Mchome kusain mchezaji daraja lachini siohoja inategemea kiwango cha huyo mchezaji kuna mchezaji anauwezo kuliko hio timu yake ndo anakua anahitaji timu kubwa ila anakitu mwilin mchome
Kwaiyo ...... Mmerizika na utambulisho wa cesor lobi manzoki 😂😂😂😂😂 au mmerizika na ufadhili wa interview za mchambua mchele kule Cairo ??? Basi endeleen kumuona mchome aduii 😂😂😂I
@@mwanangusana Hapana but yeye Kila anapoiponda simba lazima aihusianishe na yanga siyo sawa. Ni kama umeoa Kila udhaifu wa mkeo unalinganisha na ubora wa mke wa jirani yako
@@yusuphmwaigomole3104 Kaka udhaifu wa kitu kinapimwa kwa ubora wa kitu .... Sasa umeona wapi udhaif ukapimwa kwa udhaif ndugu yangu 🤣🤣 , ili upatikane ubora ushindanishwe na aliye Bora zaidi ...... Basi kama hamtaki kujifunza kupitia yanga basi jifunzeni kupitia mtibwa sugar 🤣🤣🤣
Mchome punguza weight 😂😂😂
Ww sivae jezi simba vaa ya yanga
Niulizie mchome je Simba itapoanza kufanya vizuli ataongozana na Simba?
Kumbe saidi ni wanyumbani mmmhh, kigoma mna Siri jamani🤔🤔🤔😂😂😂
Ww nyumbu tu unaongea ujinga nenda kule simba ukaongere mwandishi mubane maswali hana hakiri huyu nyoko ww simba yetu ww yanga nini ww
Hongera mchome unaujua sana mpira
Kumbe huyu jamaa ni mtu wa kigoma
Uko sawa mwana soka
Uyo ni sio shabiki
Wahindi tolii nyingi hakuna bosi mdosi duniani Simba fukuza huyo shoga
Mchome kusain mchezaji daraja lachini siohoja inategemea kiwango cha huyo mchezaji kuna mchezaji anauwezo kuliko hio timu yake ndo anakua anahitaji timu kubwa ila anakitu mwilin mchome
Nakubari mchone
Mchome nikajua jina lako la ukoo la upareni
YAANI KANJIBAHI AKIIACHA SIMBA BASI MJUE ATAKUWA KISHA JIMILIKISHA KILA KITU, ANAWAACHA WEUPE😅.
Uko fresh kiongozi,mi nashauri uondoe neno "mapovu"maana unatema fact tupu
Mchome wa kweli ni mmoja tu pokea 🎉🎉🎉🎉yako 😂😂😂
Mchome ni msema kweli siku zote jamani
Nawe mchome ni tatizo tu coz kazi Yako ni kuisifia yanga tu na kuiponda tu Simba .We achana na yanga ipambanie Simba Yako kunanamna haupo sawa
Ukisema ukweli kumbe ni tatizo
Kwaiyo ...... Mmerizika na utambulisho wa cesor lobi manzoki 😂😂😂😂😂 au mmerizika na ufadhili wa interview za mchambua mchele kule Cairo ??? Basi endeleen kumuona mchome aduii 😂😂😂I
@@mwanangusana
Hapana but yeye Kila anapoiponda simba lazima aihusianishe na yanga siyo sawa. Ni kama umeoa Kila udhaifu wa mkeo unalinganisha na ubora wa mke wa jirani yako
@@yusuphmwaigomole3104 Kaka udhaifu wa kitu kinapimwa kwa ubora wa kitu .... Sasa umeona wapi udhaif ukapimwa kwa udhaif ndugu yangu 🤣🤣 , ili upatikane ubora ushindanishwe na aliye Bora zaidi ...... Basi kama hamtaki kujifunza kupitia yanga basi jifunzeni kupitia mtibwa sugar 🤣🤣🤣
Ukweli usemwe, tuambie aisifie simba kwa mpila upi na aiponde ynga kwa mabaya yapi
Tukubali ukweli
Tujifunze kuukubali ukweli
mchome we unajua unaongea ukweli
uyu kunawakati mwingine anakua na akili kidogo ,japokua hua simkubali
Mchome mpira unajua my home boy
Mchome nimekuelewa brother,unajua mpira halafu nimeelewa kwa nini una I.Q kubwa!.
Mchome ukwel mpla waujua
Mchome tunakushukuru kwa kupambania Simba yetu chukua mauwa yako
Hapo umenena! Na umesema ukweli, simba hamna maajabu. 😂😂
Mchome unaongea ukweli mtupu 😂😂
mwongo ww acha umbea
Mjingga sana ww siyo shabi wa simba mm nakuchukia. Kwenda mide unaiponga. Simba kila siku sikupendi ungozi wa simba huyu mtu