Waitara. Umekwisha usizani hizi nizama zingine sio zama za magufuli aliye kuweka madarakani wewe waitara ni mnafiki Toka chadema ulikuwa hivi hivi Sasa ccm tuliwambia kuwa huyoo ni mgombanishi Leo jee mmeamini bado nahuyoo mgine WA iringa msigwa nae mtaona mambo yake ccm hawa wapinzani mnao wachukuwa mtaona matokeo yake ccm someni kwa waitara huyoo mbunge waitara ni mchonganishi na nimuwongo sana waitara Sasa chama tarime kaipasuwa pasuwa ccm nawaonea huruma ccm
Kazi kwelikweli. Kilio kila kona na kila rika! Na naona kuna harufu ya kampeni ya kuipaisha CCM na m/kiti wake kupitia hawa wazee, kafara mbunge Waitara. Mbinu za CCM ni moto!
Kweli kila jambo linamwisho akati anagombea ukonga atukulala siku ya kupiga kura na namba yake ya cmu akanipa ckuniliyo mpigia akiwa naibu waziri nikiwa na shida ofisini kwake nilichojibiwa nilimuachia mungu,afu baada ya mwezi nikawasikia cloud's FM power break fast wakisema awasikilizi wananchi na anakiburi na dharau.😂
Vijana wengi nchi hii ya Tanzania hawajitambui kabisa. CCM na viongozi wake wakuu wanaiharibu nchi yetu na kupora Rasilimali zetu na kuiuza nchi yetu kwa wageni,lkn Vijana wamenyamaza tu na wengine wamegeuka kuwa machawa.
Kwa mfano huyu Mzee wa watu mnamfanyisha kazi ngumu2 na hajapendaa kabsaa😂😂😂😂😂
Waitara. Umekwisha usizani hizi nizama zingine sio zama za magufuli aliye kuweka madarakani wewe waitara ni mnafiki Toka chadema ulikuwa hivi hivi Sasa ccm tuliwambia kuwa huyoo ni mgombanishi Leo jee mmeamini bado nahuyoo mgine WA iringa msigwa nae mtaona mambo yake ccm hawa wapinzani mnao wachukuwa mtaona matokeo yake ccm someni kwa waitara huyoo mbunge waitara ni mchonganishi na nimuwongo sana waitara Sasa chama tarime kaipasuwa pasuwa ccm nawaonea huruma ccm
Uko sawa
alaumiwe aliempa ubunge yeye ndio aliye waweka wabunge wa chama kimoja nchi nzima
Kazi kwelikweli. Kilio kila kona na kila rika! Na naona kuna harufu ya kampeni ya kuipaisha CCM na m/kiti wake kupitia hawa wazee, kafara mbunge Waitara. Mbinu za CCM ni moto!
Wazee mnazingua ccm inawatumia vibaya
Waitara kwishaaaaaa.😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🙏
AMELAANIWAAAAA😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Wazee hawa wametumika vibaya. Very sad
WABUNGE WOTE WA PROMOSHEN YA MAGUFULI HAWAFAI... 😭😭😭😭😭😭😭
Wazee mnatumika vibaya. Ccm ime kwisha.
Waitara utajua hujui, kuita wazee wahuni, wewe ndiyo mhuni na wenzako.
Ukija nyamongo tutakupigia mwanooooo uuuiiiiiiiiiiiii😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Waitara kazi anayo
Kweli kila jambo linamwisho akati anagombea ukonga atukulala siku ya kupiga kura na namba yake ya cmu akanipa ckuniliyo mpigia akiwa naibu waziri nikiwa na shida ofisini kwake nilichojibiwa nilimuachia mungu,afu baada ya mwezi nikawasikia cloud's FM power break fast wakisema awasikilizi wananchi na anakiburi na dharau.😂
Aisee mnanikera sana mnaongea vzr halafu mnaanza kusifia sifia rais
Kwani Samia yeye amezitoa wapi
Ngoja huyu anayewadanganya muda ufike tumshughulikie kwani hatumjui maswi ajiandae
Haya sasa
Yani mwita waitara ameleta ubaguzi wa koo
Mila na desturi zetu ameisha pigiwa yowe kwisha.Sio kiongozi tena hapo 😮
Waitara.umeona.dhambi.ya.usaliti.mwanbie.mpupavu.mwenzio.msigwa..na.fala.silinde.muda.utaongea
Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana
Wazee mmetumwa na Heche acheni hayo
Huyo mbunge Ni mhuni
Waitara ni rahana kama umewaudhi wazee wetu
Wewe Mzee nimhuni
Jamani Vijana mkowapiii hadi wazee kama hawa wanatoka kutetea maisha yenu na nyie mpo kimya tuuu Aibu
Vijana wengi nchi hii ya Tanzania hawajitambui kabisa. CCM na viongozi wake wakuu wanaiharibu nchi yetu na kupora Rasilimali zetu na kuiuza nchi yetu kwa wageni,lkn Vijana wamenyamaza tu na wengine wamegeuka kuwa machawa.
@@yassinnabwera4273na wenyewe wana nafas tena kubwa kuliko unavyodhani,hao ni Wazee wa kimila,Wazee wanaoheshimiwa na jamii ya Kikurya
WAZEE TAFUTENI MBADALA HUYO KWISHA , ACHANE NAYE AMEPIGIWA HOYEE!! WAZEE NI TUNU, 😂 CHAMA CHA MAKUNDI, WATAMKUMBUKA JOHN MAGUFULI
Kwanini mnafanyia kikao polini,,?
😊 c unajua wazee, hapo washajinja kondoo pembeni kamoto kamewaka
Wanaume wanafanya kikao poring, sio kwenye bar upewe rushwa.
IVI HAWA WAZEE WA JIMBO ZIMA AU NI KIKUNDI CHA WATU WACHACHE KWA MASLI YAO NAJIULIZA TU NCHI HII SIJUI INAENDA WAPI
Hawa wameandaliwa unasikia wanachosifia