#EXCLUSIVE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 05. 2024
  • #EXCLUSIVE PART 2: DR SULLE - "NATUMIA MAJINI - MIMI SHEIKH wa CLASS ya JUU -LEVO ZANGU KAMA WAZIRI"...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 350

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před 2 měsíci +3

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @kassimabdillah5998
    @kassimabdillah5998 Před 2 měsíci +8

    Usia wangu kwako Dr Sule mche Allah acha kujifagharisha na kujitapa Kwa Kumshirikisha Allah Ifanye Upya Imani yako Rudi Kwa Allah mpwekeshe yeye peke

  • @nubianqueen6700
    @nubianqueen6700 Před 2 měsíci +20

    Allah amemuweka wazi anajitangaza mwenyewe mchana peupe, mumjue ni "shekhe" aina gani. Amesema kuwa kuna mambo mengine lazma umshirikishe mwenyezi mungu. Hapo kashajisema.

    • @Lumumba-ep6ic
      @Lumumba-ep6ic Před 2 měsíci

      Huko shih kabisa. ,mashehe wa mchongo

    • @Mohaa4309
      @Mohaa4309 Před 2 měsíci +4

      Mshirikina huyu Sheikh

    • @hubapessa913
      @hubapessa913 Před 2 měsíci +2

      Kasema lazima ushirikishe jini siyo Allah

    • @nubianqueen6700
      @nubianqueen6700 Před 2 měsíci +5

      @@hubapessa913 kufanya dua kwa Allah alafu ukaongezea kuitumia jini, ndo ushirikina haswa. Associating partners with Allah.

    • @Grataaaaa
      @Grataaaaa Před 2 měsíci

      Ndo ukishirikisha jini nd unamaana ALLAH hana uwezo wa kutatuwa jambo​@@hubapessa913

  • @kharisbendera1406
    @kharisbendera1406 Před 2 měsíci +7

    ama kweli nimeamin watu elimu hawana hv mnamjua nabii wa allah suleiman alikua akiwatumia majini kwa kuwaongoza na majina ya allah yaliyokwenye pete kama huna elimu na jambo hlo nyamaza acheni kumuita dr sule mshirikina mnaujua ushirikina nyie dr niko pamoja na wewe upe elimu na allah akutunze inshaalllah!

    • @rajababrahman4365
      @rajababrahman4365 Před 2 měsíci

      Uongo Nabii Sulemani akutumia majini
      Qurani inasema uongo

    • @abuumunyrelbatwaawy7490
      @abuumunyrelbatwaawy7490 Před 2 měsíci +2

      Yule ni nabii na alikua mfalme
      Je sule yeye ni nani??
      Hakuna sahaba wala wanfunzi wa masahaba waliotumia majini, bali huyu ni mshirikina mkubwa sana

  • @IdrissaMoussa-tx7jy
    @IdrissaMoussa-tx7jy Před 2 měsíci +3

    Allah akibar,laa illah ilallaah
    Kwangu naona dr sule anaofanya ni ushilikina tu,ila anacanganya naungo wa kujua dini kidogo.

  • @mhogomchungu7168
    @mhogomchungu7168 Před 2 měsíci +6

    Huyu mshirikina na dhambi kumwita shehe. Mganga wa kienyeji katika koti la ushehe. Class ya ushehe ni taqwa na ucha Mungu sio nini anavaa au anayoendesha . Huyu hafai hata kuwa mfagia msikiti

  • @mustaphaabbas2545
    @mustaphaabbas2545 Před 2 měsíci +3

    { وَكَذَ ٰ⁠لِكَ نُفَصِّلُ ٱلۡـَٔایَـٰتِ وَلِتَسۡتَبِینَ سَبِیلُ ٱلۡمُجۡرِمِینَ }
    [Surah Al-Anʿām: 55]

  • @fatmaabdi7192
    @fatmaabdi7192 Před 2 měsíci +3

    ALLAH hapendi watu wenye kiburi sifa kwa mungu hakuna alie mzidi waziri m bunge cjui nani watu wote tuko sawa

  • @yusufuasumanimpina
    @yusufuasumanimpina Před měsícem +1

    Hapo sheikh dr sule anasema ukweli , zamani zama za mtume s a w .alipokuwa safarini na maswahaba zake walifika sehemu Moja wakapumzika ikabidi kila swahaba mmoja amfunge ngamia na mtume saw akamfunga ngamia wake lakini mmoja wa maswahaba hakumfunga ngamia wake bwana mtume akamuuliza Kwa nini hakumfunga ngamia wako akajibu mungu yupo bwana mtume akamwambia mfunge ngamia wako halafu mwimini Allah yupo.

  • @MirajiHanza
    @MirajiHanza Před 2 měsíci +3

    Dokta sule Allah akuongoze,,,,dah umepotea shekhe wangu

    • @musalumbi8490
      @musalumbi8490 Před měsícem

      🤣🤣🤣 Majini wamemlevya hata haoni

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 Před měsícem

      Yeye anatumia majini waislamu wenzenu , walio amini Quran na Allah 🤣🤣🤣

  • @Abdul-ghafurKhamis
    @Abdul-ghafurKhamis Před 2 měsíci +1

    Rudi kwa mungu Dr sule unapotea na unapotosh umma brother

  • @dorcaskarago2876
    @dorcaskarago2876 Před 2 měsíci +2

    Siri imevuja Sule umemzoweya Mungu sana natabia yako mbaya kupotosha watu wa Mungu

  • @BASHIRINAMYUNDU-dv5ff
    @BASHIRINAMYUNDU-dv5ff Před 2 měsíci +1

    comment zako dokta zimeingiliwa unachafuliwa makusudi ,Allah akubariki inshaAllh

  • @89_Media
    @89_Media Před 2 měsíci +2

    Yaan Jini amepewa sifa kuliko malaika wa mwenyezi Mungu 😢Siku za mwisho zimekaribia😭😭😭😭😭

  • @habibbeiyye
    @habibbeiyye Před 2 měsíci +2

    انا لله و انا اليه راجعون....... (وما خلقة الجن و الانس إلا ليعبدون).

  • @andrewmhagama9816
    @andrewmhagama9816 Před 2 měsíci +5

    Duuuuh mtu unaamini majini yaani ni kilio kweli kweli mashehe majini.Kweli kuna watu akili ndogo na upeo yaani Mungu ajitoshelezi unamuongezea majini kwa nini usiite malaika basi, Jehanamu ya moto inawasubili
    Ukiambiwa neno Mungu ni uweza ushindao kila kitu Mbinguni na Duniani kufikiria na kutenda.

  • @AminaAhmed999
    @AminaAhmed999 Před 2 měsíci +10

    ogopa Mungu. Hii ni ushirikina.
    wacha kudanganya watu.
    usiharibie uislamu sifa yake.
    Hatuna haja kutumia majini kwa kila hali.
    wewe unasaidia washirikina.
    Allah Mwenyezi Mungu wetu anatutosha.

    • @othumanlorenzo260
      @othumanlorenzo260 Před 2 měsíci

      shirikina hili

    • @kennodhiambo
      @kennodhiambo Před měsícem

      Hii ndiyo imani kamili ya Uislamu, acheni kupinga

    • @Nassir-cl3bt
      @Nassir-cl3bt Před měsícem

      Elimu hauna dada

    • @Nassir-cl3bt
      @Nassir-cl3bt Před měsícem

      Mtu ajapatikana lkn siku akipatikana na jini haende hospital akadungwe sindano sawa hamna elimu walahi kwakwel

  • @azizaalbreki3330
    @azizaalbreki3330 Před 2 měsíci +2

    Mwenyezi mungu akuhidi

  • @user-ng7fi7nl2r
    @user-ng7fi7nl2r Před 2 měsíci +1

    Sule ww nimshirikina muogope allah akuna kumtumia jinni ktkt jambo lolote aijathibiti kisomo icho sio chakisheria isipokuwa icho nikisomo chakishirikina watu wote mjuwe uyo sule mungu ameamua kutujulisha kwamba nimshirikina na ayo anayoyasema nikinyume na uislam

  • @kennodhiambo
    @kennodhiambo Před měsícem

    Majina ya Mwenyezi Mungu (Allah) yanamleta jini ndiyo atumwe. Waislamu njooni kwa Yesu Kristo, huku hatuwaamini majini

  • @rashidiiddi2433
    @rashidiiddi2433 Před 2 měsíci +1

    Aisee Dunia ikomwisho sasa maana mashekh wanaeneza shiliki bc sowezi kumfatilia Tena kumbe nimshilikina

  • @totonata5384
    @totonata5384 Před 2 měsíci +6

    Astaqafirulah. Mungu utuongoze na hii dunia

    • @firdaussheikh4817
      @firdaussheikh4817 Před 2 měsíci

      Atapoteza wengi lahaula walaquwata ila bilaah. Huyu achane na mchezo . Mungu ni mkubwa 😢😢😢😢😢

    • @IssaSimbilla-hw9ev
      @IssaSimbilla-hw9ev Před 2 měsíci

      Wallah huyu ni jahili murakab shirikina

    • @taturajabukhalfani7953
      @taturajabukhalfani7953 Před 2 měsíci

      Tena ni li freemason kabisa!!!halina sifa ya ushekhe linatumia udini kuficha makucha yake

  • @MuhammadWesonga
    @MuhammadWesonga Před 2 měsíci +4

    Mwenyezi Mungu amehalalisha talaka ikiwa kuna sababu zinazokubalika kisheria,sasa vipi ulazimishe ndoa kwa kutumia jini? Hivi ni kupinga qadari,Sule kumbe wewe ni mganga aliye na ilmu ya dini? Innalillahi wa innailaihi rajiun

  • @soloboysolo8872
    @soloboysolo8872 Před měsícem

    SubhanaAllah huyu mtuu Ana Lana walahy SubhanaAllah hafai hata kidogo Leo hini wasema dua Haina nguvu duh ww huna Imani na dua wajua dua ni sila kwa muumini

  • @hamudseif
    @hamudseif Před 2 měsíci +1

    Uyu jamaa anaongea pumba sana( haongei kielimu) anatumia kichwa chake kujibu maswala..lakin kama mm ningemuuliza “Unaweza kumjua jini mzuri na mbaya, wakati ni viumbe hawaonikani, na atakama umemuona unawezaje kumjua km huyu ni mwema au mbaya..?”
    Usitudanganye Sule kutaja neno “DUA”, ni ushirikina ndo unatumia.

  • @jamalkarissa7216
    @jamalkarissa7216 Před měsícem

    Dr .Sule kupotea mwenyewe ni sawa, lakini kupotosha umma huwezi samehewa

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md Před 2 měsíci +4

    Hapo waislamu na majini pete na kidole hamna mamlaka nyingine lazima majini yatumike

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 Před 2 měsíci

      Uislam hauruhusu hayo anayoongelea sulle Bali yeye hadi Sasa ni mshirikina Kwa sheiria za uislam kashatoka kwenye uislam
      Mtume wetu Muhammadi Swalla llaahu alayhi wasallama anasema hakuna kushirikiana kati ya watu na majini hata kama wawe Majin WEMA Kila viumbe waishi ki mpango wao kwenye maisha ya Kila siku Sasa sulle anatuharibia uislam wetu na watu kama yeye sio waislam Bali wamebakia jina tu peke yake

    • @kaoretosha6668
      @kaoretosha6668 Před 2 měsíci

      Hujui usichokijua.

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 Před 2 měsíci +2

    Suleee! Waislamuuuuuu Semeni Mashallaah! Majini ni ndugu zenu katika Imani kwani Walisilimu wakawa Waislamu Qur'an 72:1-14

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 Před 2 měsíci

      Koma uko.

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 Před 2 měsíci

      ​@@sonnyr1899 kaiambie hilo neno Qur'an

    • @FeymaarOfficially-uu4nr
      @FeymaarOfficially-uu4nr Před 2 měsíci

      Ndio wapo majini ndugu zetu wa Islam alhamdullilah NA wapo makafiri kama binaadamu

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 Před 2 měsíci

      ​@@FeymaarOfficially-uu4nr Basi kawatume utajirike!!

    • @FeymaarOfficially-uu4nr
      @FeymaarOfficially-uu4nr Před 2 měsíci +2

      Mi ananitosha Allah sina haja ya majini sisi na wao tumeumbwa na Allah tumuabudu tu

  • @petermgonja8547
    @petermgonja8547 Před 2 měsíci

    Tumkubali tu doctor sule. Maaana ndiye kiongozi mkuuu wa kiislamu

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 Před 2 měsíci +2

    Majivuno na kibri 😢😢 Innalilah wainna ilay rajiun

  • @RamadhaniOmary-hn4my
    @RamadhaniOmary-hn4my Před 2 měsíci

    Subhanaallah

  • @sajadyomary821
    @sajadyomary821 Před 2 měsíci +2

    Mche allah

  • @Bonge-oo3fg
    @Bonge-oo3fg Před 3 dny

    Wew sule VIP kwahiyo wewe badala ya kuomba mungu

  • @AminaAhmed999
    @AminaAhmed999 Před 2 měsíci +2

    Msimzikize.
    na watu wa habari msimpe huyu hewa au vipindi kudanganya watu.
    mtakua mnamsaidia

  • @aminauwimana9976
    @aminauwimana9976 Před 2 měsíci

    Subhana'allah allah akuhogoze looo

  • @RamaZuberi
    @RamaZuberi Před 2 měsíci +4

    Allah akuongoze dk wangu nakukubali namajibu yameshiba tupe elimu shekhe wangu.

    • @firdaussheikh4817
      @firdaussheikh4817 Před 2 měsíci

      Achane na siasa sisi tunaamini Mungu tupu , yy ndio mwenye uwezo wa hali ya juu. Hatuhitaji majini kumsaidia waja wake. Allahu Akbar 🇬🇧

    • @Mohaa4309
      @Mohaa4309 Před 2 měsíci

      Hana lolote huyu Sheikh, nlisema mitandao itamponza huyu

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 Před 2 měsíci

      ​@@firdaussheikh4817 Majini Walisilimu wakawa Waislamu Soma Qur'an Surat Jinn 72: 1-14 majini ni ndugu zako katika Imani Sule Yuko sahihi

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 Před 2 měsíci

      ​@@Mohaa4309 Majini Walisilimu wakawa Waislamu Soma Qur'an Surat Jinn 72:1-14 majini ni ndugu zako katika Imani Sule Iko sahihi

    • @khaalidcheo5383
      @khaalidcheo5383 Před 2 měsíci

      Kwisha kazi yake lichawi ilo

  • @gfydfdf8869
    @gfydfdf8869 Před 2 měsíci +1

    Hapo Mungu hayupo,kaka fabi,majini hapo mwanzo huko mbinguni,walikuwa nimalaika,Sasa walimuasi Mungu huko mbingu narusifa,ndio wakatipwa kuzimu,wengine wamefungwa wapo kuzimu na wengine wapo hapa dunia,wanateza wanadamu,kwa matezo mbarimbari,ndio wale unaona hawamwabudi, Mungu,ndio hao Leo unaona,wanafanya madhambi,mbari,wanazubili hukumu ,hakuna jini zuri Wala baya,wote wanaozujudi,jini,nijehanamu,yamoto,fabi njoo kwa Yesu,hata usiende kwa sule,akusomee majini,sule weweacha majini,kwanini Mungu,fabi anashangaa tu,hayo majini,una sema sure.

    • @Khmediy3241
      @Khmediy3241 Před 2 měsíci

      Wew iyoo kwa Iman Yako Malaika Hana jinsia Majin yanajinsia ya dunian Jini na Malaika ni viumbe viwili tofauti

    • @maryamadam5622
      @maryamadam5622 Před 2 měsíci

      :

  • @MbarakAddi
    @MbarakAddi Před měsícem

    audhubillah min al-shaytaan ir-rajeem

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 Před 2 měsíci

    masheikh wetu hawa wanamkosea sama MUNGU kesho ,masheikh hawa wana dhima kubwa sana kwa Mungu; masheukh weng wanafanya sana shirki kwa kuityaka dunia kwa kila namna

  • @ThabitAsaaMbarouk-jz1fx
    @ThabitAsaaMbarouk-jz1fx Před 2 měsíci +1

    Allah akuongoze uiyona haki🙏

    • @firdaussheikh4817
      @firdaussheikh4817 Před 2 měsíci

      Kabisaa anauzuri wake lakini hapa kwenye hizi 😢😢😢😢 atakuja kupoteza wengi .watu wamemwamini 😢😢😢

  • @saidikhalifa8592
    @saidikhalifa8592 Před měsícem

    Upo sawa

  • @hassanWanjiku
    @hassanWanjiku Před 2 měsíci

    Alhamdulillah kumbeeee na vile alikufurisha harmo n yule n ujinga tu subhanallah sasa yeye ashaa tangaza wazi sasa watu wenyewe wataangalia kama watazidi kumfuata hata maneno yake hapa ya kufuru huyu

  • @soloboysolo8872
    @soloboysolo8872 Před měsícem

    Halina nuru hata kwa uso. Wake SubhanaAllah hafai kabixa huyu mtuu sura ya Tisha Haina nuru

  • @BernardChesoli-rj3nw
    @BernardChesoli-rj3nw Před měsícem

    KWA NINI NDACHA AKIWABANA KWA MIJADALA KUHUSU MAJINI HUWA MNAKANA ILI HALI HAPA UNAKUBALI KUHUSU MAJINI.

  • @rashidjuma9774
    @rashidjuma9774 Před 2 měsíci

    Inna lillahi wainna illaihi rajiun....shikri shirki shirki

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 Před 2 měsíci +1

    Leo nimeelewa kumbe Waislamu wanaweza kuwatuma majini walioamini Qur'an ili yaka mdhuru mtu Waislamu watu hatari sana!! Ndiyo maana Siwezi kabisa kuwa Mwislamu nyie ndiyo chuma ulete

  • @user-id1gz3ng3k
    @user-id1gz3ng3k Před 2 měsíci

    Subehanallah musimkubali uyu jamaa, majini wawe wazuri ama wabaya usiwi na dili nawo. Kwasababu Allah nimuweza. Uyu anapoteza watu.

  • @user-ih7nl5nv3c
    @user-ih7nl5nv3c Před 2 měsíci

    Duh subhanallah awa mashekhe wa maulidi hawafai kuwapelekea watoto kusoma watakua wachawi

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před 2 měsíci

      na wapo wengi saana maana Quran inawaruhusu na Mtume alikuwa Mchawi tu haujajua

  • @aishakambenga6191
    @aishakambenga6191 Před 2 měsíci +3

    Shetani ni bin Adam mwenyew

  • @mlasalmas7615
    @mlasalmas7615 Před měsícem

    Astaghfirullah. Kwamba rabbana aatina haifanyi kazi ila majin wana nguvu ya kujibu dua😢??? Subhanallah, Allah amuongoze dk Sulle

    • @khamisoothman5294
      @khamisoothman5294 Před měsícem

      Astaghfirullah ana bwabwaja sana maskini subhanallah eti jamani

  • @user-yb7sn2fj9b
    @user-yb7sn2fj9b Před měsícem

    alafu ww unaitaja dini kama daraja la kuyaendea maisha ya dunia2.

  • @mwakiosalim2914
    @mwakiosalim2914 Před 2 měsíci

    Dunia duara...mwalim naitaji number yako..unifundishe kiundani zaidi

  • @frankshetuli6225
    @frankshetuli6225 Před 2 měsíci

    Ok

  • @aljalilatiba9873
    @aljalilatiba9873 Před 2 měsíci +1

    KUWATUMIA MAJINI KUTAFUTA MALI AU ULINZI NI DHAMBI KUBWA HUU UTHIBITISHO KATIKA QUR-AAN SURATUL JINNI
    وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا
    Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi

  • @usrahismail3196
    @usrahismail3196 Před 2 měsíci

    Nimesikia mwenyewe
    "Mi mganga wa hali ya juu"

  • @mwantumuteketeke2898
    @mwantumuteketeke2898 Před 2 měsíci

    Mwaipopo aliwah kusema Sule mnafki kumbe ni kwel aisee...huyu ni mtihan kwa kwel Mwenyez Mungu amuongoze jaman...ana majivuno, anajidai anasikitisha sana...

  • @IbrahimAmbade
    @IbrahimAmbade Před 29 dny

    Wewe mshirikinaa jini ni kiumbe kisichooonekana utamjuaje jini mzuri na jini mbaya,,

  • @wajisheikh_
    @wajisheikh_ Před 2 měsíci

    Shari ikikuzid uwez kuizuia itakuamrisha na kukusemesha chcht inachotaka wachch sn mtanielewa mnaojua shari na heri ni nn kwny watu 1000 hamtazid 3 mtakaonielewa

  • @soloboysolo8872
    @soloboysolo8872 Před měsícem

    Ana Lana huyu jinga kabixa SubhanaAllah walahy mm ukiona sura yake tu haina nuru mm nilikua simkubali huyu mtu tangu kitamboo nilikua najua huyu sio sheikh SubhanaAllah Hana mana

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Před 2 měsíci

    Acha ushirikina wewe Dr Sulle muogope Mungu

  • @jumakihiyo
    @jumakihiyo Před 2 měsíci

    Unatumia jina la 8 katika majina ya barhatiyh linaitwa Gharmashin unasoma kwa idadi ya mara 1209 usiku wa kwanzia saa5 unafanya hivyo kwa siku 3 mfululizo

  • @user-ih7nl5nv3c
    @user-ih7nl5nv3c Před 2 měsíci

    Mtangazaji amemuweka kwenye trap kaingia mzima mzima uislamu hauluusu kutumia jini yeyote yule

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 Před 2 měsíci +3

    Hallelujah hallelujah hallelujah Asante MWENYEZI MUNGU kwa kuniokoa katika MKRISTO YESU Na kuniepusha kuamini dini ya Uislamu yenye ushirika na Majini😊😊

    • @AminaAhmed999
      @AminaAhmed999 Před 2 měsíci

      wewe na yeye wote mko sawa mnaabudu viumbe mnaacha muumba.
      uislam uko mbali na nyie wote .
      uislam dini ya haki .Mungu wetu hana mshirika. yeye tu ndio tunamuabudu na yeye tu ndio tunamuomba msaada . hatuombi jini wala hatuombi yesu ambae ni binadami kama sisi

    • @mohamseyf6243
      @mohamseyf6243 Před 2 měsíci

      Akili huna,majini ya sule,uislamu ukombali na imanihiyo,

    • @aishahazary4097
      @aishahazary4097 Před 2 měsíci

      Yesu haokoi mtu amka wewe.Kama alishindwa kujiokoa msalabani atawezaje kukuokoa wewe

    • @faridithomas4859
      @faridithomas4859 Před 2 měsíci

      Siku ya kufa kwako ndio utaujua ukweli

    • @aishahazary4097
      @aishahazary4097 Před 2 měsíci

      @@faridithomas4859 yesu si lolote bali ni mtume wa MUNGU tu hakuna jipya mbali na hapo

  • @robertgeofrey4118
    @robertgeofrey4118 Před 2 měsíci

    Tuamini Yesu mwokozi pekee

  • @mwinyikitupa167
    @mwinyikitupa167 Před 2 měsíci

    Na hayo ni maamrisho ya mungu kwamba tufanye hivyo

  • @Dafetty
    @Dafetty Před 2 měsíci

    Part 3 please 🙏😂😂😂

  • @allybago3773
    @allybago3773 Před měsícem

    Habali dokita sure naomba unielekeze ofisini kwako

  • @lilasuliman552
    @lilasuliman552 Před 2 měsíci

    Ngoja tuwasikilize na mashekhe wengine wanasemaje juu ya hii kauli ya shekhe mwenzao

  • @MuhammadWesonga
    @MuhammadWesonga Před 2 měsíci

    Iblis ana tactics za kupoteza watu,aweza chukua hata miaka ishirini,ndio kamuanza sulle sasa ,hawezi tambua kwa sasa isipokuwa tu,aketi chini afikiri,maana sisi na majini ni viumbe wa Allah,ila iblis akishajua kwamba uneshajitegemeza kwa majini,ndio nafasi kubwa anayo, waislamu tusifwate waislamu,tufwate uislamu. Mwenyezi Mungu katuwekea malaika,mbona hakuweka majini kutulinda maana Sule anaona wana uwezo mkubwa? Sikapenda hili,Sule fanya istighfar,omba msamaha.majini wako watumie wakupe mali na wakusaidie kwa namna unayotaka lakini usipoteze waislamu.

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum3678 Před 2 měsíci

    subhanallah viongozi wetu wa kudini hebu muiteni huyu jamaa aombe radhi hadharani...Maana anapotosha umma waziwazi hakuna elimu ya hivi ktk dini ys kiislam

    • @kennodhiambo
      @kennodhiambo Před měsícem

      Ni wewe hujaelewa Uislamu, kubali imani yenu. Hakika Biblia imesema kilichofichwa kitaanikwa wazi hivi sasa imani ya kiislamu inawekwa wazi. Surah 72 imehalalisha majini, Muhammad aliwasilimisha wakawa waislamu

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 Před 2 měsíci +1

    Sasa hivi nikiona tu nashawishika kwenda kwenye duka la Mwislamu najua nashawishiwa na jini ntakuwa nakemea kwa Jina lipitalo majina yote jina la YESU KRISTO MWANA WA MUNGU ALIYE HAI

  • @florayoram9563
    @florayoram9563 Před 2 měsíci +1

    Shekhe sule unanikosha😅

  • @IssakaMisholo-wy7mf
    @IssakaMisholo-wy7mf Před 2 měsíci

    Ndo ukweli huo sheikh good job mkuu..

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews Před 2 měsíci +2

    Huyu baba jamani 😅😅

  • @shmohd11
    @shmohd11 Před 2 měsíci

    Yaani ukimuomba Allah haiwezekani ila Ukiwaomba hao Misukule yako ndiyo Dua inakubaliwa? Hakika "Aloachiwa na Allah kupotea hakuna wa kumuongoa"

  • @mwakiosalim2914
    @mwakiosalim2914 Před 2 měsíci

    Kwani huyu mtangazaji anamaswali kwli...lakini kweli kuna watu wanaekelewa makosa yauongo

  • @kijitamfyomi5598
    @kijitamfyomi5598 Před 2 měsíci

    Na mafaili ambayo yamehifadhiwa kwenye computer mchwa wa kijini wanaweza kwenda kuyala we sheikh muogope Mungu wacha kufanya biashara ya dini kwa namna hiyo
    Fahamu unaiharibu akhera yako kwa dunia yampito tu

  • @NM-rq9dr
    @NM-rq9dr Před 2 měsíci

    Inna lillahi wa inna ilaihi raji’un

  • @christophersimwinga6689
    @christophersimwinga6689 Před 2 měsíci +2

    Shehe kasema ukweli wake anatumia majini .

    • @AminaAhmed999
      @AminaAhmed999 Před 2 měsíci

      Mungu amemdhihirisha ndio watu wajue hafai atae mfata msh8rikina kama yeye

  • @thedon8467
    @thedon8467 Před 2 měsíci

    DR. SULE SIO SHEIKH ILA NI MSHIRIKINA

  • @musalumbi8490
    @musalumbi8490 Před měsícem

    Sule umeulizwa swali la Tawheed: kuna haja gani ya kumtuma jini hali ya kuwa wewe unamwamini Mwenyezi Mungu; ukafeli

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Před 2 měsíci

    Waislam wasingeachana kwakua Wana dua za kumfanya mtu awe hivi au vile. Jini, malaika,..sio watu. Watu wanatakiwa kutumiana kama watu. Mambo ya watu yametekwa na viumbe wengine. Mashetani ni koo za majini

  • @JohnMustapher
    @JohnMustapher Před 2 měsíci

    Elimu ikizidi ndio ujinga wenyew 😮

  • @petermgonja8547
    @petermgonja8547 Před 2 měsíci

    Tunaomba huyu awe mkristo atayaaacha na hayatamzuru. Ila akiwa muilamu yatamnyonga.

  • @kaoretosha6668
    @kaoretosha6668 Před 2 měsíci

    Wengi hawana elimu, badala yake wanabisha wasichokijua.

  • @malickngoma5291
    @malickngoma5291 Před 2 měsíci

    Mshezi tu hakuna skh hapo shirki yyte kumshirikisha Allah ni moja kwa moja motoni

  • @daudminzi-pb3je
    @daudminzi-pb3je Před 2 měsíci +1

    Ukimuona mganga wakienyeji lazima awe muislamu

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Před 2 měsíci

      Acha ushenzi, yule anayejiita dokta Ezekiel ni dini gani?!

  • @MirajiHanza
    @MirajiHanza Před 2 měsíci

    Unasema au mpenzi we dokta mshenzi

  • @user-qe9pd9zk8v
    @user-qe9pd9zk8v Před 2 měsíci

    Dakika 2:44
    Kama si uganga na uchawi anazungumzia??

  • @shmohd11
    @shmohd11 Před 2 měsíci

    Ooooho, UMESEMA MWENYEWE WEWE MGANGA, AAAH WEWE SIYO MTUMISHI WA MUNGU, MGANGA TU😂

  • @omarbinjaa2801
    @omarbinjaa2801 Před 2 měsíci

    Dr Sule ushirikina haufai na kutumia majini haifai Dua haitoshi mpaka utumie jini hapo atarudi kwa idhini ya jini na sio idhini yake

  • @user-pt4qj4qh3r
    @user-pt4qj4qh3r Před 2 měsíci

    Hap sheh suleiman amekosea,lakin msianze kuchukulia ndo njia ya kutukan din yet ya kiislam mana hamchelew nyinyi,kama kukosea amekosea yeye msianz kujumuisha din yet kwamba ndo ipo hivyo

  • @kijitamfyomi5598
    @kijitamfyomi5598 Před 2 měsíci

    Jamani masheikh kina Sheikh Kishki,sheikh Walidi.mnamuona huyu anavyopotoka na masheikh wamekaa kimya tu.
    Kuna watu wenye elimu ndogo wanaamini haya anayoyasema huyu doctor Sule.

  • @amrozwhite1073
    @amrozwhite1073 Před 2 měsíci

    NTANGAZAJI UKO SAWA UNAULIZA MASWALI MAZITO SANA YANI KM MTU AVYO ANASHINDWA KUJIBU

  • @faridithomas4859
    @faridithomas4859 Před 2 měsíci

    Ndio maana waislamu mnaambiwa msome ili muwajue watu waongo kama huyu Sule!!
    Someni dini yenu waislamu

  • @user-ps2om3fg8x
    @user-ps2om3fg8x Před měsícem

    Nilichogundua watu ni wavivu wa kutafuta elmu"" MUNGU ametupa utukufu cc binadamu kwa viumbe ooooote wapo chini yetu, cyo jini tu ata jiwe unaweza ukalituma na cyo zambi. Watu ni wavivu kutafuta elmu. Babu yangu anaanika nguo bila kamba ye anarusha tu na nguo inanasa. Kuna vitabu ukivisoma mti unango'ka bila greda. Mi namuunga mkono sule ulimwengu upon chini yetu wanadamu. Tafuta elimu paka china.

  • @SaidiMiraji-lk3vm
    @SaidiMiraji-lk3vm Před 2 měsíci +1

    Hiki kichwa bana

  • @ramadhanihafidh7732
    @ramadhanihafidh7732 Před 2 měsíci

    Wewe sio muandish wa habar ila ni mgombanaji, unaulizia faida kwa ugomvi

  • @MirajiHanza
    @MirajiHanza Před 2 měsíci

    Kwahiyo unasaidia kurudisha wapenzi waendelelee kuzini

  • @chongerayassini978
    @chongerayassini978 Před 2 měsíci +1

    DOKTA SULE DOKTA SULE..... ELIMU HII UNAYOITOA NI NZURI SANA ILAA KUMBUKA KWAMBA UNATUMIA AKIRI KUBWA SANA NA ELIMU KUBWA SANA AMBAYO KWA JAMII YETU HII YAKITANZANIA SIO RAHISI KUELEWEKA YAANI SAAANA UTONEKANA MSHIRIKINA SO DARASA UNALOTOA HALIENDANI NA WANAFUNZI UNAOWAFUNDISHA YAANI WEWE NI MWALIMU WA CHUO KIKUU HALAFU WANAFUNZI WAKO NIWA SHULE YA MSINGI SO NAKUSHAURI MAMBO KAMA HAYO ACHANA NAYO AU ELIMU KAMA HIYO ACHANA NAYO MAANA FAIDA NI NDOGO KULIKO HASARA INAYOPATIKANA KATIKA JAMII YA KIZAZI CHA TIKTOK NA TAFUTA WENYE TAALUMA KAMA HIZO UWAFUNDISHE NA SIO HICHI KIZAZI CHA ZUCHU NA DIAMOND