Nyama yakunyambuka | Jinsi yakupika nyama laini sana yakunyambuka | Nyama ya mandi.
Vložit
- čas přidán 13. 06. 2020
- #mapishiyakiswahili #nyamayakunyambuka #nyamalaini #nyamayamandi.
Website:rukiaskitchen.com
Instagram: rukias _kitchen
Facebook: Rukias kitchen
Cookpad: Rukias kitchen
Mahitaji:-
Nyama ya kondoo kifua
Kitunguusaumu na tangawizi vijiko 2
Ndimu
Mafuta vijiko 3-4
Garamasala kijiko cha kula
Manjano kijiko kidogo
Beefmasala kijiko cha kula
Paprika kijiko cha kula na nusu
Pilipilimanga kijiko kidogo
Chumvi
English recipe follow the link➡️ • Soft & tender mutton m...
For more swahili videos follow mapishi ya Zanzibar ➡️ / @mapishiyazanzibar
Husna laltia ➡️ / @husna_laltia
East African foods ➡️ / @eastafricanfoodsrecip... - Jak na to + styl
If you would like to watch this video in English press the link ➡️czcams.com/video/YUEsSFk8PWg/video.html
Lazima iwe nyama ya kondoo
MashaAllah allah akuzidishe kutufundisha mapishi
Salam alekum mashaallah ❤
Thanks Rukia.
God bless u.
Live long.
Wow! 😍😍😍Hiyo nyama yaonekana tamu saasna,wewe ni mpishi hodari😘😘😘
Masha Allah 😍😍😍
Masha Allah
Asante sana kwa video mzuri
Mashaallah nzuri na well baked. Yummy yummy
Woow its delicious I am the first here
Mashaallah
MashaAllah
Hongera Sana!! Nyama imeiva vzr
ma shaa Allah
Masha allah
Amazing kipenzi😋😋😘👌
Safi nimepata ujuzi wa nyama laini mashallah
Napenda sana mapishi yako
Mashaallah nimependa mate yanitoka
You narrate very well. Nice cooking there.
Mashallah tabaraka rahmani
Waoooh I like the way you say Mandi shukrani
Mashallh
Wow,so delicious
Mashallah yummy yaani duh shukran habibty jazzaka Allah khayra
Karibu sana habibty 😘
Wow mashallah utanifanya Leo Leo ni kaupike thanks for your video bye
Mimi ni binti wa athman ali mimi ni binti yake Naysana
Awwww yummy yummy
shukran
The best.
Nic
Yummy
Love you
Ila unafanyaje ukiwa uko na niko la kawaida (jiko la mkaa)
Good video kama hauna oven can u use jiko
Masha'Allah nyama yavutia, niipate na salad tu basi😋👌
Asante sana sista ♥️ yaani tonge na wali kwa pilipili 😋😋😋👌
Ni lazim nyama ya kondoo
@@elizabethleonce4183 Nyama yoyote tu sister
@@tajiriskitchenswahiliflavo1723 thanks nawapenda rukia,tajiris n shunas
Safi sana…. Ila tu hapo kwenye kuoka kwa saa nne!
Mashaallah yummy
Ma shaa Allah habibty ❣️ You are a pro😍
Awww thank you soo much habibty ❤️ 😘
Asntee
hii unatumia moto wachini au juu
♥️♥️♥️👊👌👌
vipi naweza kupika kwa jiko la makaa, kaa sina oven
Mouthwatering Can use T bone steak ? We don't eat kondoo
Any meat it's OK
Assalam alaikum,na kama sina oven ntaichoma na makaa vp
Kila kitu safi' ila hapo kwenye maji mbona hujaonesha kuweka.
Paprika ni nin
Mate yamenitoka
Paprika ni pilpil ya unga unga ya kuwasha au?
Super tender meat
Yes, thanks
Description box huwa wapi😂
Ni 180°F au 180°C?
Celsius
kama sina jiko la umeme nitumie nini
jiko la umeme au iven kama sina nipikaje?
Mashaallah