Nishatembea kwa miguu, Kabla ya kuwa Mr Bluu, Hakuna brother duu wala sister duu aliyenijua, Zaidi ya joto mvua na jua, Na msoto ulionikuza nikakua, Labda gheto na washikaji wanaonijua, Kweli shida kama moto zinaunguza unaungua...... #respect Heri Samir #pesa
Lil omy na yule girl mnajua kazi yenu coz mnaleta vitu ambayo sisi watazamaji tunahitaji alafu mnafanya interviews za ukweli endeleeni hivi hivi maana moja hadi 10 ni nyie.
Je t'en courage mon frère pour ton travail du jour au jour car tes entretiens nous arrivent bien en France, et tu pose des questions d'intelligence vrt qu'on te vite sur le trophée de best presenter. Big up bro
Mr Blue ni msaani hata akikaa mwaka bila kutoa ngoma lkn akipanda kwa stage watu wanamkubali.... Much love from 🇶🇦 🇶🇦
Kuja ain khaled unywe kahawa
@@honeyjerrylugose3312 iko pande gani hio mi pia nipo apa Qatar 🇶🇦
@@honeyjerrylugose3312 💖🌞🌞
@@djgthehotstepper yaani wife wangu ndio unapea namba.... Ufisi utaacha 😆😆
@@honeyjerrylugose3312 niko hapa safari mall... Jirani
Nishatembea kwa miguu,
Kabla ya kuwa Mr Bluu,
Hakuna brother duu wala sister duu aliyenijua,
Zaidi ya joto mvua na jua,
Na msoto ulionikuza nikakua,
Labda gheto na washikaji wanaonijua,
Kweli shida kama moto zinaunguza unaungua......
#respect Heri Samir
#pesa
Nyimbo gani bro hii
@@ElvisMramba-iu7tc inaitwa Pesa By Mr Blue
Blue ni kaka wa wengi kwenye hili game la mzik ndo maana yuko na respect kubwa mno. Kizazi sana💰
U see that my dear
Hujawahi acha kucoment .. Nakutana na wew sehem nyingi .. Big up
kizazi sana
Sure
Oya msela uko bize Sana # CZcams inabid wakupe tunzo ya frima#bet au kisima#goood
kabisa blue hizi tuzo za bongo hapa zakinafiki xana ila kitaa kwetu huku unatuzo kibao mzee wangu
#MITAA YA KATI umenikumbusha mbali sana BYSER
Much respect Byser, you are so brainy son! Much respect LilOmmy
Blue is a very good artist... i've listened to him since i was in primary school 2005
Lilommy ni balaa....i like Kizazi sana...A guy tht does his homework!
Salute Legendary!
LIL OMMY UNAULIZA MASWARI MAZURI SANA ....WEWE NI REAL PRESENTER ...UNATUWAKILISHA
Huna tunzo kakini watu wanakupa respect hongera mr.blue mistari yako siku zote ya uhakika.
Ww regency kweli nakubali nyimbo ulizotaja humo
Wooooooza gangster rap music forever
Mr blu anajua sana leo kesho
Bysa nakuelewa sana bloody! Keep it up.......!!!!!!!/
Mr blue ni mkali sana full respect to him🙏
Mr blue Nakubali interview yako
Finishing ya kizazi Saana #BAISA Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu🙏always on point.
Ameen rabbil Ala min👏
Much respect mr blue......unamistari yakujenga mtu wa watu wewe big up mr
Ukitoka! kwenu ukienda kwa Lilommy uji
Pange kweri sio powa Anachambua Kin
Omasana Big gup sana
tutaku vote kbsa brother✌🏻
Lilommy tunaomba umfanyie AT intevi mzee wa kitumbua?
Byser blue mwana mwanamuziki,,, chilembaaaaaa",,mafans utitili √√√
Tambwee Yani Bila Ubixhi Tuzo Ni Yako My Brodaah And I Reel Appreciate Kaka
Lil omy na yule girl mnajua kazi yenu coz mnaleta vitu ambayo sisi watazamaji tunahitaji alafu mnafanya interviews za ukweli endeleeni hivi hivi maana moja hadi 10 ni nyie.
Big up sana broo,, nakukubali toka kitambo na nyimbo zako ndo zilinifanya mm nijue mziki toka MAPOZ,,,,
Babilan kwa Matatuu ulifeli man
Purity Mlanda kweli kazingua
Miwani ya Ham mh hongera kwako miwan
Kwan wale wanaoomba likes wanapelekega wap ?? Na mm naombeni kwanz nione wap ntapeleka
Mr blue pamoja xn fungamkanda pambana mungu atakusimamia
Big up bizy babilon.big up lilomy the best presenter.
blue noma it's like inspiration life big up my brother
Johnson John orden kal
Mm najitaidi kuvote kila cku allah atajalia 😘
Hassanmofty kar
Mr blue ni the best
Je t'en courage mon frère pour ton travail du jour au jour car tes entretiens nous arrivent bien en France, et tu pose des questions d'intelligence vrt qu'on te vite sur le trophée de best presenter. Big up bro
Mr blue yupo really sana
We ni noma sana ,Lil ommy,kura zang chukuwa
lilommy w unaweza
Blue we mkubwa
Mr blue aka mkalii wao kiboko yao au nyaani zee ama shikamo babaaa
True legend ❤️❤️❤️❤️❤️ mad love from 254kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
mr. byser ni smart sana ....GENIUS
Baysa huna choyo sina chakusema mungu akupe umri mrefu
My alltym rapper byser
Blue ww mafia sna so kizazi pia
Salute
Tuzo ni kutegemea na watoaji km sio marafiki zko lzm wakutose
Hatari
Rasta mwenye ndongo
Awesome
Noma mr bluee
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Rapper bora
Huyu mtu mwingine hapa pembn nani miwan nyeusi kavaa
Mnyamwezi...My Loly Modal₹
bizzy biblroni noma sana
Young legend
mad respect mr blue byser
much love to u bro buyser
blue
respect sana mr.blue
Great
Babilon Baisa ni mgodi unaotembea
Jeshii
Nice 👍
Tambweee
blue MTU mbaya
🔥🔥🔥
My best musician in tanzania babelone
Busy 🙏🏼
Biziiiiiiiiiiii!
Nani kaona brue kapoa Sanaa? Pia ll omy hiyo mistari tuu akisema kumiliki kiwanda kujenga mijengo hizo ni nyimbobo sio maisha ya ukweli
Ommy on op interview la kibabe
Wasanii jifunzeni kupitia mr blue
👍
Kizanz sanaaaa.
Bleu na darassa wako poa saana
Nakuelewa Xana mwamba
respect bro saluuuuuti
Nice ✌
Yule giiiiiiirl
Biiiizy
Times mnazngua kwa kila post mmseme mondi marahvii
Sana blue
Hip hop bluu 💪💪
blue means life
Star...Bila Bodyguard ₹
Dah. Kaka mkubwa mr BABELONI. Ume dumu sana kwenye ii gemo miaka 17 Duh. Sio kitoto
Heshima kwa blue
Blue salute
Bee's Babylon 👊👊👊 👉Chilembaaaaaa
Interview ya Kizazi sanaaaa 💪💪💪💪💪
Bayseeeee
Salt kwa tambwe
Kwann hafanyi media tour njee
Tambweeeeee
Good boy fast bon
Lil Ommy hatar had blue kamkubal
👍👍👍👍👍💯🤜💪💯💯
Kama umeckia "msichana wa kike" 15:02 pga makof😂🤣😂🤣😂🤣
Duu
Bin Sururu huhuhu
Bin Sururu huhuhu
so sad aki una tuzo jamani na vile ulianza mdogo ingepata heshima yko..
beezy babelon