WAZIRI MKUU AMALIZA SAKATA LA KARIAKOO ,WAFANYABIASHARA WAKUBAKUBALI KUFUNGUA MADUKA..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 05. 2023
  • #kaziiendelee

Komentáře • 51

  • @jacksonmrisho5650
    @jacksonmrisho5650 Před rokem

    Jamani ingependeza sana kasim mjariwa Awe Rais wa Tanzania inchi ye2 ingekua vizur sana

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Před 2 dny

    Yaani ndo maana nasemaga nampenda sana huyu kassim anatufaa sana watanzania mungu kampa hekima busara anafaa kuwa raisi yaani ningekuwa nina mamlaka ya kumteua raisi ningempitisha kasim majaliwa mengine akina mkuu wa mkoa wa dat hakuwajibu vinzuri wafanyabiashara wa kariakoo anatishia watu haipendenzi

  • @abdulkareemchacha2625
    @abdulkareemchacha2625 Před rokem +1

    Safi sana Majaliwa......muongozo mzuri saana, wenye akili waufanyie kazi .

  • @felisterjoseph4312
    @felisterjoseph4312 Před rokem +2

    Wewe kuna siku utakuwa Rais wetu yaani hiyo ni lazima👍

  • @mangashajunior242
    @mangashajunior242 Před rokem

    Asante mh majaliwa hawa watendaji wanatuchosha common wananchi kwa rushwa....

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Před rokem

    Mungu akulinde Wazilimkuu majaaliwa. Mpenda haki kilanikikukumbuka nitakuombea Dua wasikuzuru maadui Na Mungu akufanyuewepesi kwenye utendajiwako wakazi ijitahidi kutenda haki. Mungu atakukipa sababu kuna mwishowakazi kabuliniiii. Allah atujaalie mwishomwema🤲

  • @doricefrimat3125
    @doricefrimat3125 Před rokem

    Asante mheshimiwa

  • @daudkondo4069
    @daudkondo4069 Před rokem +1

    Hawa TRA wanaweka utaratibu wa kimtego mtego ili watengeneze mchongo

  • @ShabaniOnyango-gm3vz
    @ShabaniOnyango-gm3vz Před rokem

    Nipeni maua yng niyanuse kabla sijafa Roma fursa nyingine hiyoooo my brother

  • @daudkondo4069
    @daudkondo4069 Před rokem +1

    Tatizo watumishi wa TRA ni watoto wa vigogo wa nchi yetu ni vigumu kuwaadabisha

  • @hidayajuma7946
    @hidayajuma7946 Před rokem

    Kama mtu akilala na mkewake akiamka anatunga Shelia yake kichwani basi hakuna viongozi katika taifa hilo basi kiongozi kabaki majariwa pekeyake

  • @daudkondo4069
    @daudkondo4069 Před rokem +1

    Vitenge vinapita Dar vinaenda Congo Kisha vinaletwa Dar Kwa matumizi

  • @user-uw7vr6xw8o
    @user-uw7vr6xw8o Před rokem

    Hakika baba wa 2 wa taifa tutamkumbuka milele mungu ampumzishe vyema

  • @lailalaila8206
    @lailalaila8206 Před rokem

    mungu hamlemu magufuri toka hafe yye nch imekuwa ya hovyo ya watu wachache wanajifanya haunijui mimi nan imerud na rushwa kwa wazi tushachoka waray, we waziri mkuu mungu hakubariki sana na uje kuwa rais wetu in sha allah biashala bila ya kina mama bado wapo wanauza chakula maisha magum jmn msione nyie mnakaha kwa exi wananch wanapata tabu aisee kod mnashindwa kuwabana wagen na wanaoiba madin yetu iri mpate kod mnawabana wananch wa hari ya chin nimefurah sana wafanya biashala kwa mamuzi mrio ya chukua viongoz wa sasaiv hawafanyi kaz mbaka hakishen ifanyike mgomo ndio viongoz wanafanya kaz aisee ni shida sana waziri tatuweni kero izo huchumi unanyumba jmn

  • @GreceMwalende
    @GreceMwalende Před 15 dny

    Waurize waziri nani amewai goma kuripa mapatoo

  • @allykarupa1411
    @allykarupa1411 Před rokem

    Mweshimiwa waziri nasisi madereva tunanyanyasika

  • @charleselijah-vq3hq
    @charleselijah-vq3hq Před rokem

    Mweheshimiwa Waziri Mkuu Kasim Majaliwa na huo ndio ukweli siku zote kuna tatizo. Waziri wa fedha nae atumbuliwe haifai

  • @akberyuda5950
    @akberyuda5950 Před rokem

    MHESHIMIWA MAJALIWA TUNAKUTEGEMEA IKIBIDI PANGUA TRA MUNGU AKUBARIKI

  • @lailalaila8206
    @lailalaila8206 Před rokem +1

    yan tunajitafutia pesa zetu nch zingine hunarud nyumban ukazishe biashala ikukamue kimaisha mtu anakunyonya kod tozo mbaka mtaji hunakufa kama waritupa iyo pesa wao roho mbaya tu imezid kutokupendana sisi kwa sisi tz nch ya hovyo sana mbaka tunaogopa kufanya biashala kaz hakuna hamtuajiri na mtu akijitaid kujihajiri bado mnakandamiza nyie serekari ya haina gan

  • @johndela7435
    @johndela7435 Před rokem

    Mnakula maneno tu hapo sheria zinabaki vile vile na zinaendelea kung'ata lakin saiv watang'ata kwa upole

  • @user-dc7cr7go4x
    @user-dc7cr7go4x Před rokem

    MW MUNGU AKUTUNZE BABA YETU WASAIDIE WATANZANIS

  • @omarihussein6945
    @omarihussein6945 Před rokem +2

    Huyu mwamba mungu aendelee kumuweka

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Před rokem

    Uyu mzeee atakufa jamani mpka muonea luma anachoka jamani majaliwa daaaa😥

  • @reaganhassan156
    @reaganhassan156 Před rokem +1

    Wakiyaona maono yako lazima watakuuwa

  • @Ashreystar8465
    @Ashreystar8465 Před rokem

    waziri mkuu shkamoo

  • @swaibuiddy1502
    @swaibuiddy1502 Před rokem

    Mh shimiwa waziri mkuu unafanya mkutano Mahali ambapo wakamataji wa pikipiki na bajaji wanapo kamata wanazileta sehem hiyo anatogo sasa iyo ijumaa tano wape sehem yakuweka pikipiki na ukiweza zungumzia kuhusu uwo mladi wa mtu binafsi umekaaje

  • @ismailaebecha3884
    @ismailaebecha3884 Před rokem

    Kero yangu ni kuusu reseni ukienda kukata reseni unaombwa nida mpinga kura hawataki

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Před rokem

    KATIBAAAAA MPYA NDO ITAWEZA KUREKEBISHA HAYO YOOOTE NCHINI.

  • @jescasamson6060
    @jescasamson6060 Před rokem

    Hata mugambo anafanya ukaguzi tunaelekea wapi kama nchi ingekuwa daladala wengine tungeshuka twende nchi nyingine

  • @luganomgeni
    @luganomgeni Před rokem

    Kukomesha lushwa ni ku weka mfumo wa mpya waukusanyaji kodi. Zote uwepamoja .lakini mfumo uliopo ni kandamizi. Mtu a na lipia kodi zaidi ya 8. Zige wekwa pamoja sawa na maka kadilio.aliyo kadiliwe mlipakodi.

  • @alitwaqwa739
    @alitwaqwa739 Před rokem

    nyinyi watu waserekalini sisi wavuja jasho ndio mabosi zenu

  • @laisangaikuyan1172
    @laisangaikuyan1172 Před rokem

    Mh waziri Mkuu tatu wa na sawala la ngorongoro

  • @barakanestory3521
    @barakanestory3521 Před rokem

    Rushwa sasahivi zimejaa ,too much,Kila Kona,sasahivi hawaogopi.Zamani sawa,siomuda huu, MUNGU atusaidie,vituoni,hatari

  • @4hestatecompany20
    @4hestatecompany20 Před rokem

    Umepndz sn kua rais

  • @rahmasalim1989
    @rahmasalim1989 Před rokem

    Dah! Siasa ni mchezo mchafu, Muheshimiwa hatutendewi haki nchi ni yetu lkn manyanyaso kibao, kazi tunafanya sisi kipato tunachokipata hakiendani na biashara zetu, pesa zote zinapelekwa TRA na RUSHWA tupu. Yaani! Hakuna kitu hapa tutahama nchi kwa misingi hii.

  • @nurukimu7368
    @nurukimu7368 Před rokem

    Tuangalie na sisi wamachinga

  • @juliussuleiman3999
    @juliussuleiman3999 Před rokem

    Majaliwa ww ni watu wawili kasorobo, big up Mungu azidi kukulinda

  • @beatusraphael-gq2lu
    @beatusraphael-gq2lu Před rokem

    Katiba mpya

  • @abdulmdamu-fz8pn
    @abdulmdamu-fz8pn Před rokem

    Tra Inaongoza kwa Rushwa

    • @monicambossa4937
      @monicambossa4937 Před rokem

      Mimi nilikuwa naumwa nikamwagiza kijana apeleke hela TRA Mafinga,afisa 1akamwambia mtoto wangu kuwa yet hapokei hela mpaka niende mwenyewe,siku nilipokwenda akanitoza faini eti nimechelewa kulipa Kodi,hivi huyu afisa hajaikosesha serikali mapato

  • @barnabaslushenshe523
    @barnabaslushenshe523 Před rokem

    Kwanini mtu anafanya kazi TRA MIEZI 6 anakuwa na NYUMBA ZA KUTISHA NA MAGARI? AMEKOPA WAPI?

  • @udiabdullah5261
    @udiabdullah5261 Před rokem

    Kwakwel raha😂

  • @josephcharles6315
    @josephcharles6315 Před rokem

    2025 hatuwataki madarakani

  • @charleselijah-vq3hq
    @charleselijah-vq3hq Před rokem

    Waziri wa fedha atumbuliwe anausiku achunguzwe na hafai anatngeza ubadhirifu ndani ya Ujenzi wa Taifa letu la Tanzanian. Ni mbadhirifu s
    Atoke anatafuta hela ili kesho na keshokutwa agombee Urais. Hatoke Waziri wa fedha.

    • @erastojhn
      @erastojhn Před rokem

      Tatizo kuu sio wazir ni ccm na viongozi wake

    • @frederickmaringo8014
      @frederickmaringo8014 Před rokem

      Vikao vya pamoja na elimu ya haki ifanyike kupunguza mlundikano wa matatizo miongoni mwa wafanyabiashara na Serikari yetu. Ashante kiongozi Mkuu wetu kwa kuyatambuwa mengi ya matatizo walionayo wafanyabiashara.
      Tunawatakia mafanikio ya haraka ili tusimuudhi Mama yetu wa Kazi.
      Ashanteni saana.

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole7441 Před rokem

    ATLEAST WE'RE BREATHING..THANK..

  • @majebelemathis9991
    @majebelemathis9991 Před rokem +1

    Hii nchi inasitaili iwe na Rais kama magufuli wafanya kazi wengi wa serikali ya huyu mama ni majizi yote

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Před rokem

      Mweshimiwa waziri mkuu kwa sasa hivi hapa tulipofikia nchi hii ni pabaya sana kwanza wenge mfukuzisha kwanza kamishina wa t r a theni mengine yafate la kama ataendelea kubakia hapo itakua shida ni ilele shida kubwa iko kwenye makadirio sasa utmkuta .mtu yuko t r a ajawahi kuhuza ata maji