Mashallah mashallah habibty 😋😍😍😍Zote zaonekana tamu Sanaa, mpaka nimetamani 😁, thanks for sharing 5 delicious recipes, I'll be a chef soon thanks to you ❤️❤️
Dada tunashukuru sana kwa Videos zako unazo posti, tunazipenda na kuzifatilia kwenye channel yako ya youtube, mimi binafsi nina pendekezo sababu wengi hatuelewi majina ya viongo unavyo changanya kwa lugha ya sijui kiarabu au kiswahili, kwaiyo tunaomba kama kuna uwezekano wa kusema viongo katika lugha mbali mbali, especially kingereza ili tujuwe namna ya kuvitafuta kwenye maduka ambayo hawangei kiswahili, ahsante
😊🤤🤤🤤mashaallah mapishi hayo dada mungu akuweke uzidi kutujuza mengi🤲
Can you please do your videos in English? We love your Spinach soup and I make it all the time.
Mashallah Mashallah umetoa maelekezo mazuri sanaaa,Allah akuzidishie kila la heri
Mashallah Mashallah Mapishi yako yote mazuri Thank you
Asante sana dear
We ni mkalii sana kabisa ubarikiwe
Its sooo nice
Asante kwa mapishi mazuri
Asante kwa maelekezo mazuri.
Mashallah
Mashallah mashallah habibty 😋😍😍😍Zote zaonekana tamu Sanaa, mpaka nimetamani 😁, thanks for sharing 5 delicious recipes, I'll be a chef soon thanks to you ❤️❤️
Awwww thank you soo much habibty ooh yaaaaaas definitely 🥰🥰much love habibty 😘
Asante sana
MashaAllah
Very delicious
i love this. masha Allah
😍😋😋😋
Hi ! My sister I'm from Somalia and I'm a new friend thanks 💖💖
Welcome to the squad Thank you 🥰🥰
Dada tunashukuru sana kwa Videos zako unazo posti, tunazipenda na kuzifatilia kwenye channel yako ya youtube, mimi binafsi nina pendekezo sababu wengi hatuelewi majina ya viongo unavyo changanya kwa lugha ya sijui kiarabu au kiswahili, kwaiyo tunaomba kama kuna uwezekano wa kusema viongo katika lugha mbali mbali, especially kingereza ili tujuwe namna ya kuvitafuta kwenye maduka ambayo hawangei kiswahili, ahsante
I will do that
@@RukiaLaltia thnx alot dear au uwe unatuandikia kwa kiswahili chini tuelewe zaidi..all in all napenda sana kazi zako keep it up asante😍
Naomba kuliza kazi ya mtindi ni no kwenye nyama
Mbona huchemshi
Dada rukia au wengine currypowder ni nn🤦♀️🤦♀️
Umeniacha jumbo ndo nn?mpendwa?
asc.søster
suali shigo sin mfupa tu haina nyama
Nice
Could you please also have this in English 😂smh... I wanna try this but I don't get a thing
I will do that
Shukran Dada Rukia. una mipango ya kuwerka kwa tovuti lini? naona mwisho ilikuwa disemba.
Tovuti ndio nn??
@@RukiaLaltia website
Mimi cpendi hiyo halufu ya galamu masala labda kwenye biryani nisipoweka vp itakua mbaya
Ni sawa ikiwa hupendi
@@RukiaLaltia poa thax cku hizi nimekua mpishi mzuri mkono wako hauongopi
Unapatikana wapi nije tuzungumze jambo?
Rukaya.demey@outlook.com
Recipes naweza kuzipata wap
Napenda unavyoelezea ila hyo pablika ndo nn??cjaielewa
Paprika ya unga ulizia supermarkt
Agness Lukumay Paprika ni pilipili boga
Mummy nyama kwa kuipika hvy tu itaiva bila kuivisha na maji.sorry naomba kujua njaribu
Itaiva ndio