KIVUMBI: WAZEE KOO YA BUKIRA WAJIBU MAPIGO"MBUNGE WAITARA ATOKE AJIBU HOJA ZETU SISI SIO WANAFIKI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 07. 2024

Komentáře • 37

  • @MATHAYOPETROGARYA
    @MATHAYOPETROGARYA Před 17 dny +4

    Kwa mfano huyu Mzee wa watu mnamfanyisha kazi ngumu2 na hajapendaa kabsaa😂😂😂😂😂

  • @FadhiliMwaitete-ls2li
    @FadhiliMwaitete-ls2li Před 17 dny +6

    Waitara. Umekwisha usizani hizi nizama zingine sio zama za magufuli aliye kuweka madarakani wewe waitara ni mnafiki Toka chadema ulikuwa hivi hivi Sasa ccm tuliwambia kuwa huyoo ni mgombanishi Leo jee mmeamini bado nahuyoo mgine WA iringa msigwa nae mtaona mambo yake ccm hawa wapinzani mnao wachukuwa mtaona matokeo yake ccm someni kwa waitara huyoo mbunge waitara ni mchonganishi na nimuwongo sana waitara Sasa chama tarime kaipasuwa pasuwa ccm nawaonea huruma ccm

  • @YassinRajabu
    @YassinRajabu Před 17 dny +3

    alaumiwe aliempa ubunge yeye ndio aliye waweka wabunge wa chama kimoja nchi nzima

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn Před 17 dny +1

    Kazi kwelikweli. Kilio kila kona na kila rika! Na naona kuna harufu ya kampeni ya kuipaisha CCM na m/kiti wake kupitia hawa wazee, kafara mbunge Waitara. Mbinu za CCM ni moto!

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 Před 15 dny +1

    Wazee mnazingua ccm inawatumia vibaya

  • @gatimakonge8678
    @gatimakonge8678 Před 15 dny

    Waitara kwishaaaaaa.😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🙏

  • @gatimakonge8678
    @gatimakonge8678 Před 15 dny

    AMELAANIWAAAAA😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @adeltuszakumuha9618
    @adeltuszakumuha9618 Před 12 dny

    Wazee hawa wametumika vibaya. Very sad

  • @gatimakonge8678
    @gatimakonge8678 Před 15 dny +1

    WABUNGE WOTE WA PROMOSHEN YA MAGUFULI HAWAFAI... 😭😭😭😭😭😭😭

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Před 9 dny

    Wazee mnatumika vibaya. Ccm ime kwisha.

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 Před 15 dny

    Waitara utajua hujui, kuita wazee wahuni, wewe ndiyo mhuni na wenzako.

  • @gatimakonge8678
    @gatimakonge8678 Před 15 dny

    Ukija nyamongo tutakupigia mwanooooo uuuiiiiiiiiiiiii😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @infodigtechforcommunityemp4103

    Waitara kazi anayo

  • @user-gx4jx4gv9l
    @user-gx4jx4gv9l Před 15 dny

    Kweli kila jambo linamwisho akati anagombea ukonga atukulala siku ya kupiga kura na namba yake ya cmu akanipa ckuniliyo mpigia akiwa naibu waziri nikiwa na shida ofisini kwake nilichojibiwa nilimuachia mungu,afu baada ya mwezi nikawasikia cloud's FM power break fast wakisema awasikilizi wananchi na anakiburi na dharau.😂

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x Před 17 dny

    Aisee mnanikera sana mnaongea vzr halafu mnaanza kusifia sifia rais
    Kwani Samia yeye amezitoa wapi

  • @user-gx9jr5le2f
    @user-gx9jr5le2f Před 17 dny

    Ngoja huyu anayewadanganya muda ufike tumshughulikie kwani hatumjui maswi ajiandae

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Před 17 dny

    Haya sasa

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x Před 17 dny

    Yani mwita waitara ameleta ubaguzi wa koo

  • @briankatani6770
    @briankatani6770 Před 17 dny +2

    Mila na desturi zetu ameisha pigiwa yowe kwisha.Sio kiongozi tena hapo 😮

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 Před 5 dny

    Waitara.umeona.dhambi.ya.usaliti.mwanbie.mpupavu.mwenzio.msigwa..na.fala.silinde.muda.utaongea

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 Před 17 dny

    Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 16 dny

    Wazee mmetumwa na Heche acheni hayo

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 Před 17 dny

    Huyo mbunge Ni mhuni

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3s Před 17 dny

    Waitara ni rahana kama umewaudhi wazee wetu

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 Před 17 dny +1

    Wewe Mzee nimhuni

  • @johnsonmria3824
    @johnsonmria3824 Před 17 dny

    Jamani Vijana mkowapiii hadi wazee kama hawa wanatoka kutetea maisha yenu na nyie mpo kimya tuuu Aibu

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 Před 17 dny

      Vijana wengi nchi hii ya Tanzania hawajitambui kabisa. CCM na viongozi wake wakuu wanaiharibu nchi yetu na kupora Rasilimali zetu na kuiuza nchi yetu kwa wageni,lkn Vijana wamenyamaza tu na wengine wamegeuka kuwa machawa.

    • @bockerNyarusahi
      @bockerNyarusahi Před 15 dny

      ​@@yassinnabwera4273na wenyewe wana nafas tena kubwa kuliko unavyodhani,hao ni Wazee wa kimila,Wazee wanaoheshimiwa na jamii ya Kikurya

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 Před 15 dny

    WAZEE TAFUTENI MBADALA HUYO KWISHA , ACHANE NAYE AMEPIGIWA HOYEE!! WAZEE NI TUNU, 😂 CHAMA CHA MAKUNDI, WATAMKUMBUKA JOHN MAGUFULI

  • @kibwetere1418
    @kibwetere1418 Před 17 dny

    Kwanini mnafanyia kikao polini,,?

    • @harunamtiko117
      @harunamtiko117 Před 17 dny

      😊 c unajua wazee, hapo washajinja kondoo pembeni kamoto kamewaka

    • @simonnaivasha6393
      @simonnaivasha6393 Před 15 dny

      Wanaume wanafanya kikao poring, sio kwenye bar upewe rushwa.

  • @hajikadoma1652
    @hajikadoma1652 Před 17 dny

    IVI HAWA WAZEE WA JIMBO ZIMA AU NI KIKUNDI CHA WATU WACHACHE KWA MASLI YAO NAJIULIZA TU NCHI HII SIJUI INAENDA WAPI