AHMED ALLY ALIPUKA KWA FURAHA BAADA YA KUMKANDA MTIBWA | "UBINGWA BADO HAUNA MWENYEWE |ATANGAZA VITA
Vložit
- čas přidán 2. 05. 2024
- Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv - Sport
Ahmed kakubali yanga bora wew nani unabisha
Unajuwa Kuwa Umefunga Mtibwa Mbovu 😂😂😂😂😂
Umekubali😂😂😂😂
Kolo wepesi sana kutawaliwa wamedanganywa wameridhika. Naikumbuka ya Manzoki
Kwahyo Lengo lkuwa ni Simba Queen
Mpaka upate mtoto ndio uamini uligongwa live 😂😂
LEO AHMED ALI UMEONGEA VIZURI
Kalinyoosha bwana wake
Hatimae Azam wametengeneza dishi limekua sawa
Anae amini kama mim kuwa Ahmed Ally anakazi ngum agonge like apa
Wewe si ni bingwa wa muungano
Na ngao ya jammii.
Katika siku zote nikimsikiliza huyu jamaa, Leo kaongea point.
Mnashinda huku mnasikilizia aliye juu yenu😂😂😂
Chawa
Hii inaitwa kauka nikuvae ndoo timu ya simba kexho 2 watanuna nipo pale😛
Je km mkiwa mmefungana inakuwaje?
BENCHIKA KWELIIIIIIIIII KWELIIIIIIIIIIII
Simba imepiga bomu mwochwari Leo Kwa mtibwa tabu ipo pale pale mkacheze shirikisho sio klabu bingwa azam atawaacha tarehe Tisa kilio.
Simba kapiga Bomu mochwari😂😂😂
Dogo usiropoke kupita kiasi..bakiza akiba..
Bado safari ndefu
Huyu alisha changanyikiwa
Kumbe unaadabu sana unajichetuwa tu bwege ww
Kati ya pili na ya pili ni ipi?
Acha kukoment kama gasho
Yaani Simba achukue ubingwa, utakuwa unakandwa wewe!
Anajifarij tuu huyu hana jipya
Wewe ulitaka aongeeje boya wewe