Ep.01 Njegere za Maziwa
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- NJEGERE ZA MAZIWA
Mahitaji
· Mafuta ya maji Vijiko 3 vya chakula
· Vitunguu maji 2 ,kata vipande vidogo
· Carry powder ½ kijiko cha chai
· Nyanya 2 kubwa , zilizosagwa
· Kitunguu swaumu kilichopodwa kijiko 1 cha chai
· Nyanya ya kopo(Tomato pest) Kijiko 1 cha chakula
· Karoti 1 ndogo,kata nusu duara nyembamba
· Maziwa fresh kikombe 1 ½
· Njegere ½ kilo (zilizochemshwa)
· Chumvi kwa ladha
Karibuni Tolly's Kitchen kujufunza mapishi ya nyumbani
Tembelea www.tollyzkitchen.co.tz
Mafuta mengi hayoo
I just love you Tolly. Unaongea vizuri, unaelekeza vizuri na unapika vizuri sana. Set up ya studio ni nzuri sana.
Inavutia sana najaribu leo
unaelezea vzr sana mamaa ahsante
Jamani mbona umepotea sana
Jamni ckuizi ckuoni mamy
Utaniona karibuni sana.kaa mkao wakupika
Nzuri sana Yammy shukran kwa mapishi mazuri na uelezaji wa kueleweka
Nzuri kwel
video nnzuri sana
Nimekuelewa madame
You are a really good cook.
Mashallah ajab
Hongera Dada
asante nazidi kuboresha mji wangu kwa mapishi murua
Nzuri sana naweza weka samaki apo
hongera dada
Hayo maziwa yanachemshwa kwanza dada au
Asante
sante
Thanks I hope itakuwa tami sana
Napenda unavyojibu maswali ya what, why, how and when japo hatujakuuliza. Self explanatory.
hizi njegere hujazipika kwanza pembeni au umeziweka mbichi kwenye viungo ?
Neema Jelemiah kapika kwanza
Mimi sipendi radha ya tomato yakopo je nisipoitumia
Curry powder kwa jina jingine ndo Binzari
Nimzur ntajaribu
Dia hizo njegere umechemsha kwanza pembeni au umetia zikiwa mbichi
vanod anod unachemsha kwanza
Njegere kasha zichemsha ndo kasema