Kwa Mukwala Simba wanatia mkwara tu; huyu hataleta mabadiliko yoyote kwenye performance ya timu kwani matatizo ya Simba siyo wachezaji bali uongozi. Mpaka sasa Simba ilikuwa na wachezaji wazuri sana ila wanshindwa kuunda timu nzuri
Huyu jamaa Wa soccer data ni mnafiki nasio mzalendo anaponda sajili za simba hachambui kwa wema anachambua kinafiki hii page ni unafiki sana afu yanga anaisifia sana nadhani kapewa bahasha huko hii page.
Kwa Mukwala Simba wanatia mkwara tu; huyu hataleta mabadiliko yoyote kwenye performance ya timu kwani matatizo ya Simba siyo wachezaji bali uongozi. Mpaka sasa Simba ilikuwa na wachezaji wazuri sana ila wanshindwa kuunda timu nzuri
Ichi ndo kitu tunapenda ✅
Style yake ya uchezaji ni ipi ukilinganisha na wachezaji wa Ligi ya England, Spain na ufaransa toka mwaka 2018 hadi 2020
Huyu jamaa Wa soccer data ni mnafiki nasio mzalendo anaponda sajili za simba hachambui kwa wema anachambua kinafiki hii page ni unafiki sana afu yanga anaisifia sana nadhani kapewa bahasha huko hii page.
Nitadhamini uchambuz wa Debora Fernandes ukifika hapo niambie mkuu
Tunaomba uchambuzi moja wakisomi wa mchome mapovu
Kumbe hamn kitu sijuii kwnn tunasajili wachezaj bila kocha ndio ya jobe hy kupewa mkataba mkubwa kumbe hmn kt
Asante kwa uchambuzi mzuri
Unajua jamaa
🎉🎉🎉 soccer data
Safi
One vs one anaweza sana fatilia vzr
Huna group la watsap bro