Vijana wanaoishi na maambukizi ya VVU, Arusha
Vložit
- čas přidán 12. 11. 2020
- Takwimu za maambukizi ya virusi vya UKIMWI nchini Tanzania zinawataja vijana walio na umri wa kati ya miaka 14 hadi 25 kuwa ni kundi la watu waliombukizwa kwa kiwango cha juu. Mpaka sasa watu wanaoishi na maambukizi ya virusi vya ukimwi nchini Tanzania wanafikia milioni 1.6. Video na Veronica Natalis. Kurunzi 13.11.2020
Shida unapima ugonjwa afu tiba amna kifuatacho ni presha thu
Njoo hata levolos ww please
Me nimepima nimekutwa na virus lakn sna dalili zozote
Pole sana..mtafute doctor t.r msigwa atakuponya kwa uwezo wa Allah