UTAPENDA: MBWEMBWE ZA MAGUFULI AKIKAGUA GWARIDE SHEREHE ZA UHURU MWANZA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 12. 2019
  • UTAPENDA: MBWEMBWE ZA MAGUFULI AKIKAGUA GWARIDE SHEREHE ZA UHURU MWANZA
    Dec 9, 2019 Rais Dkt John Magufuli ameongoza maelfu ya watanzania katika sherehe za miaka 58 ya uhuru na miaka 57 ya Jamhuri.
    YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
    ----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
    HABARI MPYA DAILY:
    czcams.com/users/playlist?list...
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    czcams.com/users/playlist?list...
    GLOBAL RADIO TV:
    czcams.com/users/playlist?list...
    EXCLUSIVE INTERVIEW:
    czcams.com/users/playlist?li

Komentáře • 405

  • @scolabahame2214
    @scolabahame2214 Před 3 lety +140

    Dah wangapi wamekuja hapa baada ya kufaliki rais wetu 😭😭

    • @salmaluhombero8466
      @salmaluhombero8466 Před 3 lety +1

      Siamini mpaka leo kazi ya mungu haina makosa

    • @scolabahame2214
      @scolabahame2214 Před 3 lety +1

      Inauma Jamani dah

    • @evflorasoledad1437
      @evflorasoledad1437 Před 3 lety +1

      Ni uchungu ila inabidi tukubali ameondoka usoni mwa dunia, may his soul RIP.

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 Před 3 lety

      😭😭😭🥺🥺

    • @ignaciohugo1334
      @ignaciohugo1334 Před 2 lety

      i know Im asking randomly but does anybody know a tool to get back into an instagram account?
      I stupidly forgot my login password. I appreciate any help you can give me.

  • @smmak7140
    @smmak7140 Před 3 lety +6

    Nitakukumbuka daima JPM , hakika niliupenda sana uongozi wako kwangu mimi nasema we ni rais bora sana kuwahi kutokea hapa Tanzania ! Hatuna budi zaidi ya kumshukuru mungu tu

  • @evelynebwire7684
    @evelynebwire7684 Před 3 lety +32

    Sikujua Kama nilikuwa nakupenda kiasi hiki, kila ninapokuona najikuta ninalia nashindwa kujizuia,
    Lala kwa amani Rais wetu mpenzi watanzania tutaendelea kukupenda baba, pumzika kwa amani, vijana tutakuenzi kwa kufanya kazi kwa bidii

  • @jamesmagumba6370
    @jamesmagumba6370 Před 4 lety +12

    Wooow That is my president may god protect you and give you more Wisdom to lead and guide and protect our motherland Tanzania!! Mungu Ibariki Tanzania

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale4047 Před 4 lety +4

    Nakupenda sana Rais wangu John Pombe Magufuli MUNGU akupe afya njema maisha marefu wewe pamoja na familia yako ubarikiwe sana kwa moyo wako wa uzalendo na upendo WA kweli kwa wananchi wako bila ubaguzi wa kisiasa kidini wala kikabila

  • @deogratiuskweka8488
    @deogratiuskweka8488 Před 3 lety +10

    He has lived his life fully in a great way for his country! Tuliobaki tumejifunza sana! Kwa yote hayo tuna mshukuru Mungu!

  • @eliathomas8446
    @eliathomas8446 Před 3 lety +52

    Sijawah mpenda mtu Kama nilivyompenda. Huyu

    • @julihanjosephyjs6361
      @julihanjosephyjs6361 Před 3 lety +4

      Yaani ata mtu kuongea mengi unaogopa kuogopa kukufuru Sana alikuwa na chita ya ajabu,alafu kinachotuuma alituonesha Tanzania sio masikini elaipo,miaka 5 Tanzania imebadirika, Dodoma imependeza ,wengine walikuwa wafungua mibank nje ya nchi kuficha ela wanaichi,nchi inanuka lakini yeye ametuonjesha,wengine tuko mbali atuli kulia tu,mda mwengine nasema angemfikishia miaka kama ya mkapa,huyu baba ameniumi kama nilivyo kafiwa na wazazi wangu wote wawili, mtoto wangu alifia tumboni Sina tena mtoto leo baba yetu inauma,tuko nchi zawaru tulikuwa wanatuheshimu kumogopa yeye sasa leo atapatikana kweli kama huyu.

    • @happynessmsele3638
      @happynessmsele3638 Před 3 lety +2

      Yani weacha tu tulimpenda sana rais wetu ila mwenyez mung kampenda zaidi
      hatuna jinsi nikumwombea 2

    • @gracejulius3966
      @gracejulius3966 Před 3 lety

      Same to Me . Am so confused

    • @hemednassour4763
      @hemednassour4763 Před 3 lety

      umempita mpenzi wako kwa upendo

    • @hadijamagufuli2661
      @hadijamagufuli2661 Před 3 lety

      Mie mwenyewe nashangaa kifo chake kimeniuma Sana mpaka Leo hi mwaya 😭😭😭

  • @carolinemugoli1140
    @carolinemugoli1140 Před 3 lety +22

    😭😭😭😭 Nenda baba weye nenda tu, kaongoze wa malaika Mbinguni kwa baba RIP dady I will love you forever

  • @ibrahimjumu2968
    @ibrahimjumu2968 Před 3 lety +8

    I love this ceremony.
    Great leader ever RIP .
    Never forgotten

  • @rjkadelo6315
    @rjkadelo6315 Před 4 lety +102

    Tz mfano baran Africa like zenu jmn

    • @petermarua1375
      @petermarua1375 Před 4 lety

      Ur just stupid asking for likes are u fightin self confidence

    • @abdulahiramadhan2000
      @abdulahiramadhan2000 Před 4 lety

      Ubora uko wapi hapo sasa ukilinganisha ara na Burundi are more advance and exemplary to many. ..

    • @nawihadj6674
      @nawihadj6674 Před 4 lety +2

      @@abdulahiramadhan2000 ww unatakaa boraa gan zaid ya amani kobe ww

    • @wizydeko1496
      @wizydeko1496 Před 3 lety

      Kweli

    • @ezekielmburu3418
      @ezekielmburu3418 Před 3 lety

      Kama jeshi lenu wanavaa mavazi yenye rangi white,red ambazo hazimo kwa bedera yenu, what flag do your forces defend

  • @estarjuma7983
    @estarjuma7983 Před 4 lety +35

    Naipenda Tanzania 🇹🇿 yang ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @peterwaithaka576
    @peterwaithaka576 Před 4 lety +12

    Hakuna rais ninayempenda duniani Kama magufuli

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Před 3 lety +4

    Mungu akupe afya njema Rais Makufuli uinyanyue tanzania iyonekane kama inchi nyingine yaarabi. 🤲🤲 Nimezaliwa tanzania nimesoma tanzania ingawa wazazi wangu NI waarabu nasasa niko KWA wazazi wangu Oman bado nasema tanzania NI KWA mabibi nzangu tanzania hoyeeeeeee NA chama cha ccm kindumu👍👍💕💕💕💕

  • @marykingi30
    @marykingi30 Před 3 lety +27

    Machoni umetuondokea moyoni utabaki milele😭😭😭💔💔

  • @tayomanzesekilosa.7149
    @tayomanzesekilosa.7149 Před 4 lety +6

    Golden state, golden Man never made twice, Mwamba wa Tanzania,,,asant MUNGU.

  • @farajastudioandstationery5798

    Dah! Nmemis sana Magufuli wetu mie! Basi tu... Eeeh Mungu muweke mahali pema peponi kiongozi wetu mashuhuri, jasiri asiyejikweza, Mwenye mapenzi na nchi yake, mzalendo na mtetezi wa Wanyonge

  • @metrinemetrine3449
    @metrinemetrine3449 Před 3 lety +4

    Alikua wa kipekee Rais maghufuli pumzika baba God has already given you the crown

  • @joanatemo1858
    @joanatemo1858 Před 4 lety +40

    Rais mchapa kazi nampenda sana mwaminifu hapendi ufisadi,anawajali wanyonge..huku kwetu ni ufisadi tu.🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @steveswakei9600
      @steveswakei9600 Před 4 lety

      Kwenyu ni wapi? Mtu aitwaye lutu ama ruto wa kwenu huyo kweli?

    • @ummybabe1600
      @ummybabe1600 Před 4 lety +1

      @@steveswakei9600 hahaa 😹 😹 😹

    • @evansmlalo4049
      @evansmlalo4049 Před 4 lety

      Sasa wewe hauijui Tanzania. Magufuli ni Fisadi sana haujui tu. Uliona wapi Rais anafanya manunuzi ya mali za umma hata Waziri wa fedha na wabunge hawajui ha ha ha ha. Aliwakuta Watanzania ni wapole na elimu yao Duni sana. Hata Rais wa Marekani hafanyi purchasing ya Mali ya Umma. Mwishi tulichelewa kujua hizi sherehe zinafanyikia kwenye miamba tungeshamaliza kazi.

    • @ahmedibrahim-bg2uz
      @ahmedibrahim-bg2uz Před 4 lety +1

      Jomba kwenu wapi CCM Chama Cha Matapeli huku Kuna super super corruption

    • @jameskanai1011
      @jameskanai1011 Před 4 lety

      I actually dont know whether to laugh or cry...

  • @jaffarkhamis1061
    @jaffarkhamis1061 Před 4 lety +2

    Penda sana raisiiiii wa mimi mungu mbariki raisi wetu mungu inabariki Tanzania yetu hadiiiii rahaaaa ett

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 Před 4 lety +4

    Rais wetu huyooo hongera Sana Rais wawanyonge mungu akubariki Sana shukraan kwa wote mlioko uwanja wa CCM kilumba

  • @jocentmakule3861
    @jocentmakule3861 Před 4 lety

    Nampenda Rais wangu Mungu ampe maisha maref na hekima kubwa alio nayo ya kuliongoza Taifa hilli kwa maadili ya dini zote

  • @maikomaneno639
    @maikomaneno639 Před 3 lety +1

    Ee Mungu baba ilaze roho ya rais wetu magufuli mahali pema peponi amina na tujaalie aje raisi mwengine kama huyu tanzania tunakuomba baba Mungu amina

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Před 3 lety +5

    son of Suzana and Joseph Magufuli! salute!!!

  • @josephmuchiri3180
    @josephmuchiri3180 Před 2 lety +1

    Daaaaa?siamini nampenda sana GENERALY MAGUFURI

  • @christinamsuya8857
    @christinamsuya8857 Před 3 lety +4

    Baba umelala ,aah! Kwel hatutakuona tena hapa dunian nenda baba😭😭😭😭😭

  • @twaliathandrea6610
    @twaliathandrea6610 Před 3 lety +5

    😭😭😭😭imetuuma kwa mtu wa fraha wa ukweli mkakamavu,jasiri,mwenye mapenzi kwetu. Ila kazi yamungu haina makosa. Amepumzika mwanaume. Dunia imejifunza kitu kutoka kwake

  • @mekajamtv9603
    @mekajamtv9603 Před 4 lety +30

    Wanaosubiria uteleze watasur sana,big up our prezda

  • @sheiykingtv3713
    @sheiykingtv3713 Před 3 lety +3

    Rip Jembe la kazi..... We shall live to remember your tremendous work for Tanzania

  • @eliajoseph6865
    @eliajoseph6865 Před 4 lety +7

    Nampenda raisi wangu Nani atavaa kiatu chake EE MUNGU mjalie afya njema J J POMBE MAGUFULI

  • @kaicy165
    @kaicy165 Před 3 lety

    Mwenyezi MUNGU ailaze roho yako katika amani ya milele kwenye mkono wake wa kuume,mimi nitakupenda daima rais wangu.

  • @giovanyke
    @giovanyke Před 3 lety +2

    LALA salama mheshima Rais

  • @ernestfelix8596
    @ernestfelix8596 Před 3 lety +25

    CHUMA KIMESEPA DAAH

  • @okamasnr4891
    @okamasnr4891 Před 3 lety +3

    This guy was so simple indeed...Hakuna story ya red-capert

  • @mariamuselemani153
    @mariamuselemani153 Před 4 lety +1

    Penda Sana rais magufuli penda Sana nnchi yangu Tanzania mungu atuhifadhi tuwe na upendo daima

  • @ssjuma
    @ssjuma Před 4 lety +3

    I really likes him, much love Mr. President Magufuli

  • @nureyna629
    @nureyna629 Před 3 lety +4

    17.03.2021 will always be remembered.

  • @hyasintndimbo2998
    @hyasintndimbo2998 Před 3 lety +13

    😭😭😭
    R.I.P BABA YETU

  • @frankmbiri8321
    @frankmbiri8321 Před 4 lety +1

    Very clear and concise

  • @isaacsimi3711
    @isaacsimi3711 Před 4 lety +3

    Napenda Tanzania sana....Mungu awabariki sana🙏🙏🙏

  • @jamilaomariomari8328
    @jamilaomariomari8328 Před 3 lety +3

    We shall miss u indeed u were avery great man😭😭😭😭

  • @amaninaupendo.3539
    @amaninaupendo.3539 Před 4 lety +1

    Amen Amen. Mungu atupe upendo na amani na mshikamano was kweli. Amen.

  • @fadhiliakida8609
    @fadhiliakida8609 Před 4 lety +6

    Proud of my country

  • @clementhiddi1486
    @clementhiddi1486 Před 3 lety +1

    Dah lala in Peace baba wa taifa na rais shupavu wa Tanzania. Ninakukumbuka sana. Nchi sasa doesn't look the same.

  • @elizabethbwakila6078
    @elizabethbwakila6078 Před 3 lety +9

    Baba weweeee mbona umetuweza wenzio😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭ahhhh RIP.

  • @jocentmakule3861
    @jocentmakule3861 Před 4 lety +1

    Nipende kutoa pole kwa wana was Burundi kwa kumpoteza President Pierre Mungu awape wepesi

  • @ridilumuluabo2656
    @ridilumuluabo2656 Před 3 lety +15

    Je suis de la Rdc et je pleure Jhon Magufuli. c'est un grand homme que l'afrique a perdu...💪

    • @raissafabien4285
      @raissafabien4285 Před 3 lety

      Et moi aussi. Nous perdons second thomas sankala. Les africais doivent de chercher l indépendance totale

  • @hadikastro5154
    @hadikastro5154 Před 4 lety +1

    Aman full of wisdom and knowledge

  • @bensonleeshunia1047
    @bensonleeshunia1047 Před rokem

    Hallelujah brother

  • @makoyenyerere6521
    @makoyenyerere6521 Před 2 lety +1

    Tutakukumbuka Ndugu Yetu 🙏😭🙆😭😭😭😭

  • @bethuelkiprono6139
    @bethuelkiprono6139 Před 4 lety +2

    oflate I admired Magufuli and Tanzanian life but with this parade KENYA has a very beautiful one. alot mistakes as compared to the one for KDF
    but it's good it has involved other security forces in Kenya it is kdf only. anyway ni TZ

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 Před 3 lety +7

    Rest In peace Rais wetu, Allah akupumzishe kwa Amani 👏

  • @mysoulvideos8050
    @mysoulvideos8050 Před 4 lety

    Hongera mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli, nakupenda kwa kazi yako Tanzania nikiwa Kenya!!!!

  • @iviejustified8109
    @iviejustified8109 Před 4 lety +10

    Mkuu wa majeshi Mabeyo Smart saana....
    Amenifurahisha alivyoeenda ku synchronize steps za sir President....
    Awesomeness

  • @evelinamatete7474
    @evelinamatete7474 Před 3 lety +7

    Tutakukumbuka daima R I P JPM

  • @johnsonmeduwa6634
    @johnsonmeduwa6634 Před rokem +1

    The best president Africa has ever had

  • @mwanawevhudangwe7772
    @mwanawevhudangwe7772 Před 3 lety +1

    there will never be another Magufuli for Africa, will miss this man forever

  • @staziusmagoma4502
    @staziusmagoma4502 Před 2 lety +1

    Once upon time in Tanzania

  • @lazarosilayo6918
    @lazarosilayo6918 Před 4 lety +11

    Wanausalama mpaka kwenye mistari ya kukaguliwa gwaride na nyieee mpooo,.. Eeeh!! 🙄,..
    Big up Mh. Presdent, Magufuli🙏

  • @nikumwalemba4841
    @nikumwalemba4841 Před 4 lety

    Tanzania yetu, Mungu Ahsante kwa Baraka zako ndani ya nchi yetu

  • @mosesjames3627
    @mosesjames3627 Před 4 lety +30

    Rais mkakamavu maamuzi makakamavu vijana wakakamavu ..safi sana

    • @elishaworkout6116
      @elishaworkout6116 Před 4 lety

      😂😂😂😂😂😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆 umenfrahisha sana

  • @ashantisamuel1685
    @ashantisamuel1685 Před 4 lety +21

    Rais Magifuli tunajivumia uwepo wako, tunatamani utuongoze milele😊

  • @sophiakasana2937
    @sophiakasana2937 Před 4 lety +3

    Penda sana Raisi wangu wa Tz

  • @loukaskampouropoulos5700

    Μπράβο πρόεδρε ο Θεός να σε έχει καλά .,Έκανες την Τανζανία κράτος συγχαρητήρια.

  • @ersimon9689
    @ersimon9689 Před 4 lety +7

    He was just happy the gruesome boring march is finally over

  • @estermathias8354
    @estermathias8354 Před 3 lety +1

    Hahaaaaa nenda tu baba yangu nitakupenda daima💔💔😭ulikua na roho saf wanaokuchukia ni vyeti feki na mafisad hata ss tunajua

  • @estherkimario7940
    @estherkimario7940 Před 3 lety +4

    Chuma kimeenda aisee 💔💔💔💔😭

  • @jamessilwamba2862
    @jamessilwamba2862 Před 4 lety

    mchapa kazi God bless him

  • @rehemajoshua2022
    @rehemajoshua2022 Před 4 lety

    Big up Sana Rais Wangu, barikiwa Sana.

  • @oninaalay7167
    @oninaalay7167 Před 9 měsíci

    Asante jenerali mabeo kwa ukakamavu uliotukuka na apumzike kwa amani rais wetu JPM 😢😢😢 😢

  • @leanahbusanga8272
    @leanahbusanga8272 Před 3 lety +2

    Dah unauma 😭😭😭😭😭 rip baba

  • @paulmukopi2089
    @paulmukopi2089 Před 3 lety +2

    So far, nobody has done it like president Moi

  • @mchinadizainabushi8905
    @mchinadizainabushi8905 Před 2 lety +1

    Good news

  • @fahadsaid9616
    @fahadsaid9616 Před 3 lety +3

    I am going to miss you my president 💔

    • @emjay1016
      @emjay1016 Před 3 lety

      Fahad mwanasheria hujambo

  • @elizabethjulius
    @elizabethjulius Před 2 lety +1

    We really miss you daddy 😭😭😭😭😭😭

  • @mosehweru
    @mosehweru Před 3 lety +1

    This stadium... Really?

  • @essauphilimen667
    @essauphilimen667 Před 4 lety +4

    Nakupendaa Sanaa Raisi we2

  • @onionpeeling5822
    @onionpeeling5822 Před 4 lety +1

    *Strong leadership*

  • @agnessdavid2206
    @agnessdavid2206 Před 4 lety

    Safi sana mzee

  • @fadhilplatnumz6209
    @fadhilplatnumz6209 Před 4 lety +2

    Good- Prezidar wetu Tunampenda saana kwakweli Shikamoo Mkuu

  • @maigajohn702
    @maigajohn702 Před 4 lety +1

    Safi sana

  • @mussanachingulu823
    @mussanachingulu823 Před 3 lety

    CHUMA...CHUMA...CHUMA...
    R.I.P mchora ramani wa pili wa Tanzania....

  • @hawamohamedy1914
    @hawamohamedy1914 Před 3 lety +2

    Ningumu kukusahau ,naumia sana

  • @josephinajosephu6859
    @josephinajosephu6859 Před 2 lety +1

    Kila nikitazama matukio yako naona kama bdo hujafa dad jmn😭😭uchungu hautaisha kukaa nikikukumbuka

  • @stellamwangwala8063
    @stellamwangwala8063 Před 4 lety +1

    Rais umenifurahisha

  • @jacktonlazarus2557
    @jacktonlazarus2557 Před 4 lety +16

    Uyo komanda kweli aje Kenya afunzwe drill

  • @glorykamasho1876
    @glorykamasho1876 Před 3 lety +1

    Daah!! Tutakukumbuka sana Magufuli😭😭

  • @dwomakueni1322
    @dwomakueni1322 Před 4 lety +2

    In Kenya kukagua gwaride is just simple. Mambo ya kuchokesha rais, hio hatuna. Magufulu must have been tired baada ya kukagua mpaka wa band.

  • @yekutielgoldstein9712
    @yekutielgoldstein9712 Před 4 lety +1

    Super JPM

  • @zainababdullsadik1247
    @zainababdullsadik1247 Před 3 lety +2

    Daaaa 😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @emilydavidmdoe3552
    @emilydavidmdoe3552 Před 4 lety

    Sisi tuliosoma enzi za mwl jeshi lilitusaidia kuwa wakakamavu. hongera sana mh Rais uko vizuri.

  • @rjkadelo6315
    @rjkadelo6315 Před 4 lety +5

    Ogopa moja na zero watasubir sana

  • @mastermbarak254
    @mastermbarak254 Před 3 lety

    Pumzika kwa amani baba 🙏🙏

  • @paulkanathi4365
    @paulkanathi4365 Před 4 lety +1

    we welcome you here Kenya for training .

  • @deogratiustimoth4619
    @deogratiustimoth4619 Před 4 lety

    Kijeshi zaidi hongera mh rais jpm

  • @jessicarasigu2220
    @jessicarasigu2220 Před 3 lety

    Kwaukweli aliyemtoa Uyu Raisi wa Tz wanyonge uhai,je anaziona izi video zinazotutoa machozi😭😭😭😭😭😭😭 siye watanzania wanyoge!!!!!!!hakika JPM katutoka machoni mwetu 😭😭😭😭😭😭 Ila rohoni zetu ataishi Daima, 😭 Magufuli 😭 Magufuli mahakama Pumzika kwa Amani Raisi wetu kipenzi cha Watanzania

  • @hassanali4838
    @hassanali4838 Před 3 lety

    nenda salama rais wangu

  • @issamaulid3946
    @issamaulid3946 Před 2 lety

    Up on

  • @user-dx5lz6du4y
    @user-dx5lz6du4y Před 4 lety +1

    Rais yupo vzr

  • @cmpacomplex7981
    @cmpacomplex7981 Před 3 lety +1

    You will forever live in people's hurt Our Honorable President John Pombe Magufuli. Rest in Paradise Papa, we are coming for you.

    • @sarahyvonne4580
      @sarahyvonne4580 Před 3 lety

      Bt we need to see him back on friday

    • @cmpacomplex7981
      @cmpacomplex7981 Před 3 lety

      @@sarahyvonne4580 😥

    • @cmpacomplex7981
      @cmpacomplex7981 Před 3 lety

      @@sarahyvonne4580 his spirit lives in Pres. Samia Suluhu, his excellency will live forever

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 Před 4 lety +2

    MAGUFURI hatari kaniuwaa kwakucheka😂😂😂🇹🇿🔥