LIVE | UZINDUZI WA IKULU YA CHAMWINO, DODOMA - 20/05/2023

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 05. 2023
  • Fuatilia Matangazo Mbashara ya Uzinduzi wa Jengo Jipya la Ikulu ya Chamwino Dodoma, ambapo Rais Samia Suluhu Hassan anaongoza shughuli hiyo.
    #AzamTVUpdates #AzamNews

Komentáře • 12

  • @akilichristopher3202
    @akilichristopher3202 Před rokem +1

    Hongera sana bella

  • @tamimumzamilu2726
    @tamimumzamilu2726 Před rokem +1

    Hongera watanzania

  • @musamshema7838
    @musamshema7838 Před rokem +2

    Ilitakiwa picha za JPM ziwekwe kwenye kilakona ya Dodoma

  • @kubewaiddy9088
    @kubewaiddy9088 Před rokem +2

    Watu wa bustani mbona wanafeli hapo panatakiwa papigwe maji pawe kijani

  • @abdilahjuma2493
    @abdilahjuma2493 Před rokem +1

    Nafikiri huku ndani pasingeoneshwa sio kila mtu ajue ikulu ikoje

  • @lulurubby2235
    @lulurubby2235 Před rokem +1

    Huyu anajikutaga kama rais

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Před měsícem

    Mrisho Mpoto hajamueleza vizuri bali kamsema kapunje kadogo msukuumaji wa maono ya Nyerere ambaye ni Magufuli. sikutegemea kwa kweli

  • @musamshema7838
    @musamshema7838 Před rokem +1

    AHSANTE JPM,,KAZINZURI YA HAYATI MAGUFULI, NCHIYETU INGEKUWA NA MARAISI KAMA JPM INGEFIKAMBALISANA.

  • @MakameAbdallah-wn3hc
    @MakameAbdallah-wn3hc Před rokem +1

    Nurdin umemmaliza Marehemu Marini Hassan
    Kwa atakae sikia simulizi hii katikati bila kuanza mwanzoni si hasha akajiuliza ni kipindi kilichorekodiwa enzi za uhai wa marehemu (Marini)

  • @kaisimwantindili397
    @kaisimwantindili397 Před rokem +1

    ASNTE, JPM KWA NDOTO ZAKO, MWENDO UMEUMALIZA NDOTO UMEITEKELEZA ,,

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Před 4 měsíci

    Nyerere was a diplomacy, alipoamua matawi yote ya TANU kulijadiri alikuwa ana-wa-empower watanzania wote. Baadhi ya watu wanafikiri yeye binafsi ndiye aliyefanya uamuzi huo na wengi hawakumwelewa na wakiwemo baadhi ya wapinzani wapiga madebe tupu. Mwinyi, Mkapa, na Kikwete walitoa mchango wao lakini wakashindwa kufikia pale JPM aliweza kufikia na Mama anamalizia yale yalianzishwa na mwasisi wa nchi yetu. Nashukuru mama umeweza kumuenzi JPM na kuimaliza hii kazi. Dodoma ni pazuri sana, watu sasa hivi ukiwaambia warudi Dar hawapendi kabisa.