ZA NDAAANI! MWAMBA KALETA 'NOMA' ANATAKA KUONDOKA / UONGOZI WAMJIA JUU WAOGOPA KUMUACHIA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 06. 2023
  • www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Sport

Komentáře • 85

  • @maigathomas2353
    @maigathomas2353 Před rokem +1

    Et thank you

  • @HalimaIssa-pu4yt
    @HalimaIssa-pu4yt Před 3 měsíci +1

    Chama

  • @user-sf6rj9jy5n
    @user-sf6rj9jy5n Před rokem

    Jaman napenda sana kuwasikiliza wasaf tv wakat wa michecho lakn huwa sijui mnachambua mda gani make zamani tulizoea kuwaona saa nne

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Před rokem +6

    DJUMA SHABANI YANICK BANGALA Dah yanga wakifanya haya kuwaacha hawa watu watafanya kosa

    • @isakajunior7139
      @isakajunior7139 Před rokem +1

      Huwezi fanya kazi na watu ambao hawapo tayari kufanya kazi na ww

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 Před rokem

      Hakika faza uwezi kufanya kazi na watu hawana utayari

    • @rogersiddy
      @rogersiddy Před rokem +1

      @@jaffjeff6912 mdau sio kweli tambua Yanga imetoka Fainal Shilikisho tambua hata wachezaji wanapanda dhamani pia kwaiyo unafanyaje ili kuwa nao misimu mwingine ijayo? kuwaboreshea mikataba yao ili wakufanyie kazi nzuri msimu ujao kwenye CAF CHAMPIONS League unaposema siongezi mshahara tambua kuna timu zimewaona hao wachezaji waliocheza Fainal wanaitaji huduma zao kama utashindwa kumuongezea wanahaki kufuata dau nono mpila ndo kazi yao

  • @farlykunga8599
    @farlykunga8599 Před rokem +7

    Mkude na Nikson Kibabage wapo yanga😅..Djuma shaban na Bangala walitak kumjaribu Boss G.S.M!!!😅

    • @chamyluna8030
      @chamyluna8030 Před rokem

      Hujiskii aibu????

    • @farlykunga8599
      @farlykunga8599 Před rokem

      @@chamyluna8030 Aibu itoke wap..na nina mataji matatu ,,medal ya Africa kiatu cha mfungaj bora wa Africa na nyumbn..jmnn..nina Mvp nina kip bora,Aibu ona ww..kolo

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi Před rokem

      @@farlykunga8599 Hicho kiatu cha Mfungaji bora Africa kimetoka wapi tena? Hakunaga hiyo tuzo ndugu 😂😂😂😂

    • @lizashagilliard2336
      @lizashagilliard2336 Před rokem

      Sasa inawezekanaje et wachezaji wa yanga watake kwenda timu nyingine hapa bongo?? Sio kweli

    • @farlykunga8599
      @farlykunga8599 Před rokem

      @@TM.Sullusi sawa kwa ajili ako,,tutoe bac khatu cha mfungaji bora wa Cuf Confederations,,aya nabaki na makombe yangu,,ww una nini umebaki nacho??

  • @mnyusihiza9161
    @mnyusihiza9161 Před rokem +2

    Kod nyepesi bangala na juma shabani

  • @strikerforce4949
    @strikerforce4949 Před rokem +1

    Ni kweli. Bangala na wenzake walidhani Yanga ni timu ndogo. Hii ndio Yanga, pale kuna Mtine akili mingi. Hatujaribiwi

    • @strikerforce4949
      @strikerforce4949 Před rokem

      Hawa jamaa na hata viwango vyao vimeshuka. Bangala alijipeleka Azam. Hata baada ya fainali ya Tanga vs Azam baada ya mechi alijipeleka kwa Poppat

  • @kigoratheson4676
    @kigoratheson4676 Před rokem +1

    Mbangala na juma shabani walitaka kulikanyaga

  • @marselojr9884
    @marselojr9884 Před rokem +1

    Bangala na Juma shabn

  • @yusufujamali4577
    @yusufujamali4577 Před rokem +2

    Bangala na Djuma Shaban na waliosajiliwa ni Mudathir Yahya na Sureboy

    • @mackysuphian
      @mackysuphian Před rokem

      Mudathir na sure boy ni wakigeni kumbe😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před rokem

    👊👍✌️.

  • @athumanngogote
    @athumanngogote Před rokem

    Ah uyoo onyango uyooo🤣🤣🤣

  • @edithajohn9600
    @edithajohn9600 Před rokem +1

    Uyo bangala😂😂😂alitaka kuyakanyagaa😂😂

  • @mecksonjoseph2522
    @mecksonjoseph2522 Před rokem +1

    Lisa

  • @JohnZambi-jb4sd
    @JohnZambi-jb4sd Před rokem +1

    Juma shabani huyo

  • @fettymilly7664
    @fettymilly7664 Před rokem

    😂😂😂😂😂😂 bango la kijaaaaaa

  • @williamsalum5844
    @williamsalum5844 Před rokem +2

    Bangala

  • @HamisiMkamwa-kc4uq
    @HamisiMkamwa-kc4uq Před rokem

    Bangala na Lomalisa

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 Před rokem +1

    Wamuulize tshishimbi

  • @jumahamad3272
    @jumahamad3272 Před rokem +2

    Kipre jr na akaminko ao

  • @animooshq
    @animooshq Před rokem +1

    Bango la kijani na njano. Huyo ni yanic na juma. Waende tu vyuma vipya vije

  • @saidiwakufuta
    @saidiwakufuta Před rokem +1

    Ishmanula ndo kajivunja

  • @rashidkhamisjuma3714
    @rashidkhamisjuma3714 Před rokem +1

    dijuma uyo

  • @yusuphmwaigomole3104
    @yusuphmwaigomole3104 Před rokem +4

    Bangala na lomalisa !😄😄😄

    • @haymanish
      @haymanish Před rokem

      Uwe unaelewa amesema namba 2 na 6

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 Před rokem

    Ndio raha ya kuwa na viongozi vijana...mutaza manhunga anaweza kuwa na akili hii???

  • @honestlasway5996
    @honestlasway5996 Před rokem

    Litombo 😂😂

  • @allyzaidi5707
    @allyzaidi5707 Před rokem +1

    Bangala huyo😅

  • @nyaganyaga3876
    @nyaganyaga3876 Před rokem +2

    Bangala nadhani yatawakuta ya tshishimbi

  • @najmarashid2136
    @najmarashid2136 Před rokem +3

    Bangala na Djuma/Lomalisa
    Hakuna mchezaj bongo asietaman kucheza Simba bhn😆😆

    • @dainangei6608
      @dainangei6608 Před rokem +1

      Sio Simba bhana ni Azam 😂😂😂

    • @rehemaabdullah7606
      @rehemaabdullah7606 Před rokem

      Simba mnapesa ya kuwalipa kama mmeshindwa kumlipa Okwa mtaweza hao😂😂😂😂Azam hiyo

    • @Erickmjuni-ev6dc
      @Erickmjuni-ev6dc Před rokem

      Sio Simba azam baba,timu iliyotimiza wachezaji 12 Ni Azam,Simba bado mnasajili au ujamuelewa

    • @hamisishirikisho2199
      @hamisishirikisho2199 Před rokem

      Kwani simba nafasi 12 zimejaa?

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 Před rokem

      ​@@hamisishirikisho2199mpaka sasa ziko wazi

  • @AllySaid-nz1ri
    @AllySaid-nz1ri Před rokem +1

    Kumbe mumefuatilia sana nimuongo kinoma mimi hata simfuatilii tena

    • @rockygappi1018
      @rockygappi1018 Před rokem

      We nenda tu kaka sisi bado tupo.. maana hapa kama daladala unashuka wanapanda wengine..ulikuja mwenyewee😆😆😆

    • @kevoomgayajr1082
      @kevoomgayajr1082 Před rokem +1

      Humfuatilii na ume kuja kumuangalia CZcams na uka comment 😂😂😂

    • @mdalamgir-gu9hu
      @mdalamgir-gu9hu Před rokem

      Kama umfatilii mbona wazidi kukoment...mnafikitu

  • @luqmanomary3558
    @luqmanomary3558 Před rokem

    Manula aishi

  • @ndonetz6342
    @ndonetz6342 Před rokem +1

    Cham

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Před rokem

    Huo ni uongo. Mbona hujawataja majina yao.

  • @songombingo108
    @songombingo108 Před rokem +5

    Huyu jamaa huwa mwongo Sana... Nimefatilia muda mrefu Sana anachokitabiri au kukisema si cha kweli.. Mnafiki tyuuu na umbea. Halafu watu wazima na akili zenu mmekaa kumsikiliza..

    • @ahmada2072
      @ahmada2072 Před rokem +2

      Kaza mwanaume haujalizimishw kuview

    • @AidaHamza-li7kr
      @AidaHamza-li7kr Před rokem +2

      Hujalazmishw kumfatilia

    • @sniper93999
      @sniper93999 Před rokem

      Itakuwa ww ndio muongo ila vitu vingi anavovizungumza vinakuwa vinatokea kwel yaan nilikubal hilo kweny issues ya feisal yy ndio chanzo cha kuiyanzisha na kusema imemalizika nilikubal km huwa ukituliz akili yako utamfahm momo na anayoyazungumza ni yakwel

    • @theson1987
      @theson1987 Před rokem

      hujalazimishwa wewe tulia kama 1

    • @saidswalehe932
      @saidswalehe932 Před rokem

      Unakumbuka sakata la Fei na Yanga?..Basi huyo jamaa ndoalikiwa mtu wa kwanza kuvujisha kwamba kuna timu inamnyemelea fei kama yanga hawatakuwa makini dogo anasepa

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Před rokem +1

    Bangala alikuwa anaitaka Simba MDA mrefu SN na pia limalisa nae anataka kuondoka

  • @mrsultanzimbwe6746
    @mrsultanzimbwe6746 Před rokem

    YANGA N KUBWA KULIKO MCHEZAJI YOYOTE TUNAWAHESHIMU NA KUWAPENDA SANA LKN AKILETA POYOYO TWAWALIPUA MPKA WAO.BEWE MSAMAHAA NA MABALOZI WAO

  • @williamsalum5844
    @williamsalum5844 Před rokem

    Bangala