MCHOME MAPOVU I YANGA INATISHA/ KIGOMA NI KWETU HAKUNA WAKUNITISHA KWA LOLOTE UKWELI SIMBA NI MBOVU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 05. 2024

Komentáře • 36

  • @yahyahamisi2038
    @yahyahamisi2038 Před měsícem +2

    Mchome punguza weight 😂😂😂

  • @furahakilingo8447
    @furahakilingo8447 Před měsícem

    Ww sivae jezi simba vaa ya yanga

  • @sesilialaga5403
    @sesilialaga5403 Před měsícem +2

    Niulizie mchome je Simba itapoanza kufanya vizuli ataongozana na Simba?

  • @JosephDololo
    @JosephDololo Před měsícem +1

    Kumbe saidi ni wanyumbani mmmhh, kigoma mna Siri jamani🤔🤔🤔😂😂😂

  • @MeckMsea-cx1ct
    @MeckMsea-cx1ct Před měsícem +2

    Ww nyumbu tu unaongea ujinga nenda kule simba ukaongere mwandishi mubane maswali hana hakiri huyu nyoko ww simba yetu ww yanga nini ww

  • @MohammedRamadhani-zk9bq
    @MohammedRamadhani-zk9bq Před měsícem +4

    Hongera mchome unaujua sana mpira

  • @KudraMahene
    @KudraMahene Před měsícem +1

    Kumbe huyu jamaa ni mtu wa kigoma

  • @user-fd6fu5pf5c
    @user-fd6fu5pf5c Před měsícem +3

    Uko sawa mwana soka

  • @ShaibuLikwema
    @ShaibuLikwema Před 29 dny

    Uyo ni sio shabiki

  • @SaidiMndeme
    @SaidiMndeme Před měsícem +2

    Wahindi tolii nyingi hakuna bosi mdosi duniani Simba fukuza huyo shoga

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p Před měsícem +1

    Mchome kusain mchezaji daraja lachini siohoja inategemea kiwango cha huyo mchezaji kuna mchezaji anauwezo kuliko hio timu yake ndo anakua anahitaji timu kubwa ila anakitu mwilin mchome

  • @erickthabiti7714
    @erickthabiti7714 Před měsícem +3

    Nakubari mchone

  • @SalfoMushi
    @SalfoMushi Před měsícem +1

    Mchome nikajua jina lako la ukoo la upareni

  • @Mary-fs4mc
    @Mary-fs4mc Před měsícem +2

    YAANI KANJIBAHI AKIIACHA SIMBA BASI MJUE ATAKUWA KISHA JIMILIKISHA KILA KITU, ANAWAACHA WEUPE😅.

  • @user-bp2cc9eo6g
    @user-bp2cc9eo6g Před měsícem +2

    Uko fresh kiongozi,mi nashauri uondoe neno "mapovu"maana unatema fact tupu

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt Před měsícem +7

    Mchome wa kweli ni mmoja tu pokea 🎉🎉🎉🎉yako 😂😂😂

  • @user-wj7bu6hx5y
    @user-wj7bu6hx5y Před měsícem +1

    Mchome ni msema kweli siku zote jamani

  • @yusuphmwaigomole3104
    @yusuphmwaigomole3104 Před měsícem +3

    Nawe mchome ni tatizo tu coz kazi Yako ni kuisifia yanga tu na kuiponda tu Simba .We achana na yanga ipambanie Simba Yako kunanamna haupo sawa

    • @tumainimalulu7708
      @tumainimalulu7708 Před měsícem

      Ukisema ukweli kumbe ni tatizo

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Před měsícem +1

      Kwaiyo ...... Mmerizika na utambulisho wa cesor lobi manzoki 😂😂😂😂😂 au mmerizika na ufadhili wa interview za mchambua mchele kule Cairo ??? Basi endeleen kumuona mchome aduii 😂😂😂I

    • @yusuphmwaigomole3104
      @yusuphmwaigomole3104 Před měsícem

      @@mwanangusana
      Hapana but yeye Kila anapoiponda simba lazima aihusianishe na yanga siyo sawa. Ni kama umeoa Kila udhaifu wa mkeo unalinganisha na ubora wa mke wa jirani yako

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Před měsícem +1

      @@yusuphmwaigomole3104 Kaka udhaifu wa kitu kinapimwa kwa ubora wa kitu .... Sasa umeona wapi udhaif ukapimwa kwa udhaif ndugu yangu 🤣🤣 , ili upatikane ubora ushindanishwe na aliye Bora zaidi ...... Basi kama hamtaki kujifunza kupitia yanga basi jifunzeni kupitia mtibwa sugar 🤣🤣🤣

    • @ototek8037
      @ototek8037 Před měsícem +1

      Ukweli usemwe, tuambie aisifie simba kwa mpila upi na aiponde ynga kwa mabaya yapi

  • @benjaminlikungwara13
    @benjaminlikungwara13 Před měsícem +1

    Tukubali ukweli

  • @benjaminlikungwara13
    @benjaminlikungwara13 Před měsícem +2

    Tujifunze kuukubali ukweli

  • @BakariChinowa
    @BakariChinowa Před měsícem +2

    mchome we unajua unaongea ukweli

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Před měsícem +2

    uyu kunawakati mwingine anakua na akili kidogo ,japokua hua simkubali

  • @RosePetro-ck8pt
    @RosePetro-ck8pt Před měsícem +2

    Mchome mpira unajua my home boy

  • @mashakalonka7767
    @mashakalonka7767 Před měsícem +1

    Mchome nimekuelewa brother,unajua mpira halafu nimeelewa kwa nini una I.Q kubwa!.

  • @user-ck8rf9zq7d
    @user-ck8rf9zq7d Před měsícem +2

    Mchome ukwel mpla waujua

  • @DenisiSanga
    @DenisiSanga Před měsícem +2

    Mchome tunakushukuru kwa kupambania Simba yetu chukua mauwa yako

  • @ISAACMBAGO
    @ISAACMBAGO Před měsícem +1

    Hapo umenena! Na umesema ukweli, simba hamna maajabu. 😂😂

  • @Bosskabila97
    @Bosskabila97 Před měsícem +3

    Mchome unaongea ukweli mtupu 😂😂

  • @davisbwatwa115
    @davisbwatwa115 Před měsícem +4

    mwongo ww acha umbea

  • @MeckMsea-cx1ct
    @MeckMsea-cx1ct Před měsícem +1

    Mjingga sana ww siyo shabi wa simba mm nakuchukia. Kwenda mide unaiponga. Simba kila siku sikupendi ungozi wa simba huyu mtu