Video není dostupné.
Omlouváme se.
Jinsi ya kupika Njegere.......S01E50
Vložit
- čas přidán 14. 08. 2024
- #njegere #njegerezanazi #jinsiyakupikanjegere
INGREDIENTS/MAHITAJI
Green Peas/Njegere
Onion/Kitunguu Maji
Garlic/Kitunguu Saumu
Carrot/Karoti
Capsicum/Hoho
Tomatoes/Nyanya
Coconut milk/Tui la Nazi
Salt/Chumvi
Cooking Oil/Mafuta ya Kupikia
Song: Usiniache
Artist: Dallarz
• Dallarz - Usiniache (o...
Instagram: / bmagickitchen
Wed, 1 Jan 2020. 18:08
Hongera sana
Maelekezo Yako Yako Wazi Kabisa Hivi Kwamba Hata Swali hamna
Ma bachelor tunaokuja uku kujifunza tujuane 😃
Karibuni sana wote.
😂😂😂😂
Tupo wengi kiongoz😂😂
Tupo😂😂😂😂
Tupo asee hii mmbo ni muhimu😂😂😂
Unaekeza vizur mpka mtu unaelewa asante nishajifunza vingi kutoka kwako😘
Nakushukuru sana na wewe kwa support yako mpz, karibu tena my dear👏🏾❤👊🏾
Me Nko Bachelor Ila Huwa Najifunza Sana Hasa Kupitia Mapishi Yako Unayoyaelekeza Leo Nimepika Chegele Kwa Staili Yako Hakika Nimepatia, Asante sana Kwa Maelekezo Yako❤❤
Vzr sana hongera mom
NIMEWEZA BWANA B-magic ❤
I just wanted to say thank you. Because of this video nimetengeneza sauce yangu ya kwanza ya njegere. Allah bless you
Watching in 2021 thanks allot nimependa
And thank you for watching🙏🏾❤
Uko vizuri dada mapishi mazuri
Mwanamke mapishi tupe tupe mama 👌😘
🤗🤗🤗 asante my dear, pia nashukuru sana kwa support yako👏🏾❤
Nice , uko vizuri mama la mama
Asante sana my dear, nashukuru sana kwa support yako🙏🏾❤
Waooooh nimependa buure
Asante my dear🙏🏾❤
Unaelekeza taratibu anii ata kam mtu haelewi anaelewa bila shida daaa mungu akubaliki mwaya usiache kutufundisha mwaya
Amina my dear🙏🏾 Nashukuru sana pia kwa support yako❤
Sijaona ukiweka kitunguu thaumu lkn njegele mashalah 😋
Apo pembeni kunanukia tulioona. Apo pembeni tujuane
Zavutia sana hadi raha😋
Asante my dear👏🏾❤
Umesahau kueka kitunguu swaumu😂😂🤣🤣😂😁😀😄😄😅😅🤗🤗🤗🤗🤗
2:21
@@MsBupe alisagia kwenye nyanya tizama vzr
Waooo nime wez ina ladha nzur san
Daaaah nimependa mapishi yako ni rahic kukumbuka kama ndy Mara ya kwnz kuona upishi wa njegele
Napendaga sana yaani mno mno mnoooo mapishi yako...
Unajua mpaka raha
Asante sana ndg yangu🙏🏾
Napenda sana mapishi yako dada
Ahsante, unanifundisha mengi
Asante sana🤗 nakushukuru na wewe kwa support yako🙏🏾
Mashaallah Kwa mapishi matamu
Ahsante mpenzi mzuri
Asante sana na wewe kwa support yako my dear🙏🏾❤
kwa kupika tu mashaallah!
Asante my dear😊👏🏾❤ karibu tena.
Asante kwa darasa nimeelewa
Nice 😋😋😋😋iko poa sanaaaaàaaaaa
Asante sana👏🏾 nashukuru kwa support yako.
@@MsBupe 😘😘
😘😘
😘😘
Asante kwa somo zuri la mapichi
Asante sana na ww kwa support yako👏🏾
😋 upate na chapati za samli.....uwiiiii...👌😍
Ni balaa😋😋😋
Asante kutufundisha kupiga
Nimekuolewa sana mama
Asante sana my dear na ninashukuru sana kwa support yako👏🏾❤
Asante kwa pishi.zuri
Nimeipenda pish lako
Waooooo nimeipenda pishi lako
Asante sana na ninashukuru sana kwa support yako🙏🏾❤
Thank a lot,,be blessed
ni miaka mi 5 sas siolew kwa kigezo hiki aya mlio nikimbia mkuje sasa mana nipo na kasi ya 4g
nimepend san😍😍😍
Asante sana my dear na ninakushukuru pia kwa support yako🙏🏾❤
Asante mungu akubariki
Asante my dear, akubariki na wewe🙏🏾❤
Yaani tamu sana,wimbo mtamu pia umeimbwa na nani
Asante sana my dear, na huo wimbo umeimbwa na Dallarz na unaitwa Usiniache. Link ya wimbo iko kwenye description Box yangu. ❤
Nzur sana mamy
Asante sana my dear, pia nashukuru sana kwa support yako👏🏾❤ karibu tena.
Those who are watching in 2022, May God bless you.
Heloo ni maziwa ya freshii
Mashaaallh nimezipend
Asante sana, na ninashukuru sana kwa support yako👏🏾
Nime penda sana 😍😍
Asante sana dear na karibu tena🙏🏾❤
Nmependa sana ssta one uje unifundishe livee
unajua saana
Wooo nice
Thank you👏🏾😊
Nimependa saana
Asante sana my dear na pia nakushukuru kwa support yako👏🏾❤
❤❤
Nimependa
Ahsantee, nimefuata maelekezo na mi ni kidume nimewapikia watoto na tambi pembeni... Ni noma hawajaamini!! Mwanaume show kokote, big up B's kitchen.
😄 asante sana na ninakushukuru sana kwa support yako👏🏾 na hongera kwa mapishi.
Umeipika natambi🤤imeendana kweli yani vimekuwa vtamu
Maashalah 😘
Mashaallah nice
Can't wait
Thank you for your support🙏🏾
Actualy magic kitchen
Thank you🙏🏾
asante kwa pishi.nla ngegere. kipaji cha mapishi kilionekana kwako tangu tukiwa watoto. hongera sna my sis.
Asante sana, nani mwenzangu?🤔 Nashukuru sana kwa support yako🙏🏾❤
Wow B magic kichen!! Lovely Njegere recipe n supper results I'm pleased n happy watching ur post from TANGA amen
Thank you so much for your support, i really appreciate🙏🏾
Ntajaribu
Kila la kheri my dear na ninashukuru sana kwa support yako mumy🙏🏾❤
Waooh nice
Thanx my dear❤ nashukuru sana kwa support yako👏🏾
Jaman ujawah kukosea kwenye mapishi dear nisipoelewa kupika kupitia wewe sitaelewa tena pengine
Aaaaawwww!!!🤗🤗🤗 asante sana my dear, nashukuru sana kwa support yako🙏🏾❤
Njegeree
Asante kwa kuangalia na karibu tena🙏🏾
UNATUSAIDIA SANA SISI MA BACHELOR.......
Tupo 😂😂😂
Love your recipe 😘
Asante tamu hiyo
Asante na wewe kwa support yako my dear👏🏾❤
@@MsBupe poa tuko pamoja
Ntam kabisa
Asante sana na ninashukuru sana kwa support yako🙏🏾
We missed you gal asante jwa kutuelimisha.
Missed you too my, asante for still rocking with me👏🏾 Much love❤
Unaelekeza vinzuri sana
Aaaawwww!!!🤗🤗🤗 Asante sana kwa support yako🙏🏾
Nice
Una jua kuelezea sana kwanzia atua ya mwanzo mpak mwisho Kuna midada kazi kuji post mambo kama haya Hawa jui
Nilikumic bhana....😂,Pishi Tamu!
Nilikumic pia my dear, asante sana kwa support👏🏾❤
ok Asante
Unajua
Asante sana my dear na pia nakushukuru kwa support yako🙏🏾❤
Mimi nautaka yiile maharagoo yin giine
Mabachelor sasa hapa tushindwe sisi sasa
Asante dad
Samahan dada alieimba huo wimbo Nan nimeupenda
Bila samahani dear, anaitwa Dallarz na wimbo Usiniache na link ya wimbo iko chini ya video kwenye information.
Asante
🙏🏾❤
Upo wap dada tufungue darasa
NIKICHEKO TU KWANGU 😂😂😂
Pishi zuri sana
Asante sana my dear na pia nakushukuru kwa support yako🙏🏾❤
Wooow
Hujaeka vitunguu swaumu
Dada nmekupenda buuure💓💓 unajibu commentes za wadau wako ni tofaut na wengine hata ulkiuliza swal haujibiwi
Aaaawww!!! Asante my dear❤ Pia nashukuru kwa support yako👏🏾
Yammmy
Thanx babe🙏🏾❤
Tupo
Camera ya nzuri Sana. 👏👏
Asante sana ndugu yangu🤗, pia nakushukuru kwa support yako👏🏾 karibu tena.
Mbona ujaweka vitungu swaum sasa
Wahooooo
😊
@@MsBupe nmekuelewa asante
Asante sana, na pia nakushukuru kwa support🙏🏾
Naomba no
Me ndo naangalizia then nipike maana kweny kupka kwa kweli sjui!!!
Utajua tu my dear wala usijali, asante sana kwa kuangalia🙏🏾❤
@@MsBupe Nlfanikiwa sku izi naweza!! Asantee pia!!!
Dada hiyo minyama Apo pembeni ni shida Ila hongera mamy unaelekeza vizuri jmn unajibu comments I love youuuuu
Hahahahaa😂😂😂 Aaawww!!!🤗 asante sana my dear, love you too swthrt. Asante sana kwa support yako👏🏾 na karibu tena❤
tulikumiss sana dada misosi
😀😀😀 hata mimi niliwamiss sana, lakini nimerudi ndugu yangu, asante sana kwa support yako👏🏾
sawa youtube chef
😊😊😊
Njegele umechemsha Kwa mda gani
🙏yaan huku watutunajulikana tunajua kupika kumbe tunakuja kuiga kwako Kwanza baba watoto akirudi kilasiku tunampiga pishi jipya thx dear
😂😂😂 asante sana na wewe kwa support yako my dear🙏🏾 hizo mbwembwe za jikoni koleza mumy😘❤
😅😅😅😅😅umejuaje shoga
Kuna ulazma kuweka nyanya ya pact
Dad cjaona kitunguu swaumu kikiwekwa
♥️
Sijaona ukitumia hivyo vitunguu swaumu 😋
2:21
Nishaanza kujifunza mamy nimeanza na rosti maini imenoga iyo
Aaawww!!🤗🤗🤗 Hongera sana my dear pia nakushukuru kwa support yako🙏🏾❤
Thankuuuu
You're welcome my dear❤ Thank you for your support👏🏾
Nzur sana nimezpenda
Asante sana, na ninakushukuru na wewe kwa support yako👏🏾
Si lazima kuweka mizuki wengine hawapendi unapika vizuri
Pole ndugu yangu.