#EXCLUSIVE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2024
  • #EXCLUSIVE PART3: DR SULLE AMFICHUA JINI WAKE ANAYEMWINGIZIA PESA - ''NI MSAFI - WENGINE WACHAFU''
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 297

  • @elinisafimndeme2971
    @elinisafimndeme2971 Před 2 měsíci +3

    وَإِذْ صَرَفْنَا إِلَيْكَ نَفَرًا مِّنَ الْجِنِّ يَسْتَمِعُونَ الْقُرْآنَ فَلَمَّا حَضَرُوهُ قَالُوا أَنصِتُوا ۖ فَلَمَّا قُضِيَ وَلَّوْا إِلَىٰ قَوْمِهِم مُّنذِرِينَ
    (AL - AH'QAAF - 29)
    Na wakati tulipo waleta kundi la majini kuja kwako kusikiliza Qur'ani. Basi walipo ihudhuria walisema: Sikilizeni! Na ilipo kwisha somwa, walirudi kwa kaumu yao kwenda kuwaonya.

  • @user-kt4md7ff7c
    @user-kt4md7ff7c Před 3 měsíci +10

    Inalilah wainailah rajiun sheikh kaiacha akhera kaamua kupambana na dunia, hapa hatuna sheikh tena

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před 3 měsíci +1

      Ahera Ni kuzimu ndugu hajaiacha yuko huko huko tu

  • @Rooney1184
    @Rooney1184 Před měsícem

    Dah Dah mtihani sana Mungu atuokoe hali hii ni mbaya sana
    Huyu shekh nilikuwa namskiliza sana ila kabadilika kiasi hiki.ukiskiliza tu haya maneno utahisi km imani imepungua hapo

  • @user-zk3hd5sl5j
    @user-zk3hd5sl5j Před 2 měsíci +1

    Subhanallah ulinz n wa mung pekee uo ni ushirkna

  • @paulmulupi1432
    @paulmulupi1432 Před 3 měsíci +2

    Can this qualify to be an interview kweli yashangaza sana

  • @YusuphHabibu-hy9mj
    @YusuphHabibu-hy9mj Před 3 měsíci +4

    DOCTOR SULE HATUNAYE TENA

  • @iddimohamed254
    @iddimohamed254 Před 3 měsíci +1

    Innah lilaahi wainnaa ilaihi raajiun,Dunia tunapita kila kitu utakiacha...🤗🤗

  • @planetanimals9547
    @planetanimals9547 Před 3 měsíci +37

    QUR'AN 6:128 inasema wale waliokua wananufaishana kati yawanaadamu namajini makazi yao nimoto. Nasio inaruhusu watu kunufaishana au kushirikiana namajini kwani hakuna jiji yeyote atakaekubali kumtuma burebure tu ispokua nayy anataka maslahi kwako namslahi hayo nikumchinjia mnyama nako kufanya hivo niushirikina

    • @suleimanadim6522
      @suleimanadim6522 Před 3 měsíci +3

      Yaani Sule anatafsiri kinyume duh

    • @nasoros.mgungo5502
      @nasoros.mgungo5502 Před 3 měsíci +2

      😂😂😂😂😂😂 Kaka kumchinjia Jini mnyama Ni Ushirkina?
      Je kumchinjia Binadamu mnyama Ni Ushirkina?
      😂😂😂😂😂😂😂

    • @salymkitumbika8644
      @salymkitumbika8644 Před 3 měsíci

      Vp kuhusu hakiqa

    • @binnyangemedia8756
      @binnyangemedia8756 Před 3 měsíci

      Tatizo elimu tuu

    • @myself4128
      @myself4128 Před 3 měsíci

      majini pia ni waislamu nyie wote wa motoni tu

  • @Khadija-jm3bg
    @Khadija-jm3bg Před 2 měsíci +1

    Subhanallah

  • @MWAJUMAKHERI-jt4qj
    @MWAJUMAKHERI-jt4qj Před 3 měsíci +2

    Duh! yarabbi tunusuru waislamu tusome dini yetu jaman

    • @jabirkasunzu6841
      @jabirkasunzu6841 Před 3 měsíci

      Dada yangu, ungesikiliza mawaidha ya Sheikh Nassoro Abdallah Bachu, Mungu amrehemu, mada KUIPA MGONGO DUNIA sehemu ya 1 hadi ya 4, ndio utazidi kufahamu kuwa Dr. Sulle, mashetani yameshamlaghai.
      Inna lillah wainna ilayhi raj'un 😢

  • @GSaleh-xr3vn
    @GSaleh-xr3vn Před 3 měsíci +3

    Dah sheikh tahadhari na maneno yako

  • @bahaticonsole7884
    @bahaticonsole7884 Před 20 dny

    😢asalam alykum mimi ni souleiman kutoka congo sheikh mimi ni mwislam natoka katika familia ya wa catholique tatizo miye ndiye sidjawayi kufanyikiwa kupata na kazi mimi dereva ila kazi siyaka pata sasa ndugu zangu wanasema si fanyikiwe kwa sababu mimi muislam sheikh samahani ni saidiye uni send number ya watshap

  • @moodyhassany8928
    @moodyhassany8928 Před 3 měsíci +3

    jamaa anawafunga na kuwapotesha na kuwapoteza haise mungu muongoze sule

  • @mxy7699
    @mxy7699 Před 3 měsíci +2

    Mhh hapo kazi ipo. Naomba musishikiane na majini jini mcha mungu humuingii mwanadamu

  • @saadasaleh3177
    @saadasaleh3177 Před 3 měsíci +1

    Haiwezekan Allah atuambie hao nimaadui nasi tuwafanye maadui ww uwakumbatie Mche Allah unapoenda cpo

  • @IbrahimShan-qu3um
    @IbrahimShan-qu3um Před 3 měsíci +3

    Maisha yanabadilika sana aisee

  • @jonathanmasu6803
    @jonathanmasu6803 Před 3 měsíci +6

    Huo mkasa wa kwenye biblia hao mapepo au majini waliwatii Wanafunzi wa Yesu kwa kufukuzwa ndani ya watu sawa na leo mimi ninaweza nikamkea au kuwaamuru majini kwa jina la Yesu yamtoke mtu na yanamtoka tofauti na hapo hakuna Tena mahusiano mengine na majini. Majini hayana ushirikiano wowote na wakristo.

    • @FatwimaZahrau
      @FatwimaZahrau Před 3 měsíci +1

      Nyinyi mna majini ndugu zenu pia wanaosema yesu nimwana wamungu tana mapepo wachafu

    • @jonathanmasu6803
      @jonathanmasu6803 Před 3 měsíci +1

      @@FatwimaZahrau Ni kweli Yesu ni Mwana wa Mungu na ndo maana hakuna kiumbe chochote anaweza kupingana naye na ndo maana kwa jina lake jina lake nguvu zote za Giza mpaka Shetani wanatutii sisi tukitumia jina lake.

    • @jumamaulid9462
      @jumamaulid9462 Před 2 měsíci

      Binadamu ni watu wa kushangaza sana.🤣
      Akivuruga maandiko ya upande wao, wanamuona mpotoshaji,
      LAKINI akivuruga maandiko ya upande wa wenzao, wanamuona yupo sahihi.

  • @FeymaarOfficially-uu4nr
    @FeymaarOfficially-uu4nr Před 3 měsíci +12

    Hakuna shehe apooo

  • @user-gn2rq8sf7t
    @user-gn2rq8sf7t Před 3 měsíci +2

    Quran 6-128,,,,NDIO IMESEMA SOTE MOTONI TUKISHIRIKIANA ILA INATEGEMEA VIPI TUMESIRIKIANA NA MAKUBALIANO NAMSAPOTI SULE 100.100.100.100👍

    • @jumamaulid9462
      @jumamaulid9462 Před 2 měsíci

      Huo ni udhaifu wa mtu mmoja na sio uislamu.
      Ingekuwa kutumia majini ni vema basi maswahaba wa mtume wangewatumia wawaletee pesa.
      DINI haiendi kwa akili bali ni maandiko.
      Wanazuoni waliotahadharisha binadamu kutumia majini ni wengi sana.
      Ibaki sasa ni njaa ya mtu binafsi anayebadili hata maandiko ili kutetea urafiki wake na majini lakini si uislamu kwa vile hatujawahi kumuona mtume wetu akiwaomba majini wamsaidie jambo lolote.

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 Před 3 měsíci +1

    Akuna mtu sahii ni mungu tu

  • @nourannouuran3514
    @nourannouuran3514 Před 3 měsíci +8

    ALLAH TUPE THIBAAT TUONDOE DUNIAN TUKIWA WAUMINI TUJAALIE PEPO

  • @saidjuma4547
    @saidjuma4547 Před 3 měsíci +3

    subhana llah sule wetu yuleee tushamkosa lakini sishangai Kwa mashekh kama hawa na wapo wengi Sana Wacha tuone baada ya mwaka mmoja kweli huyu atakuwa shekh au ataanza kupandisha yy sasa

    • @Abdallahmohamed72
      @Abdallahmohamed72 Před 3 měsíci +1

      Huyu sio shekhe wala hawezi kuwa shekhe nijini mtu mpuzi

    • @mjombawallace4966
      @mjombawallace4966 Před 3 měsíci

      Uisilamu nihivyo mtu watu 🤣🤣🤣 Wacha kujitoa wewe soma Quran

    • @Nassir-cl3bt
      @Nassir-cl3bt Před 3 měsíci

      Tusomeni jameni Dr sule ywaelimisha lkn amja soma ndio mana elimu hamna

  • @johngeorge4834
    @johngeorge4834 Před 2 měsíci +4

    Waislamu mtaambia nini watu tena kama shekh mwenyewe ni mshirikina

  • @batulialmass8914
    @batulialmass8914 Před 3 měsíci +1

    Inalillah wainalillah lajiuun,huyu baba daaa hata hamu nae sina anapotosha watu wasipo kuwa makini watapote,Allah ndie mlinzi hakuna anae weza kukulinda zaidi ya Allah,bali kuna maraika watakaa kalibu yako kuchukuwa matendo yako mema na mazuri

  • @legendaction202
    @legendaction202 Před 3 měsíci

    Doctor.........ilmu yako alhamdhulillah yaani wasokuwa na ilmu hapa watadhania ww ni mshirikina lakini ilmu ni bora allah akuzidishie kuipigania dini yetu al islam

  • @aljalilatiba9873
    @aljalilatiba9873 Před 3 měsíci

    وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا
    Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi

  • @ZainabuOmary-kk9cw
    @ZainabuOmary-kk9cw Před 3 měsíci +3

    Dkt mi ninashida ninataka kuolewa sijawai kuolewa naomb unisaidie plz

  • @charlesopudo7192
    @charlesopudo7192 Před 3 měsíci +8

    Huyu anapigia debe majini ndiyo apate wafuasi. Jiepusheni msije mkajuta baadae.

    • @mjombawallace4966
      @mjombawallace4966 Před 3 měsíci

      Wailslamu ni wa shetani

    • @smadon5638
      @smadon5638 Před 10 dny

      @@mjombawallace4966Roho mtakatifu ni shetani mkuu Kanisani😂

  • @wardawarda6535
    @wardawarda6535 Před 3 měsíci +1

    وما خلقت الجن والإنس الا ليعبدون، ما اريد منهم من رزق، وما اريد أن يطعمون، ان الله هو الرزاق ،ذو القوة المتين....

    • @aishaahmed5028
      @aishaahmed5028 Před 3 měsíci

      هاي اخر الدنيا من علامات الساعة 😢يارب رحمتك

    • @wardawarda6535
      @wardawarda6535 Před 3 měsíci

      @@aishaahmed5028 اي والله

  • @hamudseif
    @hamudseif Před 3 měsíci +8

    Uyu mpuuzi ukimskiliza mara moja anakutoa ktk taqwa ya Allah. Mshirikina sana

    • @amosethantheking8815
      @amosethantheking8815 Před 3 měsíci +2

      Wote nyie washirikina, dini yenu siyo halali. Mkiambiwa Mohamad SW alipagawa na majini ndiyo akasema amepewa haya mnabisha.

    • @Bombwejr18
      @Bombwejr18 Před 3 měsíci

      ​@@amosethantheking8815Toa andiko sasa kuthibitisha hiyo

    • @HusnaBaruani
      @HusnaBaruani Před 3 měsíci

      Hivi kwanini muislamu mmoja akikosea basi mnasema waislamu wote na dini yote lakini asiyekua muislamu akikosea wala hatusemagi dini zao tunamtaja yeye binafc aliyekosea ​@@amosethantheking8815

    • @MdNasr-jm8pj
      @MdNasr-jm8pj Před 21 dnem

      Ukitaka utatoka 😢km hutaki hutoaki

    • @MdNasr-jm8pj
      @MdNasr-jm8pj Před 21 dnem

      ​@@amosethantheking8815usilo lijua litakusumbua uislam ndo dini aloiridhia ALLAH

  • @user-zq2be4xr1o
    @user-zq2be4xr1o Před 3 měsíci +2

    Jini niviumbe ndiyo ila hatuna mawasiliyano jini mwenye kumti Allah haingi kwenye mwili wa mwanadam , namwanadam akishirikishwa namajini tayari ni shirki

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před 3 měsíci

      mna mawasiliano haujui Mashekhe wanajua hawaaambii ukweli ndo maana sitaki dini nisiyoelewa Lugha kuna mengi yanafichwa kwa waumini wadogo wadogo

    • @Nassir-cl3bt
      @Nassir-cl3bt Před 3 měsíci

      Elimu hauna wewe tulia cjui unaongea nn walahi

  • @GatekaNene
    @GatekaNene Před 3 měsíci +1

    Aca inyeshe tujuwe panapo vuja I proud of 😂😂😂😂😂 aca nibaki na YESU KRISTO wangu yeye yuko hai hadi milele na milele niacane na hizi vitu zingine za ajabu

    • @lexygeisar8303
      @lexygeisar8303 Před 3 měsíci

      Yesu naye ni yule yule, aliwezaje kudanganya wafuasi wake kuwa yeye ni mtume wakati yeye ni Mwenyezi Mungu. Mpaka aka jiua mwenyewe.

    • @GatekaNene
      @GatekaNene Před 3 měsíci

      @@lexygeisar8303 uongo ni zambi na mwenye zambi hatomuona MUNGU sasa wewe nipe aya kwenye Bible ao kwenye Quran inayo sema kuwa YESU alifanya zambi yeyote enzi za uhai wake yani zambi moja tu ukinionesha aya iyo basi nitakubaliyan na hayo unayo yasema hapo. Lakini kama unaongey tu kwa sababu ya makasiriko basi utakuwa unamushuhudiy YESU uongo na utubu usamehew lasivyo ujuwe kuw ipo siku utapatan naye na hautapat ca kumjibu siku hiyo.

    • @amantually1105
      @amantually1105 Před 3 měsíci

      Kuongoka au kupotoka Kwa MTU aijalishi dini wapo waislamu ambao wanatoka katika njia ya mungu lakini hata Kwa wakristo ndo hivyo hivyo tena wengine ni viongozi kabisa makanisani ndugu yangu kupotoka Kwa MTU haijalishi dini yake MTU yeyote Yule anaweza kupotoka midhali Sisi wote ni binaadamu na tuna madhaifu kuna MDA lazima tutatereza Tu ndo mana mungu akaweka milango ya toba kwa yeyote Yule atayekosea amrejee yeye🙏

    • @GatekaNene
      @GatekaNene Před 3 měsíci

      @@amantually1105 kumbe mwalijuwa hilo mbona nyinyi mwapenda kuhukum wa KRISTO eti dini yao si sahihi eti ma pastor ni waongo wanacapa pesa tu eti Biblia sii kitabu ca MUNGU eti ni kitabu kinabadilishwa sana hakina ukweli ndani yake na kuita wa KRISTO makafiri. Yote hayo yanasemw na waislamu tena wengi sana haya sasa nyinyi mukisemw mwaja juu ndo munakumbuk kuwa nyinyi sii wa hukumu bali aliye juu ndiye anaye hukumu tena kwa haki. Waislamu muace hizo harakati zenu za kubaguw wengine sote niwa baba umoja Adam na sote ni wa MUNGU umoja dini na imani tu ndo kinatutofuatisha lakini pamoja na hayo hatungepasw kucukiyana na kubaguwa kama wa African sote.

  • @sawebenjamin4015
    @sawebenjamin4015 Před 2 měsíci

    Mzee umejanganyikiwa kiimani kwamba umejanganya uweso wa mungu na jini kwa hiyo we ni mshirikina%100

  • @elinisafimndeme2971
    @elinisafimndeme2971 Před 2 měsíci +5

    Waislamu shehe wenu huyo😂😂😂

  • @planetanimals9547
    @planetanimals9547 Před 3 měsíci

    Ww umechimbia kaburi mwenyewe kwakutaja hio sura 6 aya 128, umekua ukigeuza ya za Allah km wafanyavo wakiristo aya hio inasema hivi:
    6:128 - Na ile Siku atapo wakusanya wote awaambie: Enyi makundi ya majini! Hakika nyinyi mmechukua wafuasi wengi katika wanaadamu. Na marafiki zao katika wanaadamu waseme: Mola Mlezi wetu! Tulinufaishana sisi na wao. Na tumefikia ukomo wetu ulio tuwekea. Basi Mwenyezi Mungu atasema: Moto ndio makaazi yenu, mtadumu humo, ila apendavyo Mwenyezi Mungu. Hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye hikima, na Mwenye kujua.

    • @StevenPeter-sg7zo
      @StevenPeter-sg7zo Před 3 měsíci

      Na hyo aya inaonyesha wazi kwamba ni makundi yote mawili ya majini ambayo wanasema ni wabaya na wazuri wote watakwenda motoni na siyo kundi moja

    • @FatwimaZahrau
      @FatwimaZahrau Před 3 měsíci

      ​@@StevenPeter-sg7zouwongo hijasema wazuri wanaenda motoni MWNYZMUNGU SIDHALIM AMTIE KIUMBE CHAKE MWEMA MOTONI

    • @StevenPeter-sg7zo
      @StevenPeter-sg7zo Před 3 měsíci

      ​@@FatwimaZahrauMe siamini kama kuna jini mzuri ila majini wote ni wabaya ila nyie mnasema kuna makundi mawili wazuri na wabaya.,
      Sasa aya imetaja makundi ya majini yataenda motoni na siyo kundi moja la majini wabaya ila ni makundi yote.,
      Zingatia neno makundi.

  • @JafariHamisi-gu4ef
    @JafariHamisi-gu4ef Před 3 měsíci +1

    Dr sule tunakupenda sana na ninaamini utarejea mukupe wepesi inshaallah

  • @JaphetKilimba-zo2iz
    @JaphetKilimba-zo2iz Před 3 měsíci +1

    Majini nishiriki watoto warusifa mungu kaagiza waturinde maraika nasiomajini chukuenii siri kunamajini wasaf wanatumiwa firimason kunamajini wachaf wanatumiwa na waganga na wachawi

  • @BernardChesoli-rj3nw
    @BernardChesoli-rj3nw Před 3 měsíci +1

    WAISLAMU KUJENI HAPA SHEKH WENU TUNAMSIZA MJITETEE

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu6841 Před 3 měsíci +1

    Kiigizo chetu ni Mtume Muhammad s.a.w.
    Mtume aliwahi kufanya hayo mambo ndugu yetu?
    Mtume hakupatwa na shida kubwakubwa na mbona hakutumia viumbe hivyo?
    Je, wewe une elimu kuliko mtume?
    Dr. Sulle, akisikiliza mada KUIPA MGONGO DUNIA 1-4 ya Sheikh Nassoro Abdallah Bachu, Allah amrehemu, anaweza akatengua kauli/msimamo wake inshaallah

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Před 3 měsíci +2

    Je mnajua maana ya ushirikina?

  • @alonandez
    @alonandez Před 3 měsíci +1

    Jamaa ana wachota bhana sikweli
    Yohana 6 : 70
    Yesu akawajibu, Je! Mimi sikuwachagua ninyi Thenashara, na mmoja wenu ni shetani?

  • @StevenPeter-sg7zo
    @StevenPeter-sg7zo Před 3 měsíci +3

    Me hapo sishangai kwasababu quran 72 inasema majini ni waislamu., kitabu chao ni quran., na mtume wao ni Muhamad.,Kwhy hapo anashirikiana na waislamu wenzake.

    • @FatwimaZahrau
      @FatwimaZahrau Před 3 měsíci

      We muongo hata biblia inasema Kuna majini wakristo wanaosema yesu nimwana wamungu

    • @mutabazihassan6291
      @mutabazihassan6291 Před 3 měsíci

      Acha uongo kama hujui Quran bora kaa kumya uta kufuru kama shule

    • @kaoretosha6668
      @kaoretosha6668 Před 3 měsíci

      matusi unaweza....?!! tatizo ni elimu ya miungu wa tatu kuwa mmoja na mmoja kuwa watatu...🤣🤣🤣....nakadhalika...alikuja akauwawa na aliowaumba ili awaokoe hao hao wauwaji...🤣🤣🤣

    • @StevenPeter-sg7zo
      @StevenPeter-sg7zo Před 3 měsíci

      @@FatwimaZahrau we ndyo muongo hakuna andiko linalosema kuna jini mkristo kama lipo litoe ila majini wote ni waislamu na mtume wao ni Muhammad kwa mujibu wa quran 72., na quran 49:10 inasema kwa hakika waislamu wote ni ndugu., Kwahyo hao majini ni ndugu zenu msiwakatae.

    • @StevenPeter-sg7zo
      @StevenPeter-sg7zo Před 3 měsíci

      @@mutabazihassan6291 Niache uongo kivipi wakati kitabu chako chenyewe quran ndyo kinasema majini ni waislamu na mtume wao ni Muhammad!!!

  • @planetanimals9547
    @planetanimals9547 Před 3 měsíci +3

    Kwani utajiri namali ndio mambo tulioelekezwa tutafute hapa duniani au kumuabudu mungu?

    • @user-vy8uf3ih4h
      @user-vy8uf3ih4h Před 3 měsíci

      Acha ushamba
      لا تنسى نصيبك من الدنيا

  • @user-wr3jp6tg4p
    @user-wr3jp6tg4p Před 3 měsíci +1

    Bado kuna wengi wanatoa aya ila m kunakitu sijaona
    Ila mwisho wao wakafanya madhambi ila hamjatwambia wapi imekataza moja kwa moja kuwatumikisha na hali kuna jini muovu na mwema jee haya hayakutajwa ktk gur,an

  • @MohamedbarakaBarakaIbrahim
    @MohamedbarakaBarakaIbrahim Před 2 měsíci +1

    Wewe Wacha wongo sulle, wapi katika dini ya kislamu imeamrisha watu watumie jini kwa manufaa yao

  • @OustazHabib-kb6xb
    @OustazHabib-kb6xb Před měsícem

    Natafuta vipi kwasiliana naye de.sule nisayidiye nduku Niko DRC

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud3634 Před 3 měsíci +1

    Dr. Sule
    Rejea kwa Mola wako, huko siko . Hicho ni KIBRI umejenga. Mali zisiache ukosane na Mola wako, hayo ni mapito tu. Kumbuka kuna kesho.

  • @clustermqsir9840
    @clustermqsir9840 Před měsícem

    Huyu jamaa, Dah sijui ...na anamdomo balaa

  • @sadikibakarimussa
    @sadikibakarimussa Před 3 měsíci +1

    upo sa hh sheeh Sule ila mashehe wetu wengine hawawi wwzi

  • @SalumMzee-cw8do
    @SalumMzee-cw8do Před 3 měsíci +3

    Sasa naona Shierkh unapotea sasa ila tumuombe Allah atupatie katima ila umezama sasa kwenye shiki nzito

    • @hamishatibu699
      @hamishatibu699 Před 3 měsíci

      Jitaidi kusoma hizo elimu zipo mbona Mungu anasema Ameumba majini na watu ili tumuabudu, soma surati jinni, Quran imeweka wazi majini wamegawanyika kama sisi tulivyo wapo walio kufuru na wapo walio shika njiani sahihi, sio kila jini ni mbaya au kila mtu ni mbaya

    • @SalumMzee-cw8do
      @SalumMzee-cw8do Před 3 měsíci

      @@hamishatibu699 hatar sana tumuogope Allah uingia humu utapotea utaingiwa na kiburi mwisho unapotea na kutolewa ktk rehema za Allah km Iblissi laanatu llah tuombe Allah atufishe jali ya kuwa waislamu

    • @hamishatibu699
      @hamishatibu699 Před 3 měsíci

      Mungu anasema hakuumba majini na watu illa wamuabudu, sasa wew unawakataaje viumbe ambavyo ujaviumba wew

    • @SalumMzee-cw8do
      @SalumMzee-cw8do Před 3 měsíci

      @@hamishatibu699 hakuna Mtume yoyote alifanya uganga na majini kwaio tujitahadhari na dibwi la shirki hatar ukizama utapotea hutoamini hata Qadara ya Allah tumuombe Allah atujaliye khatima njema

    • @hamishatibu699
      @hamishatibu699 Před 3 měsíci

      @@SalumMzee-cw8do uganga upi? Suleyman aliyatumikisha majini sio kafanya nayo uganga, Yesu aliteuwa shenashala mmoja shetani, Yesu alitembea na jini akiwa kama rafiki, kinachokatazwa usiwatii majini wakitaka kukufulu. Utawala wa hii Dunia kwa sasa ni wetu. Yoh 5,9 wanafunzi wanamwambia Yesu hata majini yanatutii. Someni

  • @mrdaslam301
    @mrdaslam301 Před 3 měsíci +2

    Huyu anamaanisha maanisha waislamu wanaamini katika majini...hata yale ya mayele ni hayo hayo

  • @legendaction202
    @legendaction202 Před 3 měsíci

    Doctor walai .........al,ilmu afdhali minal,mal wama,afdhal bilhadhi aufar al ,ilmu antatahrusulmal walmal yankusu binfaq wal,ilmu yanzidu binfaq

  • @user-ed1cf9nq5w
    @user-ed1cf9nq5w Před 3 měsíci +2

    Sule ni Mchawi kajivika vazi la ushekhe tu😂😂😂😂

  • @user-bj6yz7gy1v
    @user-bj6yz7gy1v Před 3 měsíci

    kaka shirki hiiii

  • @fazeelshomary8743
    @fazeelshomary8743 Před 3 měsíci

    Amedanganya kwenye Quran 6:128 na pia kwenye bible Yohane 6 aya ya 70

  • @OmarReal-kl5ww
    @OmarReal-kl5ww Před 3 měsíci +2

    Hakuna baya alichoongea Dokta Sule binafsi namuelewa

  • @allyabnbaba8639
    @allyabnbaba8639 Před 2 měsíci

    Acha nizidi kutazama na kusikiliza labda nikafanikiwa kuona na kusikia mwisho wa haya.

  • @user-hd1ws3ds4f
    @user-hd1ws3ds4f Před 3 měsíci

    Waislamu ndivyo walivyo

  • @zaidechafim2613
    @zaidechafim2613 Před 3 měsíci +1

    kasomea wapi uyu au ndo watu wakukopi kujisomea wenyewe

  • @samwelimwanja4105
    @samwelimwanja4105 Před 3 měsíci +1

    Mnategemea majini kupata mali ila sisi huomba Mungu atubariki na hapa mtabisha mtasema huyu sio mwislam mwenzenu mtasema ni kafiri ila mwisho wa siku Mtaifahamu kweli ila mtaifahamu mkiwa Jehanamu ya moto jambo ambalo halitawasaidia kwa wakati huo, Hapo ndio mtamfahamu Kristo kuwa ni nani.

    • @user-kh2hn8in1s
      @user-kh2hn8in1s Před 3 měsíci

      usibabaishe watu, peleka ukristo wako huko, wewe unaesema yesu ni mungu, subiri wewe ndio utajikuta ndani ya moto wala simuda mrefu, labda usilimu ushike dini sawasawa, huyo sule haudhuru chochote uislam, uislam utabaki msafi kama Allaahu alivyouleta

  • @user-ck2nm9on9m
    @user-ck2nm9on9m Před 2 měsíci

    Ukimiliki jini huezi sema n jini mbaya! Wote washirikina

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 Před 3 měsíci

    Eh mdomo wangu

  • @lizmwangi6583
    @lizmwangi6583 Před 3 měsíci +3

    Makubwa hayo!! Jooni kwa Yesu muokolewe ndugu zangu.

  • @abudailamy2577
    @abudailamy2577 Před 3 měsíci +1

    Huyo ni mchawi tu

  • @LawiMponzi
    @LawiMponzi Před měsícem

    Dr sulle huo ni ushirikina

  • @legendaction202
    @legendaction202 Před 3 měsíci

    Ni kweli sule unazungumzia viumbe marohani mashallah thats true bro sele zidi kutupa ilmu

  • @RamadhanMgeni-gt1tu
    @RamadhanMgeni-gt1tu Před 2 měsíci

    Kwaiyo du sule unaenda wapiii

  • @momadesuales
    @momadesuales Před 2 měsíci

    Huu ni msiba uliye wazi kabisa 😢😢😢

  • @user-bj6yz7gy1v
    @user-bj6yz7gy1v Před 3 měsíci

    lko siku mutakuja kutukumbuka nakujuwa umuhimu wetu masheikh mnao twita masheikh njaa

  • @JosephMusembi-wx1tq
    @JosephMusembi-wx1tq Před 3 měsíci +1

    Naomba nomber ya DCT

  • @89_Media
    @89_Media Před 3 měsíci +5

    VINA MUDA BAX😂😂😂😂
    Itajulikana mbichi na mbivu 😅 inshaallah 🙏🙏🙏

  • @user-vr6lu8tq1n
    @user-vr6lu8tq1n Před 3 měsíci

    Hiyo sio dua ni ushilikina

  • @talents7934
    @talents7934 Před 3 měsíci

    Kwa hiyo shekhe unaweza kumtuma jini akakuletea hata ATM machine ukajitolea pesa ukiwa home tu au sio

  • @joventjohansenmushwaimi1988
    @joventjohansenmushwaimi1988 Před 3 měsíci

    Hahahahahhaa Dr Sule uko vzr sanaa majibu yako ni ya kitaalam

  • @saidomary6414
    @saidomary6414 Před 3 měsíci +1

    towa aya basi shekhe

  • @aljalilatiba9873
    @aljalilatiba9873 Před 3 měsíci

    QURAN YENYEWE INAKATAA KUWATUMIA MAJINI ILI KUPATA PESA AU KUPATA ULINZI. AYAH HII YA QURAN INABAINISHA
    وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا
    Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi

  • @planetanimals9547
    @planetanimals9547 Před 3 měsíci

    Ww mwanga tu mwisho wko mbaya utaonekana tu mungu hana haraka nawashirikina

  • @AbdllahAlly-bf2se
    @AbdllahAlly-bf2se Před 3 měsíci

    Nkweli siuongo

  • @mussakikondo4231
    @mussakikondo4231 Před 2 měsíci

    Unatupoteza

  • @kennodhiambo
    @kennodhiambo Před 3 měsíci

    Nguzo ya imani ya Kiislamu ni majini. Umesikia kuwa majina ya Allah yanawaleta majini halafu mnapiga dua

  • @user-mt4sd6cj5y
    @user-mt4sd6cj5y Před 3 měsíci

    Money is a source of all evils pesa hizo zakusumbua na pumzi.

  • @saidymohammad2921
    @saidymohammad2921 Před 3 měsíci

    Global munanza kusema uongo munaanza kuharibikiwa kwasababu munasema doctr sule ametaja jini wake ambaye anampa pesa mbona hiyo kauli hajaisema kuweni wakweli katika vipindi vyenu

  • @user-br5yb2uf4o
    @user-br5yb2uf4o Před 3 měsíci

    Yupo sawa kabisa kilà mwisilamu anaruhusi kumiliki màjini kwào siyo dhambikabisa mwacheni aseme ukweli

  • @samwelimwanja4105
    @samwelimwanja4105 Před 3 měsíci

    Bado2 mnabisha hamutumii uchawi? Mbona hamumuombi Allah, awalinde mnataka majini yawalinde. Na mnaweza kutuma majini yakaenda sehemu na kuharibu kesi yeyote au jambo lolote na hata mnaweza kuwatuma kuiba mali ya mtu ila kwa ukristo sisi sio hivo tuawabudu Mungu wa kweli.

  • @DulahAndrew
    @DulahAndrew Před 3 měsíci

    Hakuna vijana walio tamani kumfuata huyo mdada wa nyoka ili wawe kama yeye kufanya mapenzi naye.

  • @joachimluhamo3042
    @joachimluhamo3042 Před 3 měsíci

    Yohana 6 . 70 hakuna andiko kama hil0 we muongo na mshilikina

  • @mohammedjabir6128
    @mohammedjabir6128 Před 3 měsíci +1

    Dr Sule anasikitisha! Maisha yamemsibu!

    • @lilmojr7
      @lilmojr7 Před 3 měsíci

      Tamaa ya mali na dunia inampelekaa pabaya huyu

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu6841 Před 3 měsíci

    Sikilizeni mawaidha ya Sheikh Nassoro Abdallah Bachu, mada KUIPA MGONGO DUNIA 1-4 ndio ndugu zangu mtathibitisha kuwa Dr. ameshalaghaiwa na mashetani.

    • @mwanaishajuma4166
      @mwanaishajuma4166 Před 3 měsíci

      Kama uko nayo turushie tunufaike. Ama tutayapataje hayo mawaidha nayataka

  • @ShabanSeleman-pd9dw
    @ShabanSeleman-pd9dw Před 3 měsíci

    Huyu nimshirikina kama washirikina wengine asihusishe majini yake na dini,

  • @user-zq2be4xr1o
    @user-zq2be4xr1o Před 3 měsíci

    Unavyo ongeya unawaambiya watu rizki jini anatowa rizki nasio mungu, wakati hapo itakuwa ni upotefu

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 Před 3 měsíci

    Subhanallah Kumbe huyu Dokta sule anatibu kwakutumia majini🙄🙄🙄🙄Innalillah wainnailaih rajiun 🙄🙄

  • @user-mt4sd6cj5y
    @user-mt4sd6cj5y Před 3 měsíci

    IYakana abudu waiyakana sthagheen.wewe Allah tu ndio na kuabudu na wewe tu nakuomba misaada si jini..Alhamdulilah kwetu Kenya hakuna maustadh kama hawa .nipeni lyk zangu wakenya.

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu6841 Před 3 měsíci

    Huuu ni msiba ndugu zangu waislamu, Dr. Sulle, ungesikiliza mawaidha ya Sheikh Nassoro Abdallah Bachu “KUIPA MGONGO DUNIA” 1-4, ndio utafahamu kuwa unateleza.
    Kiigizo chetu ni Mtume Muhammad s.a.w., na kama ni shida nyiiingi, alizipata tunafahamu lakini mbona hakutumia viumbe hao? Je wewe umemzidi elimu mtume s.a.w.? Umesema sana dini kuzidi mtume? Kutajirika ndio kipimo cha uchamungu? ITAQILLAH acha pupa ya tamaa ya kufanikiwa kwenye hili jalala.

  • @user-uw5oh5yy5m
    @user-uw5oh5yy5m Před 3 měsíci +3

    Sheikh wacha kufru inamaana wewe unalindwa na majini na sio Allah S.W

    • @feiswalislam8465
      @feiswalislam8465 Před 3 měsíci

      Hiyo mm nakuchangiya asikufuru

    • @vincentcharles4385
      @vincentcharles4385 Před 3 měsíci

      Allah ni mlinzi wa wapi 😂

    • @rashadally6871
      @rashadally6871 Před 3 měsíci +1

      Acheni uchoko mbona naneno hayo hammwambii mh rais asilindwe na binaadamu alindwe na allah....hata msikiti wa Makka unawalinzi je Mungu hayupo?

    • @mussakarata6650
      @mussakarata6650 Před 3 měsíci +1

      Sikiliza kwa makin tena kasema analindwa mabodguard

  • @GatekaNene
    @GatekaNene Před 3 měsíci

    Uyu Sulle ni baba ya waongo ukiaciliya mbali Mazinge uyu naye kwa uongo iko daraja lingine kbs

  • @frankmfuse6990
    @frankmfuse6990 Před 3 měsíci

    Huyu jamaa ni mganga wa kienyeji , kitambo tu na ndo maana anajiita , Dr. Ili kupata Wateja zaidi anajiita shekhe
    Na waislamu wamekua Wateja wake
    So anakusanya waislamu wengi sana Kisha anawapotosha

  • @rezikomer9552
    @rezikomer9552 Před 3 měsíci

    Doctor sule kwanini wawa himiza watu kuwa na kutamani mali kwa majini washirikishe kwa imani ya mngu maana ya akili za watu si kama ya kwako wajuwa mngu amewaumba naakawajaliya kuwasaidiya watu lakini nimitihani hiyo yote wa cheni wengine watakufuru wakiwa na pesa nyingi watamsahau mngu na ku anza kuku furu na kiburi kiki naana hiyo kiburi nilazimamtu awe nacho kwakujiona anajitosheleza

  • @nourdinpro
    @nourdinpro Před 3 měsíci +1

    Uyu jama mtakuja kumuelewa

  • @mjombawallace4966
    @mjombawallace4966 Před 3 měsíci

    Huyu ni Bure hamna chochote hapa

  • @beyondsavanna6028
    @beyondsavanna6028 Před 3 měsíci

    Uyu kashiba uyu....