POLISI FEKI HAJAAMINI MACHO YAKE / KAGEUKA SEKUNDE 3 JAMAA KATIMUA MBIO | HIVI NI KWELI
Vložit
- čas přidán 23. 01. 2023
- POLISI FEKI HAJAAMINI MACHO YAKE / KAGEUKA SEKUNDE 3 JAMAA KATIMUA MBIO | HIVI NI KWELI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
me uyo afande wa kwenye radio call tuu ndo anatisha😂😂😂
Mrundi kapatikana
Oiii mwanangu Kijo saruti sana hivyo ndivyo tunatakiwa kuishi hakuna kutiatia huruma simama na mwanao hata kwenye msala gani ✊🏿✊🏿🙌🏿🙌🏿
Kumbe nchi Ina vijana wenye mbio namna hiiii
😂😂😂😂am watching from Dubai
Afande mwenye ako kwa call ndio anatisha😂😂😂
Afande sheria unaijuwa afande 😂😂😂
mshkaji wa kwanza kakimbia kinoma hahaha ila jembe la mwisho kaona afe na mwanae ametisha sana na hio ndio inatakikana ukiona mshkaji amekamatwa jaribu kumtetea
Hahaha afande pole #mukongo karibu ajinyee?
Mi nina idea moja nzr sana
Hivi ni kweli
Mm huyo wa kwanza nimerudi zaid ya x6
Daaa, jamaa wa kwanza amechomokaaa🤣🤣🤣
Alafu akarudi na senglendi
Afande kacheka
Hahahahah.....!!! Big up bro
Uyu jamaa wakwnza kafungua turbo 😁😁😁😁
Duniani kuna watu wana rohooo mbaya🙌🙌👮🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jamaa kanunua boxer
Afande anataka kucheka
Watu ni fisi
HUYO JAMAA WA KWENYE RADIO CALL MWEHUUUU SANA HAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAA
Falaaa Sanaa uwa ananichekesha sana
Ni bangi
yeye ndio anatisha na maneno yake unajua leo unaenda selo ahahaha
Hii nchi ina vijana tepetepe na legelege
Sikumoja naomba tu mnifume na mm maana ntacheka sana
Mtawavunja miguu vijana wetu
Nyie mnawazingua ndugu zangu wa bagamoyo
😂😂😂😂afande konyo😂😂
Afande katisha over
HAHAHAHA aisee
MURAAA VITA NI VITA MURAAAAA,NIME PIGA GHOTIIII MURAAAA 🤣🤣🇹🇿🤣🤣
Mbona Haiplay
Daaah hyo mwenye nyekundu daah🤣🤣🤣
Huna bando tia bando
😂 😂😂 napendaga huyu afande
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
Hahahahahahaha