Vijana wanaoishi na maambukizi ya VVU, Arusha

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 11. 2020
  • Takwimu za maambukizi ya virusi vya UKIMWI nchini Tanzania zinawataja vijana walio na umri wa kati ya miaka 14 hadi 25 kuwa ni kundi la watu waliombukizwa kwa kiwango cha juu. Mpaka sasa watu wanaoishi na maambukizi ya virusi vya ukimwi nchini Tanzania wanafikia milioni 1.6. Video na Veronica Natalis. Kurunzi 13.11.2020

Komentáře • 5

  • @Mmdttt6653
    @Mmdttt6653 Před 23 dny

    Shida unapima ugonjwa afu tiba amna kifuatacho ni presha thu

  • @draxlerchuse740
    @draxlerchuse740 Před 2 lety

    Njoo hata levolos ww please

  • @user-uv2sc3kl9n
    @user-uv2sc3kl9n Před 7 měsíci

    Me nimepima nimekutwa na virus lakn sna dalili zozote

    • @hassanalfan6941
      @hassanalfan6941 Před 22 dny

      Pole sana..mtafute doctor t.r msigwa atakuponya kwa uwezo wa Allah