Ep. 06 Nyama ya Kutupia
Vložit
- čas přidán 26. 03. 2018
- Nyama ya kutupia
•Nyama ya ng'ombe kilo 1
•Chumvi kwa ladha
•Pilipili manga kwa ladha
•carry powder vijiko 3 vya chai
•Kitunguu swaumu vijiko 3 vya chakula
•Mafuta ya kupikia vijiko 4 vya chakula
•vitunguu maji 3 vikubwa
•Nyanya 3 kubwa
•Nyanya ya kopo(tomato pest) vijiko 3vya chakula
•Maji yakutosha kuivisha nyama
surely how does someone dislike a good presentation like this??
Mambo mazuri hapa
Jamani nimekumiss
Nimependa unavyoelezea vizuri,big up
You are the best food presenter I've watched by far ..love love love this...unafundisha haswa
Nimekupenda unafundisha vizuri sana. Mashaallah
asante sana kwa Mapishi mazuri hongera 😍😍
Dada hatari hii sijaamin kama mm ndo nimetoa nyama tamu hivi...ahsante somo zur sana
My favourite chef 😋 😍 👌 ❤
Asante sana my sister.i like it
Honger dada chakul kizur maelez yako mazur nice mamy
Unaelezea vizuri hadi raha.😍😍😍
Nimependa mafundisho yako. Asante Sana.
Daaah nimeipenda sana
Hongera😍😍😍
Hongera kwa upishi stadi
Asante sana...nimeipenda
Like it so mwaaa
mpaka mate yamenitoka.nice sana
Umepiga cakura kisuri San👍 ongera san
hongera sana
Great job💓💓💓💓💓💔💔
Looks yammy
Nice my dia
Hongera unafundisha vizuri sana upo vizuri kwenye mapishi
Wooow thanks dear 😘😘😘
Niceeeeeee
Hongera so yummy
nice work dada
ubarikiwe sana endelea kutufunza zaidi Tolly kitchen!!
Nice mamy
Asante una fundish vizur san
Habar dada, nice....naomba utufundishe namna ya kumpika bata Maji, na hivyo viungo muhimu vya kuwa navyo jikon
amazing
Nyama tamuuuuu, nitajaribu kupika hivyo
thnx kwa upishi
Leo nimepika hii nyama ya kutupia nimefata steps zote na sijakosea hata hatua moja na nyama imenoga balaa nimekula na pilau asantee kwa video
Pilipili maga kwa english ni nn s
@@millicentmukami1977 black pepper
Asante nilikuwa nataka pishi kama hili
Hongera sana!! Unafundisha vizuri
Happyness kaaya asante sana
Umesahau tangawizi mrembo wangu, ila maasha alllah
AHSANTEEEE
Asnt mom
Kweli Google uyaone😀 kila mara tunajifunza vitu vipya. Inavutia haswa hiyo roast, wacha na sie tujaribu
aiseee
Unaelezea vizuri Dada mpaka MTU unaelewa
Thank you mamy good job and I like that
asantee
Kweli kwa mpishi kibonge huwezi kosea😁😁😘tutorial ya jins ya kukata icho kitunguu maji pllz...big up
Jana nilifanya mambo tolly.... Niliweza sana..... Oohooo
Hongera sana
mafuta ni mengi sana,ni nzuri kwa afya kweli
Perpetua Masanja kua Huru kuweka kiasi cha mafuta unachoona ni sawa kwako
Good i like that food 🍖🍖🍖🍔🍔
Ndo maaana una Afya tele we mwanamkeeee
Nakupenda jmn unaeleza vizuri hadi raha ngoja ni ni abonner asante nimependa mapishi yako ongera pia my
Nice.mimi ningeongeza tangawizi na limao to taste
Esther Chamhene saafi sana.hongera kwa pishi
Ujionei huluma mwili uwo mafuta mengi mbona
Katika link za mapishi ninazo fungua ww ndio namba moja kuona unaeleza vizuri na kuelewesha mtu kwa njia nzuru na mapishi yaki rahisi hongera
Asante sana
Kali powder ndo nn dadangu
Yaaaaani ww n mwishooo wa #Habariiiiiiii
Hatarrrrrrri xn ww 😆😆😆😆😂😙😍
Tamu kweli ila mafuta mengi
Nc
Nimefurahi kwa jinsi unavyofundisha vzri nimeelewa!
Cover your hair while in the kitchen,hygiene officer talking here
je unaweza ukaweka carrot na hoho kwenye hiyo mboga
Z give recipe in english
Kipindi Ni kisur saan na nimeelimika lkn naswali pale unapochukua nyama yako na kuanza kuchanganya viungo km vtunguu swaum na vngnev hy nyama unakua umesha iosha au unatupia viungo pasina kuosha kwanza
Nimependaaaaa
Madam hakuna kutumia carrot na pilipili hoho?
mbona kimya twamiss ideas zako...
nitajalibu maana mapishi yangu bila kuchemsha hahaa
Asante tangawizi ilosagwa jee huhitaji?
Z K nahic amesahau kuiwek
Amesahau kwa kweli tangawizi inalainisha nyama na kuongeza ladha.
Ila mafuta ni mengi for me lakini
Esther Chamhene unaweza punguza,uweke kwa kiasi ambacho unapenda
Kali powder ndo nn jmn
Curry powder
Siku nyingine ukupika funika nywele zako
Jamani wewe ukiwa unapika nyumbani kwako/kwenu siku zote waga wafunika nywele zako.Napenda kufanya mambo katika ualisia.hivi ndivyo ninavyopika nyumbani
Ungevaa gloves bwanaaa
sorry pilipili manga ndo nn ?
Black pepper
Dada hatari hii sijaamin kama mm ndo nimetoa nyama tamu hivi...ahsante somo zur sana