Vanessa Mdee aonesha hali ya Mimi Mars baada ya ajali, arejea Marekani baada ya kuja Dar kimya kimya
Vložit
- čas přidán 13. 01. 2024
- Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.com/store/apps/de...
Hii nimeipenda all the way from USA to Tz kwa ajili ya ndg yake 😢 nimelia kwa furaha upendo huu ni ajabu🙏
MAPAPARAZI WA TANZANIA WAKO CHINI SANA HOW DID THEY MISS VANESSA WAS IN TOWN?😂😂
Hii nimeipenda ya kimya kimya, maana paparazi wa kibongo wana maswali ya kichoko sana.
Amewaweza sana, hawana hamu 😂
Ukiona mtu mambo yake mtandaoni ni yeye mwenyewe anawapelekea vi-clip waandishi
Mungu akupe wepesi Mimi mars watu wako bado tunakuhitaji wewe ni mpambanaji💪🎉🎉
Glad to hear you came all the way to see your Sister, and the togetherness you have with Adam's Wife & family. May God, our good Lord continue to Bless and keep this family together, Always❤ Big hugs to Mkwe & the kids.
Nime lia kwa furaha, Jehovah Rapha 🙏🏾 Mars 🥰
mashaAllah wamefanana mashaAllah dada na mdogoe
Blood really is thicker than water🎉mashaAllah
nakubali sana dada vannesa kuwakomesha wabeya
Mungu ni mwema🙏🏾
Kwa hiyo ni kweli alipata ajali ,na wakafichaa
Pole sn kwa kuuguliwa na mdg wko
Mungu mkubwa
Atakua kava Nikabu au😂😂😂wambea wamemkosa😂
❤️❤️❤️❤️
Hawana Hela za mawazo Yani kuugua tu chap kuja kuonwaa
Ni upendo tu, na kujaliana kama familia. Watu wanaeza kuwa na pesa yooote - asiwe na upendo
bora angekuja kimya kaondoka kimya
Hapo kawakomesha vishakunaku me nimepentaaaa😂😂😂
😂umeonaeeew
Asingeonesha angekaa kimyakimya tu ingependeza sasa kamuonesha nan?
Kwani mtu akija nyumbani Ni mpaka watangaze
Yani ni shida dada yangu Bongo tumekuwa watu wakupenda kila kiwe nje nje mdada wa watu hakutaka hayo.
@@sonnyr1899 kenya hatuna hizi stories kabisa kila mtu kivyake na maisha yake
MUNGU NI MWEMA SANA TUNAPOMTEGEMEA.
Ma paparazi wa Tanzania muko cini 👎👎👎👎 jmn🤣🤣🤣🤣
Something is not right...umekaa miaka yote hiyo Marekani unarudi nchini kwako unakaa hotelini....😮😮😮
Aliekuja kumuona ndo anatupaga umbea 😂😂
Afadhali
Mbona tunamuona jua Kali au kabda?
punguza ujinga
Posti yako tukuone ili tulinganishe
Kabla ajapata ajari uwa wanaandaa vipande vingi
@@sharifabahar9905 katika watu walio nijibu basi ni wewe Tu umenijibu vzr tena nimekuelewa Sana maana nilitaka kujua nashangaa hao walio nijibu vibaya hapo juu kuna watu Wana makasiriko ya masiha basi wanavamia vamia wezao ovyo kuwajibu vibaya
Mange ataweka wapi sura yake 😂😂😂
Kwani na huku keshachamba jamani??
@@beatrice4780 eee si Jana tu kasema amezidiwa sana
Huyu dada ni gold digger,😮
😢but why do you even know the meaning of what you said
😢😢
I bet she doesn't 😅
😂😂😂😂eti gold digger 😅😅amefanya jmn mbn ww unakuwa Mungu mtu kujdge tabia za watu
He doesn't even know the meaning of gold digger 😂 what a fool 🤣