Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Respect bro uko active sana co8
Yuko vizur ataadapt mazingira ya ligi yetu then atafanya makubwa ukizingatia pia kuwa umri unaruhusu
Duh huyu mbona kama zidane
Leta uchambuz wake tutafurah zaid✅🙏
Karibu unyamani brother 🎉🎉🎉🎉
Asante soccer data🎉
Chambuz una baya🎉🎉
KAMA YUKO SERIOUS KUMBE BADO HAJAKUTANA NA COPRO BACA
Daah uyu ni atari kama Ronaldinho gaucho
❤❤❤❤❤
mpila mguuni tu Yuko powa sana
Yetu macho
Kama umekubali mm nani nikatae brother
Ana piga pasi za uhakika asee kwa ujumla mpira anajua
Hapa tz hakuna ligi ngumu ni mpira wa siasa tu
Mashine hiyo
Eti ligi yetu ngumu! Kwahy tukasajil ugeruman?!🐸🐸🤣
Haina kulemba hiyoooo oyooooo
Hakili huna ligi zaifu
pacome ametoka ligi gani na azizi ki nani hana hakili sasa😂😂
una chuki nae tayari
Ni mzuri ila ligi yao ni dhaifu .....tusubiri kuona kama ataweza kuikabili ligi ya bongo
Aziz k, PA come na yao wametoka ligi gan ww utopolo?
Achana nayo ni wivu tu@@januarymalanda9262
ligi ya bongo sio ngumu mbona bingwa hupatikana mechi ,5 kabla kumalizika?
@@kassidpandu866 tatzo bro unabishana bila kua na evidence fatilia team zetu zikikutana na team za nje utasikia washambuliaji wao wanasema mabeki wa wao ni makatili sana...
@@januarymalanda9262 aziz ki ni dalaja jingine kabisa inawezekana saii angekua ulaya akikipiga huko ..... kingine usichokijua mimi ni shabiki wa mpila
Huyu ligi yetu kutoboa ni ngumu sana wacha tuonee
Ngonja tuone tu
Kwamba tunatumia mpira wa pembe tatu au?
@@davismuzahula907ligi yetu ni ngumu saana
Mpira ni uleule atafanya makubwa ukizngatia pia kuwa umri n mdgo
Amesajiliwa na timu gani
Mbona ni kama Jobe aliyechangamka 😂
Respect bro uko active sana co8
Yuko vizur ataadapt mazingira ya ligi yetu then atafanya makubwa ukizingatia pia kuwa umri unaruhusu
Duh huyu mbona kama zidane
Leta uchambuz wake tutafurah zaid✅🙏
Karibu unyamani brother 🎉🎉🎉🎉
Asante soccer data🎉
Chambuz una baya🎉🎉
KAMA YUKO SERIOUS KUMBE BADO HAJAKUTANA NA COPRO BACA
Daah uyu ni atari kama Ronaldinho gaucho
❤❤❤❤❤
mpila mguuni tu Yuko powa sana
Yetu macho
Kama umekubali mm nani nikatae brother
Ana piga pasi za uhakika asee kwa ujumla mpira anajua
Hapa tz hakuna ligi ngumu ni mpira wa siasa tu
Mashine hiyo
Eti ligi yetu ngumu! Kwahy tukasajil ugeruman?!🐸🐸🤣
Haina kulemba hiyoooo oyooooo
Hakili huna ligi zaifu
pacome ametoka ligi gani na azizi ki nani hana hakili sasa😂😂
una chuki nae tayari
Ni mzuri ila ligi yao ni dhaifu .....tusubiri kuona kama ataweza kuikabili ligi ya bongo
Aziz k, PA come na yao wametoka ligi gan ww utopolo?
Achana nayo ni wivu tu@@januarymalanda9262
ligi ya bongo sio ngumu mbona bingwa hupatikana mechi ,5 kabla kumalizika?
@@kassidpandu866 tatzo bro unabishana bila kua na evidence fatilia team zetu zikikutana na team za nje utasikia washambuliaji wao wanasema mabeki wa wao ni makatili sana...
@@januarymalanda9262 aziz ki ni dalaja jingine kabisa inawezekana saii angekua ulaya akikipiga huko ..... kingine usichokijua mimi ni shabiki wa mpila
Huyu ligi yetu kutoboa ni ngumu sana wacha tuonee
Ngonja tuone tu
Kwamba tunatumia mpira wa pembe tatu au?
@@davismuzahula907ligi yetu ni ngumu saana
Mpira ni uleule atafanya makubwa ukizngatia pia kuwa umri n mdgo
Amesajiliwa na timu gani
Mbona ni kama Jobe aliyechangamka 😂