MAJIBU YA RAIS SAMIA KUHUSU KUPANDISHA MISHAHARA KWA WATUMISHI...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 04. 2021
  • MAJIBU YA RAIS SAMIA KUHUSU KUPANDISHA MISHAHARA KWA WATUMISHI...
    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema jumla ya wafanyakazi zaidi ya 85,000 elfu hadi 91,000 watapanda vyeo mwaka ujao na kuajiri watumishi 40,000 katika Idara ya Elimu na Afya.
    Ameyasema hayo kwenye maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Kitaifa leo Mei 1, 2021 katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
    “Ndugu zangu mimi ni mama, mama ni mlezi..Dai hili ni la msingi na la kweli. Mishahara haijaongezwa muda mrefu. Kutokana na mlipuko wa ugonjwa Corona uwezo wetu kiuchumi umepungua, imekuwa vigumu kwangu kuongeza mishahara lakini tutaboresha maslahi ya wafanyakazi,” amesema Rais Samia.
    “Mishahara haijaongezwa kwa muda mrefu, Mimi binafsi natamani kuongeza mishahara mwaka huu ila kwasababu mbalimbali nimeshindwa, uchumi wa Tanzania umeshuka kutoka 6.9% hadi 4.7% kwasababu ya Corona, nawaahidi mwakani siku kama ya leo nitapandisha mishahara,” amesema Rais Samia.
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 37

  • @mamalove3995
    @mamalove3995 Před 3 lety +1

    Bora Ukweli mchungu kuliko Uongo mtamu, Hongera sana Raisi wetu Mpendwa kwa kusimamia ukweli

  • @idebilihassanebiaque3455

    Masikini hapendi mwana.👏👏👏👏👏 Amesema ukweli mama wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏👏👏👏

  • @sagayefamily5149
    @sagayefamily5149 Před 3 lety +1

    Kudai ongezeko la mshahara mda huu wakati nchi imetoka kwenye janga la Kalona,, ni Sawa na Baba Kudai haki ya ndoa kwa mama aliyetoka Reba.... Hongera samia kwa kuliona hili....

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 Před 2 lety

    😍😍😍😍😍😍😍

  • @ramsdenjames9782
    @ramsdenjames9782 Před 2 lety +1

    Nani anaangalia hii akiwaza may 2022🤪

  • @jogoomohamed2652
    @jogoomohamed2652 Před 2 lety

    Hakika ww ndo furaha yetu mama,tunakuombea huku tukijiombea wote kwa ujumla ili tufaidi safari yako yenye neema na mema mama.Inshallah

  • @naamanidamasi6125
    @naamanidamasi6125 Před 2 lety

    Watu wanaoumia wengi wao ni wafanyakazi wa sekta binafsi na wafanyakazi wa majumbani,. tena wananchi wengi wao wanafanya kazi sekta binafsi.zaid ya serikal . Sasa kama ahadi zitakuwa hii kweli inatukatisha tamaa kutokana na Hali ya kiuchumi.
    Serikal yangu chonde chonde .tunaitaji nyongeza za mshahara.
    Raisi wa awamu ya tano hivyo hivyo.tunasubiri kwa Mama pia hivyo hivyo .
    Naomba ninyi marais wetu mvae mavazi ya wafanyakazi binafsi mjione Kama ndio ninyi , msinge kuwa na maneno Bali utekelezaji.
    Nauli mnapandisha , mishahara hampandishi je mnatuweka watanzania katika Hali gani aswa hawa wenye maisha duni.
    Kumbukeni mlikotoka.
    Ahsante.

  • @issajuma3475
    @issajuma3475 Před 3 lety

    Mashallah

  • @catherinejohn678
    @catherinejohn678 Před 3 lety

    Hapo sawa yote point hongera sana

  • @manyahelen7507
    @manyahelen7507 Před 2 lety +1

    Mama tunasubiri neno lako mei mosi 2022

  • @brightsimbano3061
    @brightsimbano3061 Před 3 lety

    Hongera rais wetu mama mpendwa kwa kusimamia ukwel

  • @godfreynestori8647
    @godfreynestori8647 Před 3 lety

    Super

  • @openmindtz
    @openmindtz Před 3 lety +1

    She is so smart n hearted

  • @georgekisatu7961
    @georgekisatu7961 Před 3 lety

    Vzr mama ila naomba utazame vijiji kama kijiji cha kipwa kunachangamoto kubwa sana hakuna barabara,umeme,maji, shule na zahanati ila pamoja na kukosa hivyo nikijiji kinacho ongoza kwa makusanyo ya kodi na ushuru w ya kalamo

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 Před 3 lety

    Kusema kweli huyu rais ana majibu mazuri sana tena yenye hekima kiasi ambacho hata ule ugali wa bila mboga kipindi cha kiangazi ni mtamu balaa

  • @kulthumabdalla3958
    @kulthumabdalla3958 Před 3 lety

    Ahsant mh rais

  • @biggestnasritv2601
    @biggestnasritv2601 Před 3 lety

    THE BIGGEST BOSS NASRI

  • @peterchibaya2556
    @peterchibaya2556 Před 3 lety

    Mheshimiwa Rais Naomba mtuondolee Kodi ya Guest leavy kwa Guest za Vijijini Hatupati kitu wenye Guest

  • @amashanampwapwa5704
    @amashanampwapwa5704 Před 3 lety

    Nakuelewa

  • @issajuma3475
    @issajuma3475 Před 3 lety

    Muumba Akuzidishie

  • @manyahelen7507
    @manyahelen7507 Před 2 lety

    Tunasubiri neno la mama keshokutwa

  • @mfalmewanyika2804
    @mfalmewanyika2804 Před 3 lety

    Na maslahi ya viongozi wetu wa dini wale waliokua magereza tunaomba mziangalie mama yetu mpendwa.

  • @manyahelen7507
    @manyahelen7507 Před 2 lety

    Hautaki tuongezewe mshahara ,ulishindwa nn kusoma wewe kama watumishi

  • @jumailega9535
    @jumailega9535 Před 3 lety

    Tunakupenda can mama etyu

  • @tresiakaovela9109
    @tresiakaovela9109 Před 3 lety

    Tunaomba utembele miladi aliyoicha Magufuli

  • @princemahamba242
    @princemahamba242 Před 2 lety

    Tupandishie mishahara halafu wewe

  • @joycemarko3037
    @joycemarko3037 Před 3 lety +2

    Mh hao wanataka kuongezwa mshahara wakati wao wanauhakika wa kila mwezi hali kunawatanzania maskinj wasiojua kesho yao watakula nn

    • @johnzacharia2308
      @johnzacharia2308 Před 3 lety

      Dada watu kulala njaa swala hilo hawezi kulimaliza raisi na haizuii watumishi kupandishwa mishahara maana asiye Fanya kazi na asile,we hufanyi kazi kwanini usilale njaa hata Kama watanzania wote wanamsosi wew Kama hufanyi kazi utalala njaa tu namsaada kwa hilo haupo, ndugu tufanye kazi,hao niwafanya kazi na kwa mujibu ya mikataba ya ajira walikubaliana kila baada ya muda Fulani tutawaongezea mshahara sasa hapo kunaubaya gani wao kidai haki yao nainahusu nini nayule mwananchi anayelala njaa,maana masikini wapo tu hawaishi duniani kote akiangalia hao hata Barabara hatojenga atanunua chakula cha misaada,kwani hayati magu alikuwa hawaoni watu hao na aliacha kufanya maendeleo ya nchi, na hata chakula chamsaada hakuwahi kutoa ila bado aliitwa mtetezi wa wanyonge,na watu walikuwa wanalla njaa mtaani vizur tu lakini haikumzuia yeye kujenga miradi mikubwa ambayo siyo chakula kwa masikini nawala haipunguzi njaa kwa wasio na chakula, point nikwamba watumishi wanafanya kazi nahaki yao kupandishwa mishahara nahuwezi kulinganisha Jambo hilo na Hali ya maisha ya mtaani kwako maana hawakuambiwa kwenye mkataba endapo Fulani akikosa chakula mshahara wako hautapanda labda itokee janga kubwa Kama korona au njaa kubwa itakayo kumba sehemu kubwa ya nchi na si mtu mmoja mmja

    • @joycemarko3037
      @joycemarko3037 Před 3 lety

      Kama hao wanafanyakazi mbona mbona bado wanalia njaa wakiona mshahara kidogo kunamaisha mengine yakitaa waje wayaone

    • @johnzacharia2308
      @johnzacharia2308 Před 3 lety

      @@joycemarko3037 nikweli Kabisa kunawatu wanaishi maisha magumu Sana mtaani ila maisha hayo kamwe hayawezi kuzuia mishahara ya watumishi isipande kwa mujibu wa sheria na mikataba ya ajira waliyopangiwa na waajiri wao lazima wadai, na hao wananchi wasio jiweza nawo waibane serikali irahisishe baadhi ya mambo watakayo ona wakifanyiwa njaa ita isha,"ngoja nikupe mfano tajiri akimwomba MUNGU anamwomba amzidishie kutoka kuwa millionea awe bilionea na akiomba kwa imani Mungu anampa, Sasa ilisha waza kunamaskini ambaye hana hata miatano ya kula anaomba Mungu na anapewa na wakati mwingine analala njaa ila MUNGU ni mmoja na anawapenda wote,njaa ya maskini haizuii tajiri kupewa na Mungu na kuzidishiwa kwa kile alichopangiwa na Mungu, na serikalini ni hivyohivyo tunalia shida ila wenzako wanalipwa mishahara mikubwa na bado wanadai haki yao yakuongezewa hata kama nikima cha juu na nihaki yao kutokana na kazi na mikataba waliyo wekeana

    • @reubenisack9990
      @reubenisack9990 Před 3 lety

      nyie mtakuwa watumishi

  • @hamedyahya9846
    @hamedyahya9846 Před 3 lety

    Rais mkeli kabisa Samia Hassan