ZIARA YA KIKAZI YA RAIS WA GUNIEA-BISSAU MHE. UMARO SISSOCO EMBALÓ
Vložit
- čas přidán 21. 06. 2024
- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan Akimpokea Rais wa Jamhuri ya Guniea-Bissau Mhe. Umaro Sissoco Embaló leo tarehe 22 Juni, 2024 Ikulu Dar es Salaama, ambae yuko nchini kwa ziara ya kikazi .
KAZI IENDELEE
speed ya maeendeleo imepungua mama sijui anaogopa nini tusimpambe uwo ndo ukweli maendeleo yote kafanya baba yetu magufuli yeye atuoni ata kama anatekeleza sijui kaz iendele hamna kitu hii nchi apewe makonda kwa mwaka mmoja tu af makamu mwambukusi mama aone kasi ndani ya mwaka mmoja uchumi wa kati tunarudi watanzania tusiogope kusema kweli tutauolizwa na mungu uliifanyia nini nchi yako hat kusema kweli mnashindwa