambaza neno la MUNGU
Amina ubarikiwe Mchungaji unazidi kutufundisha
Asante saaaana Mchungaji Mbaga Mungu aendelee kukupa Maisha marefu na Izima Tele na Baraka Tele ili tupate Kumjua Mungu Zaidi kwa Mafundisho yako
Ubarikiwe sana karibu Sana ilula
Be blessed pastor for the encouragement message, now i have a reason to continue..❤
Barikiwa Mungu anisaidie kutokuamin
Niko Goma RDC mahubiri Yako inatutiya ngufu ubarikiwe n'a zaidi upate mwisho muzuri katika maisha Yako Ya kiroho Que Dieu te protège
I have opened business not once, twice and till 8 times but it has eaten all my resources. NOW PRAY FOR ME PLS. Have tried but in vain
Amina mchungaji unanibariki sana ubarikiwe pia
Amen nimebarikiwa na neno Asante MTU wa Mungu
Aminaaa Asante Sana Pastor Kwa masomo mazri
Nabarikiwa sana pastor
Toka DRC 🇨🇩 sud Kivu uvira ville ubarikiwe mupendwa !!
barikiwa muchungaji toka DRC goma
Kiukwel ninashukul
Hapa saudi Arabia ninaomba hata nikitembea na ninamini siku moja atanitendea yasiyowezekana 🙏🙏🙏🙏
Asante sana Mungu kwa mchungaji huyu barikiwa sana
Amen mutumishi
Amen Pastor Mungu azidi kukubariki umefanyika baraka kwenye maisha yangu
Aminaa sana Mchungaji Mbaga
Mchungaji nimebadilisha sana baba
Ubarikiwe sana pasta kwa somo zuri nabarikiwa sana nikiwa oman
Amen
Elfu 10 mchungaji niyakula tu otelini haitoshi kufungua biashara ya m7
Hakuna mtu yeyote atakayemtafuta Mungu asipate dhawabu
Amen amen
Nyanya ya unga ukitaka kuitumia unaikoroga na maji inakuwa rojo inatumika tena
Amina kwa NENO
Umenikumbusha kipindi nilikua niko shuleni, nilisoma kitabu muandishi aliandika hivi : SUCCESS IS ONLY A FAILURE AWAY.
Amen 🙏🏿
Asante mwalimu
Eee Mungu baba tubariki
Nyanya za unga zipo
niko na changamoto sana ila Mungu akuzidishie miaka mingi mchungaji kwa kunitia. moyo
Amina
Amen 🙏
Mungu akubariki sana,Mchungaji!
AMEN
uishi sana mtumishi
Luka 17:5-6
Nice
Mwanaume aliubwa kwa tope, lakini mwanamuke katoka ndani ya mifupa ya mwanaume. Naitaji tafsiri na ukweli Pasta Mubaga.
Marko 9:24
Mathayo13:58
Ibada ya madakika ..... Majaribio Mara Miki.... Hakuna kujiusulu::::
Amina Mchungaji barikiwa sana kwa Mahubiri ya kutia moyo mara nyinhi tunakosa lmani na kuwa na uhakika wa mambo yaliyo mbele yetu
Asante sana
Mara nyingi=sahihisho
barikiwa.sana.mchungaji.kwa somo hili
Bwana asifiwe Mchungaji. Mimi nina swali?? Kwanini watu wanasema kama mwanamuke akuubwa?? Eti mwanaume tuu njoo aliubwa kwasababu eti wakati Mungu alitaka umba mwanadamu alisema " tuumbe mtu kwa mfano wetu" nawakati ileneno imetimia ilionekana kama mwanaume tuu njoo aliumbwa... sasa naitaji kujuwa kweli.
Mwanzo 1:26-27
[26]Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.
[27]Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
Amen
Amen
Amen