Bendera ya Tanzania yatangazwa kwenye jengo refu zaidi duniani la Burj Khalifa, Dubai

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 08. 2024

Komentáře • 245

  • @laika3991
    @laika3991 Před 2 lety +20

    The flag is looking so beautiful on The Burj. 🇹🇿🇹🇿 🇹🇿

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489 Před 2 lety +17

    The best colored flag in that building ♥️♥️♥️♥️🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @jesitinakiwale8676
    @jesitinakiwale8676 Před 2 lety +8

    My beautiful country Tanzanian l miss you😍👑👑👑

  • @josphinedarani6203
    @josphinedarani6203 Před 2 lety +12

    Napenda saana tazania ni nchi ambayo hua haina shida na mtu ❤❤💯

  • @ip_header
    @ip_header Před 2 lety +14

    Maendeleo yanagharama zake, lazima nchi iwe na mahusiano mazuri na nchi nyingine, pia itangazwe. Matokeo yake sio lazima yaonekane ndani na muda mfupi

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Před 2 lety +13

    Wenye nia njema ndio tumewabambikizia chuki Kwa siasa wale maadui tunaowaona wazi wazi ndio tunawakumbatia hatari sana mpaka jana tumeona jinsi wanavotunyanyasa na kutubagua hata kupanda treni tu kukimbia vita Allah atatupa lenye kheri

    • @vanessarobyn4584
      @vanessarobyn4584 Před 2 lety +4

      Yaani tena mimi nimesema putin apige tena apige kweli kweli sitaki kujua watoto wala nini Khai yaani bila ata aibu wanatubagua watu weusi. Nlchukia sana yaani😠

  • @Mcsceo
    @Mcsceo Před 2 lety +3

    I think brother fredrick bundala umeshasifiwa sana mpaka umeishazoea,Ukweli ni kwamba wewe sio wa kawaida Mkubwa uko ulimwengu wako kwenye hii sekta Natamani ningekuwa na uwezo wa kukupatia TUZO sijui ningekupatia nini mku keep on insipiring new and old generation ur true Icon 🙌...

  • @nicromezb
    @nicromezb Před 2 lety +9

    🇹🇿❤️ kazi iendelee

  • @parfaitkale2503
    @parfaitkale2503 Před 2 lety +15

    Congratulations Tanzania 🇹🇿

    • @sophiamfikwa7340
      @sophiamfikwa7340 Před 2 lety

      Thank u,your wellcm Tanzania my peaceful and beautiful country 🇹🇿🇹🇿

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před 2 lety +15

    Aaaaaaaaaw mashaAllah, Tanzania yangu

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen7145 Před 2 lety +2

    Hongera nchi yanguTanzania. Asante Mama yetu, Rais wetu Sami kwa kazi mzuri sana. Tunakuunga mkono nantunakupenda sana. Tanzania Oyee. Mama Samia juu kabisa. Mwenyezi Mungu akupe maisha kwako. 2025 kura yangu kwako.

  • @charzcharles4634
    @charzcharles4634 Před 2 lety +10

    # hapa tumepigwa hela hawa jamaa hawatangazi bure, bora hyo hela mgeboresha hata tanesco tuepukane na shida za umeme

    • @rubenprince8990
      @rubenprince8990 Před 2 lety +4

      Munapenda vya bure njooni ulaya muone huku ulaya hakuna cha bure tatizo la nchi maskini Munapenda sana vitu vya bure

    • @rubenprince8990
      @rubenprince8990 Před 2 lety +1

      @@TUnech7 tembeeni muone dunia inavyoongozwa mimi miaka 20 niliyoish nchi za wazungu nimejifunza meng sana wazungu hakuna wanachotowa bure hao wazungu munaowaona wanakuja huko ketembea hizo hela wamezipata kwa tabu mno huku ulaya kazi ngumu sana

    • @denisdenis1389
      @denisdenis1389 Před 2 lety

      @@rubenprince8990 Nimekuelewa sana mkuu

    • @rubenprince8990
      @rubenprince8990 Před 2 lety

      @@denisdenis1389 saluti kwenye ukweli lazima usemwe kamanda wangu

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 Před 2 lety +25

    God bless Tanzania 🇹🇿🙏🏾

  • @shiksshiks8494
    @shiksshiks8494 Před 2 lety +9

    Aww this is btfl nchi jirani😍😍

  • @sheilamjune1233
    @sheilamjune1233 Před 2 lety +6

    God is Good ❤❤❤👏👏👏🙏🇰🇪🇰🇪🇦🇪

  • @safiirulislaam9290
    @safiirulislaam9290 Před 2 lety +16

    Tanzania chungeni sana hawa warabu
    Mutapoteza nchi yenu au mutweka ramani rasilimali zenu kama bandari na airport
    Hawa warabu kuna nchi nyingi wana lalamikia

    • @salumabdallah2990
      @salumabdallah2990 Před 2 lety +3

      ni bora wao kuliko nyinyi

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 Před 2 lety

      Sio warabu wote ni UAE pekee ndio wana kiu cha kumiliki mabandari vile hawana mali asili ila petrol ikiwaishia watarudi jangwa ..Somalia walifukuzwa hao UAE

    • @moneytv524
      @moneytv524 Před 2 lety

      Sasa tumia izo rasilimali zako uone utafika wapi ,ww lazima uzitowe t huna wataalam rasilimali za kzi gan

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 2 lety +1

      @@moneytv524 siamini unayosema, rasilimali za kazi gani? Kwani zitaoza? Si uziache wape elimu watoto wake waje kuzi shughulikia wao. Uzitoe Kwageni zikiisha wanao watabaki na nini? Matope

    • @mwanagwakyala3213
      @mwanagwakyala3213 Před 2 lety +1

      @@moneytv524 usizungumzie wataalamu wakati Sheria ndio zinawabana Sana watu wa kawaida wanaobuni vitu na kusema vikapimwe viwango ulaya na inaishia hvyo hvyo

  • @jongwemomumo8729
    @jongwemomumo8729 Před 2 lety +16

    Milion 400 na point kwa saa inapotea kwa promo wakat ingetumika kujenga health centre moja. Uganda walifanya mwaka jana kwa kulipia tangazo ktk jengo hilo 😇😇😇😇😇

    • @charlesngwembele4541
      @charlesngwembele4541 Před 2 lety +5

      Bishara matangazo hiyo mia NNE itazaa mabilion ila kwa kuwa wivu unakutesa

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 2 lety +5

      Jongwe wenye akili wanasema unawivu kwa kuwa wenye akili wanaona ni sawa .Hivi kinatangazwa nini nani asiyeijua Tanzania katika karne hii ya Tiktok Whatsap Facebook Twitter ni ubadhirifu wa fedha tu .Waache waponde raha hapo wamebebana watu kibao fursa kwenda kutembea Dubai first cluss Emirates nafikiri kwa mtu mmoja ni nauli ya mtu mmoja Economy Class kwenda na kurudi mara 3 apo wameenda watu wangapi?.Enzi ya Jamaa mmoja walikuwa wanasafiri watu thalathini na kuendelea na wanakaa five star Hotels .Hiyo ndio Afrika viongozi wetu,kuna kipindi Raisi wa Niger aliwahi kufikia kwenye Hoteli kubwa wanayofikia maraisi wa nchi zenye uwezo ilibidi waandishi wazungu wakeshe kumngoja wampe maswali moja ya swali aliulizwa Mr President tunajua nchi yako ni maskini kwa nini hizo fedha nyingi ulizotumia kufikiria Hoteli hii usingesaidia nchi yako .Hakuwa na jibu aibu kwa viongozi wa Afrika wao ndio umaskini wetu.

    • @hassansalumu210
      @hassansalumu210 Před 2 lety +2

      Ukitaka kutengeneza hela ,lazima upoteze(sacrifice) hela.... marketing strategies , Advertisment...usikazw sana fuvu mzee

    • @salma-fc4xc
      @salma-fc4xc Před 2 lety +3

      @@leokamil6284 nakuunga mkono tuta mkumbuka sana hayati John hakuwa na izi mambo na tulifika uchumi wa kati

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 2 lety

      @@hassansalumu210 Siwezi kukujibu kwa kweli

  • @naslee1010
    @naslee1010 Před 2 lety +1

    Mama hongera kwa kucheza pass ndefu mungu ibariki Tanzania

  • @jmtv1736
    @jmtv1736 Před 2 lety +16

    RIP MAGUFULI 😭, daaah Hii nchi ipo siku tutapigwa mnada na wananchi tutafurahia 😥

    • @asiaamohd4077
      @asiaamohd4077 Před 2 lety

      🤣🤣🤣 pole

    • @musakaphu4581
      @musakaphu4581 Před 2 lety +4

      Masomo muhimu Saana aisee jifikirie Saana ,,, Hayati Nyerere alishawai kusema Lazma uliwe kidogo ndo UL sasa bila investment Nchi itapiga hatua vipi please work on your education due to understanding skills

    • @nightwishisthegreatestband6355
      @nightwishisthegreatestband6355 Před 2 lety +6

      @@musakaphu4581 wewe unaona kuuza bandari kwa wachina ni sawa. Unabaki kushangilia vitu vya kijinga huku waarabu wanawanyanyasa waafrika wanaoenda kufanya kazi kwao

    • @musakaphu4581
      @musakaphu4581 Před 2 lety +1

      @@nightwishisthegreatestband6355 sidhani kama unajiskiza umeandika nn Kwanza hujaelewa chenye nimeandika hapo Ndiomana unachanganya mafile sasa kuuza bandari Kwa China na watu wanaonyanyashwa na waarabu inaingilia wapi Ila sema nimeona kidooogo unaweza fikiria waeza nitafuta Kwa kukusaidia kiasi sio kwamba nimetetea hapana najua kabisa we have got poor leadership in entire African continent but hukuelewa chenye nimemaanisha

    • @hajjiomary2383
      @hajjiomary2383 Před 2 lety

      @@musakaphu4581 sio kweli africa uwezi ishi bila watu weupe iyo ndoto brother labda magu alikuwa anakusaidia wewe

  • @tanzania2559
    @tanzania2559 Před 2 lety +4

    Tanzania yangu 🙏🏾🙏🏾🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 Před 2 lety +3

    Rwanda wameinvest sana kwenye kutangaza nchi yao kimataifa yaani waliingia mkataba na Arsenal ili watangaze utalii wa nchi yao na wanaingiza pato kubwa,sasa sisi kuweka Tangazo la dkk 3 kwenye jengo hilo binafsi sijaona kama ni big deal, tunatakiwa kuingia mikataba na makampuni makubwa ya matangazo au Team kubwa za michezo hili tutangaze vizuri Taifa letu na Tamaduni zetu.

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 Před 2 lety +1

    Asante mama yetu Kipenzi unatuwakilisha vema lakini tunakuomba utupatie hati za kusafiria na sisi tuweze kwenda kutafuta kazi nje ya nchi.

  • @talibsaid8081
    @talibsaid8081 Před 2 lety +6

    Lakini nani mwenye uhakika kama Tanzania imelipa hizo hela inawazekana ilikuwa ni goodwill, mkumbuke kuwa Tanzania ilialikwa huko dubai, hii ndo maana nchi za kiafrika haiendelei manake ss tunafikiria pesa tu kwani tunasahau kuwa pesa huzaa pesa.

    • @rubenprince8990
      @rubenprince8990 Před 2 lety +2

      Huku ulaya nchi ambayo nimeiyona mara nyingi kwenye TV ikitangaza utalii wake ni afrika ya kusini na amerika, Australia ufaransa uswizi,Norway,uingereza,ujerumani,swideni, Denmark,ajentina, nishaona nchi nyingi sana zikitangaza utalii wa nchi zao kama serekali imelipa pesa kutangaza utalii imefanya vizur sana tena sana tu tatizo la TZ hawajuw chochote kile wanachojuwa ni kuhusu misaada tu lakin ile misaada sio misaada kama waafrika tunavyojuwa misaada ni jina tu lakudanganyia raia wenye akili za kimaskini pesazm za misaada ni pesa za mkopo tena mkopo wenye gharama sana ili siku moja mujitowe kwenye hali ya kukopa kopa munatakiwa mukusanye kopa kila kona muna takiwa mutangaze nchi yenu ijulikane kimataifa munatakiwa mukamate na kuwafunga wala rushwa na watowa rushwa mukifanya ivyo mutaanza kuendelea huku ulaya wazungu wameendelea kwa sababu wanadhibiti mali ukikamatwa unachukuwa rushwa au unatowa rushwa imekula kwako

    • @nightwishisthegreatestband6355
      @nightwishisthegreatestband6355 Před 2 lety

      @@rubenprince8990 hatujali kuhusu ulaya yako na magaidi wake

  • @zahiribrahim7418
    @zahiribrahim7418 Před 2 lety

    May God Almighty Allah Inshallah bless Tanzanians all over the World go go go hakuna kurudi nyuma Mama Mh. Rais Samia Suluhu Hongera mama 😍🎀🌺🌺🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před 2 lety +2

    🇹🇿😍😍😍 Hongera Mama Samia

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho8138 Před 2 lety +1

    Tuliinjoi jamanini asikwambiye mtu watanzania tuliiteka dubai kama yakwetu maana tulikuwa na mbwembwe saaana mpka kigoma cha udugwai kilikuwepo hatari 💃🥰

  • @umsalim6515
    @umsalim6515 Před 2 lety +4

    Wacheni kumwita mama mtalii, hata alipokuwa Magufuli, safari zote za kiserikali alikuwa akienda yeye au Majaaliwa, Magufuli alikuwa hasafiri sababu ugonjwa wake wa moyo

    • @zayanaalmarjibi4254
      @zayanaalmarjibi4254 Před 2 lety

      Sababu alikuwa hajui kizungu, mbona Tanzania nzima alikuwa akitembea

    • @umsalim6515
      @umsalim6515 Před 2 lety

      @@zayanaalmarjibi4254 TZ alikuwa akitembea kwa gari, mwenye ugonjwa wa moyo , ndege ikipaa angani oxygen level inapungua , inakuwa tabu kwa wagonjwa wa moyo. Kutokujua kizungu sio hoja , marais wengi wanatembea na mkalimani

  • @fatmakombo7584
    @fatmakombo7584 Před 2 lety +5

    Mama itangaze Tanzania matajiri waje waekeze tupate ajira

  • @hussenmishamo1963
    @hussenmishamo1963 Před 2 lety +1

    Kila rakher mwenyez mungu atuongoze mwisho mwema 🙏

  • @edlumala9428
    @edlumala9428 Před 2 lety +3

    Big up Her excellency Samia Suluhu Hassan.

  • @halimamimarich3799
    @halimamimarich3799 Před 2 lety +1

    GOD BLESS TANZIANIA.....ALFU BRO MBN UTULETI HABR YA UKRN

  • @abelharry_tz
    @abelharry_tz Před 2 lety +7

    ni kweli Kwa upande mwingine unavosema
    Lakin je waijua gharama ya kepeleka maji hata Kwa kijiji kimoja Tu hapa nchini
    Kwamba waona kilichofanyika hapo ni upuuzi ?
    Je umejiuliza na faida zake pia Kwa hili kufanyika ?
    Na hata hio hela wangepeleka kwenye maji ni bado mngeona Tu haifai mngesema Bora wangewapa Tanesco au wangejenga hospital

    • @moneytv524
      @moneytv524 Před 2 lety +1

      Wabongo hawana fadhila ,wengi wao kama punda tu

  • @sheriibrahim6753
    @sheriibrahim6753 Před 2 lety +2

    Tumefurah sana watanzania Huku

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 Před 2 lety +4

    Milioni200 kwa serikali ya tanzania pesa ndogooooo sanaaaaas

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Před 2 lety +13

    😂😂😂mshapigwa tayari kwa ujinga wenu

  • @umsalim6515
    @umsalim6515 Před 2 lety +4

    Na msirukwe roho , siku hiyo Tanzania wamefanyiwa bure kuwekwa bendera kwenye Bur Khalifa

  • @athumanially906
    @athumanially906 Před 2 lety +1

    Fanya kazii mama achana na manenoo,fanya kaz mama ,welevu wanajua unachokifanyaaa

  • @LaizerMlay
    @LaizerMlay Před 7 měsíci

    Thanks for any buidiling to flag 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @chudybalckonlionetv5495
    @chudybalckonlionetv5495 Před 2 lety +2

    Wacheni Ushamba hii ni kawaida Mimi nipo hapa hapa Raisi yeyote atakaeingia kwenye nchi hii lazima Mnara huu uwake Rangi ya bendera ya kiongozi mgeni alieingia Hamkupata kuiona rangi ya Bendera Tz kwa sababu Jembe la kazi Dk. Johon Pombe Magufuli alikuwa hana ziara za huku

  • @wazambulitv5735
    @wazambulitv5735 Před 2 lety +1

    DUBAI😃👇: Jengo refu zaidi Duniani lilianza likiwaka "Kaa Nyumbani" ambayo Ni maneno ya Kiswahili ayo kwaajili ya pambano dhidi ya Covid, kuwaasa watu wakae zaidi Majumbani,
    #SwahiliNation🇹🇿
    *WAZAMBULITV IN DUBAI*
    Alafu baadae bendera ya taifa ikafata
    #Tanzania🇹🇿

  • @rehema2018
    @rehema2018 Před 2 lety +4

    Tanzania 🇹🇿

  • @meddy4
    @meddy4 Před 2 lety +3

    Nice

  • @mwanagwakyala3213
    @mwanagwakyala3213 Před 2 lety +10

    Hatukatai kulitangaza taifa,lakini huku bdo tunalia na tozo na mengine mengi yanayofanana na hyo ,ifanyeni nchi ifurahiwe na wote japo Kwa vitu vidogo vidogo vitakavyosuuza nafsi zetu ,

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 2 lety +3

      Taifa linatangazwa karne hii kweli?mbona kila msimu unavitimbwi vyake sasa tupo kwenye series ya kutangaza nchi .Tanzania inajulikana karne hii ya Facebook whatsap Twitter Tiktok hivi kweli ni ya kutangaza ati tuna mlima Kilimanjaro na mbuga za wanyama. Wakati miaka nenda rudi watalii wanakuja Tanzania! Na tunamaonyesho kila miaka yamesimama sasa juu ya Corona ya International Board of Turism hufanyika Ulaya hadi Marekani na wadhamini ni Wizara ya Utalii na Makampuni yale yote yanayooenda hulipia na kwenda huko kutangaza biashara ya utalii. Sasa huu utalii unaotangazwa sasa tena hii ni kutimba fedha au Raisi mzima kufanya filamu wakati kuna Waziri wa Utalii na watendaji kibao hii ni kihoja cha ajabu katika nchi hii .

    • @moneytv524
      @moneytv524 Před 2 lety +1

      @@leokamil6284 wabongo hamna mnalotaka ,hata huyo magu mulilalamika ,alipokufa tu mukaanza kumsifu🤣🤣🤣

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 2 lety +1

      @@leokamil6284 hiyo ndo Tanzania

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 2 lety +1

      @@moneytv524 Magu tulimkosoa Kwa mabaya yake na tulimsifia Kwa mazuri yake na Kwa bahati nzuri tuliyaona mazuri mengi Sana akiwa hai, Rudi uangalie comments za watu enzi zake utaons

    • @mwanagwakyala3213
      @mwanagwakyala3213 Před 2 lety +1

      @@leokamil6284 acha tu

  • @ibbyikh1788
    @ibbyikh1788 Před 10 měsíci

    Very nice to see Tanzania flag there, Swali nani amelipia garama za Tangazo hilo?

  • @khadijahassan5415
    @khadijahassan5415 Před 2 lety

    Proud of you my president

  • @hamisimuna125
    @hamisimuna125 Před 2 lety +3

    Kulipendeza sana

  • @guybob4974
    @guybob4974 Před 2 lety +3

    Kwa iyo Taifa nzima la Tanzania na watu wake wote mnachukuwa mda kufuata Mambo yaliyofanywa na mtu mmoja tu cristiano Ronaldo na wala Ronaldo mwenyewe hajapaniki?😃 Kweli haibu nikujitakia mwenyewe 😃 pole Tanzania

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 2 lety

      Kweli aibu sana hapo ndio utajua kuna watu lakini kichwani empty 🙌😆

    • @selemannaoda2027
      @selemannaoda2027 Před 2 lety

      😂😂😂😂😂

    • @moneytv524
      @moneytv524 Před 2 lety

      @@leokamil6284 na ww kicha maji

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 2 lety

      @@moneytv524 Asante but iam not useless as you are!

  • @thamani5842
    @thamani5842 Před 2 lety +2

    Ma Sha ALLAH

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Před 2 lety

    Tunasogea taratibu, OIC naiona kwa mbaliiii...kazi iendelee!!

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga9977 Před 11 měsíci

    We need educated people in our country

  • @UFC_HIGHLIGHT123
    @UFC_HIGHLIGHT123 Před 2 lety +3

    Milioni 200 kwa cr7 ni pesa ya kuku tu kaka 😂😂😂😂sis ni pesa ya mishahara ya walimu zaidi ya 2000 kwa mwezi

  • @fridagustaphmwenda6658
    @fridagustaphmwenda6658 Před 11 měsíci

    Tanzania tuko juu zaidi

  • @lucky9285
    @lucky9285 Před 2 lety +2

    Jamani mambo mengine ni kutokujua,ni kawaida sana bendera kuwekwa kwenye jengo ilo pindi raisi wa nchi anapokuja Dubai,mwezi uliopita Mseveni alikuwa hapa na kilitokea hicho pia,siku ya kusherehekea Uhuru wa nchi mbalimbali pia bendera uwekwa pale mfano Uhuru wa Pakistani, India Kenya nk.Maonyesho ya Expo yanayoendelea maraisi wengi sana walialikwa na wakifika bendera za nchi zao uwekwa pale.

    • @binhussain3445
      @binhussain3445 Před 2 lety

      Hussain Mwinyi alienda hebu tuonyeshe wapi Bendera ya Zanzibar iliwekwa kwenye hilo jengo

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 Před 2 lety +1

      @@binhussain3445 kwan Zanzibar inabendera ganii unafikiri Zanzibar ipo Kenya au Malawi Acha Ushamba
      Zanzibar ni Tanzania visiwan Tanganyika ni Tanzania Bara
      Kwapamoja ni Tanzania hilo neno
      Tan zan ia (Tanganyika) (Zanzibar)
      Fatilia nia ni yann na hatuna bendera mbili ss wa Bara na wa visiwan bendera yetu ni Moja tu ambayo ni hiyo ya rangi 4

    • @lucky9285
      @lucky9285 Před 2 lety

      @@binhussain3445 Ata Raisi wa Dubai Sheikh Makhtoom akienda nchi nyingine anakuwa hana nguvu ya Uraisi (Kama Mwinyi)Lakini Raisi wao wa Muungano (Sheikh Khalifa )ndiye anayebeba nchi

  • @wizyjunior5771
    @wizyjunior5771 Před 2 lety +1

    Bado JPM ataonekana ni mwamba tu Samia Hapana kwan Waziri wa mambo ya njee ana kazi gan jaman ama balozi wa Tz huko Dubai kazi yake n nn jaman hizo pesa za matangazo x angejenga hata zahati ya kijiji tu

    • @zombazezu
      @zombazezu Před 2 lety

      Ni jitihada nzuri na ni kitu kikubwa. Hapa kuna watu wengi wa Dunia

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489 Před 2 lety +2

    nothing is free so guys chill

  • @mrsdeborahurio
    @mrsdeborahurio Před 2 lety +1

    Mungu tusaidie!

  • @tanialucas4579
    @tanialucas4579 Před 2 lety +1

    Kazi iendelee

  • @sunshinesunshine7478
    @sunshinesunshine7478 Před 2 lety

    Iam Tansanian 💜💜💜💜

  • @pembemussa2804
    @pembemussa2804 Před 2 lety

    Mama anaupiga mwiingi mno, kikubwa a tufungulie milango vijana wake tusepe kwa wingi majuu.. 2022 ni mwaka wetu wa mabadiliko. #Kaziiendleee

  • @rehemashabhay8946
    @rehemashabhay8946 Před 2 lety +2

    Umeme wa shida.

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 Před 2 lety

    🇹🇿 Kwanza ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️

  • @sheriibrahim6753
    @sheriibrahim6753 Před 2 lety

    Tanzania yetu inapawishwa benders yetu inaungaa Dubai. Kazii ienderee

  • @khayraatabdool2286
    @khayraatabdool2286 Před 2 lety

    Maa Shaa Allah
    Alhamdu lillah

  • @judithmakuto3612
    @judithmakuto3612 Před 2 lety

    Karibu Mama Samoa,Tuko huku

  • @peternkonjera261
    @peternkonjera261 Před 2 lety +1

    Haijalishi Ila huyu mama anapenda Sana sherehesherehe,,aninikera kwani Hana wawakilishi Hadi aende yeye Kila pahali, hii nchi bado sana uchumi, badala yashughulikiwe haya mtu anazulula tuuuuu,😞😞

  • @lufitetv7120
    @lufitetv7120 Před 2 lety +1

    salut for my country flag

  • @anterianmohamed3213
    @anterianmohamed3213 Před 2 lety +2

    Pata Tsh 7000 kwa haraka. Mikopo nafuu na Branch. Pata programu ya Branch: branch.co/download/abdall5d1fd hakikisha umetumia kodi ya promo abdall5d1fd ili upate Tsh 7000 ukishamaliza kurejesha mkopo wako wa kwanza.

  • @benjaminchakwe9815
    @benjaminchakwe9815 Před 2 lety

    Mmmmmh Kwa nini Tanzania apo kunajambo ndege kubeba mchanga

  • @Babyzay178
    @Babyzay178 Před 2 lety

    Kaka Sky 💜
    🇹🇿👏

  • @vanessalaizer4363
    @vanessalaizer4363 Před 2 lety

    Mmh mmh mmh! Nchi inaanza kuuzwa kwa waarabu taratibu, ndo nshasema ivooo. Waafrika huwa hatufikirii kabisa adi iwe too late

  • @viviankangara7492
    @viviankangara7492 Před 2 lety

    Dah Tz bhna asilimia kubwa tunadanganywa na vitu vidogo mno kama watoto yani dah

  • @halimamohammed4108
    @halimamohammed4108 Před 2 lety +3

    Alihamdulilah

  • @leylahleylah4599
    @leylahleylah4599 Před 2 lety

    Tufurahi lakini pia mjue limelipiwa hilo jengo..huku dubai wapo kibiashara zaidi

  • @enockmgeni5897
    @enockmgeni5897 Před 2 lety

    Taxmoney of Tanzania daaaah we are destroyed

  • @jaswabe_tz
    @jaswabe_tz Před 2 lety +1

    Mama tumia ela kwani kodi tunatoa za nn

  • @mustafasaid9887
    @mustafasaid9887 Před 2 lety +2

    Mashaallah

  • @lampadshigonko3006
    @lampadshigonko3006 Před 2 lety +4

    nchi ishauzwa huko

  • @venancemalima1181
    @venancemalima1181 Před 2 lety

    Sawa lakini baadaye itakuaje huko.

  • @reganclarence4657
    @reganclarence4657 Před 2 lety

    Wow dat iz good

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 Před 2 lety +3

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤❤❤❤❤

  • @samwelmaduhu1233
    @samwelmaduhu1233 Před 2 lety +1

    Izo pesa za kutangaza bendera c bora mngenipa mimi nikaongezea kwenye mtaji wangu wa nyanya

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 Před 2 lety

      Hayo ni mapokezi ya mgeni rais samia sio serekali ya Tanzania italipa

  • @science_fact93
    @science_fact93 Před 2 lety

    Kwani kuna mtu ambae haijui Tz Jamani jpm aliitangaza Kwa misimamo migumu na bila ghalama yoyote

  • @amzyahmed313
    @amzyahmed313 Před 2 lety

    Matangazo ya bendera za nchi hazilipiwi. Ni ishara ya Urafiki.

  • @denismasele4130
    @denismasele4130 Před 2 lety

    Mhhhhhh kwann uanze kutuelezea mambo ya mikataba ss hatujakuulzaa

  • @magangajames4644
    @magangajames4644 Před 2 lety +3

    👏👏👏

  • @hamisikambona8763
    @hamisikambona8763 Před 2 lety

    MAKOLO cjui wameiona hii

  • @berthatz
    @berthatz Před 11 měsíci

    Na hapa ndiyo Walifanya toast ya kugawa bandari…Mungu awalaani hawa viongozi wahaini.🤬

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 2 lety +2

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌

  • @JtanyMedia
    @JtanyMedia Před 2 lety

    Kondole

  • @Adeen.1
    @Adeen.1 Před 2 lety +1

    Ni mwendo wa kuwekana tu asa ka zamaradi kamuweka mumewe sie nani tusiweke bendera yetu

  • @omarifadhili651
    @omarifadhili651 Před 2 lety +1

    Mama mtalii hajawahi kufika Dubai naona wanyonge tutanyooshwa

  • @lilianambokile7795
    @lilianambokile7795 Před 2 lety +1

    Kwaiy nass kuitangaza hiyo bendera tumetumia milioni 157 duuu! Niatali lkn salam

  • @hassanjongo4309
    @hassanjongo4309 Před 2 lety

    Like

  • @bizzoforreal8502
    @bizzoforreal8502 Před 2 lety +2

    Hii ya kibabe sana

  • @philipocharles8507
    @philipocharles8507 Před 2 lety

    Yetu macho tu

  • @kabhusimbengawandenga6432

    Safari za ulaya kibao mwaka hauja isha utafikilii mtalii

  • @kelvinwashenyu1970
    @kelvinwashenyu1970 Před 2 lety +1

    Sasa kina faida gani sasa....sema tu uyo mama raisi wenu ana akili kama ya rais wa kongo safari nyingi bila sababu anakula bata kwa raha yake....RIP magufuli Mr superman💔❤❤❤❤

  • @chazy7ya216
    @chazy7ya216 Před 2 lety

    wakuzurura uku atuna umm mama

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 Před 2 lety +1

    Tangaza nchi tupo nyuma

  • @zeinabaliali11
    @zeinabaliali11 Před 2 lety

    Acha ushamba wewe nchi itauzwaje kwa waarabu acheni kufata ujinga aliousema ndugai.wewe ukipewa hiyo nchi uiendeshe utaweza? Acha ujinga weweeeeeeeee