Biriani Ya Maziwa fresh
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- Mahitaji👇
Ya wali
Michele kilo kasorobo
Tabitha za kukaushwa
Rangi Ya yellow(food colour)
Jira (binzari nyembamba)
Pilipili manga
Mafuta uto
Ya Rojo
Nyama kilo kasorobo
Maziwa fresh 500ml
Tomato nzima tano
Vitunguu vinne vikubwa
Pilau masala ilochanganywa (Tropical heat)
Karafuu haba tano nzima
Pilipili manga zima kiasi
Mafuta uto kiasi
Viazi (mbatata)
Try using this recipe with Fresh milk,its so delicious na haisumbui tumbo kabisa
Biriyani yavutia sanaaaaa.
Maasha-Allaah nimejifunza kitu hapa, ntajaribu Inshaa-Allah
Napenda mapishi yenu sana fast and simple chakula chenyu mashala
Every Friday"s meal keep it up
Yow ur biryani looks soo delicious MashaAllah
Masha allah umepika simpleee na chakula kizur hujatumia masala mengi amazing food
Nimependa simple sana
mashallah nimependa ujaweka vitu vingi
Shukran habibty🥰🥰🥰🥰🥰
Nice sichoki kuiangalia hii video Allah akubarik!
Maa shaaa very nice
upishi mzuri MashaAllah
Simple hadi raha.
I tried it was so yummy..thanks munira
Wow happy to hear that, most wlcm
Woow nimependa very yummy & easy
Mashaallah Unaelezea vizuri .Shukran.
proud to be kenya na Kenyan food. 🍲
Proud too, tnx
Nice and simple! 👌
Mashàllah shukran Dada nimeipenda na ntaijaribu inshaaallah ..
Nice recipe dear😛😛😍up it up...!!
Mashaallah sooo sweet
Very simple
Wow mashallah
Mashaallah Mashaallah Mashaallah...Shukran sanaa for the amazing reciepe ntajaribu InShaaAllah..
Shukran mummy nimeipika leo,imetoka exactly... Sema sikua na zabibu
ماشاءالله 😍
Mashallah nice one biriani wooooow
Woow! This looks amazing i must try this
Wengine ooh zafarani,gilgilani,cjui rose water.Bt wewe very simple na matokeo poaz.Jazakallah
Hahahaha mwarabu ndiyo mwenye hiyo tabia
MashaAllah mapishi yako murwa
Mashallah nice
Wow
Yummy mashallah
Love from uk 🇬🇧
So helpful 😍👋🏻👍🏻
Inshallah nitajaribu kupika
Maryuma Islam inshaallah 😚
Nimekuelewa sana lazima nijaribu na mm...Unafaa kuwa mwalimu😍
Very creative and resourceful lady xx
Mapishi yako yote mazuri. Na unajuwa kufunza pia mashalla mungu akuzidishie uzidi kutuelemisha
nifurahishwa sana na hii video yako.kila video ya birayani nimeona wanatumia oven na Mimi sina hilo oven. so i thought bila oven no biriyani. Leo nimefurahi kumbe waweza improvise oven.asante sana dadaa mana hata sufuria unazotumia Si hizi za kizungu ni za kawaida tuu. asante sana.
Nimefurahi pia. jaribu kupika biriyani hivi I know for sure utafurahia zaidi
Asante sana
Super recipe Shukran
lazima nijaribu hii weekend
Nzuri na rhisi.....ahsnte sana
Karibu sana
Waooooo
masha allah
safiii
Jamani ume fanya Ni skeye nja Asante ina tamu
Yaani hua nagoja video zako kwa hamu manake una maelezo straightforward kabisa. Nikifata mapishi yangu yanakua mazuri masha Allah. Mwenyezi Mungu akuzidishie ujuzi insha Allah.
Ameen inshaallah
Shukraan sana nimependa😚 kesho nitapika na mm inshaallah😋👏
Yaan ni simple kwel shukran
Uko vizuri
Mashallah nzuri shukran 💕
Mamy mungu akubariki yaan bilian umelipika simple xana na nimeelewa kesho na me lazima niliamushe dude maan nilikuw kila nikiliangaria kwa wengine makorombezo kibao uwiii ngachoka tamu san
Liamshe dude dear
👍🏽🌹
Sounds yummy
MashaAllah very nice yummy yummy
MashaAllaah hiii staly ya maziwa powa sana nami nitajaribu yaani in sha Allaah
Inshaallah kisha unipe matokeo
mambo zenu watanzania hote
@@muniracoastalfoodinspirati3138
In sha Allaah
Mimi nimefurahia Sana kujua Kama waeza pika biriani ukitumia maziwa fresh.. thanks alot luv
Munira uko vzur dada
Mashallah shukran
Yummy
MashaAllah
Asante
Umeifanya rahisi kwangu. Asante. Sio lazima nifunike Makaa, biriani ya gas.
Asante
Kumbe waeza tumia maziwa fresh nilkuwa cjui? Nitajaribu inshaallah!!
apo fresh
Hi Munira the biryani looks yummy.. Kindly show us how to cook pilau nyeupe thank you in advance.
Irene Muthoni I will soon, make sure after subscribing you press the bell button so when I upload it you be the first to view
Munira coastal Food thank you
Yani mupaka nameza mate asete dada
Karibu
Umesema bado kupakua nikashtuka nimemeza mate 🙈Asante sana Kwa mapishi
Nikija kenya munira nitakutafuta unifunze upushi greetings from Sweden
resipe nzuri mama,, but kuna watu hawapendi kuuma kipande cha spice nzima nzima kama iliki,,si unaeza kutumia spices za unga?
Unaweza kutumia spice ya unga kama unapenda but harufu hudiffer kidogo
Naomba jinsi ykupika samaki
Bizari nyembamba ndio zaitwa jira
Yes
chunvi hujaweka
Ametia hapo 4:49
hivo viazi unavichoma ama unavikaanga
Bora utumbukixe kwenye mafuta ya moto mpaka viive
😁😁😁😁mimate kuntoka huk
Duuu mpaka tumbo limekoroma chongololoo mtamu wali nimeulike
Mashallaa mapishi mazur
Maziwa, unakusudia mtindi?
Mtindi ni maxiwa mala(Kenya) nimekusudia whole milk yani maziwa freshi yale unayopikia chai.
What is karafuu in English please?
Clove
Yessss
chakula kitamu san
Hiyo ni nini umewekwa kwa viazi? Yellowish
@Ann Mbogo, usually it's the food coloring, the same one ameweka kwa rice
Yesssss ama unaweza kutumia saffron
Naskiaga mwarabu akisema tunapika biriani nahisi kutoroka 😁😁😁😂yaani inapambwa inapambwa leta hii leta hii khaii our Kenyan way is simple and smart
Hahaha
hili sasa ndo nimelielewa
Zabibu ni nini hizo
Dry/dried grapes
Hio maziwa yasaidia nini kwenye Rojo? Maziwa Mala ni sababu ya Nyama kulainika haraka.. je hio Maziwa Fresh? Shukran
Wengi wakila biriani huwa wanapata kiungulia, maziwa fresh yanasaidia. Shukran habibty
@@muniracoastalfoodinspirati3138 Oooh MashaAllah shukran sana nitajaribu na mimi
Afwan
Mumezikata wewe na nani?
Najira ndo bizar nyembamba au
Mafuta hayo yooote eti kwenye rice,,,,!!!!!!!!
Mashaallah Unaelezea vizuri .Shukran.
mashallah so nice
Yummy
Mashaallah
Asante sana
What is zabibu in English pliz...
Sultanas/Raisins
Grapes lol