UJUMBE WA MPOTO ULIVYOWASHANGAZA VIONGOZI IKULU MPYA CHAMWINO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 05. 2023

Komentáře • 158

  • @Mimi-wf7mb
    @Mimi-wf7mb Před rokem +25

    Unafiki mwingi hadi unakera. Rest in peace our Hero JPM. In our hearts you are still living

  • @goodluckphinias4666
    @goodluckphinias4666 Před rokem +21

    Kweri njaa ni shida kwer mpoto Samia ndo anejenga ikulu muogope mungu.

  • @venusmalima3457
    @venusmalima3457 Před rokem +9

    JPM endelea kupumzika baba mtanzania wakweli sisi tulioshuhudia uongozi wako tutawasimlia na vizazi vijavyo ❤❤❤❤❤❤J❤P❤M.

  • @fridoliusrushunju9093
    @fridoliusrushunju9093 Před rokem +21

    Huyu mpoto mpumbavu sana njaa inamsumbua sifa ulizompa Samia zilimfaa magufuli swain

  • @yasiniyamamoto8174
    @yasiniyamamoto8174 Před rokem +15

    Jpm the greatest leader in the world mola akupumzishe uzalendo wako unaishi.

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 Před rokem +11

    Mbeba maono ni Julius kambalage Nyerere na mkamilishaji ni John pombe magufuri usitupotoshe tunaijua historia rest in peace baba JPM rest in peace JK Nyerere hakika mtaishi

  • @chilesanga7931
    @chilesanga7931 Před rokem +14

    Magufuli mbona mmemtaja kidogo zambi hizo asingekuwa yeye hata mlipo kaa pasinge kuwepo mpoto uja tenda haki kabisa

  • @maggiehiza5884
    @maggiehiza5884 Před rokem +16

    Aibu sana Mpoto
    Umemsahau Magufuli!!!

    • @bahatimalundi3593
      @bahatimalundi3593 Před rokem

      Huyo mwenda zake mulize lema ndio ana ijuwa hishoria yake

    • @boniphacelusato
      @boniphacelusato Před rokem

      ​@@bahatimalundi3593 Watanzania tunaijua historia ya Magufuli vizuri zaidi kuliko huyo unayetuaminisha kuwa anamjua . Magufuli ametawala tukiwepo . Tuliona kwa macho na kusikia kwa Masikio mawili tuliyopewa na Mungu hivyo hakuna tusichokifahamu kuhusu JPM. Hatukuhadithiwa kuhusu utawala wake kama ambavyo wengi tumekuwa tukisimuliwa kuhusu utawala wa Baba wa Taifa na wasaidizi wake kama akina Sokoine na Kawawa na Wengineo wengi, bali utawala wa Hayati Dr John Joseph Pombe Magufuli Mwamba toka Rubambangwe Chato Geita Tz tuliuona kwa macho yetu mawili. Have I paralyzed you ?

  • @japhetkarori5230
    @japhetkarori5230 Před rokem +13

    Ili jamaa kumbe taahira ivii....linafiki chili😂😂😂😂..RIP JOHN.P.MAGUFULI

  • @philipowyinjones9645
    @philipowyinjones9645 Před rokem +24

    Ila sjapenda amemtambua Megufuri kidogo sana daaah R.I.P Magufuri Tunajua Kaz uliinza wewe wengi iliwashinda

    • @rehemakanyere4188
      @rehemakanyere4188 Před rokem +3

      Huyu ni chawa anasaka ulaji

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 Před rokem +1

      Wakimsimamisha mzee Mwinyi hapo atasema ukweli huwa anasema kila wakati WENGINE TULISHINDWA MAGUFULI ALIWEZA🤣 ila haina shida mama anafuata nyayo za Magufuli.

    • @ellymakongo656
      @ellymakongo656 Před rokem

      @@blandinamwarabu5025 🤣🤣🤣 wameshtuka ndo hawajamsimamisha angewachomesha wajinga hawa🤣🤣

    • @mwakasagule
      @mwakasagule Před rokem

      @@blandinamwarabu5025 walijua mzee MWINYI atawaumbua

  • @nicolausmavoa7909
    @nicolausmavoa7909 Před rokem +24

    Magufuli hoyeeeeeeee pumzika kwa amani rais wangu kazi kubwa ulifanya leo hii anasifiwa mpemba

    • @noorbazaar9063
      @noorbazaar9063 Před rokem

      Sifa ya mtu kamwe haitapotea kwenye mioyo na macho ya jamii. Lakini kwa nini unaamini kwenye ubaguzi!!!???

    • @boniphacelusato
      @boniphacelusato Před rokem

      Haipendezi kwenye Taifa hili kutukuza ukabila. Hujanifurahisha kwa kutumia neno Mpemba. Acha ubaguzi. Ongea ukweli lakini usituletee ukabila.

    • @thanimosi8906
      @thanimosi8906 Před rokem

      Waja ujinga wewe sukuma gang

  • @raymond5175
    @raymond5175 Před rokem +30

    Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Jasiri aliyedhubutu na kutekeleza vingi, mzalendo wa kweli DR. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI hata kama amekufa anastahili kupewa hongera zake.

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 Před rokem

      Kweli ila kuondoa fitina mkamilishaji naye apewe pongezi kwa maana angeliweza kuishia njiani

    • @saadatsaadat9252
      @saadatsaadat9252 Před rokem

      WOTE WANASTAHIKI KUPONGEZWA WALIKUWA MTU NA MSAIDIZI WAKE AWAMU YA TANO AHSANTE WATANZANIA KWA KUMPOKEA VZR MAMA SAMIA..❤

    • @venusmalima3457
      @venusmalima3457 Před rokem

      TANZANIA hii inawanafiki na waoga wengi sana Asante Mungu nipo hivi nilivyo maana vingnevyo ningeshatoweka😢

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 Před rokem +11

    Baba Magufuli lala salama😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @sambulugu9988
    @sambulugu9988 Před rokem +7

    Huyu mnafiki Huyu! Eti Kikwete!😂😂😂

  • @mwakasagule
    @mwakasagule Před rokem +36

    Mpoto huwa nakuamini sana kwa mashairi yako. Ila kwa hapa umepungua na umepwaya sana. Huwezi niambia kwa namna ulivyomtambua JPM kwa ufinyu sana kiasi hicho kwamba umejisahau, si kweli; ila hizo ni njama, na mmekusudia kudhoofisha na kuhujumu juhudi za mzalendo wa kweli JPM. MPOTO your not fare. Na tuwaambie ukweli tu. Mbinu zenu hizo mjue tu kwamba mmefeli. Kimsingi Ilipaswa ujikite sana kwa JPM. Lakini kwasababu hata unafki ni Sanaa pia hakuna shida. Ila ikumbukwe kwamba hata mfanye Hila kiasi gani juu ya DR. JPM fahamuni kwamba, picha ya JPM Hamwezi kuifuta mioyoni mwa WATANZANIA. Tunatambua vema sana History na juhudi za BABA WA TIFA MWALIMU JK. NYRERE, na nguvu kubwa ya JPM kuhusu IKULU YA CHAMWINO DODOMA. R.I.P JPM.

    • @venusmalima3457
      @venusmalima3457 Před rokem +9

      Kamwe hata wafanyeje hawawezi kufuta mapenzi yetu Kwa JPM❤❤milele

    • @imanicharles936
      @imanicharles936 Před rokem +8

      JPM nitampenda hata wangemsemaje , pekee ndo Raisi wangu, ilitakiwa hata ofisi moja ipewe jina lake

    • @paulmarwa439
      @paulmarwa439 Před rokem +7

      Jpm ❤

    • @epifaniamilinga2848
      @epifaniamilinga2848 Před rokem +7

      Tena na huyu? Bora wasanii waliokaa kimya.utavuna dhambi isiyo yako.

    • @emmanuelkanyela275
      @emmanuelkanyela275 Před rokem +5

      Kaka meseji nzuri sana Mungu hakubariki Sana

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Před rokem +9

    MAMA SAMIA MNA MPAKA TUUU. HUYU WA JUZI,, MAGUFULI NDO MWENYE HILI JAMBO.

  • @user-qy9qb9ul9z
    @user-qy9qb9ul9z Před rokem +3

    Mbona mnapata shida ya kumtaja kamanda magufuri jembe la watanzania RIP kamanda mkuuuu daima tutakukumbuka chamwino bila magufuri haiwezekani

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 Před rokem +3

    Dah kwel unafk hauwez kaisha Tz,yaan kwel mnaona had wivu kumpa sifa zke maguful kisa leo hayupo😢😢😢😢😢dah Pumzika JPM

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 Před rokem +7

    Wewe mrisho kitambi tumbombo tumbo huna akili ni mnafiki sana tena sana Yani sifa za kumpa marehemu Magufuli unampa kikwete kweli wewe mnafiki.

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Před rokem +8

    Magufuli forever amejenga ikulu ya dodoma. Hakuna rais kama magufuli. I miss jpm. Lala salama jpm utakumbukwa daima kwakujenga ikulu ya dodoma.

    • @thanimosi8906
      @thanimosi8906 Před rokem

      Hongera Mama Samia Suluhu Hassan Kwa kukamilisha ujenzi wa Ikulu yetu mpya Tanzania Dodoma

    • @anosiata8242
      @anosiata8242 Před rokem

      @@thanimosi8906una wazimu.

  • @allenmdota4820
    @allenmdota4820 Před rokem +3

    Asante sana jpm pumzika kwa aman

  • @jacksonkabaata6011
    @jacksonkabaata6011 Před rokem +5

    Magufuli anatajwa kiujanjaujanja tu jamaa chawa huyu 🤣🤣🤣🤣

  • @ndambo6528
    @ndambo6528 Před rokem +13

    Tatizo ni njaaaaaaaa hata Magufuli umeogopa kumsifa

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Před rokem +8

    MPOTO WATU WANAOMJUA MAGUFULI KATI YA KITU CHA KIPUMBAVU NI UCHAWA ,MTAJENI MAGUFULI KINAFIKI SAWA LAKINI R.I.P. JPM

  • @yohanekopilato-wn3lo
    @yohanekopilato-wn3lo Před rokem +7

    Watu wamevurugwaaaa😂😂😂😂😂😂

  • @ireneassey2022
    @ireneassey2022 Před rokem +7

    Ila njaa mbaya Rip magufuli

  • @jamesmbore3052
    @jamesmbore3052 Před rokem +8

    Aliye jenga wakwanza n magufuli mama kamalzia 2

  • @nangugu1657
    @nangugu1657 Před rokem +2

    Mpoto sifa umewazidishia waliopo hapo wote tunatambua nguvu Alioitumia magufuli paka ikulu imekamilika hiyo magufuli jembe hata usipo ongea wanakutazama watu na ukweli wa kazi za magufuli ukiimba katika mioyo ya Watanzania kwasababu ulijua unaimba kwania Gani Hauna makosa Mungu Aendelee kumupumnzisha mahari pema peponi Amina

  • @esromkanubo815
    @esromkanubo815 Před rokem +5

    Unafiki unakera heshima apewe JPM mtutolee uchawa

  • @lucasalphonce7820
    @lucasalphonce7820 Před rokem

    Kazi hayati Magufuli imekamilika Mungu akulinde sana baba wewe ni mwamba ,mwanamapinduzi wa Afrika pumzika salama baba,

  • @emmanuelyeliamajele-yk8hb

    Magufuli Mungu akuweke lakini hongela mama Samia Rais wetu tunakupenda Mungu amekuamini wewe utuongoze kwenye nchi yetu ya Tanzania 🇹🇿♥️🥰 pia Mungu amuweke zaidi kikwete ♥️🥰 nawapenda Mungu amewapa ufalme kama alivyo penda Kila mtu ameongoza vyema kwa maono Samia Raisi wangu ataongoza kutokana na Mungu anavyo muongoza ataongoza tofauti na Mungu 🇹🇿 watu muelewe msitukane asila ya Mungu lsije lkawaka lkawaka juu yenu

  • @mashakalonka7767
    @mashakalonka7767 Před rokem +4

    Mrisho Mpoto,ww ni Zaidi ya msanii,unajua historia ya ikulu ya Chamwino Kwa upana Sana!,uwasilishaji wako wa ujumbe Kwa njia ya mashairi,mantiki ya kisintaksia,sauti ya kiutawala iliyojaa katika maneno na sura Yako vinakutofautisha na wasanii wetu wengi wa kizazi kipya in short watu wote makini hawachoki kukusikiliza!. You're so talented brother! .

    • @Japhary-sx3je
      @Japhary-sx3je Před rokem

      Yeye mwenyewe anaona aibu mungu tusamee sisi binadama ongela ayati magufuli ongela sana wanajeshi wetu ongelen awamu ya tano

    • @mwakasagule
      @mwakasagule Před rokem

      Anajua nini huyo chawa, hana lolote. Mpoto hana jipya kwa sasa, Mpoto kajishushia heshima mwenyewe kwa kuendekeza njaa.

  • @sunaybrajabu238
    @sunaybrajabu238 Před rokem +8

    Huyu kaka kama chiziiiiiiiiii, Asante mwambien I nyie mnayeenda chooni kwaajili yake, sie akah sisi tunajuwa tu MAGUFULI jembe na lililima kweli yeye ndio aliyejenga ikulu, mama yenu kafanya kufanya finishing tu msituletee ududu washa basi nachukiaaaaaa

  • @kilelechaimani.8956
    @kilelechaimani.8956 Před rokem +3

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Unafiki,jamani jiepusheni na unafiki,unafiki sio mzuri,unafiki kiwango kingine.

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 Před rokem +2

    Mbona awa viongozi wamekaa Kama wachawi ata tabasamu hakuna mmechukia Sana kwenda Cha mwino hacheni uchawi Sisi sote watanzania.Mrisho Mpoto kamsifia Kila mtu John katajwa tu ajasifiwa Wala Nini.Maana mmenuna Kama kamati ya roho mbaya au wasagasumu.

    • @valenakomba9218
      @valenakomba9218 Před rokem

      WANAONA HAYA, SABABU WANAJUWA HIZO SIFA SIYO ZA KWAO , MWENUYEWE NI MAGUFULI TUU..

  • @user-sr6tr7ko7w
    @user-sr6tr7ko7w Před rokem +5

    Acha uongo aliyeanzisha kujenga sio Samia ni magufuli Amina Hana lolote ndio maana unasema mkamilishaji, je, mwanzilishi ninani? JPM mwamba, jiwe kweli.

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 Před rokem

      Lakini kasema vizuri MKAMILISHAJI. Ila historia inajulikana anaijua MWINYI mzee wa RUKSA akisimama anachafua hali ya hewa.

    • @Edward_Falu
      @Edward_Falu Před rokem

      @@blandinamwarabu5025 😂😂😂😂😂

  • @mckilongojr6367
    @mckilongojr6367 Před rokem +7

    10/02/2022???? ndo ilianza kujengwa? aliyemuuzia mpoto ulanzi ni nani😂😂😂😂

  • @samagsmg
    @samagsmg Před rokem +11

    Haki huwa haifichiki ila huwa inachelewa. Kamanda alishatenda ss hayupo. Ni ujasiri wake na uthubutu wake aliamua kusema serikali lazima ihamie makao makuu ya nchi kongole magufuli pumzika kwa amani Kamanda wangu. Nchi uliyoiacha baba saivi ipo ipo tyuuu maskini hatutambuliwi tena wanaotambuliwa kwass ni wale waliomalizaga madaraka. Tutakukumbuka milele na milele MAGUFULI

  • @boniphacelusato
    @boniphacelusato Před rokem +3

    Baba Yetu Magufuli tunamkumbuka kwa aliyoyafanya ikiwemo ujenzi wa Ikulu ya Chamwino hata kama kuna Watu hawataki kuusema ukweli.

  • @mwesblind8990
    @mwesblind8990 Před rokem +2

    Hata aibi hamna samia kajenga ikulu saa ngap kapiga rangi tu

  • @imanicharles936
    @imanicharles936 Před rokem +2

    Ulale salama JPM

  • @ericamkwena7736
    @ericamkwena7736 Před rokem +2

    Unaumia sofa kwenda kwa mtu ambaye hakufanya lolote

  • @raphaelnambombi3709
    @raphaelnambombi3709 Před rokem +2

    Mpoto mpuuzi yaani baada ya kumtaja kikwete badala ya kumtaja anayefuata ni magufuli anamtaja mwenyekiti lugoha

  • @nicodemusfidelis3772
    @nicodemusfidelis3772 Před rokem +9

    Magufuli kazi yake inaonekana hata kama hwataki

    • @moseschambo6801
      @moseschambo6801 Před rokem

      Daaah hatari sana tumuachie tu Mungu ila JPM anaishi ndani ya mioyo ya wa Tanzania siku zote .

    • @epifaniamilinga2848
      @epifaniamilinga2848 Před rokem

      Labda waje wadanganye vitukuu

  • @shedrackjacob6038
    @shedrackjacob6038 Před rokem +2

    Mtaongea meng ila hakimu pekee mtenda haki Mungu pekeeeee ila ss wtnz tunamjua JPM

  • @guidoliusmichaelhulilo3886

    Binadamu ni KIUMBE MBAYA SANA KWA KWELI. Makubwa: Dhambi nyingine huwa ni za mauti, na huwa hazisameheki kama hii ya kumright OFF Magu on this project ambayo hata Mwalimu mwenyewe hakuweza kufanya. God is good, all the time. AND, All the time.. God is good🙏🙏🙏🙏RIP-JPM... Amen🙏

  • @AcroBantu
    @AcroBantu Před rokem +3

    Hata mumfiche vipi lakini kila mtu anatambuwa bila Jembe mpaka leo hapo pasingekuwa na lolote pia hata lile bwawa la umeme lisingejengwa RIP Magufili pumzika kwa amani😢

  • @BON357
    @BON357 Před rokem +1

    Ela bana nashukuru MUNGU kwa kuweka kifo wapambe wa raisi sjui watampamba Tena raisi

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 Před rokem +2

    Sijui kama hawa watu hawaoni huku mitaani jinsi raia wanavyo mkubali na kujua wazi juhudi za JPM,yaani wanampotezea hivi na kumwaga sifa kwa walio hai zaidi,kama kujitafutia sifa za uteuzi au kukaa salama,,,jamani sifa za uthubutu wa hiyo Ikulu hata kama ilianzia kwa JKN lakini JPM ndo amefanya muwe hapo. RIP John

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 Před rokem +2

    Watu wanaweza kukuamini ila mwisho wa siku njaa zikakuharibia yani JPM ambaye alitakiwa kupewa sifa zote na nyingi leo mpoto unatuangusha mchana kweupe kabisa.

  • @wisdomjohn-nj9po
    @wisdomjohn-nj9po Před rokem

    Unaznguaa sanaaaa mpoto mpototo

  • @VMGAfrica
    @VMGAfrica Před rokem +6

    #Nasemajee #Magufuliii Oyeeeee #Nyie Wasanii Wanafiki Acheni Kumjengea Mama Chuki Kwa Watanzania Wanao mpenda Magufulii #Mama Unachonganishwa #Ikulu Chamwino Wanasifiwa Wasio Husika Moja Kwa Moja Kuliko Muhusika Mkuu Namba Moja #Jembe / #Magufuli #Kwanini #Kwasababu Gani #KwaFaida Ya Nani
    #Mama Achana Na Machawa #Credibility Yako Mtaani Ni Miradi Mliyoanzisha Na Mwenda Zake Hapo Ndo Kura Zako Ziliko Hata Usifanya Campaingn

    • @jescakahangwa5224
      @jescakahangwa5224 Před rokem

      Hongera sana Jpm upumzike Kwa Amani hongera pia mama Samia Kwa kumalizia miradi mlioanzisha na Jpm .

    • @mwakasagule
      @mwakasagule Před rokem +1

      Huyu mama asipowashtukia hawa wasakatonge wakina Mpoto hawa; watamharibia. Watanzania sio wajinga.

  • @jebace
    @jebace Před rokem +2

    watanzania ujinga sijui wataacha lini

  • @bigdaddy_faustinjumong4427

    Ndomaana Masanja ariacha kuitangazia nnchi.kwasababu Hao ndowakapanga Kumuua jpm
    #Rest_In_Peace_our_hello
    #JohnPombeMAGUFULI

  • @godsonanthonymshairi-tanza4088

    Haya mrisho tiririsha mzee ma shairi hayo.

  • @patrickbayyo1616
    @patrickbayyo1616 Před rokem +2

    Sifa apewe jpm

  • @bashirumandwanga130
    @bashirumandwanga130 Před rokem

    Tunaipupia Dunia kwa kula ata visivyo alali na kuipamba kwa thamani nying
    Dunia inatuaga sisi tunaikumbatia tunajisahau kwa nyazifa za dunian
    Chuma utakavy Chuma hapa Dunian ila siku ukifa Dunia haitakupa chochote isipokuwa sehemu ndogo ya ardhi ambayo uzikwa ndani yake
    Tusijisahau tena hasa viongozi wetu wengi wenu si waadilifu munajar sana maslai yenu Binafsi kuna maisha baada ya Dunia
    Mungu wetu sote

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 Před rokem +2

    JPM is the one who made it happen if wasn't him Leo hii msingekuwa hapo .Rest in Peace Magufuli ✌️ We will always love you 😍 ❤️

  • @evaakyoo3009
    @evaakyoo3009 Před rokem

    Ila wagogo mmemkosea mpoto kwaku mpa choya sio vizuri😂😂😂😂😂

  • @Mamateekatuni
    @Mamateekatuni Před rokem

    Nimeumia kumsikia Magufuli kwa uchache hivyo 🥲🥲🥲

  • @yawepetro2049
    @yawepetro2049 Před rokem +1

    Yan ata diamond haja penda kwa jinsi ulivo msahau magufuli wetu

  • @mangeranestory8225
    @mangeranestory8225 Před rokem +2

    Sina neno 😢😢

  • @tysonlusinde8491
    @tysonlusinde8491 Před rokem

    Duuuh yaaani Dr John Pombe kama hajafanya chochote daaah katajwa kidogo sana wakati yeye ndiye aliyepamba kuipeleka Ikulu Dodoma, daaah njaa mbaya

  • @BON357
    @BON357 Před rokem

    Mmi akifa kiongoz uwa nafrahi ,kwasababu wote wezi

  • @mabwetebrown5432
    @mabwetebrown5432 Před rokem

    Mpoto najua hata moyo wako unakuhukumu jinsi ulivo mzungumzia JPM kwa udogo kiasi icho kana kwamba hakuna alicho fanya .

  • @provianapaul6634
    @provianapaul6634 Před rokem

    Watu mna hasira jaman haaaa😂😂😂😂😂

  • @mbeguclassic3387
    @mbeguclassic3387 Před rokem

    Posho Bana Kwa sasa anasifia viongozi duh pesa nyoko😢😢

  • @ismailmatari3889
    @ismailmatari3889 Před rokem

    leo hii mnaimba ikulu ya chamwino ni baada ya mwamba mwendazake kuamua tekeleza kauli ya mw nyerere miaka kedekede iliyo pita wamepita maraisi wangapi na hawakua na ujasiri na uthubutu wa kusema serikali ihamie dodoma? ila ndani ya nchi hii mwamba ni mmoja tu aliekua na moyo na mapenzi ya dhati na nchi yake (RIP) wengine wote waliobaki wanajali maslahi yao kwa asilimia kubwa kuliko maslahi ya raia. tanzania is the best country lakini viongozi wake changamoto hasa kipindi hiki cha mama yetu. allah atupe subira watanzania maana hilili nalo litapita INSHAALLAH.

  • @wisdomjohn-nj9po
    @wisdomjohn-nj9po Před rokem

    Njaaa inakusumbua mpoto

  • @sebastiankatalle2732
    @sebastiankatalle2732 Před rokem +1

    Lugoa na wewe mpoto wote nyabarange.Magufuri oyeeee

  • @ibrahimgeras6249
    @ibrahimgeras6249 Před rokem +1

    Mnafiki sana huyu mzee nilikuwa namuonaga anaakili kumbe hamna kabisa

  • @lucasalphonce7820
    @lucasalphonce7820 Před rokem

    Magufuli baba kama nakuona kwakaziile uliyo ifanya sifa zote kwako mwanamapinduzi wa Afrika pumzika kwa amani ame

  • @alfredmathias8748
    @alfredmathias8748 Před rokem

    Rip magu

  • @BON357
    @BON357 Před rokem

    Vitu vinapanda Bei baada kumusifu MUNGU sifa munampa samiya sawa ngoja tuone

  • @user-en5wj1yv9d
    @user-en5wj1yv9d Před 8 dny

    Magufuli atasimuliwa vizazi na vizazi

  • @BON357
    @BON357 Před rokem

    Raisi wakibongo wote wanamaisha mazuri Basi ata siku za mwisho mwezi mmoja toeni kupitia tigo pesa tupewe 20000,

  • @brysonzawad8521
    @brysonzawad8521 Před rokem

    Mrisho mpoto wewe ni mbwa tu wanakutumia tu hulambi chochote

  • @annamsemwa1946
    @annamsemwa1946 Před rokem

    Ila njaaa mbaya sana. Kweli ww Leo Mzee wamjomba ndo wakutufanyia usaliti huu.

  • @wilsonsaghy4171
    @wilsonsaghy4171 Před rokem

    R.i.p JPM

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Před rokem

    Nimesikiliza comment zenu SN humu lkn siwaelew mnamtukana mpoto kosa lake Nini na mjue katika kila kiongoz kashiriki kuijenga dodoma na kawataja viongozi wote Sasa mnapofikia mnamtukana kosa lake nn tuwe na HEKIMA

  • @chainchebby3313
    @chainchebby3313 Před rokem

    Unafiki tu umetawala hapo yaani mmesahau mara hii ni nani aliyeipangania hiyo ikulu hapo lah ubinadamu kazi endelea kupumzuka kwa amani baba yetu JPM .wanafiki wanazidi kuongezeka uku

  • @user-bg1uf8ws6p
    @user-bg1uf8ws6p Před rokem

    Sijawahi kukuelewa

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Před rokem

    JAKAYA KIKWETEE😂😂😂😂😂😂

  • @guugug9gt829
    @guugug9gt829 Před rokem

    Rip JPM

  • @danielmandia7447
    @danielmandia7447 Před rokem

    Kila mtu katimiza majukumu yake. Niulize . Bunge kajenga magufuli? Chuo kikuu kajenga magufuli? Eneo la kujenga ikulu amelitenga magufuli? Magufuli yeye kajenga ikulu tu na baazi ya wizala. Tu. Kipi. Kingine amekifanya dodoma Cha ajabu

  • @emmanuelkanyela275
    @emmanuelkanyela275 Před rokem

    Hila mpoto umefeli pakubwa sana

  • @yusufumbwene5669
    @yusufumbwene5669 Před rokem

    Mimi nilitaka kuona ajabu mtembea peku angali pesa za kununua viatu anazo tangu lini awe na akili ,,, yan huyu ni alama kubwa ya mchumia tumbo . Iv hayo manyanga yako yooote ungemzungumzia John Pombe Magufuli wangekuua au ??? TUACHE UNAFIKI JAMANIIIIIIII

  • @sylvestercharles3585
    @sylvestercharles3585 Před rokem

    Hata kama mkimtaja kwa uchache mwamba wa Chato, bado ni simba aliyelala katika ushujaa.

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Před rokem

    Yaaani ndio shida mnaferi na mtaferi unajua mtaonekana sio wakweli mnaposhindwa kuushuhudia ukweli mtaonekana waongo maana dawa ya Giza ni mwanga endeleeeni wananchi wakiwasha taa watawakuta katika Giza na yanayofanyika ktk Giza yanajukikana yakiwekwa wazi tutajificha wapi,

  • @naturalviewing3974
    @naturalviewing3974 Před rokem

    Pumbavu mkubwa wewe JPM Ndio mpango mzima

  • @emmanuelkanyela275
    @emmanuelkanyela275 Před rokem

    Mpoto hapo umefeli kwenye huu wimbo ulitakiwa mtu wa muhimu kumtaja hapo ni mzalendo namba moja JPM mwamba huyu hata kama hautamkumbuka watanzania wanajua yote umebugi brother

  • @charlzlomo9219
    @charlzlomo9219 Před rokem

    Coment zinaonyesha ni kosa la jinai rais kutoka kabila kubwa wahaya,wasukuma,wachaga,wanyskyusa ktk nia njema sawasawa hutuba ya baba wa taifa.

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 Před rokem

    Bado kabisa hujafanikiwa.Tumekutambua

  • @saidmabanga388
    @saidmabanga388 Před rokem

    Mnafkiii mkubwaaa wewee

  • @robsonlotyloy5678
    @robsonlotyloy5678 Před rokem

    Magu ni jembe tu.

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 Před rokem

    Nimelia Mpoto hatari huo ni uzalendo.😭😭😭😭😭😭😭

  • @zuenahamoud1532
    @zuenahamoud1532 Před rokem +3

    Mbwaaa wewe

    • @maulidimuhammed7851
      @maulidimuhammed7851 Před rokem

      Mbwa ni nani?Si Yule aliekuwa muuaji akiwauwa binadamu wenziwe?Kawauwa wengi akiwemo Ben Saa Nane,Azory Gwamno,kumpiga risasi Tundu Lissu kwa yonevu tu,Kuwateka watu na kuwatesa na kuwauwa,kurndelea kuwaeka ndani mashehe wa uamsho kwa uonevu tu .Nani ni mbwa?

  • @philipowyinjones9645
    @philipowyinjones9645 Před rokem +2

    Wamejenga wote kwa pamoja cz alikuwa makamo wake Sasa n Raisi

    • @nangugu1657
      @nangugu1657 Před rokem

      Kumubeza magu na jitihada zake zote zambi tena zambi Bora kukaa kimya

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud9004 Před rokem

    Wamejenga wote waliopita wanamchango kuanzia maono ya Mwalimu

  • @mckilongojr6367
    @mckilongojr6367 Před rokem +5

    10/02/2022???? ndo ilianza kujengwa? aliyemuuzia mpoto ulanzi ni nani😂😂😂😂