KIKWETE ALIVYOKUTANA NA MEMBE, URAFIKI WAO, ALIVYOPITIA MAGUMU ALIPOHAMIA ACT

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 05. 2023

Komentáře • 18

  • @jeremiahndossi3998
    @jeremiahndossi3998 Před rokem +1

    Mzee Jakaya Hua anajua sana kuelezea mambo huchoki kumsikiliza na Hua anapangilia sana maneno yake uishi maisha marefu

  • @pulikisia7963
    @pulikisia7963 Před rokem

    Baba Kikwete mtu wa tabasamu muda wote! Ubarikiwe sana.🤗

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 Před rokem +1

    Yaani wanafanana Sana two brothers

  • @alexandermapela4718
    @alexandermapela4718 Před rokem +1

    Ayo TV achia comments za watu wote plz,,I wonder to see these little comments,,hatujakuzoea Ivo!
    If it for real,,There might be something behind for this to be!

  • @mjukuuwamuuzatogwa6512
    @mjukuuwamuuzatogwa6512 Před rokem +1

    Baba mmoja mama tofauti

  • @annamitumba3981
    @annamitumba3981 Před rokem +2

    Wewe baba jakaya nakupenda sana Mungu akulinde uwe na maisha marefu pamoja na mama salma...kiukweli tunakupenda na tunakuombea sana🙏.

  • @goodluckriwa3425
    @goodluckriwa3425 Před rokem

    Raisi Kikwete Ni Raisi Mstarabu , mwenye upendo Kwa watu asiye mbaguzi, Tunakutakia maisha Marefu yenye Raha Jk

  • @yaredyndaga6483
    @yaredyndaga6483 Před 11 měsíci

    Mmmmh

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 Před rokem +1

    Kumbe ulienda kuongeza deni la taifa kweli wewe funguo

  • @selemansalum
    @selemansalum Před rokem

    Mzee jakaya

  • @drmohamedabbasyango1897
    @drmohamedabbasyango1897 Před rokem +2

    Sasa uwende kufuatilia pesa zamkopo kutoka nchi zanjee wew kama nani?

    • @mobilespecialschool4216
      @mobilespecialschool4216 Před rokem

      Duh mafala wengi nchi msikilize vizuri utapata jibu

    • @elipidhugotesha1909
      @elipidhugotesha1909 Před rokem

      Mwenyekit. Global partnership kaelezea.vizur mbona
      Na hii inashughulikia hususan universal education

    • @saidimohamedligomaligoma1795
      @saidimohamedligomaligoma1795 Před rokem

      Yani mpaka unaandika hii comments ujui anaeongea ni nani aise we zuzu

    • @MussaSualehe-yc1pc
      @MussaSualehe-yc1pc Před rokem

      Utakua milembe unasomea utatuzi wa migogoro kichwani

    • @Hasnspop
      @Hasnspop Před rokem

      Kama rais wa nchi hii kikwete the best barikiwa sana kikwete wangu natamanigi nifike hata nyumbani kwako aisee