Video není dostupné.
Omlouváme se.
KUCHOMA KUKU MZIMA/KUOKA KUKU MZIMA
Vložit
- čas přidán 27. 01. 2021
- Jinsi yakuoka kuku na Oven
Social Media
-instagram @ikamalle
-Snapchat @ika_malle
Email: phenomenalika@gmail.com
VIDEO ZINGINE
-Ugali, Mlenda na Dagaa
• UGALI + DAGAA WA KUKAA...
-Wali Maharage
• WALI WA ILIKI + MAHARA...
AINA 3 ZA WALI
• MCHELE MMOJA,MAPISHI M...
-WALI WA MAYAI
• WALI NA MBOGA ya MAYAI...
-BIRIYANI
• KUPIKA BIRIYANI//RAHIS...
-WALI WA KUKAANGA
• MAPISHI: WALI WA KUKAA...
#BUNS
Ha bari dada ukichoma yama yakuku au mbuzi ngombe kwenye oven.Una was ha moto wajuu nachini ama wajuu tuu
Asante kwa maelezo mazur nami umenifunza sijawahi kuoka kwa ovena na nilikuwa sijui kazi ya hiyo chuma kama inasapot leo nimejua
Ma sha Allah asante kwa somo mwalimu ♥️
Wow v lovely chicken marinade recipe to oven baked time n supper results!! I'm pleased n happy watching ur post from TANGA Tanzania.
soo good 😍😍
Dada Ika vlog ya apartment tour jamani tujifunze mengii
Uko vizr dada
So sweet!
Wewe fundi am learning thank you ma'am 😍
Nimejifunza mengi dada...asante
Looks yummy
Wewe mwalimu kweli mama nashukuru, Sasa nifindishe kutumia Ile over mdogo ya aina ya ARMCO model yake AEC-3810R(SB)
Awww mpenzi kwa namna ninavyopenda kuku mie😋😋 hapa namla kama simjui😂 asante kwa maujuzi nimeongeza kitu❤️❤️
😂😂
Hongera mrembo
Oh my have subscribed to the channel....oh my yummy yummy 🎉🎉🎉🎉 salivating 😋😍😋 keep Good work 💯
Nimependa hiyo
Asnte mmy daah tamu hiyooo
Safi sana
mashaallah najaaaa hhhhh namtamn
Kwangu ningemtafuna na salad only😋😋😋
Penda sana wew
Nice❤
Waaaaooh nimeitan😱😝ila jitahid kuaa unatumiaa vipimo kamili.
Hii kitu😋
Atapendeza kwa ugali😋😋😋
Naomba kuuliza je kama oven yng haina chuma???
Kuku anavutia sana😋👌
Asante dear
hajaiva mbonaaaa
Anavutia sana je kwa mkaa unafanyaje?
Naomba unitajie viungo vya unga vya kumpakaa kuku, nisaidie sijui ila oven ninayo ili nijaribu
Kama sina vinega?
Hiyo taa ya kwenye oven inswashwa na wapi jamani😢
Napenda kujua moto umeweka wa chin tu ama juu na chini
Juu na chini
Atar Atar
Wakwanza 😋😋😋👌👌👌
Mater😆
Food mongers in the truck already
It’s yummmy
🤣🤣
Umeona eeeeenh
😋😋
hizi spices ziko mombasa kweli
Ziko lazima
Mimi ntamtafuna hivi hivi Bila kitu😂😍
😂😂😂😂
@@ikamalle unaishiwapi nakuomba utoa namba za siku kwa lila unapoonyesha mapishi kuna maswali nitaka kujuwa na unadarasa
ika malle natafuta video ya kebab humu ndani siioni hebu nitumie link yake
Sina dear
okey nilitaka nijifunze kupika hiyo kebab kupitia ika malle b'coz vitu vingi nimejua kupika kupitia wew
Hiyo taa ya kwenye oven inswashwa na wapi jamani😢