MHE. RAIS SAMIA AKIZINDUA JENGO LA KITEGA UCHUMI - PEMBA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 01. 2024
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akizindua jengo la Kitega Uchumi la Zanzibar State Trade Cooperation - Pemba visiwani Zanzibar.
  • Zábava

Komentáře • 11

  • @mzeewabandari
    @mzeewabandari Před 6 měsíci +6

    Kazi Iendelee, Rais Samia ni mtu wa maendeleo. Asante Rais wetu

  • @user-pv3rj5yk5n
    @user-pv3rj5yk5n Před 6 měsíci +2

    Allah akubarik akujaalie afya njema akuepushe na hasad. KAZI IENDELEE

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před 6 měsíci +2

    Kazi nzuri saana, Ubarikiwe Saaana Mhe SSH

  • @user-gd2xj3xd1b
    @user-gd2xj3xd1b Před 6 měsíci +3

    Hongera mh WAZIRI kwa hotuba fupi nzuri ya ukaribisho wa raisi

  • @othmanalnabhany3208
    @othmanalnabhany3208 Před 6 měsíci +1

    Asante mama yetu nakupenda sana.mama kwa ajili ya Allah na maendeleo ya nchi yetu

  • @alisaid5166
    @alisaid5166 Před 5 měsíci +1

    Mabati oyeee

  • @allyiddy3562
    @allyiddy3562 Před 6 měsíci +1

    Karafuu oye

  • @bimoda9654
    @bimoda9654 Před 6 měsíci +1

    Karafuu

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518 Před 6 měsíci

    Inafaa mutilie mkazo zaidi katika ukuzaji wa zao za karafuu.Hivi sasa uchumaji ni wa ovyo,jambo ambalo linadhoufisha miti ya mikarafuu.Pia utaalam wa kuhifadhi ardhi hamna ni hilo ni janga la baadae

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518 Před 6 měsíci +1

    Miti ya mikarafuu yakatwa ovyo.

  • @rashidabdallah3253
    @rashidabdallah3253 Před 6 měsíci

    Karafuu haiuzwi nje na mkulima bali huuzwa na mapapa wanaojiegemesha nakufadhili harakati na maendeleo ya chama tawala lkn mkulima kama mkulima hiyo dhambi yakuisafirisha karafuu hafanyi sasa kama serikali tengezeni namna yakuwashughulikia tu bc.