#EXCLUSIVE
Vložit
- čas přidán 14. 05. 2024
- #EXCLUSIVE PART 2: DR SULLE - "NATUMIA MAJINI - MIMI SHEIKH wa CLASS ya JUU -LEVO ZANGU KAMA WAZIRI"...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Usia wangu kwako Dr Sule mche Allah acha kujifagharisha na kujitapa Kwa Kumshirikisha Allah Ifanye Upya Imani yako Rudi Kwa Allah mpwekeshe yeye peke
Ule mwezi juu ya misikiti una maanisha nini?
Allah amemuweka wazi anajitangaza mwenyewe mchana peupe, mumjue ni "shekhe" aina gani. Amesema kuwa kuna mambo mengine lazma umshirikishe mwenyezi mungu. Hapo kashajisema.
Huko shih kabisa. ,mashehe wa mchongo
Mshirikina huyu Sheikh
Kasema lazima ushirikishe jini siyo Allah
@@hubapessa913 kufanya dua kwa Allah alafu ukaongezea kuitumia jini, ndo ushirikina haswa. Associating partners with Allah.
Ndo ukishirikisha jini nd unamaana ALLAH hana uwezo wa kutatuwa jambo@@hubapessa913
ama kweli nimeamin watu elimu hawana hv mnamjua nabii wa allah suleiman alikua akiwatumia majini kwa kuwaongoza na majina ya allah yaliyokwenye pete kama huna elimu na jambo hlo nyamaza acheni kumuita dr sule mshirikina mnaujua ushirikina nyie dr niko pamoja na wewe upe elimu na allah akutunze inshaalllah!
Uongo Nabii Sulemani akutumia majini
Qurani inasema uongo
Yule ni nabii na alikua mfalme
Je sule yeye ni nani??
Hakuna sahaba wala wanfunzi wa masahaba waliotumia majini, bali huyu ni mshirikina mkubwa sana
Allah akibar,laa illah ilallaah
Kwangu naona dr sule anaofanya ni ushilikina tu,ila anacanganya naungo wa kujua dini kidogo.
Huyu mshirikina na dhambi kumwita shehe. Mganga wa kienyeji katika koti la ushehe. Class ya ushehe ni taqwa na ucha Mungu sio nini anavaa au anayoendesha . Huyu hafai hata kuwa mfagia msikiti
{ وَكَذَ ٰلِكَ نُفَصِّلُ ٱلۡـَٔایَـٰتِ وَلِتَسۡتَبِینَ سَبِیلُ ٱلۡمُجۡرِمِینَ }
[Surah Al-Anʿām: 55]
ALLAH hapendi watu wenye kiburi sifa kwa mungu hakuna alie mzidi waziri m bunge cjui nani watu wote tuko sawa
Hapo sheikh dr sule anasema ukweli , zamani zama za mtume s a w .alipokuwa safarini na maswahaba zake walifika sehemu Moja wakapumzika ikabidi kila swahaba mmoja amfunge ngamia na mtume saw akamfunga ngamia wake lakini mmoja wa maswahaba hakumfunga ngamia wake bwana mtume akamuuliza Kwa nini hakumfunga ngamia wako akajibu mungu yupo bwana mtume akamwambia mfunge ngamia wako halafu mwimini Allah yupo.
Dokta sule Allah akuongoze,,,,dah umepotea shekhe wangu
🤣🤣🤣 Majini wamemlevya hata haoni
Yeye anatumia majini waislamu wenzenu , walio amini Quran na Allah 🤣🤣🤣
Rudi kwa mungu Dr sule unapotea na unapotosh umma brother
Siri imevuja Sule umemzoweya Mungu sana natabia yako mbaya kupotosha watu wa Mungu
Ndugu nimependa Maoni yako kweli huyu jamaa kamzoea allah❤❤❤
comment zako dokta zimeingiliwa unachafuliwa makusudi ,Allah akubariki inshaAllh
Yaan Jini amepewa sifa kuliko malaika wa mwenyezi Mungu 😢Siku za mwisho zimekaribia😭😭😭😭😭
انا لله و انا اليه راجعون....... (وما خلقة الجن و الانس إلا ليعبدون).
Duuuuh mtu unaamini majini yaani ni kilio kweli kweli mashehe majini.Kweli kuna watu akili ndogo na upeo yaani Mungu ajitoshelezi unamuongezea majini kwa nini usiite malaika basi, Jehanamu ya moto inawasubili
Ukiambiwa neno Mungu ni uweza ushindao kila kitu Mbinguni na Duniani kufikiria na kutenda.
ogopa Mungu. Hii ni ushirikina.
wacha kudanganya watu.
usiharibie uislamu sifa yake.
Hatuna haja kutumia majini kwa kila hali.
wewe unasaidia washirikina.
Allah Mwenyezi Mungu wetu anatutosha.
shirikina hili
Hii ndiyo imani kamili ya Uislamu, acheni kupinga
Elimu hauna dada
Mtu ajapatikana lkn siku akipatikana na jini haende hospital akadungwe sindano sawa hamna elimu walahi kwakwel
Mwenyezi mungu akuhidi
Sule ww nimshirikina muogope allah akuna kumtumia jinni ktkt jambo lolote aijathibiti kisomo icho sio chakisheria isipokuwa icho nikisomo chakishirikina watu wote mjuwe uyo sule mungu ameamua kutujulisha kwamba nimshirikina na ayo anayoyasema nikinyume na uislam
Majina ya Mwenyezi Mungu (Allah) yanamleta jini ndiyo atumwe. Waislamu njooni kwa Yesu Kristo, huku hatuwaamini majini
Aisee Dunia ikomwisho sasa maana mashekh wanaeneza shiliki bc sowezi kumfatilia Tena kumbe nimshilikina
Astaqafirulah. Mungu utuongoze na hii dunia
Atapoteza wengi lahaula walaquwata ila bilaah. Huyu achane na mchezo . Mungu ni mkubwa 😢😢😢😢😢
Wallah huyu ni jahili murakab shirikina
Tena ni li freemason kabisa!!!halina sifa ya ushekhe linatumia udini kuficha makucha yake
Mwenyezi Mungu amehalalisha talaka ikiwa kuna sababu zinazokubalika kisheria,sasa vipi ulazimishe ndoa kwa kutumia jini? Hivi ni kupinga qadari,Sule kumbe wewe ni mganga aliye na ilmu ya dini? Innalillahi wa innailaihi rajiun
hahahaha
abubakare kutoka congo nataka nambaya dotasule
@@abubakarecgondesiunataka nawe umshirikishe Mwenyez Mungu au!??
SubhanaAllah huyu mtuu Ana Lana walahy SubhanaAllah hafai hata kidogo Leo hini wasema dua Haina nguvu duh ww huna Imani na dua wajua dua ni sila kwa muumini
Uyu jamaa anaongea pumba sana( haongei kielimu) anatumia kichwa chake kujibu maswala..lakin kama mm ningemuuliza “Unaweza kumjua jini mzuri na mbaya, wakati ni viumbe hawaonikani, na atakama umemuona unawezaje kumjua km huyu ni mwema au mbaya..?”
Usitudanganye Sule kutaja neno “DUA”, ni ushirikina ndo unatumia.
Dr .Sule kupotea mwenyewe ni sawa, lakini kupotosha umma huwezi samehewa
Hapo waislamu na majini pete na kidole hamna mamlaka nyingine lazima majini yatumike
Uislam hauruhusu hayo anayoongelea sulle Bali yeye hadi Sasa ni mshirikina Kwa sheiria za uislam kashatoka kwenye uislam
Mtume wetu Muhammadi Swalla llaahu alayhi wasallama anasema hakuna kushirikiana kati ya watu na majini hata kama wawe Majin WEMA Kila viumbe waishi ki mpango wao kwenye maisha ya Kila siku Sasa sulle anatuharibia uislam wetu na watu kama yeye sio waislam Bali wamebakia jina tu peke yake
Hujui usichokijua.
Suleee! Waislamuuuuuu Semeni Mashallaah! Majini ni ndugu zenu katika Imani kwani Walisilimu wakawa Waislamu Qur'an 72:1-14
Koma uko.
@@sonnyr1899 kaiambie hilo neno Qur'an
Ndio wapo majini ndugu zetu wa Islam alhamdullilah NA wapo makafiri kama binaadamu
@@FeymaarOfficially-uu4nr Basi kawatume utajirike!!
Mi ananitosha Allah sina haja ya majini sisi na wao tumeumbwa na Allah tumuabudu tu
Tumkubali tu doctor sule. Maaana ndiye kiongozi mkuuu wa kiislamu
Majivuno na kibri 😢😢 Innalilah wainna ilay rajiun
Subhanaallah
Mche allah
Wew sule VIP kwahiyo wewe badala ya kuomba mungu
Msimzikize.
na watu wa habari msimpe huyu hewa au vipindi kudanganya watu.
mtakua mnamsaidia
Subhana'allah allah akuhogoze looo
Allah akuongoze dk wangu nakukubali namajibu yameshiba tupe elimu shekhe wangu.
Achane na siasa sisi tunaamini Mungu tupu , yy ndio mwenye uwezo wa hali ya juu. Hatuhitaji majini kumsaidia waja wake. Allahu Akbar 🇬🇧
Hana lolote huyu Sheikh, nlisema mitandao itamponza huyu
@@firdaussheikh4817 Majini Walisilimu wakawa Waislamu Soma Qur'an Surat Jinn 72: 1-14 majini ni ndugu zako katika Imani Sule Yuko sahihi
@@Mohaa4309 Majini Walisilimu wakawa Waislamu Soma Qur'an Surat Jinn 72:1-14 majini ni ndugu zako katika Imani Sule Iko sahihi
Kwisha kazi yake lichawi ilo
Hapo Mungu hayupo,kaka fabi,majini hapo mwanzo huko mbinguni,walikuwa nimalaika,Sasa walimuasi Mungu huko mbingu narusifa,ndio wakatipwa kuzimu,wengine wamefungwa wapo kuzimu na wengine wapo hapa dunia,wanateza wanadamu,kwa matezo mbarimbari,ndio wale unaona hawamwabudi, Mungu,ndio hao Leo unaona,wanafanya madhambi,mbari,wanazubili hukumu ,hakuna jini zuri Wala baya,wote wanaozujudi,jini,nijehanamu,yamoto,fabi njoo kwa Yesu,hata usiende kwa sule,akusomee majini,sule weweacha majini,kwanini Mungu,fabi anashangaa tu,hayo majini,una sema sure.
Wew iyoo kwa Iman Yako Malaika Hana jinsia Majin yanajinsia ya dunian Jini na Malaika ni viumbe viwili tofauti
:
audhubillah min al-shaytaan ir-rajeem
masheikh wetu hawa wanamkosea sama MUNGU kesho ,masheikh hawa wana dhima kubwa sana kwa Mungu; masheukh weng wanafanya sana shirki kwa kuityaka dunia kwa kila namna
Allah akuongoze uiyona haki🙏
Kabisaa anauzuri wake lakini hapa kwenye hizi 😢😢😢😢 atakuja kupoteza wengi .watu wamemwamini 😢😢😢
Upo sawa
Alhamdulillah kumbeeee na vile alikufurisha harmo n yule n ujinga tu subhanallah sasa yeye ashaa tangaza wazi sasa watu wenyewe wataangalia kama watazidi kumfuata hata maneno yake hapa ya kufuru huyu
Halina nuru hata kwa uso. Wake SubhanaAllah hafai kabixa huyu mtuu sura ya Tisha Haina nuru
KWA NINI NDACHA AKIWABANA KWA MIJADALA KUHUSU MAJINI HUWA MNAKANA ILI HALI HAPA UNAKUBALI KUHUSU MAJINI.
Inna lillahi wainna illaihi rajiun....shikri shirki shirki
Leo nimeelewa kumbe Waislamu wanaweza kuwatuma majini walioamini Qur'an ili yaka mdhuru mtu Waislamu watu hatari sana!! Ndiyo maana Siwezi kabisa kuwa Mwislamu nyie ndiyo chuma ulete
Subehanallah musimkubali uyu jamaa, majini wawe wazuri ama wabaya usiwi na dili nawo. Kwasababu Allah nimuweza. Uyu anapoteza watu.
Duh subhanallah awa mashekhe wa maulidi hawafai kuwapelekea watoto kusoma watakua wachawi
na wapo wengi saana maana Quran inawaruhusu na Mtume alikuwa Mchawi tu haujajua
Shetani ni bin Adam mwenyew
Astaghfirullah. Kwamba rabbana aatina haifanyi kazi ila majin wana nguvu ya kujibu dua😢??? Subhanallah, Allah amuongoze dk Sulle
Astaghfirullah ana bwabwaja sana maskini subhanallah eti jamani
alafu ww unaitaja dini kama daraja la kuyaendea maisha ya dunia2.
Dunia duara...mwalim naitaji number yako..unifundishe kiundani zaidi
Ok
KUWATUMIA MAJINI KUTAFUTA MALI AU ULINZI NI DHAMBI KUBWA HUU UTHIBITISHO KATIKA QUR-AAN SURATUL JINNI
وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا
Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi
Nimesikia mwenyewe
"Mi mganga wa hali ya juu"
Mwaipopo aliwah kusema Sule mnafki kumbe ni kwel aisee...huyu ni mtihan kwa kwel Mwenyez Mungu amuongoze jaman...ana majivuno, anajidai anasikitisha sana...
Wewe mshirikinaa jini ni kiumbe kisichooonekana utamjuaje jini mzuri na jini mbaya,,
Shari ikikuzid uwez kuizuia itakuamrisha na kukusemesha chcht inachotaka wachch sn mtanielewa mnaojua shari na heri ni nn kwny watu 1000 hamtazid 3 mtakaonielewa
Ana Lana huyu jinga kabixa SubhanaAllah walahy mm ukiona sura yake tu haina nuru mm nilikua simkubali huyu mtu tangu kitamboo nilikua najua huyu sio sheikh SubhanaAllah Hana mana
Acha ushirikina wewe Dr Sulle muogope Mungu
Unatumia jina la 8 katika majina ya barhatiyh linaitwa Gharmashin unasoma kwa idadi ya mara 1209 usiku wa kwanzia saa5 unafanya hivyo kwa siku 3 mfululizo
Mtangazaji amemuweka kwenye trap kaingia mzima mzima uislamu hauluusu kutumia jini yeyote yule
Hallelujah hallelujah hallelujah Asante MWENYEZI MUNGU kwa kuniokoa katika MKRISTO YESU Na kuniepusha kuamini dini ya Uislamu yenye ushirika na Majini😊😊
wewe na yeye wote mko sawa mnaabudu viumbe mnaacha muumba.
uislam uko mbali na nyie wote .
uislam dini ya haki .Mungu wetu hana mshirika. yeye tu ndio tunamuabudu na yeye tu ndio tunamuomba msaada . hatuombi jini wala hatuombi yesu ambae ni binadami kama sisi
Akili huna,majini ya sule,uislamu ukombali na imanihiyo,
Yesu haokoi mtu amka wewe.Kama alishindwa kujiokoa msalabani atawezaje kukuokoa wewe
Siku ya kufa kwako ndio utaujua ukweli
@@faridithomas4859 yesu si lolote bali ni mtume wa MUNGU tu hakuna jipya mbali na hapo
Tuamini Yesu mwokozi pekee
Na hayo ni maamrisho ya mungu kwamba tufanye hivyo
Part 3 please 🙏😂😂😂
Habali dokita sure naomba unielekeze ofisini kwako
Ngoja tuwasikilize na mashekhe wengine wanasemaje juu ya hii kauli ya shekhe mwenzao
Iblis ana tactics za kupoteza watu,aweza chukua hata miaka ishirini,ndio kamuanza sulle sasa ,hawezi tambua kwa sasa isipokuwa tu,aketi chini afikiri,maana sisi na majini ni viumbe wa Allah,ila iblis akishajua kwamba uneshajitegemeza kwa majini,ndio nafasi kubwa anayo, waislamu tusifwate waislamu,tufwate uislamu. Mwenyezi Mungu katuwekea malaika,mbona hakuweka majini kutulinda maana Sule anaona wana uwezo mkubwa? Sikapenda hili,Sule fanya istighfar,omba msamaha.majini wako watumie wakupe mali na wakusaidie kwa namna unayotaka lakini usipoteze waislamu.
subhanallah viongozi wetu wa kudini hebu muiteni huyu jamaa aombe radhi hadharani...Maana anapotosha umma waziwazi hakuna elimu ya hivi ktk dini ys kiislam
Ni wewe hujaelewa Uislamu, kubali imani yenu. Hakika Biblia imesema kilichofichwa kitaanikwa wazi hivi sasa imani ya kiislamu inawekwa wazi. Surah 72 imehalalisha majini, Muhammad aliwasilimisha wakawa waislamu
Sasa hivi nikiona tu nashawishika kwenda kwenye duka la Mwislamu najua nashawishiwa na jini ntakuwa nakemea kwa Jina lipitalo majina yote jina la YESU KRISTO MWANA WA MUNGU ALIYE HAI
Ameeen
Shekhe sule unanikosha😅
Ndo ukweli huo sheikh good job mkuu..
Huyu baba jamani 😅😅
Yaani ukimuomba Allah haiwezekani ila Ukiwaomba hao Misukule yako ndiyo Dua inakubaliwa? Hakika "Aloachiwa na Allah kupotea hakuna wa kumuongoa"
Kwani huyu mtangazaji anamaswali kwli...lakini kweli kuna watu wanaekelewa makosa yauongo
Na mafaili ambayo yamehifadhiwa kwenye computer mchwa wa kijini wanaweza kwenda kuyala we sheikh muogope Mungu wacha kufanya biashara ya dini kwa namna hiyo
Fahamu unaiharibu akhera yako kwa dunia yampito tu
Inna lillahi wa inna ilaihi raji’un
Shehe kasema ukweli wake anatumia majini .
Mungu amemdhihirisha ndio watu wajue hafai atae mfata msh8rikina kama yeye
DR. SULE SIO SHEIKH ILA NI MSHIRIKINA
Sule umeulizwa swali la Tawheed: kuna haja gani ya kumtuma jini hali ya kuwa wewe unamwamini Mwenyezi Mungu; ukafeli
Waislam wasingeachana kwakua Wana dua za kumfanya mtu awe hivi au vile. Jini, malaika,..sio watu. Watu wanatakiwa kutumiana kama watu. Mambo ya watu yametekwa na viumbe wengine. Mashetani ni koo za majini
Elimu ikizidi ndio ujinga wenyew 😮
Tunaomba huyu awe mkristo atayaaacha na hayatamzuru. Ila akiwa muilamu yatamnyonga.
Wengi hawana elimu, badala yake wanabisha wasichokijua.
Mshezi tu hakuna skh hapo shirki yyte kumshirikisha Allah ni moja kwa moja motoni
Ukimuona mganga wakienyeji lazima awe muislamu
Acha ushenzi, yule anayejiita dokta Ezekiel ni dini gani?!
Unasema au mpenzi we dokta mshenzi
Dakika 2:44
Kama si uganga na uchawi anazungumzia??
Ooooho, UMESEMA MWENYEWE WEWE MGANGA, AAAH WEWE SIYO MTUMISHI WA MUNGU, MGANGA TU😂
Dr Sule ushirikina haufai na kutumia majini haifai Dua haitoshi mpaka utumie jini hapo atarudi kwa idhini ya jini na sio idhini yake
Hap sheh suleiman amekosea,lakin msianze kuchukulia ndo njia ya kutukan din yet ya kiislam mana hamchelew nyinyi,kama kukosea amekosea yeye msianz kujumuisha din yet kwamba ndo ipo hivyo
Jamani masheikh kina Sheikh Kishki,sheikh Walidi.mnamuona huyu anavyopotoka na masheikh wamekaa kimya tu.
Kuna watu wenye elimu ndogo wanaamini haya anayoyasema huyu doctor Sule.
NTANGAZAJI UKO SAWA UNAULIZA MASWALI MAZITO SANA YANI KM MTU AVYO ANASHINDWA KUJIBU
Ndio maana waislamu mnaambiwa msome ili muwajue watu waongo kama huyu Sule!!
Someni dini yenu waislamu
Nilichogundua watu ni wavivu wa kutafuta elmu"" MUNGU ametupa utukufu cc binadamu kwa viumbe ooooote wapo chini yetu, cyo jini tu ata jiwe unaweza ukalituma na cyo zambi. Watu ni wavivu kutafuta elmu. Babu yangu anaanika nguo bila kamba ye anarusha tu na nguo inanasa. Kuna vitabu ukivisoma mti unango'ka bila greda. Mi namuunga mkono sule ulimwengu upon chini yetu wanadamu. Tafuta elimu paka china.
Hiki kichwa bana
Wewe sio muandish wa habar ila ni mgombanaji, unaulizia faida kwa ugomvi
Kwahiyo unasaidia kurudisha wapenzi waendelelee kuzini
DOKTA SULE DOKTA SULE..... ELIMU HII UNAYOITOA NI NZURI SANA ILAA KUMBUKA KWAMBA UNATUMIA AKIRI KUBWA SANA NA ELIMU KUBWA SANA AMBAYO KWA JAMII YETU HII YAKITANZANIA SIO RAHISI KUELEWEKA YAANI SAAANA UTONEKANA MSHIRIKINA SO DARASA UNALOTOA HALIENDANI NA WANAFUNZI UNAOWAFUNDISHA YAANI WEWE NI MWALIMU WA CHUO KIKUU HALAFU WANAFUNZI WAKO NIWA SHULE YA MSINGI SO NAKUSHAURI MAMBO KAMA HAYO ACHANA NAYO AU ELIMU KAMA HIYO ACHANA NAYO MAANA FAIDA NI NDOGO KULIKO HASARA INAYOPATIKANA KATIKA JAMII YA KIZAZI CHA TIKTOK NA TAFUTA WENYE TAALUMA KAMA HIZO UWAFUNDISHE NA SIO HICHI KIZAZI CHA ZUCHU NA DIAMOND
Umeongea point saaana
MKANYE AWACHE USHIRIKINA NA UCHAWI