HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BAADA YA KUAPISHWA
Vložit
- čas přidán 18. 03. 2021
- 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
The love Tanzanian have for their country is amazing. The respect they have for each other is sobering.
Innalillah waina ilahi rajeeon.
Go well son of the soil, son of Africa. Africa is proud of you.. We may not come from the same country, but we shared your vision. A great Leader you were, a proud African. I am not Tanzanian, but your love for the Africa continent spread all over Africa and beyond, You gave us hope, you gave the young politicians the reasons to join the political field. Your Leadership style, touched a lot of Africans. You believed in your people, you decided to die in the eyes of your own people. May GOD receive you well and May HE forgive your short comings. RIP John. We will forever remember you.
Kabisa Mama na Sisi Rwanda tunakuombeya kwa Mwenyezi Mungu akupe Nguvu Akiri, Uwezo, na Mwoyo mkunjufu,
Oh , great transition, I believe we still have a democratic Republic governance in EA community
Umesema vyema sana Mama, matumaini yetu wengi tunaamini unachokisema 🇹🇿🇹🇿💝
She is very strong woman.Mungu akutie nguvu mama.Uongoze nchi kwa hekima itokayo juu
Mungu akulinde usimame imara 🙏
Why would anyone dislike this video? I don't follow politics as a Tanzanian but I am happy to see a female president. All the best Mama.
Mungu akulinde katika hii safari yakuongoza taifa mungu yupamoja nasi
@@mwaminfredreck6434 Amiin.
Those are enemies . They hate mother.
🙏🙏🙏🙏
Usiwe na wasi2 dada yetu, ndugu yetu, mama yetu Tuko pamoja nawe mkono kwa mkono hadi peponi...Mungu amlaze pema mpendwa Rais wetu shujaa #Magufuli..ILA Hon. Madam President #samia #mamasamia na #babamwinyi #presidentmwinyi #presidentsamia fanyeni haraka mturudishe #WaTanzania tulioko kwenye #diaspora tuje saidia kuinyanyua #tanzania #zanzibar iwe ni taa ya uwongozo katika bara la #afrika for#africans
#africaone The Continent of Light, uono wa mbali uko #Tanzania. #mungu katutakabalia dua zetu na Aiibariki #tanzania heshima umoja na amani #mungu ibariki #africa na watu wake! #alhamdulillah #thankyougod DUAL CITIZENSHIP WILL BE NICE!
Ni huzuni mkubwa poleni Tanzania wapedwa wetu MUNGU akushike mkono Mama wetu RAIS SAMIA SULUHU MUNGU AWAFARIJI NYOTE TANZANIA NA MUNGU AKUPE WEPESI WA UONGOZI HUU SIO RAHISI MAMA YANGU ILA MUNGU ATAKUSAIDIA BORA TU UMTANGULIZE MUNGU MBELE KWA YOTE AMINA 🙏
Mungu akusimamie mama yetu ...Inshallah kwa uwezo wa MUNGU itawezekana
mungu akusasidie mama yetu InshaAllah
Mama anaweza niko na imani,sauti nyororo lakini yenye msimamo.MUNGU AKULINDE NA AKUFANYIE WEPESI,kumbuka wewe sio mama wa tanzania pekee ila ni mama wa eastafrica na hio ni jukumu uliyopewa na mungu.kazi ni ngumu lakini utaweza na dua zetu zitakuzunguka,nimefurahia kuona pia bodyguards ni wanawake mashallah,nyumba ilio na mama sikuzote imekamilika,poleni ndugu zetu tanzania ila mjue hayati maghufuli ni simba wa africa kwahio tumempoteza simba aliyekua napigana na second generation of colonialism.sasa simba mama ni wakati wako,simba mama wewe sio raisi wa tanzania tu ila ni wa eastafrica.
May Allah SWT guide you, protect you,shower his blessings on you and help you govern the country with complete justice.
Mashallah umeongea vizuli Sana nikweli mama tupo na udhuni Sana kwa taifa letu MH! MAMA SAMIA SURUHU HASSAN.. MWENYEZIMUNGU AKUWEKE SALAMA tupo pamoja Sana mama
Magu mungu akulaze mhalapema peponi , samia mama jipe nguvu mungu yukonawe💪💪💪💪❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏
Kweli mamasamia usiogope simama kwa ujasiri na ujue uko na madui huwezi kosa madui, tazama sasa wameangamiza magufuli walimpa sumu, lakini wajue Mungu atawahukumu.
Mama samia madui wameanza tayari dislike niza nini jamani usiogope simama kwa ujasiri uongoze nchi yako.
May God transfer the spirit of Dr. J.P Magufuli in Bi Suluhu...may his legacy live on, may his soul RIP - I am personally broken.
Mungu akusaidie suluhu,ujaribu kutimiza ndoto ya magufuli kwa wanatanzania,from kenya
Allah akupe hekima busara ktk majukum yako mapya InshaAllah
I believe in you.There is power in a name.Suluhu.May God guide you to bring comfort and progress to Tanzania. More grace and strength to you all.
Mungu akuongoze na akupe moyo wa uvumilivu na ujasil mamaa etyuu samia suluhu hassan mungu akusaidiee
May the Almighty God protect you as you fight for Tanzanians
Mungu akusimamie mama yetu raisi wetu mama samia kwa maombi yetu wote kwa pamoja tunaweza tukaendeleza alipoacha marehem john pombe magufuli
Allah atakusaidia na atakucmamia inshallah......kla la kher mamayetu 😢
dah mpk nakosa chakusem 😭..mungu atusimamie sis na Rais wetu Mpya na ampunguzie JPM wetu adhab ya kabri inshaallah😢
I wish ingewezekana..Kalima Laillaha illa Llah...
Bila hio,baada ya safari ya Dunia,all is a waste...Tulimpenda maguu baba #Goooobabaa
Mungu yupo pamoja na wewe naamini atakupa nguvu zaidi na kwa hakika utaweza kufanikisha kuisimamia vyema zaidi idara alio kuachia jemedari wetu Dr. Magufuli, naamini nawe unaweza, usiache kumtanguliza mungu kwa kila hatua kila hatua dua.
Bi Suluhu atakua na Kazi nzito sana ya kuendeleza uongozi wa marehemu Magufuli😭🙏Mungu akusaidie Bi Suluhu
Hapaswi kuendeleza anatakiwa awe na aina yake ya uongozi
Kikubwa2 2mwombee katita uwongoz wake
@@wilfredmussa4175 ata ivyo anataka watu wamkumbuke kwa maombi Sana
Tunaomba Mwenyezi mungu amsaidie.
@@wilfredmussa4175
Inalilah wainailaih rajiuni, binafsi ninaimani na Rais samia suluhu utatuvusha salama ktk safari hii tunayoiyaza sasa na mungu akusimamie na akupe mwanga ktk majukumu haya ulionayo.
Na Mungu akusaidie Mheshimiwa Rais . Hii kazi utawezana kwa uwezo wake Mwenyezi Mungu.
TZ civility is amazing!! .... What the Hell went wrong with Kenyan politics!!
If this was Kenya everyone would be chest thumping. Sad to say the least!!!
Say that again!!!!
Hehehehe, why? But I agrew
Mungu akutiye nguvu mama samia katika uwongozi wako
Mungu akubariki na akulinde na maadui
Mungu akubaliki kwenye uongozi wako mungu akujalie kwenyenafasi yako yakuongoza nchi god bless🙏🙏🙏🙏🙏
Usisahau kuandika R.
Akubariki
You are great n strong usiwasikilize wala kujihangaisha na wapuuzi wachache wanaowaza ujinga
Mungu akutangulie kwakuliongoza taifaletu
Allah akufanyie wepesi mama yetu
Allah Atakusimamia mmy
Mama pole san mama yng n tupo pamoj my dear tunakuombea dua Allah akulinde dear
Mungu akutie nguvu katika kipind hiki kigumu😭😭
Mungu akuoongaze kwakazi nzito unaenda kuifanya, katika kipindi kigumu🙏🙏💔😭😭
Mama suluhu mungu akuongoze sio kazi rahisi lakin ukiwaka mungu mbele utaweza pole sana kwa familiar yake kwa jumla mungu awafariji #254🇰🇪🇰🇪🇰🇪
May God bless and guide you
Ma Sha Allah mwenyenzi mungu akufanyie wepesi.. mungu aifariji familia na watanzania
Mungu akupe nguvu mama wa taifa, tutakuommbea sana 🇨🇩 🇨🇩 🇨🇩
Amina
Mungu ammlaze mahalii pemaa peponi ... kiongozii wetu tuliyempendaa......Mungu amsaidie mama Samia aweze kuikamilisha Safari aliyoachiwaa kama Rais
Mungu akutie nguvu kiongoz wwtu
R. I. P my president John Pombe Magufuli... 🙏
Madui wake wamefanikiwa kumwangamiza walimpa Magufuli sumu slow poison hakufariki kwasababu ya magonjwa wanasingizia magonjwa jamani, na wote ambao walihusika wajue Mungu atawahukumu.
Mashaalah I feel good leadership in this woman, mama you are already in good religion and I hope you are going to wipe the tears of the people of Tanzania for the losing magufuli who was best president who changed Tanzania into good form
Though we are mourning,East Africa we are proud of you, the first woman president
Mungu akutangulie mamaetu
Mungu akutie nguvu na akubariki mama etu
Mwenyezi mungu akusimamaie uweze kutuongoza vyema watanzania.
Mwenyezi Mungu amlaze vyema Baba na Mzee Mwenye Busara na msimamo mzuri kwa nyakati zote alipokuwa Uongozini. Mola awa jaze Rehema na Neema Ndugu zetu Watanzania na African yote kwa jumla hatutapata kama Baba Magufuli. Mama Mola akujazee Nguvu na Hekima katika Uongozi
Hongera mama etu na pole kwa msiba tunajua taifa litakua salama chini yko
Inshallah you will succeed may Allah swt stands by your side inshallah
She is strong and competent ,hongera mama
Hongera mheshimiwa SSH
MashaAllah speech Kali sana....Mola hawape Subra watz....kutoka +974 tuko pamoja
Wewe ndo raisi wetu mingu akulinde nayote mabaya 🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Amiin amin
Amina
Tunakuamini,na utatufikisha Salama,Watanzania wazalendo tuko nyuma yako,Mungu atatulinda na kutuongoza
Me
Kila Jambo Lina sababu Mungu ana sababu katika hili inauma Sana kupoteza kipenzi Cha wengi tutamkumbuka ucheshi wake na maneno yake ya kutia moyo ..mama tunajua Mungu atakupa ujasiri..PUMZIKA MAGUFULI UMEUMALIZA MWENDO
It's so sad Africa has lost agreat leader who everyone in Africa loved being in he's country Tanzania 😪😪😪😪Rest easy Late Pombe Magufuli
Mungu akusimamie mama yetu
Ukiwa kwenye majukumu yako tunakuomba uwachie mashekhe wawe huru ili uwe salama mama yetu mungu akubarikii
Tunakupenda mama yetu mungu akupe nguvu
Mungu akutanguliee ktk kazi yako
Mungu akutangulie mama katika utawala wako na niombe umkumbuke makonda katika utawala wako maana nikijana shupavu.
Pole sanaaa mama💟💝 Tuongoze vyema mama yetu
Mungu akutie nguvu mama.
Mungu akupe nguvu na Hekima maarifa
Mungu akupe hekima ya kuongaza jamhuri la Tanzania
Jikaze mamaangu!! Ulijifunza mengi. Mlipo kuwa naye. Endeleza kazi mamaangu. Fatisha nyayo zake. Tutaendelea kukuombea
Mungu akurinde mama
Poleni tz na Africa yote Mungu atujaze nguvu.. Rip baba
Mungu akubariki mama tuko pamoja na wewe.
Baba wazir mkuu usimame imara kumsaidia mama majukum n usikubal kumuacha mzee wa msoga na wahun wenzie waingilie majukum yke
Jinga ww, Mzee wa msoga hana shobo na mtu ndio maana anang'aa tu kila siku
Umesema kweli kabisa
Mungu akupe hekima mama Samia Suluhu Hassan RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA utaongoza kwa amani.umechaguliwa na Mungu tuongoze ,AMEN
Mungubakutie nguvu mama,
Mungu akutie nguvu, akuwezeshe na kukuongoza katika utawala,
tuko pamoja nawe kwa sala na mengine.
Mungu akusaidie kwa hio jukumu mpya I.a
Mimi ninacho musihii mama yetu amtangulize Allah mbele kila kitu kitakuwa rahisi
Umesema vyema.
Kabisa na atamfanyia wepesi kwa kila jambo
Sana.
Allah akupe nguvu mama yetu mpendwa
Tuvushe mama🙏🙏
Hawa wanaobonyeza dislike wana maana gan mbn hatuwazi maendeleo jaman duh nachkia kinoma kwan ukibonyeza like unakosa nn kwaio ww hupendi habari nzuri km hizi Aaaaaaaaaaaaaaaaah Acheni bhana
Hawo wanaobonyeza dislike niwanaume hawependi kuongozwa na mwana mkeee
Huyu ni Rais wetu mpya !! Mumuombee tu maana hamna mtakalozuia yeye kuwa Rais!!!
Mahasidi hawawezi kosekana
Ndugu.
Wapuze
May b hawaelewi maana ya like na dislike
Hawa taki kuongozwa na mwanamke wakati wali chabwa nnya na mwanamke.....
EN LALH W EN ELIH RAJIUN . RIP MAGUFULI It's hard time to all Africa content my heart with you there form 🇸🇩🇸🇸 Sudan
Hongera mama Mungu kakupa huo utawala hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu ,Mungu Yuko na wewe , twayaweza yote ktk yeye atutiaye nguvu,wewe chapa kazi tu bila mashaka,
I am Cameroonian and passionate about Africa and the progress we are making. Just wish comms like this could be broadcast in a common language for the benefit of the continent. The only word i picked in the talk was Magufuli 😥😂😥
We East African speak swahili as a region we are over 100million people speaking that language
Thank you @Kibuuka for responding. I appreciate that but 100 million Swahili speakers compared to 1.35 billion English speakers worldwide. My prayers are with Tanzanians
God bless tz
Mungu akuongoze lililobaki kwa sasa n kukuombea na kufata yale unayotaka tufanye
Jipe moyo Mungu hatakuacha hata mara moja Omba kwa imani mama
Pumzika kwa Aman Rais wa Wanyonge
Dr John Pombe Joseph Maguful
Inauma jmn mmmh
Allah akupe nguvu Mama etu hakika utayaenzi yale aliotarajia kufanya Hayati Magufuli. Tuzidi kumuombea Rais yetu Allah aweze kumlaza mahala pema amiiin.
Eeeeee usiogope mama simama kwa unajasiri uongoze nchi yako hatimae madui wa hayati magufuli wamefanikiwa kumwangamiza walimpa sumu slow poison lakini wewe usiogope kifo sio kwamba ukiongoza nchi utauliwa na madui watu wanafariki kwa njia mingi kwahivyo usiogope, lakini magufuli wanasingizia magonjwa ni sumu alipewa jamani. Wote ambao walihusika wajue Mungu atawahukumu.
Yeyote ambae atafanikiwa kuona mwili wa magufuli ukipata mwili wake umetoka ngozi ujue alipewa sumu, pili ukiona ni mweusi sana ujue alipewa sumu, madui wake wamefanikiwa kumwangamiza, wameangamiza shujaa wetu wa Afrika. Wahusika Mungu atawahukumu.
Na ukiona moja kati ya haya maawili ujiulize mbona awe hivyo. Eeeeeee. Nisumu hiyo ambayo alipewa.
Hello Madam President:
Hongera sana kwa nafasi hii ya juu kabisa katika siasa za nchi. Pole na majonzi ila Taifa linauhitaji wa kiongozi licha ya msiba.
Kati ya mambo ambayo yanahitaji uongozi mahiri ni pamoja na haya
1. Mapambano dhidi ya Covid 19. Ni muda mwafaka kusimamia hatua rahisi za kujilinda : wananchi wavae barakoa, tuvae na kutembea kwa umbali, turuhusu sayansi na wanasayansi watuongoze
2. Mambo mazuri ya Mh. Magufuli yaendelezwe: Ujenzi wa barabara katika viwango vya juu, na unaokamilika kwa wakati; Matumizi ya kiswahili katika mahakama; Usimamizi wa rasilimali za nchi hasa migodi, ardhi nk kwa manufaa ya nchi
nk
the future is female proud of you mama😍
Mungu atakusimamia inshallah
Be strong women i love you 🇸🇪😍
Hiki sio kipindi cha utani ni kipindi cha kumuonesha Mh Rais wa 6 upendo, kumpa moyo na kumtakia matashi mema ili apate nguvu na ujasiri ktk kuiongoza hii nchi ya watu 60mil. Amenza kazi ktk kipindi kigumu ktk historia ya nchi.yetu. Ni historia ya kipekee. Mungu ampe nguvu Mh Rais wetu wa 6.
Asante sana kwa hutuba
Allah ataleta heri
Bi suluhu mungu akulinde katika uongozi wako, ni kiongozi wa kwanza wa kike katika east Africa mzima
Mungu atakuraisishia
Am speechless what happened
kwa kipindi ulichokuwa nyuma yake umejifunza mengi sana na utayafanyia kazi watanzania wengi tuko pamoja na wewe
Mungu atakusimamia Mama
Umetuacha baba bado tunakuhitaji baba
Inshallah mungu atatusimamia
Mungu akubalik katik kazi zako lais wet
Mungu akusimamie vyema mama
We believe in you Mama Samia
Nice speach
Sisi Tupo Pamoja Na wewe MAMA...🇹🇿🇹🇿🇹🇿OneLove
Mungu akuongoze kwa hakika utaweza