Kikwete aeleza namna serikali ilivyojitahidi kuhamia Dodoma katika nyakati tofauti

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2024
  • Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Kikwete amesimulia historia fupi ya namna serikali kwa nyakati tofauti ilivyofanya jitihada za kuhamia Dodoma, ambako ni makao makuu ya nchi.
    Dkt. Kikwete amezungumza hayo leo wakati wa uzinduzi wa Ikulu mpya ya Chamwino, akitoa neno kwa niaba ya Marais Wastaafu wa awamu zilizopita.
    #UzinduziIkuluChamwino #IkuluChamwino #Dodoma #IkuluDodoma #IkuluTanzania

Komentáře • 1