#ZaNdaaani
Vložit
- čas přidán 6. 08. 2023
- www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Sport
Dawa yao ni kuingia uwanjani na mabango Huku tukiimba TUNAMTAKA PHIR PHIR PHIR PHIR PHIR PHIR PHIR
mzee wa code ngumu 😂😂😂🏆💚💛💪🇹🇿🇦🇪
Malipo duniani, kazi afanye mtu mwingine mshahala autake mwingine, kama wanataka hela za jasho la mwanamme mwenzao waende wakaolewe ulaya huko, inauma sana, mambo yakipuuzi hayo, lizikeni na mishahara yenu.
Mimi ni simba ila huu ni ukweli wawazi moses phiri toka mwaka jana alikuwa yuko fiti ila hachezi
😂😂😂 daahh kilicho mpoza swala
Ricardo Momo tumeelewa ila Mungu anaona kila mtu ajihoji mwenyewe kama ni sahh mhnnnnn😊😊
Hiki ndicho kinachoisumbua simba na ndio maana ubingwa ni changamoto
MR GENERAL PLEASE DON'T LET US DOWN...🤔🤔
🎉🎉🎉
Anguko la General Phiri
Phiri huyooooo😂😂😂
Jamani Simba tunamashindano mengi sana msimu huu pls mtuache atacheza tu
Binti Sulaiman 😂😂😂😂😂
Binti Suleiman ni Barbra
Huyo ni moses phiri
Nnamuons Phili Yanga... Na ataawaadhibu Simba
Phriri aliondoka Simba ..nasema kweli yanga atakuaa bingwa tena na wataend mbali club bingwa . Viongozi w Simba hatuwaelewi ufala mnaotufanyiaa mashabiki.. phriri ni mzur kuliko baleke kwann mnafanya upumbavu huoo
Ni kweli mwanangu Moses mzuri sana kuliko baleke Yani da
Phiri😥😭
Huyu jamaa akikaa vizuri anaweza kua Fabrizio Romano wa bongo 😅😅
HHHH Ndiooo_🤦🏿♀️
Sio kweli huwa mnakosea hivi mnakumbuka mlisema Manula kajivunja ili kukwepa mechi ya Derby?
Rikado momo juc bhana nakuona airport demu wako anakupelekesha kinoma tembeaga na bisibisi Kama Morrison atakuheshimu
Phiri achezeshwe waache zengwe hao wachache Waliopo kimasilahi kwenye timu
Huyo kiongozi anaemfanyia hivi moses phiri tumjue ni nani tuamshe popo maana hii haikubaliki ujinga mtupu
WA KUDERE NINAKUELEWA SANA WEW HUWA HUONGOPI KABISA, UNAZUNGUMZAGA UKWELI MTUPU NA HONGERA KUFOKONYOA ZA NDAAAANI
Moses phili!
Momo bhana muongo kweli kweli kha!! Kkkkkk
Ya phiri ni kweli mzee hiyo hata kabla ajafumba iyo code tunaijua vyemaaa
Phili
Kama ni adhabu inatosha wampe nafasi acheze amej8funza.
Hakuna cha kujifunza apo haki yake lazima apewe mtu....shida wanaogpa kiwango chake coz uwezo anao sanaaa tena snaaa
Usisikilize na kuamini uongo. Uturuki amecheza mechi 3
Ni uongo mbona uturuki kacheza mechi 3?
Wamwache aende yanga
Uyu ni muongo alisemaga manura kajivunja asicheze mechi ya Yanga.
jana kacheza bado hamjasema
Tatizo wachambuzi maneno mengi ligi hata haijaanza mnalalamika anabaniwa, hebu siku moja mchambuzi achukue timu hata daraja la kwanza tuone km mtatoboa ,kazi kubwabwaja acha ligi iishe ndio useme mtu kabaniwa mnalazimisha kujua mpaka kicho kwenye akili ya mtu
Mechimoja tu yakirafiki mmeishaanza maneno mbona kunawachezaji wengi tu hawakucheza nafasi nindogo je tungefungwa napo mngesema wabongo bana shida sana tutafika lakini tumechoka sana phili yupo sana simba
mfungwe mara ngap
Semah licardo unaminya xaxa mda mwngine celew kama hii mjmba
Phiri huyooooo
Phiri tatizo nini sijui na simbwa
Huyuu nae muongo muongo tu kaonaa Phiri janaa hajachezaa wanaleta propaganda
Sasa unabishanin wakat tangia hapo Kocha hampii nafas
Kweli MO KAZINGUANA NA MOSES PHIRI MDA KWA AJILI YA MASLAHI LKN AKAMFOKEA BOSS MO NA BABRA WAKACHUKIZANA HAPO HAPO ALIZUNGUA TOKA SIKU ILE BENCH TUUU
NI kweli boss wetu ukizingua anakisirani kweli hata chama aliuzwa kisa alikuwa anachart na manara tweeter hakutaka Hilo akamuuza kwa hasira
amini
Lindiiiiii
Mosses phili ..mp
Tofauti Zao Kati Ya Management Na Mchezaji Zimalizike, Simba Fans Sio Wajinga Kuona Among Top Scorer Wao Yupo Nje, Then Kibu D Yupo Ndani.......
Kwa Hali Hii Transformation Itakuwa Shida Sana....
Huyu ka domomo is mbea jmn
Leo yakwenu mnamuona muongo ila kwa Yanga mnakenuaga tuu😂
KAMA KUNA VIONGOZI NAMNA HII WAACHE TABIA HII KAMA KWELI KUNA SIKU KITAWAKA KWA MASHABIKI UWEZO WA MCHEZAJI TUNAUJUA