Jionee Jengo refu kuliko yote ARUSHA na la kwanza TANZANIA la utalii

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 04. 2018
  • JENGO la Kitega Uchumi la Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro lililopo jijini Arusha ambalo ujenzi wake unatarajiwa kukamilika mwezi June mwaka huu litakuwa kivutio cha kihistoria cha utoaji wa huduma za utalii hapa nchini.
    Hayo yameelezwa jana na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla muda mfupi baada ya kukagua jengo hilo ambalo linasemekana kuwa refu kuliko majengo yote jijini humo likiwa na jumla ya ghorofa 18.

Komentáře • 54

  • @heraldloshi1864
    @heraldloshi1864 Před 6 lety +2

    Very good.Arusha ina zidi kunawiri.Kazi nzuri,ubunifu mzuri,maono ya mbali katika kuboresha soko la utalii.

  • @mosesallanadam1955
    @mosesallanadam1955 Před 6 lety +3

    Hii iko poa sana, Arusha yetu inasonga mbele zaidi kama kitovu cha utalii nchini!

  • @asiazuberi9722
    @asiazuberi9722 Před 6 lety +4

    Safi sana maendeleo sindo hayo tunayoyataka wa tz

  • @fathermore9772
    @fathermore9772 Před 6 lety +3

    safi sana.... Aa city is ma hood....

  • @isaac8224
    @isaac8224 Před 4 lety +2

    Jengo la posta (PAPU house) likikamilika ndo litakua refu zaidi arusha... Saivi lipo hatua ya msingi..

  • @fantsonmpango7742
    @fantsonmpango7742 Před 6 lety +2

    Huu ni ubunifu wa waziri maghembe, safi sana

  • @salamia__mwangu599
    @salamia__mwangu599 Před 6 lety +4

    namna hii safi sana

  • @songo4real224
    @songo4real224 Před 6 lety +5

    safi sana millad ayo kwa taarifa ila acha ubnafsi bifu la mondi alikuhusu tetea tz isonge mbele

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Před rokem

    Masha allah 🔥🔥👏👏👏

  • @esterkimath1214
    @esterkimath1214 Před 4 lety +1

    Well done👏👏

  • @salummuhija4435
    @salummuhija4435 Před 4 lety +1

    Well done

  • @mremmrem6754
    @mremmrem6754 Před 6 lety +1

    Wawo

  • @ARMANIDIORFILMDIRECTOR
    @ARMANIDIORFILMDIRECTOR Před 6 lety +3

    hiyo imetisha

  • @justinecleophas6299
    @justinecleophas6299 Před 6 lety +1

    lv chugaaaaaa

  • @graysonpastory1918
    @graysonpastory1918 Před 6 lety +4

    Refu arusha sio la kwanza Tanzania, hilo kwa dar la kawaida kwa sasa hatuwezi ona la ajabu tena..

    • @makisjeremiah288
      @makisjeremiah288 Před 6 lety +2

      Pastory ni jengo la kwanza refu la utalii tanzania na si la kwanza kwa urefu ,elewa nini milard amesema.

    • @Mhandisi2008
      @Mhandisi2008 Před 5 lety

      grayson pastory jengo refu Tanzania la utalii

    • @ericnnko8270
      @ericnnko8270 Před 4 lety

      Watu wa dar huwa wanajiona wamefika sana

  • @suniljoe2906
    @suniljoe2906 Před 4 lety

    Urefu kwa majengo ya kitalli Tanzania

  • @erastobartalome2709
    @erastobartalome2709 Před 2 lety

    Rip magufuli na mfugale

  • @user-zc2ms4wl6r
    @user-zc2ms4wl6r Před 3 měsíci

    Ushamba mkubwa bado tunashaa ngaa majengo ukolonkweli

  • @visentjosephbuhalwejoseph5865

    Pongez kwako mheshimiea wazir

  • @saeedzahor
    @saeedzahor Před 3 lety

    Mbona la kawaida tu

  • @VeritasTz24
    @VeritasTz24 Před 4 lety +1

    Lipi likubwa Tanzania??

  • @ombennassary7438
    @ombennassary7438 Před 4 lety

    Bado siyo ubunifu kwa kuwa,magorofa mengi Arusha hayana wapangaji,mwisho wa siku yanaanza kuchakaa huku yakiwa na wapangaji kwa asilimia 10 hadi 20 tu,arusha kuna tatizo la parking na msongamano wa machinga, itokee watu wabuni jengo la machinga na wengine parking hata gorofa za kutosha

  • @jastinkatwazkatwaz4533

    Halifikii lile la mawasiliano kule dar

  • @goodluckkilala813
    @goodluckkilala813 Před 6 lety

    Ujenz wa ili jengo lilianza kipindi jk yuko madarakan Sion jipya hapa

  • @shodristvtv6121
    @shodristvtv6121 Před 6 lety +2

    Chapakazi JPM

    • @jenifahamisi5566
      @jenifahamisi5566 Před 6 lety

      bradock shomary shodri mmmmh JPM hauhusuki hapo,bali kikwete

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před 6 lety +1

    Waziri umezuka na style yako yakutembea na kifimbo unakusudia nini naona kama unajitwisha mzigo usiokuwa na faida

    • @eliudymhapu1750
      @eliudymhapu1750 Před 4 lety

      Alisema anatokea kwenye ukoo WA chifu lbd ndio amesha kabidhiwa

  • @bintalhwamer5291
    @bintalhwamer5291 Před 6 lety

    mambo ni 🔥 🔥

  • @kilimochakisasa7085
    @kilimochakisasa7085 Před 5 lety

    Siyo la kwanza Tanzania(Fanya Tafiti) Pspf Tower ndo refu likiwa na gorofa 35

    • @abasilihundu200
      @abasilihundu200 Před 4 lety

      Mangi Moshi we nawe ndio huelewi kabisaa, umeambiwa refu kuliko yote Arusha we unasema Tanzania. Unajifanya huelew

  • @ladsonmshana9920
    @ladsonmshana9920 Před 6 lety +1

    Huu uongo kabisa jengo refu ARUSHA ni parrot hotel

    • @hudsson75
      @hudsson75 Před 6 lety +2

      LADSON MSHANA ina mana haitawezekana kujengwa jengo lingine refu kuliko iyo Parrot Hotel?hao wanaozungumza si watu wa kijiweni, ni watu wa mamlaka, wana takwimu sahihi za urefu wa majengo kwa vipimo vyake, sio takwimu zako za kuliangalia tu kwa macho

    • @harryporter2578
      @harryporter2578 Před 6 lety +1

      LADSON MSHANA
      Mkubwa parot lina floor 14 hilo langorongoro lina floor 16
      Fanya kufika uhakiki tena

  • @eliastawete6020
    @eliastawete6020 Před 6 lety +1

    tunaomba habari za mondi na wasafi kwa ujumla..huyo anaejifanya mungu mtu asiwapelekeshe na nyie millard, mbona mnakua hivyo nyie aa

    • @salummuhija4435
      @salummuhija4435 Před 6 lety

      tawete elias unampangia mtu cha kufanya, hiyo ndio shida yenu wabongo mnapenda umbea kuliko maendeleo, anatuonyesha maendeleo ya jiji la arusha wewe unataka amuonyeshe diamond unamahaba nae au,

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Před 4 lety

    hi style ya vifimbo ndo nini jamani sku hizi,Sabaya,Msiba, huyu...atawachapa navyo JMP,subirini...it looks silly tbh

  • @pwalter335tv5
    @pwalter335tv5 Před 6 lety +1

    mmmh eti I'll ndorefu hahahaha fupi kabisa ilo

  • @christmasmachele5589
    @christmasmachele5589 Před 6 lety +2

    Jengo refu arusha ni parrot hotel

  • @seifmassoud2686
    @seifmassoud2686 Před 6 lety

    Kwani zanzibar hakuna majengo ya kutangazia mambo ya zanzibar? msijifanye wajanja, lakunufaika nyinyi hata kama kidogo linatosha, lakunufaika wazanzibar hata liwe vp wazanzibar wenyewe haliwatoshi, nyinyi vp mbona kama kupe..basi na hayo majengo ya kutangazia utalii na biashara zetu tunayo huku msitukaribishe tutakujatangaza magendo, isiwe sukari na mafuta tu..

    • @renathamaurus7436
      @renathamaurus7436 Před 6 lety +1

      Seif Massoud hivi nini maana ya Jina Tanzania....mm sio mwanasiasa lakini huu Ni mda wa kufanya kazi pamoja kama watanzania na sio watanganyika embu angalia nchi kama marekani ile nchi Ni umoja wa states ndogondogo ila huoni wakicomment hivi

    • @renathamaurus7436
      @renathamaurus7436 Před 6 lety

      Seif Massoud natumaini umeelewa

    • @seifmassoud2686
      @seifmassoud2686 Před 6 lety

      renatha maurus, ebu fuatilia viongozi wetu( wabunge na mawaziri) wamesemaje kuhusu kufanya kazi pamoja hasa upande wa biashara? Unafatilia au unajaribu kuongea tu kama wazanzibar inatuuma kuona kiongozi analeta dharau kwa wazanzibar kisa biashara ya pamoja, how? Mimi pia sio mwanasiasa nahic you have catch me!

    • @salummuhija4435
      @salummuhija4435 Před 6 lety +1

      Seif Massoud kwanini mnapenda sana kuzungumzia mambo ya ubaguzi ubaguzi tu kila wakati, kila mkikaa mnahisi mnaonewa tu vp nyinyi ebu kunjueni mioyo yenu acheni kujikondesha kwa fikra potofu. Njoo bara ununue ardhi ulime acha ubaguzi hautakusaidia ukizoea hivyo utakuja kuwabagua hata wazazi wako.

    • @justinecleophas6299
      @justinecleophas6299 Před 6 lety

      Seif Massoud mbn povuuuu linakutok kwan amesem kibay nn ....povuu km lote...weka jingin utatoa mwakan